Hakika Qur'aan ni shufaa na ni ponyo kwa watu wote, darasa hii ilikuja baada ya mwanamama wa kiislam kuomba mgonjwa wake aombewe dua ndipo Sheikh Nurdeen Kishk alipoamua kuwaelimisha waumini wa kiislam tiba ndani ya Qur'aan. Ulikuwa ni muhadhara ulifanyika Markaz Al- Hanafiyah Samha, Bakarani, Kisauni Mombasa Nchini Kenya, Tarehe 26/2/202
- Күн бұрын
HIZI NDIZO DUA ZA KUONDOA MARADHI YOTE SUGU KATIKA MWILI WA MWADAMU HATA UKIMWI.
- Рет қаралды 190,530
Пікірлер: 103