Hakuna mchezaji asie na weakness ya kimchezo na hiyo ndiyo kazi ya kocha sasa kuzirekebisha kasoro za mchezaji!
@omarysebwa8280
3 ай бұрын
Nafurahia sana usajili unaofanywa na viongozi. Simba inatengenezwa timu ya ushindani ya muda mrefu
@SeifKarata-fr7dv
3 ай бұрын
Huyo sio mchezaji hata hapa tunao wengi mfano yule kiungo wa ihefu nashon bonge la kiungo mkabaji sijui mnahangaika nn
@agreymwanga
3 ай бұрын
Yuko vizuri kwa maelezo hayo lkn mpira sio mchezo wa maneno, ni wahadharani hivyo tusubiri
@deusmanyenye5190
3 ай бұрын
Hela zake wamsajiri Kapumbu na huyu miaka 20 tatuteni Watanzania au Wageni wanaocheza hapa TZ walioko Ihefu, Singida au Azam kuliko huyu sogo
@deusmanyenye5190
3 ай бұрын
Big disaappointment! Huyu atamshinda Kalabaha wa Simba yule Mzazibar? Achene bwana huyu hakuna kitu.
@charleslinhege690
3 ай бұрын
Kwa data hizo huyo mnigeria hafai anaporwa mipira mara nyingi tutafungwa sana jamani. Maana yake hawezi kuhold vizuri kati. Huyo ni jipu tafuteni mwingine kama fraga vile.
@SimbaProSupporters
3 ай бұрын
Ana miaka 20 masta
@edgarmbegu1974
3 ай бұрын
😂😂😂
@hamisiabdallah1337
3 ай бұрын
Naomba uniunge kwenye grop
@EnockOketch-p4w
3 ай бұрын
Naomba kujiunga na Simba pro
@AbdalahAlly-pw4dt
3 ай бұрын
Naombakujiungansgropyasimba
@brianbatoleki6531
3 ай бұрын
Mtafika mbali Sana, mko vizuri
@deusmanyenye5190
3 ай бұрын
Hapa Simba wana fail. Hawa ndiyo wachezaji ambao Rage anasema utawakuta hata Manzese. Unafikiri watanzania kama hao hawapo?
Пікірлер: 25