Kitambo sana mzigo ushachotwa niite king dj b from ngudu kwimba
@HidayaAbdallah-l2l
2 ай бұрын
Jmn bas namim leo naombeni like ila sijui nitazifanyia nin mana Kila mtu anaomba namim naombeni like zenu wadau mmmh see❤❤❤❤❤❤❤
@busatitv
2 ай бұрын
💓💕💕
@HidayaAbdallah-l2l
2 ай бұрын
Thnx u❤❤❤
@OdethaMudugu
2 ай бұрын
Kaombe msikitin
@rahimaaaaa5682
2 ай бұрын
Utampa candy ili nyumba yake irudi😂😂😂😂😂😂
@Christineedelase-vl8bi
2 ай бұрын
Mtoto akililia wembe mpe@@HidayaAbdallah-l2l
@RosekinanuGitari
2 ай бұрын
Wow niko ndani ❤❤
@juliusboytv4620
2 ай бұрын
👍👍👍🥰
@Marlenapilikitsao-gk9je
2 ай бұрын
Asante Baba Na Bibi kwa msamaha barikiweni SN.Harusi tunayo wapi nduru weweeeeeee......
@mabagamendez1156
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ uko na akili zu
@AMINASHEBANI
2 ай бұрын
Wa Kwanza mm nipeni maua yangu 🎉🎉🎉❤
@NASRAZOMBE
2 ай бұрын
Yani hii move daah nimejifunza mwanamke waitajika uwe n uvumilivu sana kwa mumeo ilimradi ucvunje ndoa yako aisee nimepata somo n mambo mengi zaidi yani nýie asanteni sana kwa hiyo move ❤
@JanethHaule-vk2us
2 ай бұрын
M naona candi ameanza kuchanganyikiwa jaman😂😂😂
@JULIETHGORWA
2 ай бұрын
Nzuri sana hongereni kwa kazi nzuri♥️♥️♥️♥️♥️
@Munezerosauda
2 ай бұрын
Mapenzi niatar sana zuu amekufa kwa Kai Jaman ❤❤❤❤
@DainessMtewele
2 ай бұрын
Inafundisha sana wanawake mpo
@Baraka-p6o
2 ай бұрын
Da movie Ina gusa sana na mafundisho mengi
@watisonywatisony7659
2 ай бұрын
❤❤
@amisabakari1263
2 ай бұрын
Kwaiyo kai unaomba msamaha huku umenyoosha miguu😂😂😂
@RahmaRamadan-ui3ir
2 ай бұрын
😂😂😂
@MimahMimah-b7k
Ай бұрын
Umewaza kama mm 😂😂
@kondegang2408
2 ай бұрын
🔥🔥
@TashaCosy-gc1fs
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤nawakubal san
@NoorAli-gk8bj
2 ай бұрын
Chisa kashaupiga mwingi kendi ndege mjanja kanasa kwenye tundubovu kasaau pia kama alimcheka kai nakejeli apewe miambili miambili nakujisaaukisha kai ni talaka wake ha ha muvu inamifaida mno inamafunzo masha Allah hongereni sana
@fatfat9093
2 ай бұрын
Atimae kai amesamehewa n bibi zuu hila chiko ddko anakupoteza cn kendy nae katapeliwa jeuri wp cc hii move inamafunzo mengi cn hongereni waogizajo wa house girl
@DeogratiasAmos
2 ай бұрын
Kai kanyandua kwanza ndoa baadae big up mwanamume wa shoka et kasingizia ajali na kuwalaumu bodaboda ila kai ni hatariii
@NuruenezaJosephEnock
2 ай бұрын
😅😅😅😅 Jaman Candy na masozi waneshapata walichokuwa wanakitafuta piah tuendelee kumwombea Khai na Zuuhh mipango Yao iende vizuri ndoa ifungwe jaman
@busatitv
2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@UmmuJuhaynaAbuuIssa
2 ай бұрын
jamn munao omba like mnakera sisi wengine tunakimbiliya coment lengo kujwa kuna endeleya nn lakin kila moja naomba lke kwel jmn mnakera bwna
@PendoKonin
2 ай бұрын
Waambie hao
@SadamuLyuma
2 ай бұрын
Wanakera Sana bwana
@shangazshangaz4222
2 ай бұрын
Leo wa kwanza sitaki mabishano😂
@HappyDickson-d2g
2 ай бұрын
Nilikuwa naingojea kwa hamu San kz nzur sn
@MaryamKhatib-c6m
2 ай бұрын
Piga kelele kwa zuu wake we we weeeeee😂❤
@MaryamKhatib-c6m
2 ай бұрын
Like vipenzi
@ignitiussilungwe7930
2 ай бұрын
Safisana iyondo fulaha yetu kumu owa Zuu. tena ehee ❤❤ Candy kamuhi tajitena Kay makubwa chamoto kakuona asioskia lamukuu ataskilia Dunia ulikua najeuli nama lingo leeohii kinaku lamba pole sana
@AgnesMathew-u7h
2 ай бұрын
Jmni ndo mambo Sasa 🎉❤
@MetrineKhisa
2 ай бұрын
Nipeni like y zuu kumpa dadake majibu y ajabu jameni😂😂😂🙏🙏🙏💃💃💃
@ZuensNamara-ih2mi
2 ай бұрын
Kamuweza maana wengine wengine wanajikutaga washauli kumbe NAO Amna ki2
@PhilbertHabonimana-o1z
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤nawapenda vule
@زهرةكيني-ث3ل
2 ай бұрын
Nimewahi leo❤❤
@elizabethmahenzo7220
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@jacklinesesile5136
2 ай бұрын
❤❤❤ number 1
@user-be9zj6fw1c
2 ай бұрын
Leo nimewahi mapema naomba like zunu team Saudi 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@busatitv
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@MetrineNelima-i4w
2 ай бұрын
Pamoja 🤗🤗🤗
@LatiffahHassan
2 ай бұрын
Pamoj❤❤❤
@AminaKavuo-gj3oc
2 ай бұрын
Yani nimependa tu San 🎉🎉🎉🎉mungu hakulinde milele na milele Tena wote🎉🎉🎉🎉
@aminahhuawei1133
2 ай бұрын
afadhali leyo nimekuwa 84 siyo wamwisho kabisaa😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤🎉 nakupenda sana zuuu
@busatitv
2 ай бұрын
Hongera sana
@vestinasylidion7548
2 ай бұрын
Mnajitaji sana mko vizuri❤
@NasraSaidi-dq7fh
2 ай бұрын
Nimejitahidi kuwahi jamn
@SuzanDithenya
2 ай бұрын
Kai my brother. Unazidi kunkosha azeeeeh. Aaaiiiii❤❤❤❤❤❤
@GabrielMwamlima
2 ай бұрын
Mnaomba like mbona hamsemi mnachojifunza
@bennamush4616
2 ай бұрын
Jamani itoshe kusema hii series ni nzuri kila mwigizaji amaeitendea haki kazi yake inatuburudisha na kutuelimisha sijutii kuifwatilia hongereni sana
@TheodoraStivin
2 ай бұрын
Wa kwanza leo
@tabithanzisa9755
2 ай бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪 najifunza vingi kwa ichi kipindi❤
@Farthun
2 ай бұрын
Asante sana 👏👏👏👏njooni huku vipenzi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️
@PhilbertHabonimana-o1z
2 ай бұрын
Waoooo kenthi nakubali kabisa
@charlottemwami9566
2 ай бұрын
Naomba like ata kama ni kumi🎉🎉
@UmmuJuhaynaAbuuIssa
2 ай бұрын
Kai weee mwambiy bb zuu kuhusu hati akaichukuwe uyo anasaffiri bila paspoti piya anapita palipo kuwa hmn mlango😂
Пікірлер: 937