this man is totally diferent na watu wengi wanavyo mchukulia namkubali sana
@ndojes711
Жыл бұрын
Dakika 9:10 mpaka dk 10 JAMAAAAA KAONGEA POINT SANA with reference 🙏🙏 I GOT A LESSON MAN. Salama & Kumbuka THANKS
@HalimaLikele
3 күн бұрын
Dada salama napenda kipindi chako nimempenda kumbuka sana ❤
@shufaaalawy9305
Жыл бұрын
I didn’t want this interview to end, Dr. Kumbuka anajua kuweka tabasamu kwenye sura za watu
@aminanamoyo83
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ati mbona hawatuonyeshi wanavyokula Amoxlin 🤣🤣🤣🤣 we ❤ you kumbuka,thanks Salama kwa kumleta huyu jamaa.
@violla59
Жыл бұрын
This is the best interview ever,am going to watch it again shah!
@jamalmakishe4850
Жыл бұрын
get to know this man today, He is very smart😊
@chumchum1526
Жыл бұрын
Dr kumbuka nampenda mpaka naumwa. Mungu amuweke
@marianajohn5415
Жыл бұрын
Kumbuka is sooo funny wallahi😅😅😅
@mamjuma4266
Жыл бұрын
Nakupenda Bure kumbuka ahsante salama nakupenda Sana zaidi mzenji mwenzangu
@reinatave3022
Жыл бұрын
Et ctak kuchanjwa chale kama kibao cha kashata ila nmecheka mwee🤣🤣🤣ila kumbuka
@ibramrzebra1675
Жыл бұрын
Kumbuka kama Kumbukeni nakupenda sana my brother watching you from Australia ❤❤❤
@sassboy9360
Жыл бұрын
Nimependa how you look today salama
@fatimasaid4906
Жыл бұрын
Amazing interview ❤✌️🇧🇮
@azizamohamed7692
Жыл бұрын
Kumbuka mwenye kumbukumbu zake
@marianajohn5415
Жыл бұрын
I love it salama akicheka😂😂😂😂😂😂😂😂 ila salama unajua mama
@abuukulinga7921
Жыл бұрын
Hahaaaa madam salama Leo kazi unayo kwa mzaramu huyooo utafrah mpaka utakapoenda kulala utakumbuka interview hii kwa maneno ya kufurah tu.🤣🤣🤣🤣🤣
@hamadymwanja3564
Жыл бұрын
Daah jamaaa yuko soo fun aiseee nimependaa sàana interview yake
@hopejohnson7352
Жыл бұрын
jamani mwenzenu nampenda kumbuka sijui niongee lugha gan mnielewe nampenda mnooo 💚💚
@Abbasbakarsth
Жыл бұрын
Nice🎉
@mussakiziyzi408
Жыл бұрын
Et Andudu andada 😂😂😂. Uyu mshkaji kuna time anatoa stresss za maisha
@latifasaidi6256
Жыл бұрын
Jaman jaman Dr kumbuka noma nakupenda Sana dada salama kazi unayo
@dignafredrickmoshi2937
Жыл бұрын
I had a lot of fun
@mozasaid3869
Жыл бұрын
Penda sana Kumbuka❤❤❤
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Unanifurahisha kumbuka
@rodgersgasper7006
Жыл бұрын
Next tuletee Zai KijiweNongwa😅
@arthurmwangonda2345
Жыл бұрын
next Zuwena
@rubbie_all_natural
Жыл бұрын
Aahhh leo nimecheka sana wallah i had to comment😂
@safiyatheonlything7848
Жыл бұрын
Nime enjoy leo siyo poa kumbuka anaongea mno
@winniewilfred2881
Жыл бұрын
umenenepa da salamaa hadi raha, kumbe wewe mzuriiii
@prettypretty9745
Жыл бұрын
Piga keleleeeeeee kwa kumbukaaaaaaaaa akeeeeeeeee ( weweeeeeeeeeeeeeee) yaaani Leo nimecheka Sana Sana Sana Sana 🤣🤣🤣dah kumbuka si mchezoooo
@alahistar6900
Жыл бұрын
kaka nakubali san mzaramo mwezangu
@Ganzo077
Жыл бұрын
First coment
@abdallahmdangadachi7030
Жыл бұрын
Salama me huwa napenda sana unapowaleta watu km huyu jamaa na wengine km yeye kwa mfano wakati wa kipindi cha mkasi hadi leo huwa naangalia ulipomkaribisha kingwendu. Yaani kipindi kinachangamka
@fearlessdinah6611
Жыл бұрын
Ana akili sana
@mimokassim2306
Жыл бұрын
Party 3 please yani leo nimecheka kama chizi
@suleimansalim8744
Жыл бұрын
mm napenda salama anavyochekaa tuu
@stevewanga957
Жыл бұрын
huu mda mdogo sana atleast 1hr ingetosha
@gladnessmunyanyi5775
Жыл бұрын
Kumbe Lina akili hili jamaa
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Juma lokole tuna mtaka
@batulimabewa6953
Жыл бұрын
Kumbuka ni mweupe si unaona ngozi ya kichwani pia nyeupe
@patriciacarlo7236
Жыл бұрын
Nime enjoy 😅😂♥️♥️
@matanohassan9667
Жыл бұрын
Kumbuka leo umenichekesha sana ati usomewe sura ya zubbah 😂😂😂😂😂😂😂
@elizabethtibenda7324
Жыл бұрын
Salama ww ni mzur jaman
@TamuzaKale
Жыл бұрын
"USIPO-EDIT, UTA-EDIT-WA."-Dr. Kumbuka.
@husseinkashushu3395
Жыл бұрын
😂😂😂😂 yaaani tusipo changamka tuta editiwa 😂
@TamuzaKale
Жыл бұрын
@@husseinkashushu3395 Yaani!
@ramlaamiri5601
Жыл бұрын
Dah .... Kumbuka wanipa raha mie😂
@aneththeodory8518
Жыл бұрын
Sasa kitanda cha uvungu cha nini jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@maedsonmahonge122
Жыл бұрын
huwa tuna judge vitu kwa haraka sana, huyu jamaa anapoint kubwa saaaana. I just wish watu wengi sana wangeona au kusikiliza hii, sio kusikia no kusikiliza ni madini makubwa mno. Thanks man
@hellertv1477
Жыл бұрын
Second comment
@marianajohn5415
Жыл бұрын
Eti kasoma kipindi cha nyoka wa kijani😅😅😅😅😅
@peterkichochi7510
Жыл бұрын
Nimechelewa kazini kwa sababu ya mpunga wa ifakara daah, huyu Jamaa ni bundi duuh 😂😂
Пікірлер: 106