Ooh hapo kidogo karoho kamekaa poa kumbe masuala ya utekaji yameingia ili tu kumtoa jasmin katika house girl meipenda sanaa ♥️❣️wish ue all de best kipenziii jasmin masomo mema🙏🙏
@lechoaidan8416
8 күн бұрын
Ambao tunajua duniani kuna watu wema kama Tasha,Zatiti, kazi,zuu baba mkwe zuu ❤
@YusuphChisagwa
8 күн бұрын
Na chisa masozi rahma na bozeni
@Saada-g4j
8 күн бұрын
Na yusufu pia na mimi na wengine wanao fatilia busati tv@@YusuphChisagwa
@SikuJuma
8 күн бұрын
Wanao mpenda zuu na zatiti naomba like❤❤
@AminaChazy
7 күн бұрын
🫶🫶
@GalaxyA-ve8tu
8 күн бұрын
Mama tasha una akili ya kuwaza mbali sana wameshidwa kujua alipo tasha 🎉🎉🎉❤❤❤
@busatitv
8 күн бұрын
❤❤
@SalhaSamira
8 күн бұрын
Mimi sania simupendi 😢 gonga like hapa tuenderey
@jamesirungu5283
8 күн бұрын
Mamake Tasha hongera she so intelligent excellent mum
@samsonkaboko5137
8 күн бұрын
Sasa ndo naamin akili Tasha anachota wapi
@Bintnailah
8 күн бұрын
Wewe kendy huyo sania anakuweka motoni na utakuja Jutia na kurudi kwa mzazi kuomba msamaha hizo pesa zikishaisha
@NeemaEli-wl1dz
8 күн бұрын
Yenu
@sharifabahar9905
8 күн бұрын
Bora candy anapo kwa kwenda huyo sonia sijui anaishi wapi
@Bintnailah
8 күн бұрын
@@sharifabahar9905 atakwenda wapi huko
@sadahamad6158
8 күн бұрын
Ila sania kimbaumbau mwiko wa pilau una tabu 🤣🤣🤣 kwani haka kasania hakasomi kakarudi chuo naangalia house girl nikiwa na furaha ya ushindi wa goal 6 💚💛
@Mwanajumahassan-tg3zg
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂sania aki wewe watia na chumvu loo nimecheka yangu yotee😂😂😂😂😂ati alikua akiekewavijidawa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania kamkonde wwtu weweunavituko ❤❤ watu wangekua na roho kama ya zuu kai na zatiti na mr tasha aki hii dunia ingekua raha kilamba pole ...jasmine mungu akuongoze kwenye masomo yako na busat tv muna tisha ❤❤❤❤❤❤❤❤much lov aki munajua kuwaeka watu kwe position yao 😂😂😂sani na candy nawapenda
@fredancephilip2259
8 күн бұрын
Hatinaye leo nimekuwa wakaribu from USA 🇺🇸 nawapenda sana ❤️ ❤
@mwanamisikifogo869
8 күн бұрын
Hamjambo nyote huko movie inasemaje🎉🎉🎉🎉kumosa mke wa kilamba kumekuwa na huzuni
@christinewanga7385
8 күн бұрын
Alafu nyie niwaulizeni Wapumbavu/Watazamaji wenzangu😅 huyu Sania ako na Wazazi kweli🤔 maana hio Roho yake na anavyomuelekeza Kendy c sahihi, Mungu hatuepushe mbali na Masoga kama akina Sania😒☹️😫
@JescaYusuph-m4y
8 күн бұрын
Acha tu mpumbavu mwenzetu 😂😂 bora ata candy anakwao kitakapomlamba atarudi kwa mama je huyo sania sijui ataenda wapi😂😂
@ErastoNgerangera
7 күн бұрын
Mama Ake Tasha anaalikili sana na nimama bola nampenda mama Tasha like zake tafazali
@fideliswambua3346
5 күн бұрын
Na ni mrembo
@Najmahnyangasi
8 күн бұрын
Kilamba ushanikosesha raha aky mtu wa vichekesho na mpumbavu mwenzako ila kwa yote yataisha atapatikana tu kwa ajili ya Allah nawapenda sana family ya kolamba na mr tasha na mr kai mungu mbele nawaombea umri mrefu sana🙏🙏🤲🤲❤️💯
@EstherMrisa
8 күн бұрын
Tasha kua mankini sana kwamaana saii watafutwa wewe wakuteke
@RajabuKisaka-y9h
8 күн бұрын
wala wote tulio chukia kiramba kumkosa mpumbavu mwenzake tujuane hapa
@MutabaziAmuri
8 күн бұрын
Unamume mama yangu alifariki kwa ajali ya gari sasa nataka Uwe mke wa baba Nami nikuite mama nakupenda kwa busara yako
@brendanawanga
8 күн бұрын
Brother Tasha kua makini usije ukatekwa Kwa maana tunawatengemea ndoa yenu na mungu waalinde 🙏🙏 na awazungushe na damu Yako🙏🙏
@cartoonpati2914
8 күн бұрын
Kai na Tasha n marafiki wakweli
@GraceOtieno-vo3sj
8 күн бұрын
Mpumbavu mwenzanguuuu.Hongera sana hivi sasa kiramba mpweke mwenzio hayupo.....anyway polkea🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤congratulations to all members of House Girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@JanetRiziki-ut2is
8 күн бұрын
Sania kamkondee acha roho mbaya basi muogope mungu mana umezidi mno😢😢😢😢
@MwanaMwana-f8f
8 күн бұрын
Kitawaramba na candy wake
@Riziki-b5s
7 күн бұрын
😂😂😂
@paulinengeresa8649
8 күн бұрын
Msiseme hamjaona walking style ya Mr Tasha ❤
@MRSSUMAILI123
8 күн бұрын
Wakwanza mimi nahomba like japo kumi tu tafazali 😢😢😢
@MrsHamadi
8 күн бұрын
Eti unahomba Duuh 😂😂😂😂
@saumu7760
8 күн бұрын
Zitakusaidiaje
@TrizahJefah
8 күн бұрын
Unahomba😂😂😂
@ruthyohanesy3739
8 күн бұрын
Kuomba NDIPO kufanya NN kwan😂
@Zenabeby
8 күн бұрын
Weeeee Eti unahomba tena 😮😂😂😂😂😜
@zawadiKimaro-xh6wx
7 күн бұрын
Jamani nje ya muve jasmini ameenda masomoni chuo hivyo ndio maana imewabidi waingize kipande cha utekaji wake ili kuizima nafasi yake nimeeleweka kama umenielewa gonga like
@AliJussa
8 күн бұрын
Inakuwaje mnashindwa kumtumia bibi wa Zuri 😅 mke wa Kilamba🎉 angepatikana mapema
@Asiamohammed1317
8 күн бұрын
Chai ya rangi bila cha kutafuna mnajua vipi inaunguza 🎉🎉🎉yenu kutufilisi
@amosziro4152
8 күн бұрын
Kilamba ukwaju anahuzunisha mpumbavu mwenzake katekwa muiten bibi ya zuri afanye manenoz basi
@Muck_tz
8 күн бұрын
Wa kwanza like za kutosha
@zanishaikhonge7296
8 күн бұрын
Kazi nzuri 45 nimewahi leo❤❤❤❤
@Hapygideon
8 күн бұрын
Haya machangudoa candy na sania,,wanajisikia wanachokizungumza kweli😅😅😅😅 nasubiri jamani maana udalali ushafanyika,nyumba imeshauzwa lakini majibu siyaoni😂😂😂😂,aaah mmbea mimi
@JohnThomas-mq5fw
8 күн бұрын
Hakika Kuna watu wema na marafiki wa kweli kama Tasha, zatiti,Kai zuu na bamkwe
@busatitv
8 күн бұрын
🙏🙏
@RehemaMwakisyala-k9u
8 күн бұрын
Nais waliomteka mpumbavu huu mchezo anausika bos wa Kai
@elizabethurassa9854
8 күн бұрын
Ndio
@cartoonpati2914
8 күн бұрын
Nyi n machizi kendi na Sania but mama n mama
@Jenniffer-m9k
8 күн бұрын
🎉🎉tunao mpenda zatiti kwa upole wake n ukarimu wake mugonge like .n pia tunamtakia jasmin masomo mema❤❤❤❤🎉
@samsonkaboko5137
8 күн бұрын
Wanaoamin mr Tasha atapambana na watekaji na kuwashinda njooni hapa
@MercySilvester
8 күн бұрын
KaSania kakonde kanaroho mbaya muona ety pia hako kavaa sare na kendy😂😂😂 acha niche mie kendy laana ya mama yakuandama heri wangemteka tu kendy
@LennaAjiambo
7 күн бұрын
Mihere kitawaramba sana😏😏😏😏😏
@esthermabuga1259
7 күн бұрын
😂😂
@addandendya
8 күн бұрын
Msicheleweshe sasa maana usiku mzima jana nimekuwa nikiitafuta
@TuhumaMuhidini
8 күн бұрын
Sania ww ritakukuta jambo kaa ukijua maji hayasahau baridi
Mlikuwa wapi siku zote waigizaji kama nyinyi mmetisha Sana mnajuwa mpaka mnakera halafu huyu candy na saniya itakuwa kwelindotabiya zao yaani nyie miwabunifu Sana mmetisha mpaka mkatisha kweli
@LovenessLucas-r2x
8 күн бұрын
Sania na candy waende na wao chuo 😂
@busatitv
8 күн бұрын
🤣
@نيجي-ن1د
8 күн бұрын
Si kungewaka moto huko chuo🤣🤣🤣
@PurityMwongeli-p9f
3 күн бұрын
Hawaezi someshwa hao ni werevu kupita kiasi. Masomo ya dunia
@officialmamutz26
8 күн бұрын
Pole sana kilamab kwa kupotelewa na mpumbavu mwenzio
@MozaRished
8 күн бұрын
Yaani hakuna mtu simpendi km Sania yaani ananikera yani Bora candy ana afadhali siku hizi
@EmanuelRaymond-q7l
8 күн бұрын
Wakwanza Leo nipeni like zangu 😢😢😢😢
@IsaiahOscarWanjala
8 күн бұрын
Candy na sania hyo sio kuingiza2 bali ni tabia zenu
@MariamJaberi-g5y
8 күн бұрын
Kaz nzuri San jaman
@Jajakanjaniri
8 күн бұрын
Urafiki Wakai Na Tasha Niuzuli Kbx Hongera San ❤❤❤ Zuuuh & Za Titi I Love You So Much ❤❤❤ Maman Tash Unahakiri Sana😊😊
@jaymapepefatma5936
7 күн бұрын
This is first love From Mozambique 🇲🇿❤💞
@DorcasL-g8q
8 күн бұрын
Wanaopenda zatiti kwa ukarimu wapi like
@abdallahhalifa5860
8 күн бұрын
Mama Tasha nakupongeza akili imekomaa umetulia Upo Vzr Pongezi sana Kwako
@aminahhuawei1133
8 күн бұрын
Saniaa na candy mnalanaa nyny nawachukiaa vibayaa sana zuu zatiti kai mama tasha tasha baba kai kilamba kibend nawapendaaaa sanaaaa muzidi kubatikiwa🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤
@MwazanMbwan
8 күн бұрын
Jmn msije mkatuambia tena kend kaenda kusoma nitalia jmn😂😂😂
@AgnesMiyi
8 күн бұрын
Kisania ni kibinti kibaya sana na anasumu ambayo hata sio ya maziw wala kupona hospitali ndio maana hanenepi ng'o😢😢😢😢😢😢
@moizjohnston3841
8 күн бұрын
Ngooooonde Kimamuraaaah....
@AzizaVenansi
8 күн бұрын
Iki kisamia mbon kiongo San Alfu kinafki
@everlinenjuguna2281
8 күн бұрын
Mwenda tenzi na omo maregeo ni ngamani,,,,huu msemo umfikie kendy
@AgnessBenard
7 күн бұрын
Anaemkubali mama tasha anipe like ata kumi
@Mwana85Mwana85-wz1ol
8 күн бұрын
Bibi zuu mbona umelala san jaamn wajukuu zako wapata shida uku jaman upo wap bibi zuuu jaman wajukuuu zako wanateketea uku 😂😂
@Rahima-kv6mn
8 күн бұрын
Kwaiyo Wana Busati tz mmeamua kumtoa mpumbavu mwenzangu na muingiza mambo ya utekaji kila kukicha kwaiyo maana yenu nini au tuendelee kuangalia tutajua mbele uko sio 😂😂😂😂😂😂😂😂 mana ata simuelewi mie
@MasauShida
7 күн бұрын
Kazi nzuri sana team Busati🇹🇿
@RoseKagai
7 күн бұрын
Wanao penda zatiti na zuu naomba like ❤❤❤❤🎉🎉
@PaulinaFrancis-l6p
8 күн бұрын
Mungu awabarik na kuwarunda nawapenda san❤❤❤
@MaulidAmri
8 күн бұрын
Kumbe mr Tasha upo vizuri mkono wa mazoezi nikajua kai ata kuzingua kizembe
@MercylineMutheu-l5t
8 күн бұрын
Me napeda cendy na Sania watu wa ombea 😂😂😂😂
@reginaIssa-m2j
8 күн бұрын
❤❤❤bila shaka boss wake kai ndo katuma watu wamteke jasmine mpumbavu mwenzake na kiramba ili apate taarifa za kai
@veronicahmomanyi
8 күн бұрын
Sahii mnakalisha Sana House girl
@AnnastaziaMrigo
8 күн бұрын
❤❤
@AnnoyedMarsh-is4nr
7 күн бұрын
Sania ni mnafki jamn daah sio poa aminishnda kwakwel
@YohanaKagundo-u3x
8 күн бұрын
Kama una amini mpumbavu mwenzake ata patikana gonna lek
@JosephineMwombe
8 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@EzekiaMsemwa-sk7ow
8 күн бұрын
Bibi zuuu msaidie kilamba
@Rehemamakuka
8 күн бұрын
Tajiri kend umemuona kaka jambazi kashusha kofia kwa 😂😂
@MutabaziAmuri
8 күн бұрын
Samahani sana mama tasha nakupenda sans Ila samahani
@AXELLAassia
8 күн бұрын
Mufanye yote tasha asitekwe km mke wa kiramba 😢😢
@shangaokigwada5053
7 күн бұрын
Nakupenda sanaaa mama Tasha ❤❤❤
@ignitiussilungwe7930
8 күн бұрын
Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Sifakamilifu dhimusta khiki Allah subhanau wataala Kiukweli Sania tuwachane nakuigiza inaonekana ndiouhalisia wake maana nimtumwenye tumanenotwingi alafunimpoto shanaji sasa kakutana na kichwamji Candy ndoasalale Candy utakujajutia nishakwambia Muzazi nikama Mungu wapili huokigunanjia ayendelee kukupotosha utajutia kilicho tumauna zalia Tasha Zatiti Kay Zuu nawaspliti kwakweli maana mume onyesha ushilikianowenu na Mungu awabaliki Naombeni like zenu kamasi wacho shi Asante🎉🎉🎉🎉
@PurityChizi-b3r
8 күн бұрын
2nao amin jasmin ametekwa n boss w kai 2juane
@FaridaFarida4
8 күн бұрын
❤❤❤❤
@rehemakatundu7027
8 күн бұрын
Ila sania ana sumu kali sana jamani kweli s3 ni moto 🤗
@KhadijaMasoud-m6u
8 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mauwa yenu nyote humu
@aminaomar6267
7 күн бұрын
Zuu iyo style ya nywele mmh
@Mbkapilima
8 күн бұрын
Sania mchonganishi jamanii 😢😢ipo sikuu mtalia na kusanga meno dunia itakavyo waelemeaa😢
Пікірлер: 495