Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
@somoeomar4861
Ай бұрын
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
@deusisindwa616
Ай бұрын
Asante sana kaka ❤❤ Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
@allynassor1119
Ай бұрын
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
@saidiyusufumuhode3159
Ай бұрын
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
@zahraalbaloochi2841
Ай бұрын
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
@rk-rp2un
Ай бұрын
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
@abdul-qadirkhamis2518
Ай бұрын
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
@ebengapierre8826
Ай бұрын
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
@mussammanga7791
Ай бұрын
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
@user-io8hn1jb4d
Ай бұрын
Iran sio waarabu
@mussammanga7791
Ай бұрын
@@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao. Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
@user-hy5zd5rn6r
Ай бұрын
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@awadhsalim2680
Ай бұрын
@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
@gabrielmdem4271
14 күн бұрын
Duu safiii broooo
@fatimasaid9469
Ай бұрын
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
@JoalAlma-ci1hi
13 күн бұрын
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
@dulax2457
Ай бұрын
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
@revocatusjilala2441
Ай бұрын
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
@SuperMtani
Ай бұрын
Asante
@onelinelyrics200
Ай бұрын
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
@josephwilliam5813
Ай бұрын
Mchambuzi uko vizuri sana
@PatrickBarnabas-fs4ow
Күн бұрын
Umetisha
@user-vj8eu7ih4k
Ай бұрын
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
@user-tf3vf8rj8n
16 күн бұрын
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua Kaka Allah akubarik
@alibinali_
Ай бұрын
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
@hanspop6961
Ай бұрын
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
@snuramushi9612
Ай бұрын
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
@user-to7bs5pl4n
Ай бұрын
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@afrahamohamedi6301
Ай бұрын
@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@user-uz9mw1ie6z
14 күн бұрын
Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran. Thanks
@mohamedjakaya5355
Ай бұрын
Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi
@ShadrackMwikoni
16 күн бұрын
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
@hilalisaidseif8483
Ай бұрын
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
@user-db3vt4ei6b
Ай бұрын
Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist
@0diraWilson
2 күн бұрын
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
@SalamaKhamis-un8vn
Ай бұрын
Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka
@fadhilimnyanga6400
Ай бұрын
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
@user-uv8lo5jo3s
Ай бұрын
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
@user-sc4ql5kf9v
Ай бұрын
Hongera brother
@hajimrisholukamba602
Ай бұрын
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
@abdulpagali7476
Ай бұрын
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
@user-pf2qk8fz9o
Ай бұрын
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
@user-bo1ew3xq6w
Ай бұрын
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
@radjabusuleiman6486
Ай бұрын
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
@HabibuMudhwahir
Ай бұрын
اللهم صل على محمد وال محمد
@user-yv2mx1vq3w
Ай бұрын
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
@user-sd5hj2im4q
Ай бұрын
Maashaallah umetufunza
@yussufmiraji9408
Ай бұрын
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
@osmaniidrisa6290
Ай бұрын
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@salimmalaka256
Ай бұрын
@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@osmaniidrisa6290
Ай бұрын
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
@jumaali4893
Ай бұрын
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna@@osmaniidrisa6290
@awadhsalim2680
Ай бұрын
@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
@issakawaya8315
Ай бұрын
Mashallah
@makhanguwakhutu2408
Ай бұрын
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
@Inbrajabtv
Ай бұрын
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
@saidngumbi6222
Ай бұрын
@simulizi na sauti
@abdulkasukari5481
Ай бұрын
Good Presentation
@nassoromussa2423
Ай бұрын
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
@peterokoo7962
Ай бұрын
Jamaa akovizuri sana
@saiddarrus6400
Ай бұрын
Hats off brother
@jumamayonga8914
Ай бұрын
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
@jumasaidswaiguti4190
Ай бұрын
Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.
@mohamedsheikh6618
Ай бұрын
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
@stanslauslawa4777
Ай бұрын
Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%
@raphaelkessy7360
Ай бұрын
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
@selemanshemea4093
Ай бұрын
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
@suleim505
Ай бұрын
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
@muhamadharun9432
Ай бұрын
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
@YassinAwami-yi8jd
Ай бұрын
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
@imanuelnguya9277
Ай бұрын
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
@ramadhanmazije3882
Ай бұрын
Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez
@user-nk4oq4ek9y
Ай бұрын
Yani bro apo umenionyesha kitu kikubwa sanaa Leo bro
@RamadhanmwidiniUdulele
23 күн бұрын
My love teacher % fact
@user-fn5zt6tm1h
Ай бұрын
Anaejua anajua tu Hongera umetufumbua macho
@MohamedKasalama
Ай бұрын
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
@NgamelaYussuph
Ай бұрын
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
@omaryyusuph3251
Ай бұрын
Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu
@bakarimusa6297
Ай бұрын
Duh kumbe Iran mbabe
@shabaniramadhan6751
Ай бұрын
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
@salimali-rf9er
Ай бұрын
Sadakta maneno yako👍🏻
@deogratiusruzika8176
4 күн бұрын
Soma bibilia ndio utajua Israeli ni nani kuanzia Ibrahim yakobo isaka
@athumanimvula3718
Ай бұрын
Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.
@AnthonyGabriel-ou7wz
14 күн бұрын
Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?
@SaidiChinduli
Ай бұрын
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
@user-ze6lx9ng6s
16 күн бұрын
Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,
@issackmfeti6708
18 күн бұрын
Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana
@omarybakunda2554
Ай бұрын
Mchambuzi nakushukuru sana
@noelnjementi8511
Ай бұрын
Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea
@mohamedsheikh6618
Ай бұрын
Uko sawa tuingie kwenye innovations lakini kwanza tupambanie uhuru sio kulazimishwa miko, hebu angalia ibrahim traore magufuli wa bukina Faso
@yassinhamza1969
Ай бұрын
Hongera umechambua vizur sana
@rajabungomile3307
Ай бұрын
Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman
@safarichui8551
Ай бұрын
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
@EzekiaMyila
15 күн бұрын
Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo
@mohamedsheikh6618
Ай бұрын
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
@salimmalaka256
Ай бұрын
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
Ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@salimmalaka256
Ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@martinisadru9899
Ай бұрын
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
@user-nc7fx2qc2v
Ай бұрын
Wairani hawakubali utumwa kama waarabu
@sameerbaksh98
Ай бұрын
Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik
@bakarimusa6297
Ай бұрын
Ila marekani ni wezi sana
@zahraalbaloochi2841
Ай бұрын
Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani
@amrannjiwa
18 күн бұрын
big up
@musasabuu2808
Ай бұрын
Mwenyezi mungu ibaliki iran
@ekimnkande2873
Ай бұрын
Lets wait
@EligiusRichardGoldenboy
28 күн бұрын
❤
@akidashekue163
Ай бұрын
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
@zuberisalum2004
Ай бұрын
Mmmhhhh pole bhana
@salimmalaka256
Ай бұрын
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
@le-grandimmoimmo977
25 күн бұрын
Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.
Пікірлер: 341