Warioba anaongea points sana. I hope executives, judiciary, and legislative will listen to him. The problems of Tanzania and Africa as a whole are good governance.
@MohdHamad-zr8ll
Сағат бұрын
Mzee Warioba gombea urais Unatufaa
@AizackKalenge-ro5rc
3 сағат бұрын
Nilijisikia sana Uchungu Mzee wangu alivyo pigwa na Paul Makonda,
@christinenyagiro6662
8 сағат бұрын
Hapo sasa siku hizi wanakutana kuhumu vyama vya upinzani. Hakimu mkuu antembea Ikulu mpaka kunywa chai. Speaker anasema kabisa bungeni tusimuangushe raisi Samia. Hapo hakuna mihimili, bali ni chama fulani yaani CCM.
@mmsfuzzsba3816
4 сағат бұрын
WAZEE WANA MAWAZO MAZURI LAKINI WANAPUUZWA!
@fredylucas2484
5 сағат бұрын
Mzee aambiwe hao kina Kabudi sasa hivi wamekua Chawa
@benedictgamuya8855
35 минут бұрын
Sikutegemea maneno kama haya toka kwa mheshimiwa jaji mstaafu Warioba. Lakini bado sijaona akisimama na Katiba inayotakiwa na wananchi. Kemea maovu na simama na katiba. Una mengi na heshima kubwa
@kalebphilip3426
3 сағат бұрын
Hawa wazee ndo hazna ya taifa ukipuuz mawazo Yao hufk mahali
@jacksonsilaa415
9 сағат бұрын
Huyo Mzee ukimpuza ni kwa sababu zako binafsi anaongelea ukweli usio na kificho wala maslahi binafsi.
Msajili ni agent wa CCM. Kila wakati wapinzani ndio wanaokosea, CCM wao hawakosei chochote!.
@emilyKassiano-oo5iy
26 минут бұрын
Mzeee warioba ana akili kubwa sanaaaaa
@MohdHamad-zr8ll
Сағат бұрын
Weweni Mtu wa busara na huruma kwa Raia
@ManenoMalekela
8 сағат бұрын
Malekela-99 Mzee wangu Tulio pigania uhuru wengine bado Mungu anatupenda na tupo Kwahiyo tunakujua na kukuelewa na uwezo wako wa kiuongozi na jinsi ulivyokuwa siyo mtendaji mzuri. Kama ungekuwa na mawazo na ushaurizuri ungekwisha liona tatizo ni Nini hadi wanafikia hapo Unaweza kuwaonyesha watu katika historia ya kisiasa wewe upo wapi. Sasa usiwadanganye watu kwamba una busara. Mimi nakunia tangu upewe nafasi ya Mwanasheria Mkuu na baadaye uwaziri Mkuu . Najua Viongozi karibu wote waliopo sasa hawakujui. Mungu akinijalia uhai nitakuandikia maelezo kukuonyesha mapungufu Yako Asante
@felixmsengi1084
Сағат бұрын
Hazina ya TAIFA LETU , Hana hofu Wala mashaka , MUNGU akutunze Babu yetu mwakilishi wa Baba wa TAIFA
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Kwanza wengine mnacomment TU Kwa interest ya uvyama Wala hamumuelewi. Yeye mwenyewe hakubaliani na kupinga kupinga tu kila kitu. Anataka kusikilizana. Wengine wakiitwa hawataki ni kufikiria kulazimisha ugomvi tu!
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Tamaa za madaraka
@gowekogoweko5803
4 сағат бұрын
AJALI 2019 NA 2020😢😢😢
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Haya hapo sasa si viongozi wenu wanadai Rais sio wa huku na huku mnamsuport Walyoba? Hapo sasa mnasemaje? Yaani chama hiki Mungu awasamehe tu.
@IddySeleman-w3w
6 сағат бұрын
Ahsante Mzee warioba kwa ukweli
@christinenyagiro6662
8 сағат бұрын
Sasa polisi ni j Chama cha CCM? Kwa nini ndiyo waowanajibu kuhusu CHADEMA? Kama kutakuwa na machafuko yataletwa na polisi na CCM. Mimi sina chama cho chote lakini kinachotendeka.
@christinenyagiro6662
8 сағат бұрын
Judge Mkuu kweli yupo au yupo kwa sababu ya aliye mteuwa? Ni kama haupo.
@OswadSanga-hb2vi
2 сағат бұрын
Mmmh huyu tunu ya taifa tuitumie
@AlexMlaba
2 сағат бұрын
Uhai wa watu unamuhimu kuliko uchaguzi mzee
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Kuna swali najiuliza. Utasikia chama Fulani eti watanzania wanaumizwa. Watanzania wamechoka. Watanzania mara hili mara hili. Ah watanzania wapi? Sema wasukuma wa Mwanza, sio wasukuma wa Tanzania. Wahehe wa Iringa. Wagogo wa Dodoma. Sema watu specific sio watanzania. Mbona tusiokubaliana nao wanaodai hayo tuko wengi Tena karibu 7 ya 8. Sasa watanzania Gani. Ni kikundi ndani ya watanzania. Ukisema hivyo hapo sawa. Huo ndo ukweli. Fumbuka/ fumbukeni
@DaudiMakaza
15 минут бұрын
Chadema hoye
@AkidaDaudi
3 сағат бұрын
Unanimalizia bando we mzanaki mwenzangu ,mm nakupinga hapa hakuna vurugu ,r
@georgesteven5185
3 сағат бұрын
0🧠
@hakeemh.nyange5440
7 сағат бұрын
Sikuwa nakia hii
@khamisifalaki4951
7 сағат бұрын
Huyoo mzee mnafiki sana wakati wa mwamba hakusema lolote leo maneno yake anasaport chadema
@SylvesterKameo
5 сағат бұрын
Mwamba yupi unamrejea?
@EastherEmmanuel
5 сағат бұрын
Wacha kutukana baba yako Mungu atakuadhibu huyo anaweza akawa mzazi wa mzazi wako. Huna cha kuchangia piga kimya kukaa kimya sio ujinga
@EastherEmmanuel
5 сағат бұрын
Wacha wewe kutukana huyo ni mzazi wako au anaweza kuwa mzazi wa mzazi wako. Mungu asije akakutembea kichapo .huna cha kuchangia kaa kimya kukaa kimya si ujinga !!
@SebastianNgimba
3 сағат бұрын
wasio na akili nchi hii hawata mwelewa baba yetu huyu na pengine mungu anamuacha kwa makusudi ili iwe baraka kwa nchi ya wenye akili
@khamisifalaki4951
7 сағат бұрын
Sisi hatuendi kwenye maandamano
@KaroliMushi
4 сағат бұрын
Wala huitajiki shoga weee
@christinenyagiro6662
8 сағат бұрын
Wabunge wote walioko bungeni walikuwa chaguliwa na Magufuli kwahiyo ni lazima wapige uchawa. Sisi wanainchi hatukuwachagua kwahiyo haoni umuhimu wetu kwa sababu hatukuwachaguwa. Nasikitika kumtaja Magu lakini legacy yake aliyoifanya katika uchaguzi wa 2019 na 2020. Ndiyo iko kwenye kila mahali hakuna siasa leo bali ni kutaka utawala kwa lazima.
@godwinshoo5032
3 сағат бұрын
Nina uhakika kabisa walicjaguliwa kwa sababu utekelezaji wa ilani ya CCM ilikuwa mzuri mno!asiyeona hilo ni shabiki asiyejitambua tu!Tujihadhari na watu wa aina hiyo ni hatari kwa usitawi wa taifa letu!
@LuciaAgustino-pt5mg
2 сағат бұрын
Magufuli alikuwa hataki vyama vingine alikuwa anataka chamabkimoja Tu kitawale ndio maana alizuiya mikutano ya vyama vingine aliicost kwahilo
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Sema wewe furani sio wananchi msijidanganye. Sisi tuliwachagua na Magu ndo jembe Africa hakuwa na tamaa kama yenu ndo maama mlimchukia
@willymdeka6034
10 сағат бұрын
Ulipewa uwaziri mkuu ukaishia kunywa gongo tu
@SeverinMagwaya
9 сағат бұрын
ukitakiwa uthibitishe utaishia kutoa mafua.
@abdulmajidmageja6562
9 сағат бұрын
Tunataka uthibitisho kwa jambo hilo
@GodfreyOsward
9 сағат бұрын
Kawaida yetu, huyo mzee alishatwambia hajawai kuonja. Ni mzee sasa heshima ya kiafrika hujui?. Hata hivyo kakosea nini?. Tabia ya upuuzi puuzi inatupeleka wapi?.
@jacksonsilaa415
8 сағат бұрын
Umri wako humjui Warioba huyu Mzee itafika wakati mtamtafuta kwa tochi.
@MuhagamaSeletine
5 сағат бұрын
Safari ni ndefu
@MaryamSalim-g4c
3 сағат бұрын
🍼
@khamisifalaki4951
6 сағат бұрын
wewe mzee uchaguzi utakua salama inch yetu wote hatuwezi kuchafua eti kwa maneno ya chadema
@SaugoNdemo-tx4le
3 сағат бұрын
Huwezi kuelewa kitu.. Wewe tatizo umri!
@StevenTambi
2 сағат бұрын
Mpuuz ww
@khamisifalaki4951
7 сағат бұрын
Wewe mzee komaa nchi haiendeshwi na mawazo ya chadema upinzani tuko vyama vingi tafadhali wewe
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
6 сағат бұрын
Hata kama viko vingi kimoja ndo kinapewa nafas
@FadhilyOthman
3 сағат бұрын
Ww mjinga
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Chama kimoja hakijapewa nafasi bali kinajipa nafasi
@damianichayo895
2 сағат бұрын
Kuna swali najiuliza. Utasikia chama Fulani eti watanzania wanaumizwa. Watanzania wamechoka. Watanzania mara hili mara hili. Ah watanzania wapi? Sema wasukuma wa Mwanza, sio wasukuma wa Tanzania. Wahehe wa Iringa. Wagogo wa Dodoma. Sema watu specific sio watanzania. Mbona tusiokubaliana nao wanaodai hayo tuko wengi Tena karibu 7 ya 8. Sasa watanzania Gani. Ni kikundi ndani ya watanzania. Ukisema hivyo hapo sawa. Huo ndo ukweli. Fumbuka/ fumbukeni
Пікірлер: 57