Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali itaendelea kusimamia ubora wa elimu kwa kuhakikisha shule na taasisi zinadahili wanafunzi wenye sifa stahiki za kujiunga na kozi wanazoomba, ametoa kauli hiyo leo tarehe 24 Novemba, 2016 katika sherehe za mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria Tanzania zilizofanyika Bungo, Kibaha Mkoani Pwani.
- 7 жыл бұрын
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA MAHAFALI YA 31 YA CHUO KIKUU HURIA
- Рет қаралды 35,225
Пікірлер: 15