Inafurahisha sana kuona wabongo wengi Ndo wanashtuka sasa hivi Jay Mondy kashatoboa…😆 Hongera sana!!!!
@njoroboihastla
2 ай бұрын
😆😆😆kaondokaaa uyooo
@paulinewangila-cs6ys
2 ай бұрын
@@liberatusjackson5045maneno mazuri sana hongera
@iddirajabu-vk7ej
2 ай бұрын
Tunashtuka nini sasa,😂😂😂 tujuze linguine ambalo hatujashtuka mzungu
@Chrisscherry
2 ай бұрын
Halafu dullvani kuna siku alisemaga hamkubali eti hujui anachofanya
@Mina.15
2 ай бұрын
His working harder that’s why his where he is
@nellymtambo8432
2 ай бұрын
Nawapenda hii couple ❤ Isabella Go girl Watanzania tunakupenda mnoo❤
@kekiplus1andonly
2 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🥳🥳🥳maisha hayana formula jamani❤tujutume,ukitia bidii katika jambo lolote Mwenyezi Mungu anafanya wepesi unainuliwa,anafaidi mema ya nchi..
@alphamenson3784
2 ай бұрын
Last time niliona wale jamaa wa wasafi walikuwa wanamkandia jamaa anamzungu ambaye hana pesa, Mungu anaplan zake kubwa kwetu zaidi tunavyofikiri. Kitu kikubwa jamaa hakuacha opinions za watu zimuaffect.
@Mina.15
2 ай бұрын
Wahasidi
@aminatanzanya7475
2 ай бұрын
Wanafiki hawakosekan
@blessedeaglemusic5324
2 ай бұрын
Sky😂😂hulaliii😮from Kenya upcoming artist
@lwanzodieumerci3029
2 ай бұрын
Alaf tunaliliyaga kwende ulaya nawakati kwetu Africa tuna maisha sema mujifunze kitu apo 😢😢
@tiktokTviral
2 ай бұрын
HAKIKA NIMEKUWA MFUATILIAJI MZURI WA JAYMONDY TOKEA YUKO ANAFANYA COMEDY NIMEKUWA FANS WAKE SANA NA KWA ALICHOKIFIKIA HII LEO KWANGU MIMI NI JAMBO LA KUMPONGEZA SANA ZAIDI AONGEZE JUHUDI KWA NDOTOZAKE NAAMINI MUNGU HAMTUPI MJAWAKE "MAMASAMIA WE MADE IT" CONGRATULATIONS #JAYMONDY AND #ISABELLA WE LOVES YOU MUCH💛🧡💝❤💖💗💙💕💙💚💟💜🤎🤍💋💘
@ommicreative
2 ай бұрын
p]❤)⁰ l
@user-op5gz7vj6w
2 ай бұрын
Broo sky napenda sn, unavyoo ibuuaa story za chin kabiixaa.. , Tanzania hapa hakuna meadia yoyote iliyoo onesha Nia, au inayoo onesha Nia ya kuwasaport hawa, Hi couple... mwanzo walianza ki masiara masiara .. Now saiv n wakubwa mtandoni kote kuliko Hata wasaniii we tu, piah wamekuwa mabaloz wanzuri sn kwenyee utaliii we tu nyumbniii.... , Inshaaalaaa Sns imeonaa iyoo kwa kuliongelea tu sas. , tutaonaa meadia nyngn zikijipendekez kujifnyaa kusaport, It's Good Sns Waoneshen wenzio njia... Sns for lifeee. Sky Loong live❤❤❤
@achawanunetv1167
2 ай бұрын
Tuondelee ujinga
@saumusalimuhassan2499
2 ай бұрын
True my dear
@johnmwandu2116
2 ай бұрын
@@achawanunetv1167hii hii #SNS ndio media ya mwanzo kabisa kumuita JAYMONDY kumfanyia interview kuhusu uchekeshaji wake enzi hizo anafanya, kwenye kipindi chake Cha CHILL NA SKY
@roi2554
2 ай бұрын
Pia wana chemistry nzuri sanaa
@EmilykuvunaKonzi
7 күн бұрын
Mungu awalinde na awazidiahie upendo❤❤🎉🎉💋💝😘
@alibinali_
2 ай бұрын
Jay Mondy and Isabella they always travel in different countries waki shooting videos zao kwa kweli amefanikiwa sana na wanao wafatilia sio wa Bongo tu videos zao ziko viral all over the world big Sky what is amazing news congratulation for those too beautiful couple...
@nancyg8664
2 ай бұрын
Kwel kabisa sio wabongo 😅
@officialosama
2 ай бұрын
sky...hongera sana unafanya kazi nzuri sana nikiingia youtube yani ni moja kwa moja nakuja kwenye account yako yaan account yako peke yake ndo niliyoeka notification chochote kinachoingia niwe nakiona hakika natamani kuwa kama wewe japo najua ni kazi ngumu sauti yako iko powa sana itunze sana mana wakina ananias edga na mtiga abdallah washapotea umebaki wewe hatutaki kukupoteza big up broo ila jaymondy nilianza kumkubal toka enzi zile za mama jay
@johnmwandu2116
2 ай бұрын
Daaaah, kaka #SKY ulivyoelezea hadi raha kuisikiliza hongera sana
@godwinkileo7702
2 ай бұрын
God bless them a lot
@rachelndaki5642
2 ай бұрын
Hongereni sana Allah azidi kuwabariki 👏👏
@draxelr-vc9wr
2 ай бұрын
jmond kunanyingine imefika 192m
@user-rx7te2px5d
2 ай бұрын
MUNGU azidi kuwabariki.
@officialsule270
2 ай бұрын
Kujituma ndo siri ya mafanikio
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Siri ya mafanikio kwanza ni kumtanguliza Allah halafu ndo jitihada kwani unaweza kuji2ma lakini usifike malengo kabisa
@MOREDI2024
2 ай бұрын
Njema sana, nime penda kila mtu alivyo Baki na account yake
@BigZhumbe
2 ай бұрын
Juzi tu Isabelle alikua na laki sita na Jaymondi laki mbili subscribers sasaivi wasaaingia millions
@AdamSaffi211
2 ай бұрын
Excellent story!
@dayana5513story
2 ай бұрын
Nawapenda sana Mungu akawafanyie wepesi
@user-lh9oy8hw8f
2 ай бұрын
Hy
@jamilaathumani5481
2 ай бұрын
Ongera kwao washajipata tayari ..nimwendo wakupiga pesa zaidi..sasaiv watu ndo wanawatolea macho Yan..safi
@tabasamtv6728
2 ай бұрын
Maisha una angaika angaika bhn alafu kuna mtu anashushwa kuja kukuletea maendeleo ktk maisha yko.
@blackpanther4825
Ай бұрын
,😂😂😂
@monicacyprian9137
2 ай бұрын
Mm pia ni moja ya watu ninao wafatili na niwatu wanapendana sanaa
@Storyzaibrahim
2 ай бұрын
Mtafute jaymond mpige story nyingi kaka
@bilalbizimana980
2 ай бұрын
Alichamtafuta kitambo check sns kuna bonge la interview walifanya n Sky
@theophilwhiteheart1997
2 ай бұрын
Ka history fulani cha kusisimua na kutia moyo😇🤍 wanastahili hongera 🔥🔥🔥🇹🇿
@rubbymusa1971
2 ай бұрын
Nimefurahi sana hawana mambo mengi wametulia , God bless them
@atumbwilo8277
Ай бұрын
Interview mpya please
@youngtomuller-vh2pu
2 ай бұрын
Gostei muito até ouvir isso ❤❤❤
@trommyx
2 ай бұрын
simulizi nzuri sana
@user-jo5ig8ww1b
2 ай бұрын
Nawapenda saaana
@user-gg3oy5mi5t
2 ай бұрын
Sawa kaka nimependa sana
@whizzem
2 ай бұрын
Kwenye rate ya dollar, huwa tunatumia Buying rate... Usitumie rate ya selling
@user-qq6mv6vh3e
2 ай бұрын
Nakubali
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Safi Jay Mond Pambana My Bro🔥🔥🔥
@PaskalFweda
2 ай бұрын
kaka unachambuaga vitu kwa umakini nakupenda sana
@gibbs1320
2 ай бұрын
Marufuku kumuambia mwanaume mwenzako NAKUPENDA
@zuwenahassan3624
2 ай бұрын
Wamestahili Kwani wanajituma haswa
@salamalupenza5082
2 ай бұрын
Mungu azidi kumuinua mtoto wetu
@beingothman
2 ай бұрын
MashaAllah
@kilogreekachananawatuwasio4054
2 ай бұрын
Alafu watu kama hawa Awanunui view wanaigiza mkwanja pafect ❤🙏✊
@piterasifa3757
2 ай бұрын
Dogo alikua ana dance pale meta secondary na wenzie akina tyson,na lavy ngassa
@drewkyd_
2 ай бұрын
Wowww
@lakasid3860
2 ай бұрын
Hawa wamejipata bana sie tupo huku nakina mwajuma ndala ndefu wanatusumbua 😢
@teddygabriel5662
2 ай бұрын
😂😂😂
@khadijakheir9323
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@davidwalalason7630
2 ай бұрын
These dude have that bag
@jeanpierrekwizera6400
2 ай бұрын
Wow! A good story ❤❤
@mohamedkondo19
2 ай бұрын
Yaani nimewapenda bure kupata mtu mwenye aspirations zinazofanana it's more than luck!!!!
@goodlucktemu3149
2 ай бұрын
Mungu awajalie wasiachane hata baada ya miaka10
@hallin9561
2 ай бұрын
Ila mzungu bhana kukuzalia mtoto sio jambo rahis, utakuta ad wanabreak na bado hajaweka nembo yake apo. Congratulations to u
@bintnouh4483
2 ай бұрын
nilihisi namfananisha❤❤❤
@ernestchaulema226
2 ай бұрын
Ninakwenda kumfollow
@ramatsimelarmamosebo9660
19 күн бұрын
Translation please
@sephbuche9459
2 ай бұрын
Hata Kenya ni nje😅😅
@WinifridainTurkey
2 ай бұрын
Wana supportiwa na watu duniani sio watanzania. Watz sisi ni wabaguzi mnoo
@NassirMussa
2 ай бұрын
Ila ajuwe kuweka pesa home uyo mzungu akichoka tu kaachawa
@Awaasha-cn6bx
2 ай бұрын
Kumbe ndio mana wanasafiri sana
@aminatanzanya7475
2 ай бұрын
Halfu views wa halali sio wakununua. Mungu awafikishe mbali zaid
@mcback4384
2 ай бұрын
Kuna views wa kununua? Acheni fikra finyu ninyi youtube sio maandazi
@Gabonfreeman
2 ай бұрын
Wow 😅
@raymondmevamose2117
2 ай бұрын
Nimechagua kuwa mwanafamilia wa SNS kwa sababu ya content ya ukweli wa maisha
@salmonmkanula3718
2 ай бұрын
Mshaara wa mtu ambae ana hata degree Denmark unamuwezesha mtu kuushi miez mitano bongo Tena unaishi dar 😂 njoo bongo Sasa
@godfreyalphonce5646
2 ай бұрын
My country pipo ❤❤❤
@Lyricsjason26
2 ай бұрын
❤❤
@salamalupenza5082
2 ай бұрын
❤❤❤❤
@Tozzyclever
2 ай бұрын
Uyu dem alivylokujqga bongo daaaah alikuwa ana dance samaki samaki
@Gabonfreeman
2 ай бұрын
@isabel
@keagleeagle821
2 ай бұрын
Sijaelwa hapo sasa Meneja anakua wa nini? Kujipunguzia mapato tu
@KideArowo-zb7vv
2 ай бұрын
Hayo maneno tuu ya mitandao isiwachanganye bongo zenu
Ndio tujue kuoa kwa target. Sio kuoa upate utamu wa mlio wa matako tu
@RehemaJustine-co2kp
Ай бұрын
😂😂😂 dah umetutusi sasa wanawake wa kibongo
@seneu.2128
2 ай бұрын
Wabongo wengi hata mastaa wangechukulia KZitem serious kama mastaa wakenya wangetoboa mkwanja sana, imagine wangekuwa wanaonyesha angalau video za dk 40 kuhusu lifestyle zao ya kila siku ila wamelalal mno.
@Storyzaibrahim
2 ай бұрын
Wako bongo
@geoffreymwalingo7322
2 ай бұрын
Sure nipo europe kuna mzungu aliniuliza unawajua akanionesha videos zao
@fancymixx1026
2 ай бұрын
Ndo ujue saving ya mwaka mmoja nje ya nchi…ni unakuja kuspend miaka ata mitano na zaidi tanzania
@khamisjay488
Ай бұрын
To make the long story short, tutafute wazungu pia sisi sio?😂
@RuzoOwzy
2 ай бұрын
Siku hizi mambo ya "...atakuwa freemason...." hamna tena!!!! 😂😂😂.... mahesabu live na calculator yako mwenyewe.
@baraka5002
2 ай бұрын
kuloga loga amna 😂
@adinasii
2 ай бұрын
Kuna sababu ya kumtafuta umuhoji mana kitambo san
@kephatourssafaris
2 ай бұрын
Kumbe ni mwanza boy🇹🇿🙂🙂🙂
@alphablondponera2367
2 ай бұрын
Unarudia rudia Sana maneno ...sikiliza mwenyew Kwa making utagundua
@Gabonfreeman
2 ай бұрын
#isabel
@King_Of_Everything
2 ай бұрын
✌️👊👍.
@user-hi8le2vb7z
2 ай бұрын
MAFANIKIO HAYATANGAZWI,,HUONEKANA....MFANO MKUBWA NI DAIMOND PLATNUMZ
@officiallnobystar
2 ай бұрын
Nini Sasa Makasiliko Hayo Kwani Kukuambia Kuwa Kamzidi diamond
@Snuky54
2 ай бұрын
Sasa diamond kaingiaje hapo Kila kitu diamond ushamba tu yaani
@imamhussein1104
2 ай бұрын
Wee jamaa unafikiria Kwa kutumia matako
@chobalikosimon6459
2 ай бұрын
Acha makasilika
@user-hi8le2vb7z
2 ай бұрын
@@chobalikosimon6459 KAJIFUNZE KUSOMA NA KUANDIKA AFU NJOO
@user-xy4bh4ri8q
2 ай бұрын
🇧🇮
@Mwigaa95
2 ай бұрын
Tatizo wabongo wanaile kiki yao kubwa ya migogoro ya mahusiano ndio inayo ongoza 😀😀
@RomeoBigirimana-ov5ns
2 ай бұрын
Burundi to the map
@EddahBure-te7ft
2 ай бұрын
Maskin alivyokua bongo alikua anajishangaa na pua lake lkn saiv sijui kama analiona tena 😅
@khadijakheir9323
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@hassanthechingaboy9704
2 ай бұрын
Izo nyimbo you tube sio copy
@ukhutfatumah1154
2 ай бұрын
SKY UMEPIGA HAPO ASANTE SANA KWA KUNIPA MOYO WA KUPAMBANA SKY CHANEL YANGU PENDWA
@zahrababygarl1568
Ай бұрын
Ukipitia mikono ya sky wallah tena lazima uwe mkubwa baadae
@kagirasta1476
2 ай бұрын
Kumbe hujui kupiga hesabu
@aediayumgo8546
2 ай бұрын
Awe makini hao wazungu wako clever akiweka maokoto kwenye Account ya mpenzi wake atalia kama nyani aliye nasa kwenye mtego😲😲
@pengefeza2563
2 ай бұрын
Wazungu wana heshimu haki sana. Kwanza sisi watu weusi baazi yetu ni hatari mwanamke hana thamani hata mali ya mme wake ndugu wanachukua na mayatima wananyimwa haki zao. Ona jinsi doctor Mwaka amenyanyasa mke wake hata watoto haudumii..
@aediayumgo8546
2 ай бұрын
@@pengefeza2563 siyo kilabking'aacho Ni dhahabu tunaishi nao tanawajuwa
@abdulymaeda2697
2 ай бұрын
We unaakili za kibongo ndomaana
@user-go5wb2pi2i
2 ай бұрын
Mawazo gani hayo
@aediayumgo8546
2 ай бұрын
@@user-go5wb2pi2i mawazo Gani awemakini Tu wazungu waone hivyo kosa moja Tu umeumia as longer evidence is their 😲😲
@Snuky54
2 ай бұрын
Kuna mijitu kila video lazima sasa diamond kaingiaje hapo ushamba tu kila kitu diamond hata mtu anaumwa diamond msaidie huyu kuna mijitu mishamba sijui diamond wanamuona nani mtihan wallah
@user-ye4iy8jy2z
2 ай бұрын
Huku zenj ni tsh 2750 kwa dollar
@hallin9561
2 ай бұрын
Kumbe zenji mnadola zenu zenjidola
@user-ye4iy8jy2z
2 ай бұрын
@@hallin9561 tatizo shule sikulaum rate ya dar na zenj ni tofauti
@athuman6223
Ай бұрын
sasa shule gan inahitajika apo🤦🏽♂️ @@user-ye4iy8jy2z
@officialgakankara
2 ай бұрын
Namimi jamani ntapata wap mzungu sasa😅😅😅
@lyrics_forum
2 ай бұрын
Ebhana Ukiskia Nyuma ya Mafanikio ya Mwanaume yupo Mwanamke ndio hii Couple. Isabell Amembadilisha sana Jay, yaani Amemfanya Jamaa Aende mbali zaidi. Haya ndio Mapenzi sasa sio sisi wengine tunakutana na Matapeli tu 😂
@barakakusa7606
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@letisiamakonda3873
2 ай бұрын
😂😂😂
@Shop_girls_online2024
2 ай бұрын
Maisha sio lahisi hakuna mtelezo
@khadijaalimohd1320
2 ай бұрын
RAHISI BWANA LAHISI NDONINI😉
@JosephMilinga-nl4zh
2 ай бұрын
Duh!!umeniwahi nilitaka nishuke naye
@paulinewangila-cs6ys
2 ай бұрын
@@JosephMilinga-nl4zh😂😂
@ibrahimelisha6842
2 ай бұрын
So wanategemeana hao uyu demu alitolewa na jay mondi pia j mondi kampa umaarufu
@san__0073
2 ай бұрын
Ww ni muungwana
@Msafirimakini
2 ай бұрын
Kama ni mbongo Mzazi akukopeshe alafu urudishe 🤣🤣🤣
@hallin9561
2 ай бұрын
Mimi binafsi mshua akinikopa ela ajue kabisa amejichanganya. Hatoipata tena
@angelrichard899
2 ай бұрын
J ongera xana na pia hauja badilika mambo Yako na xhule tunajivunia xana kaka yetuuu
Пікірлер: 201