Muhadhara uliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Uwanja wa Jamuhuru Jijini Dodoma Tanzania Tarehe 05/05/ 2012 . Mada ikielezea Haki za Allah kwa Waja na Haki za waja kwa Mola, Je ni haki zipi hizo? Inshaallah fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
- 16 күн бұрын
ZIJUE HAKI ZA MOLA KWA WAJA WAKE NA HAKI ZA WAJA KWA MOLA: MUHADHARA SHEIKH KISHK DODOMA TANZANIA
- Рет қаралды 3,496
Пікірлер: 15