Story mzuri tulete harmonize salama wanao mtaka harmonize aje dondosha like hapo nje
@saidirashidi6604
Жыл бұрын
Ameo furahi kumuona kumbuka kwenye kipindi adondoshe like hapa💯
@amsiabbas3809
Жыл бұрын
Mungu atujaalie sana katika safari zetu za maisha maana changamoto ni nyingi sana katika maisha tunayoyapitia Maana Kumbuka kapitia changamoto ambazo zimemkomaza sana kimaisha
@shufaaalawy9305
Жыл бұрын
One of the best interview kwangu, Dr. Kumbuka yuko very smart Na anavyo jibu maswali. Keep up the good work Salama
@marianajohn5415
Жыл бұрын
Salama tunataka episode ya salama jabir 🙌🏻🙌🏻
@jubliq381
Жыл бұрын
Salama: napenda sana kipindi chako m/mungu akupe maisha marefu yenye khery nawe,wacha nikupe hongera japo kuwa cjawah kukuona macho kwa macho honger salama
@dn.n4983
Жыл бұрын
Nakubali mungu hakubariki
@ilovejesus9303
Жыл бұрын
I like you kumbuka. Your fan from USA
@aeeazz8170
Жыл бұрын
Duuh aise allah akupe maisha marefu pole san kk kumbuka sote tumeyapitiya hayo allah atupe subra insha allah
@jonathanpatrick1202
Жыл бұрын
I really like the show Hoping to see salama na salama Jabir one day
@maryshirima1234
Жыл бұрын
🙌😂
@husseynomar9523
Жыл бұрын
Salama tafadhali tuletee SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WA ZANZIBAR 🙏
@dianerditto
Жыл бұрын
Nasoma kwanza comment kabla cjaanza kuangalia😀😃
@ngusuhivitalis3803
Жыл бұрын
Nakpenda kaka kumbuka mungu akujaalie mema
@maabadmmanga2896
Жыл бұрын
Kumbuka Kama Kumbuka Ktk Ubora Wake🙌
@amemohammed7493
Жыл бұрын
Asante kumbuka umejieleza vzur sana from 🇨🇦
@emanuelmziray2541
Жыл бұрын
DR Kumbuka unajua sana...nakubali kazi yako bro
@kdloon2030
Жыл бұрын
Painfull story,pole sana kumbuka kwa changamoto ya life ulio fikia.Pia Salama pole sana hadi kufikia umri huo,mpaka sasa daddy yako hujamfahau.Maybe alisha tangulia mbele ya haki.
@elizabethdeus7923
Жыл бұрын
Nampenda bure Dr kumbuka 🥰😍
@zainaburashid7737
Жыл бұрын
Story Yako kaka imenikamata pabaya, Mungu atujalie rehema Hadi pepon
@suleimansalim8744
Жыл бұрын
etii subirii nshushieee salama
@VictoriaKavishe-ed3gi
Жыл бұрын
Mungu akujalie umpate utae elewana nae
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Salama na MAJALIWA 😘
@vuzotv22
Жыл бұрын
Naomba umlete Mwijaku
@mzizirashid709
Жыл бұрын
Anakuja Kutuambia Nini Sasa 😂
@annajohn8597
Жыл бұрын
Wa nini
@patriciacarlo7236
Жыл бұрын
Rest in eternal peace mama ♥️♥️🙏big up kumbuka
@lotatutu5207
Жыл бұрын
Yani leo ni siku zile unajona mambo hayaendi ..... ahsante kwa kunikumbusha kutabasamu.Ahsante Mungu kwa yote.
@taucseif851
Жыл бұрын
Hakuna mzazi anaependa kulea mtt mwenye kama anapata support kwa Baba tena huwa tunafurahi unapo siku hata mtt anaongea na Baba ake unaenjoy 🥰 bhc kuna muda mungu anakuwa na maana yake Hilo litokee
@justinekataya4997
Жыл бұрын
Fire🔥🔥🔥🔥🔥
@zenakondoali2319
Жыл бұрын
Kumbuka chukua soda nakuja lipa❤
@fatmakiraga4016
Жыл бұрын
Painfully Wallahy I shade tears watching this
@AhmedAli-ur3uc
Жыл бұрын
Why fatma kiraga
@fatmakiraga4016
Жыл бұрын
@@AhmedAli-ur3uc the way he struggles with his life when he was a kid I feel the pain when am dead my kids will hav no support 🥲
@AhmedAli-ur3uc
Жыл бұрын
Ohhhhh really it painfully wallah bt never for give up ........
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
Swaleh jumanne Nassor jina zuri
@rosemofuga8101
Жыл бұрын
Mambo ni poa dada Salama
@upendommbaga7070
Жыл бұрын
Kitu napenda kuhusu salama kuanzia kipindi cha mkasi, yaani akiuliza swali mgeni akamjibu ilo naomba nisilijibu tuliache- uwa alazimishi kabsa mgeni kujibu
@theblessedone7526
Жыл бұрын
Toka enzi za mkasi kumbe tuko wengi 🤣🤣🤣
@upendommbaga7070
Жыл бұрын
Yaan tuko wengi kwakweli...
@fatmahamad6177
Жыл бұрын
Salama unajua kupoint watu km Hawa ss tunainjoy kuwasikia
@mustafaameir8186
Жыл бұрын
Mlete JB
@catenzeki678
Жыл бұрын
Haswaa...watu na Busara zao. Namheshimu sana JB
@mozasaid3869
Жыл бұрын
Kumbuka km kumbuka❤❤❤
@sskondopoleani9616
Жыл бұрын
Naomba kuuliza hili neno.NGULI maana yake nini?????
@salumuseif3324
Жыл бұрын
Mzaramo uuy ana maneno ya kuchamba sijui anayatoa wap
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Duuuu mtu na nusu nampenda huyu kaka angu ktk imani
@issahjuma4663
Жыл бұрын
Songa kwa wana hip-hop
@wisemelodytz589
Жыл бұрын
🔥🔥
@banguha
Жыл бұрын
Dalali maneno yani nikikuona kwenye jua kali nacheka sana
@bjzee1981
Жыл бұрын
Watanzania wengi Sana kulelewa na single mothers ilhali mababa wapo tu na raha zao wakisubiri wasomeshewe kisha ajitokeze uzeeni
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Umeonaeee washenzii kweli wanakimbia majukumu
@allahisone6386
Жыл бұрын
@@salomewandya7257 Sikweliii akina Mma ndio CHANZO Kisha Mtot mwenye akil hawez ingilia Hio Vita Maan Kesh Wew Pia Utakua Bab Aidha Mma wa Family
@maryschroeder521
Жыл бұрын
Dr kumbuka🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾😂🥰
@samsonkihwele6544
Жыл бұрын
Hamsini Rasi...... Chapati ya Maji...
@thabitngangila8562
Жыл бұрын
Kwa kumuogesha Mama kama kweli basi nakupa kongole nyingi. Ila unaniudhi unavyo kua na mambo ya kikekike.
@rahmambugi1950
Жыл бұрын
Chapati ya maji dah tafsida kubaw sana
@azizamohamed7692
Жыл бұрын
Huyo ndo kumbuka bwanaa
@saidimpako5186
Жыл бұрын
Unaweza kumlaumu mtu kwakua humjui alikotokea
@aziza9093
11 ай бұрын
Nichukizawatu kaka hata mitumeiilitusiwa kazabutikaka
@ramlaamiri5601
Жыл бұрын
Kumbuka km kumbuka
@sheemsuka4019
Жыл бұрын
Na Nicole Joe berry
@makindyakenani9339
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯😉😉😉😉
@ganjatunikilemile719
Жыл бұрын
Mida ya kujifunza toka kwa Kumbuka Majaliwa
@hanirashuwesu4239
Жыл бұрын
😂😂🤣🤣
@frankmwampamba166
Жыл бұрын
Mtafte na musa husein
@billytresorndayiragije7238
Жыл бұрын
Tunamtaka Wema Sepetu bhana
@bjzee1981
Жыл бұрын
Achana na huyo story zake si ziko tu kila Mahali. Bora Lulu Elizabeth Michael
@TamuzaKale
Жыл бұрын
CHAPATI YA MAJI! Kumamae hahahaha we jamaa ni KIBOKO.
@abdulab6202
Жыл бұрын
Mtolee sadaka mama ako juzuu msahafu umeme msikitini
@tatotato506
Жыл бұрын
Mbona anatoaga sana labdaumfatilii kwenye ankautiyake yainsta
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Utakuwa ngeni na Dr kumbuka nenda Instagram yake andika Dr kumbuka majaliwa utaona anasaidia sna
@abubakarshamuhuni3894
Жыл бұрын
Sister salama mm nakushauri kitu wewe ni muislamu kwann usivae kiislamu kama aliekuwa mtangazaji wa BBC BI ZUHURA YUNUS
@aishaabdullah4172
Жыл бұрын
BEST COMMENT 😍🥰💝💖💞
@yusufumwasha548
Жыл бұрын
So then?
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Dr MAJALIWA 😝👌🏽
@fatumamakwaia1126
Жыл бұрын
Naogopa sana kumdhania kitu ambacho Sina uhakika nacho sikutukani mtu kwa kitu ambacho Sikijui
Kwl dada wanadam ndo walivo na ckuiz imekua fashion kuwaita ivo baadh ya wanaume waliomo wasiwemo
@zuhurasalim4926
Жыл бұрын
Eeh walahi nimecheka kweli
@peternyambui7492
Жыл бұрын
Safi sana..🤣🤣🤣🤣
@sulekato4330
Жыл бұрын
Babaako jini Mamaako Shetani
@blandinamyinga9489
Жыл бұрын
ngoja niweke pozi nisubiri kucheka
@hadijamandanje6189
Жыл бұрын
Yuko wengi mtolee sadaka jaalia ndugu yangu
@patriciacarlo7236
Жыл бұрын
😂😂😂 caption kama wasifu wa marehemu
@suleimansalim8744
Жыл бұрын
etii umbea una tabia ya kujaaa
@abdulraufmohammedsalum6806
Жыл бұрын
Salama apo kwa Masha ulikua ukazie apo apo
@zahrasalumsaid9
Жыл бұрын
Salamaaa hv chai hazipoi?😁
@neeytemu
Жыл бұрын
Millad ayo mlete
@zenakondoali2319
Жыл бұрын
Baba ake mtoto😂msj yako iyoo
@jarsjam8894
Жыл бұрын
Salama kuna picha umevaa buibui umependeza!!! Unaonaje ukaendelea na mitandio
@sheemsuka4019
Жыл бұрын
Mlete konde boy tunamsuniria kwa hamu na ghamu
@amsiabbas3809
Жыл бұрын
Salama! Salama! Wazazi wetu wa kiafrika hawatagi kulea watoto kabisa hasa watoto wanjee ya ndoa ndio kabisaa wewe na mama yako aliekubeba tumboni ndio atakaye jua matunzo yako Wazazi wa Kiafrika wakiume ni Pasua kichwa tu kikubwa ni kupotezea tu mangine yaendelee
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Sasa hao wanaume wengn wametahiriwa hata mwaka hawajamaliza wataambiwa mda gn sasa 😁😁
@junaitharjamal3761
Жыл бұрын
Ananipungunzia stress
@exavianmanase1845
Жыл бұрын
Sarama na farooq kareem siipati online mbona?
@dilipdab3714
Жыл бұрын
Mkate.wa.maji.hyooo
@mfaumeseif5872
Жыл бұрын
Salama hapa kwa Kumbuka umetupiga hapana kwa kweli...
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
Kakupiga kivip
@jacquelineadrian6436
Жыл бұрын
Kivip yan
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Yn watu hamsikilizi mnakimbilia kukoment tuu
@saidihemedimkukulike3545
Жыл бұрын
Du yaani adi salama kapata kigugumizi yaani alikuwa anamuogesha mama yake akiwa uchi ndio maana ana ulakini huyu mama alimuona kama mwanamke mwenzake
@husnaali1610
Жыл бұрын
Usiseme Ivo kwani WW huwezi kumstiri.mzazi kweli,kisa wewe,mwanaume😭😭🤔
@maryshirima1234
Жыл бұрын
Dah! Usitukane mamba hujavuka mto ndugu.
@hajiabdalla5772
Жыл бұрын
Tatizo unavyojiweka na maneno yako ya kike kike
@crownprince399
Жыл бұрын
Homa ya Jiji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelmatandikoo9748
Жыл бұрын
Umletee na mkojani
@seyyactor1418
Жыл бұрын
Sijaanza lakn nishaanza kucheka😂
@dilipdab3714
Жыл бұрын
Salamaa.ww.nomaa.mie.nipo.qatar
@miriamngosha6856
Жыл бұрын
Unafirwa bwan acha uwongo nawakata mpk bwana angu ilikuwa unamtongoza kwenye cm na mesege kanionyesha kila alikuwa anakuomba kazi ukawa unamwambia eti jiongeze nitakupa kaz ulitaka ajiongeze kwa kukufira nyau wew
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Kwaio ww mtu akikwambia kijiongeza ndio anataka mambo hyo .
@yusufumwasha548
Жыл бұрын
Acha kumchafua mtu wewe kima
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@yusufumwasha548 hii ndio kawaida ya waafrica kuchafuana kwa mambo mabaya bila kukuona.
@aminiismail3371
Жыл бұрын
Ila salama ndio nini kutuletea wambea. Lete watu wakujifunza sio machawa
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Kila mtu unacho Cha kujifunza
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Usiangalie tuu
@asianramadhani8315
Жыл бұрын
Hhhhhhhh eti mafia
@kazkaz1943
Жыл бұрын
😂
@sleeprelaxation8431
Жыл бұрын
I hate the black outfit Salama, it doesn't;t look classy, it looks sad.
Пікірлер: 129