Mungu akujlie sheikh wangu napenda unavyo toa majibu sahihi shukran sana
@user-vx7xu5rz7x
10 күн бұрын
assalaam aleykm sauti za background zinafanya tusisikie vizuri ondoeni
@user-uj9lx4ks1d
20 күн бұрын
Shekh mtume swallallahu alayhi wasallam kakataza kujengea qaburi
@user-yj5on8cz3e
19 күн бұрын
Shekhe huyu hajawahi kuulizwa swali akatae moja kwa moja kila kitu yeye ihitilafu ujengea kaburi anakuambia inafaa hajaona saudia pale kule makaburi ya swahaba hayajajengewa Sasa kule na yey wapi wapo ulamaa wakubwa wasiwangesema tuyajengee makaburi yao yadipotee lakini mbona yapo mpk leo na ikiwa hoja nikupotea
@user-yq9um7ih1l
19 күн бұрын
Kwan kaburi la mtum halijajengew jmn eeeh
@user-yj5on8cz3e
18 күн бұрын
Tukuulize ww uliona wapi limejengewa ushafika Hadi kaburini kwake
@Khalid-mf3iu
18 күн бұрын
Kaburi la mtume ni limezibwa limezungukwa na kuta nne but ndani yake hizo kuta makaburi yote ni flat....kasome vizuri utoke ujingani kaburi la mtume halikujengewa kma la masharifu wenu mukienda jigaragaza nayo mukiyasujudia
@user-yj5on8cz3e
18 күн бұрын
Mara nyingi watu wanao uliza maswali haya Ni wale wanaojengea na kutafuta uhalali wa kuabudia na kuomba pale ndomana mtume kakataza watu wasiifikie shubah hii ya shirki ndani yake
@OchoaHomeDecor_
18 күн бұрын
@@Khalid-mf3iusasa kuna tofauti gani na kujengea? Kwahyo na sisi tunaruhusiwa kujengea kama kaburi la mtume?
@hamzakimaro3764
20 күн бұрын
kufanya hayo si ktk uislam ni kuwaiga mayahudi na wakiristo na hasa wapagani!!
@user-yj5on8cz3e
19 күн бұрын
Kabisa sijawahi msikia shekhe huyu akaulizwa kitu asijuzushe yeye kila kitu ihitilafu saivi anakuambia kujengea kabuli inafaa 😂😂😂
@user-yj5on8cz3e
19 күн бұрын
Shekhe huyu sijwawahi msikia akisimama na msimamo mmoja kila kitu yeye ihtilafu ajawahi nyoka kujengea kaburi haramu shekhe unasema inafaa subuhana llah sasa kama mashekhe wa kutegemewa unatowa fatuwa hizi je maamuma wafanyaje hujaona saudia makaburi ya maswahaba kuna lilojengewa pale mtume kakataza ww wasema inafaa sasa tushike kauli ya mtume au kauli yako
@user-re4qg2bh5f
18 күн бұрын
Usilete jaziba Sasa kama Kuna ikhtilafu asiseme
@user-yj5on8cz3e
18 күн бұрын
@@user-re4qg2bh5f hamna ikhitilafu ww hadithi ipo wazi ya kukataza kujengea makuburi ww unasema inafaa imetowa wapi hadithi hiyo saudia kule kuna ulamaa wakubwa makaburi ya maswahaba Yale hayakujengewa mpk leo watu wanahiji wanayakuta yapo vile Sasa ingekuwa ruksa kujengea serikali ya saudia Ni matajiri wangeyajengea na kusiliba malu malu lakini kwanin wanawacha vile wanaoggopa kuzusha na kuharifu sheria ya uislamu na kuna ulamaa wakubwa kule kuliko yeye atasemaje inafaa kujengea kaburi adithi hiyo kaipata wapi
@OchoaHomeDecor_
18 күн бұрын
Mbona kama kaburi la Mtume limejengewa?
@user-yj5on8cz3e
18 күн бұрын
@@OchoaHomeDecor_ limejengewa wapi we umeliona au mnaropoka tuuh acheni hizo mtume aliwacha maagizo kwa ummah msijengee makaburi watu waharifu ujumbe wake wajengee kweli utakuwa udhalimu huo serikali ya saudia Ina hela wangekuwa watu wanao fata matamanio ya nafsi wangehengea hata makaburi ya maswahaba Yale yalipo madina wangeyajengea lakini yote mchanga mtupu walikozikwa wakeze mtume watoto wake watu si wanaona wenyewe waloenda hijja live ninyi huku ndo munawaiga wakristu kupiga mascement na malu malu juu na vitaa kabisa kama makafiri
Пікірлер: 24