Fungu ya kumi ni yamuchungaji tu zaka ni ya matumizi ya kanisa, kujenga,kulipa umeme, kusaidiya, yatima na wajane, muchungaji kasema kweli.
@niccolomachiavelli6057
5 жыл бұрын
mchungaji umeongea vizuri sana ila mwisho hapo kuhusu magufuri,umeharibu sana
@yusufukazamba2391
5 жыл бұрын
Ni kweli hakuna Nabii wala Mtume awezaye kutoka Baraka ya Siku nyingi duniani mwana isipokuwa ni mzazi tu
@sharonmasawe5381
5 жыл бұрын
Huyu bwana inavyoonekana anamtaka wema anashindwa jinsi ya kumwingia sasa anatumia njia ya unabii mungu akikutuma hakutumi mitandaoni umtangaze anakutuma kwake muhusika
@edithamosha4109
5 жыл бұрын
I LOVE YOU MAN OF GOD
@suleimanhassan3604
5 жыл бұрын
Hii station yenu ina makelele ya kama king'ora hivi inasikika. jaribuni ku tune hizo mitambo zenu sauti itokee loud and clear
@josephndaki8003
5 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri nowadays bigup keep it and pool your socks
@claudsanga2129
5 жыл бұрын
Hilo jasho vipi
@evansokemwa6587
5 жыл бұрын
Kile unapanda ndio kile unavuna kwako huo ndio ukweli
@melkizedekiwiliam5533
5 жыл бұрын
Halo! kweli. nimekumbuka ilikuwa mwaka 2000 alipinga vikali habari za Yesu, kibaya alikuwa anatukana kabisa. sas da! nashangaa ameokoka na ni askofu? kweli Yesu mweza. mim ndo Melkizedek Wiliam tulikuwa Tegeta site. sas mim mchungaj. hengera kwa kubadilishwa na Yesu.
@rashidhr2662
5 жыл бұрын
Daaaah...inaonekana unamfahamu vizuri sana
@salomenachunga3590
5 жыл бұрын
Hongera maana ulimuonyesha njia.
@pastor_mashimo
5 жыл бұрын
Melkizedeki Wiliam Mungu akubariki mtumishi wa mwaminifu
@pastor_mashimo
5 жыл бұрын
Melkizedeki Wiliam Mungu akubariki sana
@designdesign4426
5 жыл бұрын
ULIANZA VIZURI UNAMALIZIA PUMBA.ULIANZA BARAKA ZINATOKA KWA WAZAZI NA TUWAESHIM OK NIVIZURI.SASA UNAPOSEMA MUNGUALIKWAMBIA UMUOMBEE WEMA APO SASA NI UONGO MUNGU ANAK AZI HIO BROO
@magdalenamatiko9995
5 жыл бұрын
Mch yupo sawa,anawatafuta walopotea,wengine wanasaka pesa kwa watu.
@sakisibazaa5597
5 жыл бұрын
Washa kiyoyozi Mchungaji anaumia jashoo uhuni
@mwandumazaoidrossa1702
5 жыл бұрын
mashimo ole nsammbo😃😃😃
@pindabutter2736
5 жыл бұрын
wachungaji wanatetea wasanii sana
@joshuaibrahim6691
5 жыл бұрын
Nyakati hizizamwisho tutaona laana,vituko na rohozakufuru hadi kinyaa!!!
@sulleysonsulley4160
5 жыл бұрын
Siyo kosa lake , malezi,na maisha ndiyo yanamfanya kuwa hivyo alivyo
@edigamwalongo1913
5 жыл бұрын
Hakuna nabii hapo
@edigamwalongo1913
5 жыл бұрын
Sulleyson Sulley njaa to hiyo
@bernardomnyakongo58
5 жыл бұрын
Sauti hiyo mbona unagazba vp wenabii
@sakisibazaa5597
5 жыл бұрын
Washa kiyoyozi Mtumishi Wa Mungu anajasho huoni?
@petercosmas4376
5 жыл бұрын
mbna yuko bize kuchat
@sulleysonsulley4160
5 жыл бұрын
Mch mashimo kanisa lako liko wapi?
@michaelkafyulilo7433
5 жыл бұрын
Kanisa lipo wap mtu wa mungu
@dianamalingumu4516
5 жыл бұрын
huyu ni msema kweli
@pindabutter2736
5 жыл бұрын
34:10 vigumu sana kujua unampa nani ilo fungu la kumi, kuna matapeli, lakini imani yetu imepotea wapi, Je Roho mtakatifu akujibukama ukiwa na swali……..sema mi naona maskini wapo wengi, na wachungaji wananenepa tu, kwasababu ya fungu la kumi,nyie mnao taka kutoa fungu la kumi, toeni wasaidieni maskini sio kwakuwapa pesa, ila kwa kwajengea msingi mzuri, kama kuchota maji ni mbali, vuteni maji karibu, ata lala mtu na njaa, kwasababu mnatumia fungu la kumi vizuri.lakini ukimuuliza nabii au mchungaji kitu gani kafanya kwa kusaidia na mkoa gani…...hapo ndio utajua wengi wao ni fake
@magdalenamatiko9995
5 жыл бұрын
Ndo maana Yesu hajarudi,kumbe kuna watu hawajui hata maana ya sadaka,zaka hadi kwa waislam IPO.
@fredrickmatonange1345
5 жыл бұрын
Serikali mbona inaachia haya mambo yaendelezwe kuharibu amani nchini: huyu hamupendezei Bwana na kuliweka pabaya jina la Bwana.
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
Kumbe alikuwa muigizaji
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Safi sana
@nebathkalolo723
5 жыл бұрын
hili ni mbumbumbu shetani mkubwa ww
@manjalejuniorlg7024
5 жыл бұрын
huyu jamaa mbona anashet sana kama anapigana ngumi tatizo ni nn
@jeidamgimba557
5 жыл бұрын
Edsson Nzingo baba yako angepata urais angefanya nn cha pekee tofauti na JPM
@johalisemalima6979
3 жыл бұрын
Sasa mbona anatoka jasho hivyo????
@simonlulenga7062
5 жыл бұрын
Makondo anafanya mambo kwa kutafuta sifa, hilo ndo tatizo. Na wewe unamsifia kwa sababu ni poti wako tu.
@valentinamussa4212
5 жыл бұрын
Mbona huoi mtumishi gani hujaoa
@chimwanakasanda3952
5 жыл бұрын
Jamani mpaka yesu anarudi watu nivichaa
@joelrugano6517
5 жыл бұрын
Hivi huyu kichwani kukoje na mhisi au namwona kama kuna nati imefyatuka.
@evaristmandilindi6147
5 жыл бұрын
Hivi TBC AC ZIPO??
@ganganainfochannel
5 жыл бұрын
Zipo nyingi tu
@tugesyegemwakatumbula8125
5 жыл бұрын
Sasa mbona mchungaji ana vuja jasho hivyo, maji yataisha mwilini 😀😀😀😀
@neemashao4749
3 жыл бұрын
@@tugesyegemwakatumbula8125 ataongezewa maji tu asijar
@soloartist_ivanvespalusind1609
5 жыл бұрын
Jamaa anapoongea zinatoka sauti mbili!!!! Ila kulingana na Biblia, kuinga mkono tu pasaka ya kidunia (ya mwezi wa 4) ambayo kiukweli ni upagani kama ilivyotoka kwenye upagani basi inanidhilishia wewe ni nabii wa uongo.
@piterlaiza5576
5 жыл бұрын
Hahahaha Sasa Kama wewe hujasomea au ulizarau kusomea? Ulikuaje kuaje sasa kiongozi wa mitume na manabii??
@saulmwakyanjala5449
5 жыл бұрын
LEO NIMEKWELEWA NI KWELI MAKONDA NI MTUMISHI WA MUNGU KABISA
@jonathanntare4787
5 жыл бұрын
Hili jitu ni pumbavu kweli
@melkizedekiwiliam5533
5 жыл бұрын
sasa unamtukana kwa sababu gan? jaman! hiz hasira bila sababu?
@conradbuberwa6792
5 жыл бұрын
muulize basi habari za simba na yanga
@isayaublikiwefeliciansan1514
5 жыл бұрын
Mashimo hivi mshipa wa aibu ulienda wapi muonekano wako wewe ni mgambo acha kujipa vyeo ambavyo huna
Пікірлер: 54