Whatsapp Group 👇👇 chat.whatsapp.com/Gboxs71PAvtHl0nvTLi66k
@RadhiaSeif-z4r
2 ай бұрын
mbona haifunguki
@MozahFamily
2 ай бұрын
Samahani naomba kuuliza hili group Ni bure au kunagharama yoyote
@winnermauky9116
2 ай бұрын
@@MozahFamilybureee dear😂😂😂😂
@MozahFamily
2 ай бұрын
@@winnermauky9116 ahsante nimeliona nishaingia
@RadhiaSeif-z4r
2 ай бұрын
mbon hii link kwangu nikigusa inaniletea kucoment
@DamarisDammie
2 ай бұрын
Wakukimbilia kucomment 😂😂 any Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house 🏡 bibi naye kashajua yai limepasuka hayah 😂
@ChaguVeeNovida
2 ай бұрын
RejectFinanceBill🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ::::::::
@februarygirl1554
2 ай бұрын
Leo Monday tuko hapa Tuesday tuko reject bill
@DamarisDammie
2 ай бұрын
@@februarygirl1554 kesho kama Kawa mapema 💪💪🦾
@carolineoganda4277
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂@@ChaguVeeNovida
@Cynthiacindy2452
2 ай бұрын
@@februarygirl1554ya kesho pia ikuje Leo kesho ni kurejact🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@IujaNjile
2 ай бұрын
Hongera Bibi zuu hatimaye umefurahisha moyo wa zuu
@Johar903
2 ай бұрын
❤❤❤❤bibi Zuuu safi sana aliyosababisha ajali ndio akuoe safi sanaaaa zuuu ndoa iyooooi
@نيجي-ن1د
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@MwaliSuleih
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MwaliSuleih
2 ай бұрын
Hakufa inaonekan 😂😂😂😂😂😂 huyo aliesababisha ajali jaman nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MetrineKhisa
2 ай бұрын
😂😂uongo wa zuu na kai jamn imewapa ndoa cha nguvu zaidi😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉hongera zuu
@IlhamShaban-vq3kx
2 ай бұрын
Jaman eh nani anaona candri anaenda kupigwa na kitu kizito kichwan❤🎉🎉
@JulistaHillary
2 ай бұрын
💃💃💃💃💃💃😊
@mwanatumu7012
2 ай бұрын
Wanao fatilia hii movie wallah iko na mafunzo mengi mno ukizingatia sana utafaidika congrats kai na wenzio Allah awajaalie kila la kheri mzidi ku2elimisha❤❤❤❤from kenya
@busatitv
2 ай бұрын
Asante sana🙏
@ugenny125
2 ай бұрын
Daah Kila nikijizuia nisiombe like ni comment kuhusu movie ilivyo Kali nashndwa nikimuanglia zuu nakpnda haka kadada ebu nipeni like zake zuu
Kwan like zinakaz gani jmn 🎉mnaacha muisifie house girl yetu🎉😂
@PudensianaVisenti-wr8pc
2 ай бұрын
Haha😂😂
@ZyadaAll
2 ай бұрын
Team hammamu mupoooh! Mwenzenu katolewa bikra na bos wake vp nyie
@NeemaNixon
2 ай бұрын
Usituponze hatutaki risasi za maeneo😂😂😂😂
@kalamapendo2701
2 ай бұрын
Wataka tufe weee😂
@ZyadaAll
2 ай бұрын
@@NeemaNixon hahaha
@mariammuslim2987
2 ай бұрын
😂😂😂😂 tunatoa bikra na WiFi tyuuuuu
@ThomasyohanaPetro
2 ай бұрын
Jaman 2liekuwa twasubili house girl 52 Leo nimekuwa wakwaza nipeni like zangu
@judithkahise6451
2 ай бұрын
Movie nzuriii mnoo na inatufunza kwel lakini mjitahidi sana kutuwaishia ❤❤❤❤❤
@AminaNgumba
2 ай бұрын
Mm naon kuchelew chisa aondok na masozi jmn waondok t naamin kai atarud kazini na atapt t nyumb ingn❤❤❤❤❤
@PerepetuaNicodemo
2 ай бұрын
Owaaa
@sharifanyumayo6314
2 ай бұрын
Wanaoamini Candi anatapeliwa na mume wa masosi tujuane hapa , Ila Candi utakujalia ww na kicheko kitageuka kilio badae😂😂😂
@SwabrinaSwabs
2 ай бұрын
Woye namuhurunia
@JohayvinaMutembei
2 ай бұрын
Cand atalia vibaya😂😂😂😂😂😂
@umfahad2609
2 ай бұрын
Watalia wote. Candy, Dada Masozi na Ndevu za mbuzi.😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
2 ай бұрын
Na atalia mpaka dunia aikute nyeusi
@winnermauky9116
2 ай бұрын
Tayar kashatapeliwaaa😂😂😂😂😂 atapeliwe mara ngapi dear
@sharifanyumayo6314
2 ай бұрын
Tunaoamini Sania atawin deel lake tujuane hapa, hakuna mkate mgumu mbele ya chai😂😂😂😂 ila Zuu unapendwa mno na bibi Yako ila ningefurahi waowane TU jmn❤❤❤
@KhadijakassimMwaipaya
2 ай бұрын
Mm napenda Kay asimpe zuu nyumba
@JenifaAnthony
2 ай бұрын
Jaman acheni kukimbilia kuomba like basi ata ushauri kwa wasaniii wetu jaman😊😊
@HappynessMawere
2 ай бұрын
Coment yako iwekewe ulinzi🤝👏👏
@lucyalto7320
2 ай бұрын
Sijapenda huyo kaka alivyomjibu Sania hata kama hampendi hakuwa na haha ya kumjibu maneno magumu hvyo 😢
@Hanan-bc6ps
2 ай бұрын
Kwel hata me sjapenda hio
@pyelesyamwakatika540
2 ай бұрын
Anamajibu ya ajabu tokea enzi kwanza smpend
@irinemmasy8387
2 ай бұрын
@@pyelesyamwakatika540😂😂 hii ni move lakini
@WinifridaLyanzle
2 ай бұрын
hongereni sana kwakazi nzuri nimejifunza mengi sana nimejifunza tamaa conzuri nivema ukalza kwaunacho kipata asanteni
@brayoomontana5011
2 ай бұрын
Wa Kwanza hpa naombeni like kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯
@Nuru-kk6zz
2 ай бұрын
Nakuona kamovie katam 🎉🎉❤❤❤
@AminaMunga-g4z
2 ай бұрын
Aya nimekupea like yngu
@mwanaidindaro-ze6ow
2 ай бұрын
Kai Na zuu nawapenda bure yani Asali ushailamba❤❤❤🎉🎉🎉😂😂
@sharifabahar9905
2 ай бұрын
😢😢 eti uongo mzuri 😂😂hakuna kitu kibaya Kwenye maisha kama kutoa juwa unataka nn tasha kwann usimuoe huyu dada mbona sania katulia kwasasa
@tumyramake5416
2 ай бұрын
Wakwanza leo jmn like 10 from Zanzibar 😊
@HappyCharles-vk8ds
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Ila Mr Tasha true love never die inahusiana vp hapo Kwa mke mwemaaa mke boraaa 😂😂😂
@zainabamir8653
2 ай бұрын
Waache wajifunze kingereza😂😂😂😂
@zainaburamadhani2982
2 ай бұрын
Bora pia Nina mwezang😂😂😂
@MaggySemkande
2 ай бұрын
Bora na ww umeona😅😅😅
@handle98309
2 ай бұрын
Filamu hii ni nzuri
@RuthNyanchera-vk6nq
2 ай бұрын
Mimi Leo wa kwanza kutoka kenya mnipee hata like kumi😅😅😅
@MwatimeOmar-ec6ws
2 ай бұрын
Jmn Leo nmechekesha sanaaaa juu uo uongo WA Kai na zuuu😂😂😂😂😂 jmn ,mm natokea Kenya naomba like zenu
@RodaMwangoka
2 ай бұрын
wanyakyusaa 2juanee
@mariamuhamisimwamrezi4832
2 ай бұрын
Ila uyu bibi nampenda jaman
@Terikfinest2540
2 ай бұрын
Hio wimbo inaitwaje jameni,,,yenye inaimbwa kwa hii video🙏🙏🙏🙏🙏
@njungunadaniel1204
2 ай бұрын
Watu ambia jina ya wimbo tafathali
@DeeDan-sj1mr
2 ай бұрын
Tetema😂😂
@ThaBroski
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣@@DeeDan-sj1mr
@salhatiddy
2 ай бұрын
Jaman mi mwenyew nitaka jmn naupenda
@DamarisNyaboke254
2 ай бұрын
🤣🤣🤣@@DeeDan-sj1mr
@MARYNAGUJustin
2 ай бұрын
Jamani mungu asaidie watoto wetu kumbe malaya nao wanataka kuolewa move nzuri jamani
Daah na Mimi Leo ngoja nijitokeze, jaman nawapenda waigizaji
@ZahidahAli-ys1fg
2 ай бұрын
Saniya umetisha kwa kujikosha 🎉🎉🎉 honger
@IsmaelOkongo13
2 ай бұрын
Jamani naona wakenya wanapenda kaka Kai 🔥💯💯💯💯
@ruxali4890
2 ай бұрын
Sana tu
@Aisha-oj9cx
2 ай бұрын
Wangapi wanao subiria harusi ya zuu na kai❤❤ gonga like tujuane
@LuciaYohana-qy9wp
2 ай бұрын
❤
@SalamaRajabu-c6h
2 ай бұрын
Ntafrai sana nikiona zuu na kai wamefunga ndoa
@YambaSaidiaboumarïam
2 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏kazi nzuri sana tim kay pamodja sana lubumbashi wantashi🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@SharonMuhuyi
2 ай бұрын
Waaaw Bibi zuu ni MTU WA ajabu sana
@Aminah-r4s
2 ай бұрын
Candy poleee kitakacho kukuta kinasikitisha😢😂😂
@MymunaMuna-qn5lo
2 ай бұрын
msitoe like hadi zuu aorewe na kai baadaa tujuwe movie itaendajee nyie like like tu tuwape nyia hawa tujuwe wana kosea wapi nyie like like
@umfahad2609
2 ай бұрын
Mie mpaka kiumane kwenye hati. Mpaka waangukie pua Candy, Dada Masozi na Ndevu za mbuzi.😂😂😂
@MymunaMuna-qn5lo
2 ай бұрын
@@umfahad2609 na vitaumana wenyewe kwa wenyewe
@saideabudoabudo-u2r
2 ай бұрын
Rr
@BINTmohammed-fu9gp
2 ай бұрын
mnaboa mulisifiwa tembo mshaaanza kulithia maji ...sinapendra ya leo
@brigitlugulu1898
2 ай бұрын
The first one to watch my likes
@RahimaMct-ik8mr
2 ай бұрын
Hongera tasha kuliwaAza sania. Mtuwahkma sana 🎉🎉🎉
@gracejoshua3618
2 ай бұрын
Hata chai hamjanywa mshawahi busati tv jmn😂 aya mje mniungishe na keki nipate pesa ya bando
@ABIGAIL67-tria
2 ай бұрын
Msisahau hii movie bila @candy haiwezi ikabamba,,,@candy ako vizuri sana
@busatitv
2 ай бұрын
🙏🙏
@RoseNjoka_23
2 ай бұрын
Kabisa
@MERCYMWIAMUSEMBI
2 ай бұрын
Nakupenda bibi❤❤❤
@ReginaAli-f3d
2 ай бұрын
Ambao walikuwa wakitegemea chiko atasepa like hapa 😂😂😂😂
@MamrF-v9v
2 ай бұрын
😂😂
@rehemaboscomwak-zn5bd
2 ай бұрын
😂😂😂
@ThaBroski
2 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉
@ThaBroski
2 ай бұрын
Tupo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JohnsonJosephat-nu4js
2 ай бұрын
Wa kwanza from USA naomben like 10 tu
@ErastoMsemwa
2 ай бұрын
Waooooooooo nimechrewa jamani kila siku.nakua waa mwishoo❤
@Fatuma-x7j
2 ай бұрын
Tasha utarongwa na sania mpaka wingiliane tu.
@AsiaHabibu
2 ай бұрын
Kabisaaaa
@rahemh1234
2 ай бұрын
😂😂😅😂😅😂😂😅😅mbona kai na tasha wanamchamba sana sania 😢😢😅😂😅😅😂😂😅 alafu bibi hadanganyiki ilakanifurahisha kwamfanya zuu atabasam ❤❤❤hongera bibi
@ediselaemmanuel1930
2 ай бұрын
Nyie njoon tiyar
@كامليا-ر7ز
2 ай бұрын
Sania n tashi mambo zenu 😂😂😂 ila yote n hayo harusi ya kai n zuu tunayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@busatitv
2 ай бұрын
🙏
@AishaNibizi
2 ай бұрын
Jamani nichelew kidogo liké zangu kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@sammykegari8536
2 ай бұрын
Nakupenda sana zuu
@DamarisomwengaKemunto
2 ай бұрын
Wapendwa mimi wakwanza likes hata tano jamani 😂😂❤
@موانشابكاري
2 ай бұрын
Kai 😂😂eti kijuso🙌🙌team zuu ndoa ipo ama aipoooo
@Tagy21
2 ай бұрын
Jaman Leo nimewahi naomben bas likes🎉🎉
@IssackMwashibale
2 ай бұрын
Candy kitamkuta kitu mana kina mosozi Wana mlamba kisogo watamwacha waende marekani waanze kuimba tenge tenge😂😂
@GhUy-u7s
2 ай бұрын
Oyee tasha nataka sitaki😂😂😂😂😂
@veronicahmomanyi
2 ай бұрын
Jama hii movie inamafunzo mazuri kweli nikujifunza jamani
@عباسعلي-خ3ص
2 ай бұрын
Jamani zuu ulikosea nyanya kwa kweli kwa kutumia undanyifu sio poa😂😂nawapenda kwa mafunzo yenu nyanya yuampenda zuu❤❤❤❤
@jacklineteresia2629
2 ай бұрын
Kai ata ivike episode 100 tunawapenda kwa kazi zenu zuri sana ina mafundizo mazuri sana ❤❤❤
@eliaichiJames-wv4xc
2 ай бұрын
Nakubali na tupo pamoja mpaka tamati ❤❤
@JiyceKilewa
2 ай бұрын
Mmmh nimechelewa sana ila naomben like hata 2 tu😅😅😅
@ZainabuCassim
2 ай бұрын
Jamani kai inamaanaumekubali kumpa nyumba kendi
@ifferallen8051
2 ай бұрын
Sema Kai n handsome 😊😊😊
@فاطمهال-ص7ت
2 ай бұрын
Napendamnavyo leta vitu mapema❤❤❤
@JoselineJuma-r7o
2 ай бұрын
Hata kama nmechelewa naomba like ndo nisirudi kuchelewa tena
@AishaRamadan-ik7ip
2 ай бұрын
tasha km tasha nakukubali sana unasitahiri maua ❤❤yako ❤❤❤
@Mwana85Mwana85-wz1ol
2 ай бұрын
Aya Tena ❤❤❤ wale mawif zake zuu kutoka 🇴🇲 tujuwane bas Hila shangala hyoo watasha wa 🔥🔥🔥 saw harusi tunayo hatuna Hadi rahaaaaaaaaaaa❤❤❤ wale kama naolewa mm jinsi ninvyojisikia raha ebu fanya nimaliza mtaba mapema na mm nakaolewa 🇹🇿
@MariamRiziki-o8x
2 ай бұрын
Kama unakubaliana na bibi zuu gonga likes hapa tukisonga mbele🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
@khayraatkheirame5928
2 ай бұрын
Nilijuwa bibi atachukia jamani baba Kai kuwa na amani ila zuu aoleweeeee🎉🎉🎉🎉🎉
@samsonkaboko5137
2 ай бұрын
Hakuna kitu nachukia kama kuomba likes, badala ya kusema jamani Candi kawa hivi na vile kila nikiscrow chini nakita wa mwisho na wa kwanza shenzi zenu
@sharonjebet7075
2 ай бұрын
Umesema ukweli hapo
@ElizabethFrank-r4n
2 ай бұрын
Kweli kaka
@azizayousuph6617
2 ай бұрын
Pumbavu zao 😅😅 kbs
@MozahFamily
2 ай бұрын
Mm leo wamwisho
@fammamourchy2164
2 ай бұрын
Acha nikae mkao wa kula nisubiri ubwabwa wa harusi ya Kai n'a Zuu🎉🎉🎉🎉🎉
@DidaAlly-iz1it
2 ай бұрын
Turiotoka kwenye move ya visa ya menina kuja uku tujuane😂😂😂😂
@meddyferdinand8221
2 ай бұрын
Fanyen mhitimishe bhan series ikiwa ndefu nae inakosa ladha mtoe mzigo mpya tujue cand anaenda kuuramba
@HalimaSaguty
2 ай бұрын
Jamn mpo vzr sana
@DeborahKabaeliza
2 ай бұрын
mapemaaaa
@HudhaimatHaji-wf8nh
2 ай бұрын
nimewahi leo❤
@SarahEnock-kq6ys
2 ай бұрын
Daa jmn uongo dhambi movie zuri sana mnajitahid sana Kuna kitu najifunza kwakweri sio tu kufurahisha jmn endeleeni
Пікірлер