Rahma hongera sana kw maamz yko mazuri❤❤❤, like za Rahma pls
@ElvisAntony-r8h
Сағат бұрын
Hadi nimempenda rahma
@BertinaCatitiAdamu
3 сағат бұрын
Rayma kumbe anahuruma 😂😂😂 naombeni like anae amini mtu mwenye mdomo ndio sahihi
@juliethrobart9430
3 сағат бұрын
Atakuwa hazai
@juliethrobart9430
3 сағат бұрын
Mbona hajashika mimba siku zote😅 Mwanamke mzuri ila kuzaa ahaaa😂
@sakina5550
3 сағат бұрын
Candy jamn kumbuka ni mama yako mzazi huyo acha roho mbaya hivo😢😢😢😢 Mr Tasha honger sana maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@JanetChisaga
2 сағат бұрын
Hongera bozeni kaboga kwakumkubali masozi na rahama pia umecheza hongera🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Milkah-x1r
2 сағат бұрын
Jamani Tasha Ana busara nyingi wapi like zake❤❤❤ ashindwi na lolote leo tumenjoy mfululizo wa movie ya house girl
@Hasnamhalif
3 сағат бұрын
Mkilala kubukeni kuomba dua usiku kuna mambo mengi 😂
@HalimaHassan-dc1cj
3 сағат бұрын
❤
@nasraramadhani4515
2 сағат бұрын
😂😂😂
@fridayuda9577
2 сағат бұрын
Shukran sana
@JustaMartinsEduardo
2 сағат бұрын
Com certeza
@metrinenyakoe1764
2 сағат бұрын
Amina
@GidoFuzz
3 сағат бұрын
Yani toka nianze kuangalia hii move sijawahi kucomment ila hongera sana rahma uko na roho nzuri❤❤❤
@busatitv
3 сағат бұрын
😍😍
@sesiliahussein7774
10 сағат бұрын
Angalau rahma unaroho ya utu
@saumodzumbo9671
3 сағат бұрын
Sana amejikaza sana Rahma mashaallaah
@LevinaMassawe
56 минут бұрын
Siku nimeona rahman ni mzuri ni leo ❤❤❤❤
@merinazyd0532
3 сағат бұрын
Nimekupenda mnoo Rahim ❤❤❤❤❤❤❤ unaroho ya utu
@gracemakuja9876
3 сағат бұрын
Jaman rahma nimekupa hongera sana .
@Martina-lj7tg
3 сағат бұрын
Nikama dawa aliyopewa rahma imeisha nguvu kma unakubaliana na mm gonga like tukisonga😂😂
@RosebellahNambiro-gf5ot
4 сағат бұрын
Tunao tazama tukiwa kitandani 😂😂😂piteni na likes tukisonga
@hamisichau8975
3 сағат бұрын
Yaani umepita mule mule
@saumJuma-q3e
3 сағат бұрын
Mulemule😂😂😂
@hamisichau8975
3 сағат бұрын
@@saumJuma-q3e 🤣😂🤣
@hamidasaid-oh8fs
3 сағат бұрын
😂😂😂😂hata hamna usingizi jmn
@hamzamihosho6480
3 сағат бұрын
Wasoma koment upoooo kama upo tia like apa😂😂
@neemakoi6635
2 сағат бұрын
Woooow mumeamua leo bus at basi daily ivi mutupee mbili si mtuzoeshe kwasiku part two then muache mutaniudhi sana🎉🎉🎉❤❤❤❤
@TatuBaya-jy8jl
Сағат бұрын
Chiko kweli hakua mume mwema kwa zatiti angeacha tuu waendlee kupendana Tasha n zatiti ❤❤❤afu nmependa maelewano ya rahma na masozi bas masozi umepewa nafasi sije ukaleta uchawi kwa familia watu kua wapole❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 hongereni nmependa sana hii jamani
@EverlinNamalwa-ml4oe
3 сағат бұрын
Rahma nilikua nakuchukia Lakini Kwa Sasa nmeanza kukupenda
@saumJuma-q3e
3 сағат бұрын
Team zatiti tuko na tabasamu kama lote tujuane ❤🎉
@JosephineMomanyi-jp8tv
Сағат бұрын
Nimesoma mingi kutoka house girl mzee mkoloni umenifurahisha sana pia biblia inasema mtoto wa kiume afundishwe na baba na wakike pia namama kwaivo ongera sana
@Fatuma-e7k
2 сағат бұрын
Nyie ndoa tuna ama hatuna Kwa sania na mganga na masozi na chisa weuweeee Aya ngombeni like plz kama pia nyinyi mwataka ndoa
@rahemh1234
Сағат бұрын
Yani ilipaswa chiko na candy waoane 😮😮😮😮 shetan na shetan wanapatana duuh tabia zao zafanana 😂
Hii scene ya Candy inahitaji marekebisho. Mtoto huwa mkorofi kwa mzazi ila sio kwa kiwango hicho
@eshanjira6203
4 сағат бұрын
Rahma leo umeupiga mwingi🎉🎉❤
@SadaDjuma-e9b
2 сағат бұрын
Rahma nimekupenda bure mie, yni wew nimwanamke mwenye akili unae jua maumivu ya mwanamke mwenzio 😘😘😘, nimefurahia ilo jamani alafu mnapendeza saan Rahma na Masozi Mungu alinde Ndoa yenu iwe ya Kheri na Baraka Mungu adumishe Ndoa yenu izidi kua ya Furaha milele na milele. 🎉🎉🎉🎉🎉
@JeniEmmah
3 сағат бұрын
Aaaasaaanteeee wap Like za mganga ngonde kimamula
@aishaomar2287
2 сағат бұрын
Naomba Rahma uwe umeamua kutoka moyoni ila kama ni mtego...tutakuona,hongera lkn🎉🎉🎉
@ASHANDEGWA
3 сағат бұрын
Ila Tasha ni mume bora jamani ,wanaume wote wangekuw ivi duniani tungetamba sisi wanawake😊😊😊
@SanuraNamlola
2 сағат бұрын
Mr Tasha umefaulu mtihani WA babamkwe meenzako halisema hali ulimbo na hafanani na kilimo congratulations 🎉🎉🎉zatiti kipenzi i hongera sana Kwa hukarimu wako ucheshi na kila mtu ❤❤❤❤
@AhmadaOmary
Сағат бұрын
Wanaopenda mchezo uwe kijijin mda wote tujuwane
@AxsaDaniel
2 сағат бұрын
Rahm naomba uje ñkupe pipi jamn una moyo mzur wew
@FatumaHamisi-mh9ln
2 сағат бұрын
Huyu chiko jaman😂
@SophyNestor
3 сағат бұрын
Tasha ananifraisha sana ukweni
@oswardjaphal-cd6np
3 сағат бұрын
Masozi sina imani naye kwarahima. Ana marafiki wabaya.
@SharonMokeira-ij7iq
3 сағат бұрын
Rahma nimekupenda kwa kile ambacho umekifanya ❤❤
@TeshNjeri
10 сағат бұрын
Wa kwanza😊nipewe like
@yasiniabdallah189
3 сағат бұрын
Five kwa Rahma kamecheza poa.
@Beatrice-kp7uw
Сағат бұрын
Keina ulimkosea kibendu yni umeharibu kabisa hii movi mpaka sinaraha
@شاميمشاميم-ر9ت
3 сағат бұрын
Hapo rahma umenifirahisha sana masozi kazi kwako mpendwa ❤❤❤❤❤
@شاميمشاميم-ر9ت
3 сағат бұрын
Zatiti nakupa hongera sana kwakufunga ndoa na tasha mi nimefurshia ndoa yenu hatakama ni ya mkeka ❤️❤️❤️❤️❤️
@rahemh1234
Сағат бұрын
Rahmah unachamba somoyangu lakin unahuruma hongera dadaangu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂
@MaryMaige-t1b
4 сағат бұрын
leo nimewai naomben like
@SamwelyRishady
3 сағат бұрын
Jaman keina si umuonee huruma kibendu wawatu
@شاميمشاميم-ر9ت
3 сағат бұрын
Saniya mtaka vyote hukosa vyote pambana nayo hiyo mimba ya mganga sasa uzae mrithi wa ngonde 😂😂😂😂
@rahemh1234
Сағат бұрын
😂😂😂😂sania atazaa msukule 😂😂 wa ngonde kimamula
@mejumaabaraza3989
52 минут бұрын
Rahma hongera Sana mungu anijalie na mm moyo wajasiri na hekma
@zainabusabas7421
3 сағат бұрын
Kwaiyo huyu na kaka ake wote tasa 😂😂😂😂
@WinfridaChinji
2 сағат бұрын
Hahaha itakua
@THEOPISTAKENETH-e9p
2 сағат бұрын
Nimecheka sanaa 😅😅😅😅
@MetrineNelima-i4w
6 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@hamisichau8975
3 сағат бұрын
Hii house girl inamafundisho makubwa sana hongereni wote mlioshiliki ebu tuwape like jamanii ili waendelee kutuletea mafunzo zaidi
@sadickmashaka1726
3 сағат бұрын
Kwel namm nimeipenda
@FaisalAlrefai-u2y
3 сағат бұрын
Nakwambia dear iko na mafunzo sana mungu awabariki wote
@saumJuma-q3e
3 сағат бұрын
Sanaaaa yniiii nakuunga mkono
@saumodzumbo9671
3 сағат бұрын
Sanaa hongera zao na mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi ishaallah
@Julimwaigaga
Сағат бұрын
🎉🎉🎉hakika mnaelimisha sana hongeren jamani🎉🎉ila zatiti na Tasha mnafaa kuwa mfano wa kuigwa
@Jenniffer-m9k
3 сағат бұрын
❤❤wow hongera sana rahma kwa maamuzi yko mazuri ❤❤❤🎉🎉🎉wenye mnafrahishwa n rahma kwa moyo w huruma mugonge like hpa
@coolboymicky3651
10 сағат бұрын
Wapili Mimi nipeni like
@FazilimariamMariam
Сағат бұрын
Rahma mungu akubariki unaroho yautu
@Teresia-bg9dt
3 сағат бұрын
Safi xn Rahma yaani nilikua nakuchukia ju ya mdomo 😂 lakini daaa nimeona uko roho Safi hongera mamaa❤🎉
@Asma-hn1jk
55 минут бұрын
Hongera sana Rahma Allah akuzidishie roho hio hio🎉🎉🎉❤❤
@franktodory
4 сағат бұрын
mganga usimuache uyo sania huku mtaan akiludi msumbufu sana
@HaleemaMohamedMwapesa
4 сағат бұрын
😂😂😂😂
@happynesbaemuhappynes8813
3 сағат бұрын
😂😂😂
@tausifautini407
3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@FatumaFeso
3 сағат бұрын
😅😅😅😅😅 huyo sania aolewe kabsa alinichosha mm mtoto hana kiherehere mganga ngondee owa yy awe mwanamaji wko
@MwasiKishiri
3 сағат бұрын
😂
@AminaMussa-f3o
4 сағат бұрын
Wakumi na mbili leo hatariiii
@Zeinabmea
4 сағат бұрын
Leo nimewahi like zangu🎉🎉
@saidomar3291
Сағат бұрын
Masozi umenifundisha kitu. Mungu akubariki
@Najmahnyangasi
2 сағат бұрын
Rahma kwakweli uko na roho ya huruma uko na ulimi lakini wajali mtu dadaa ongera sana mpambanie mwenzako huo ndo uisilam watu wanavyo ishi dunia mamaa leo yeye kesho wewe madam kiukweli nimekubali Rahma uko na huruma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@protasdmassawe
3 сағат бұрын
Safi sana. Mr Tasha kutuwakilisha hata sisi wanaume wa mjini baadhi tunawezaaa!💪💪👍
@EvansiLibenty
10 сағат бұрын
Nimekuwa wa pili
@FatimaFati-pu4lb
4 сағат бұрын
Piga kelele Kwa Rahma 😂😂😂😂❤🎉
@janeburu6538
2 сағат бұрын
Kendy jamani unaroho ngumu hupendi mama yako😢😢 alafu nimependa huko kijijini Tasha hongera❤❤
@SofiaSofia-nc9rw
3 сағат бұрын
Lahumah mawua yako Leo umeni furahisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rahemh1234
Сағат бұрын
😮😮😂😂😂 Rahma sio lahuma 😊🤭🤭🤭🏃🏃🏃
@Juliety-v3o
2 сағат бұрын
Hv chiko ulikua unajikuta nani kuongea na baba ako mkwe kama unaongea na hawara ako tasha ongera xana ukwen umeshakubaliwa
@Dorcaskw
4 сағат бұрын
Leo umenikosea my mother anyway this ok naombeni like zenu
@JoyceMbaixi
2 сағат бұрын
Jamani mwenye ana duka apee Rahma soda kubwa kwa bill yangu jamani❤❤❤
@rahemh1234
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂apewe soda kubwa kisha ndefu kisha nene 😂😂😂🎉
@mesamesa3698
Сағат бұрын
Nasubiri iishe nilale😂😂😂😂 naomba like 4
@AnitheNdayikengurukiye
2 сағат бұрын
Hongela sana tasha umeigiza vizuri na zatiti nimependezwa na nyie
@maskiniHanamshirika
Сағат бұрын
Kuna wanaume Kisha kunawenye umeme Tasha nimwanaume Chilo nimwenye umeme😂😂😂😂
@Khadija1-l4f
4 сағат бұрын
Jamani mbona naona ajabu kujikuta natoka wa 36 kweli nimewahi
@MariamuDaudi-h1t
2 сағат бұрын
Nampa hongera sana ngode kimamula
@SharonChepngeno-d7e
10 сағат бұрын
Mimi wa tatu zania atakufa mapema juu ya tabia tu😂😂😂
@MaimunaNangabo
2 сағат бұрын
Mashaallah ❤❤nimelipenda Hilo rahma na masozi nawapenda buree❤❤
@ayubumponzi3219
4 сағат бұрын
iv like hua mnafanyia nn mbna mnazgombania sana
@sangujames7132
10 сағат бұрын
wakwza Leo ❤❤
@eunicemagolo4028
44 минут бұрын
Rahma kumbe una roho ya utu hivo❤❤❤❤kendi chukua mfano na Rahma
@FatimaFati-pu4lb
4 сағат бұрын
Wooooh Rahma nakupenda ❤❤❤
@NgalamnyaziScolasticah
2 сағат бұрын
Kwa kina zatiti ni raha na Amani tu😍😍😍😍😍 njoo kwa kina kibendu mdhikemshike km sokomoko Kila siku, ila candy utakuja lia adi urambe machozi na hutamuona wa kukupangusa😢😢
@AnitheNdayikengurukiye
2 сағат бұрын
Sania pole sana unachopanda ndicho unacho vuna so hongera sana kwa kupata mme kama ngonde na mzimu yake😅😅😅😅
@AbedMmm-o4p
44 минут бұрын
Nimempenda sana Rahma❤❤❤ watu kama Rahma wako kwa dunia ya sasa?
@HafsaMtumwa
Сағат бұрын
Duh ila kendi ana roho ngumu htr 🙌
@ngekewatv
4 сағат бұрын
Jaman hii house girl itatuua man hatal ni yamotooo
@CarolyneMalala-o6x
Сағат бұрын
Tasha apewe maua yake maana anajiamini kwa lolote lile 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@FaithChivatsi
3 сағат бұрын
Rahma aky nmependa sana kumbe n ww n mtu kati ya watu hongera sana nmekupenda❤❤❤❤❤❤🎉
@ElvisAntony-r8h
Сағат бұрын
Chiko mke tunaye na tunatamba naye😂😂😂😂 uta do😂😂😂😂😂😂
@UmaziMdzomba
2 сағат бұрын
Hongera sna rahma kwa maamuzi mazuri
@FaidhaDionis
10 сағат бұрын
Wa 3 leo 🎉❤
@AimeMusara
2 сағат бұрын
Kwa ukweli lehoo tashaaa ❤❤❤vizuriii
@metrinenyakoe1764
2 сағат бұрын
Candy utapata laana mbaya sana kutoka kwa mamako 😢😢😢
@AishaKombo-n5f
2 сағат бұрын
Rahma mwanamke nanusu chukua hongera zako my love
@روززنجبار
2 сағат бұрын
Pongezi kwa Rahman 🎉🎉🎉🎉
@Julimwaigaga
Сағат бұрын
Chiko na candy duuuh.😮 ila nisehem ya elim pia😊😊
@mapesaomary-ip3vf
Сағат бұрын
Nadhan wanawake wengi watajifunza kupitia zatiti
@PerezQuenisha
3 сағат бұрын
Hongera sana rahma
@RoseNamataka
2 сағат бұрын
Candy huyo ni mamako Bado usiseme hivo plz candy muonee huruma mama
@hamzamihosho6480
3 сағат бұрын
Wasoma koment kama mm mpooo kama mpoo tien like apaaa😂😂
@ميريالشمري-ح9ب
3 сағат бұрын
Kandy sikupendi unaloho yaunyama sikupendi😢😢😢
@MpashiKennedy
3 сағат бұрын
Rayma kumbe uko naroho nzuri ivi ❤❤❤❤❤
@MaryamShabani-n2u
2 сағат бұрын
Tasha upo ujalibu au kibiti mbona silewi pia nipe like zangu Tasha na zatiti
@Lucy-t7n
2 сағат бұрын
Wow hongera sana mama zatiti na baba zatiti mupo vizur sana❤❤❤❤❤❤
Пікірлер: 293