Allah akurehemu sheikh said na akutilie nour kaburi lako hakika kidoti itakukumbuka na athari zako zitabaki milele.
@KomboMachano
20 күн бұрын
Mungu akulipe kwa subra na tunamuomba Allah akutie peponi na cc atupe mwisho mwema... Inshaallah
@sweetylove9918
20 күн бұрын
Amiin
@khamisswalehe
16 күн бұрын
allah akupe kauli thabiti babangu kipenzi akika tulikupenda lakini allah amekupenda zaidi
@raiyaaaraiyaa6054
6 ай бұрын
Subhana Allah 😮😮😮😢😢😢 Hawa vijana Wana laana sio Bure. Allah akuhifadh sheikh Saidi Nyange
@MashibuAjemi
20 күн бұрын
Umepambana sana sheikh Alla akulipe pepo
@IdrissaJuma-sp4rp
19 күн бұрын
Amiina
@AbuuMuawiyya
16 күн бұрын
Ameena inshaallah
@hamidamussa593
17 күн бұрын
Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun 🥺 Hao wakataji viuno km Kweli ni waelewa watazidi kuelewa wamememuita shekhe wetu majani lkn majani wamezikwa Makkah Saudi Arabia sijui Wao vigogo khatma Yao itakua ipi... Jamani pumzi zisituhadae...
@allymbarouk5362
20 күн бұрын
Hao vijana ni kama watoto ww bilisi tu wenye kukataa kheir na kujihalalishia kufru zao Allah atuongoe sisi na wao Amiin
@user-on1mg5ng6n
18 күн бұрын
Hao wenye kuimba wimbo huu kwaza wanapaswa kuomba msamaha kwa Allah, pili wastaghafiru Allah kwamakosa waliofanya, pia Waache upuuzi huo ili wapate Radhi za Allah
@fatmasaid3134
6 ай бұрын
Allah atakulipia sheikh.....hakika watu wema ni wenye kufanikiwa siku zote.... Nafikiria kama baba angu angefanyiwa haya....... Wallah inauma
Heh!Ivo unawaunga mkono hao vijana.Allwah atuongoze kwa kweli tuseme ya kweli.
@user-oc8uo9rl3u
6 ай бұрын
Shekhe inaonekana wewe sio wahabi kwani ungekuwa wahabi hao vijana ungesema kuwa ni Masufi maana Mawahabi kila anaepiga dufu humuita Sufi wanajifanya kama hawajui kuwa hao wengine huwa sio Masufi
Пікірлер: 31