😂😂😂😂😂 this was good..... Mnaosema anarudia rudia acheni ngenga mwe mwenyewe ndo mara ya kwanza nimesikia hizi jokes
@ushiwamarandu7433
12 күн бұрын
mwamba upo vizuri bhanaaaa...!
@MremaMkunji
7 күн бұрын
Mungu akuongeze unaweza,. ,kuchekesha walio nuna syo kaz rahis wanao kubeza wafanye zao tuzione kuzungumza maneno mengi bila kupoza lengo ni talent❤
@ramadhanali7985
19 күн бұрын
Mtiririko wake wa mawazo bila kupotea kwanzia mwanzo wa show hadi mwisho nikipaji tosha
@bigbro-my6xj
Ай бұрын
Watu wanaosema anarudia jokes,,mbona wenyewe wanarudia ugali ule ule kila siku
@user-jk6we5qu2x
Ай бұрын
Hongera keep it up kuchekesha staff sio rahis
@hundahazeze
Ай бұрын
Uko vzur Engineer,🥇 big up xana
@VisitTZ
Ай бұрын
Karibu tena!
@wilsonshasha4747
15 күн бұрын
Watu walicheka sana skuiyo wanangu sema muaandaaji alichukua sana sauti ya leonard kuliko sisi wasikilizaj
@samwelipaschal6412
Ай бұрын
MNAOKOSOA KARUDIA " MNADHANIA KUANDAA NI SIMPLE" KAUSHA KAMA UNAONA KARUDIA MNAWATOA WATU KWENYE MOOD MBONA NYIMBO MNARUDIAA
@VisitTZ
Ай бұрын
Nakubali samweli umechafukwa🔥🔥
@user-zg4kg4gs5h
3 күн бұрын
Kwl broo hii kazi ngumu sna...alaf bwege aona ni simple tuh ety mbna unarudia content...jinga ww😅😅😅
@Content-creator610
Ай бұрын
Leonard talent Yako ni kubwa sana🎉🎉🎉🎉
@VisitTZ
Ай бұрын
Pamoja sana ibeatz
@godsontesha2734
Ай бұрын
Sio mbaya nadhani wakati mwingine atajipanga zaidi.
@IsackMagessa
Ай бұрын
Huwa namwelewa sana mwamba
@VisitTZ
Ай бұрын
Usisahau kusubscribe atakuwa sana hapa
@LucasHaule-kc6bb
Ай бұрын
Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..
@AmmyjayAmina-xk9ck
17 күн бұрын
Perfect 👍
@georgekagwebe2461
Ай бұрын
Umetisha mkuu
@jayshakichampionkiller5959
Ай бұрын
Muwe makini na uncle 😅😅
@VisitTZ
Ай бұрын
One love george
@LauMjanja
Ай бұрын
Bravo katisha
@emmanuelbaraka2217
Ай бұрын
Congrats
@tarikijafari1111
Ай бұрын
For me namkubali na bhana ndaro wote wa2 wangu sana yaan Leonard anajuwa sana
@VisitTZ
Ай бұрын
Usisahau kusubscribe,content zao zaidi zitakuwa hapa
@YakoboYotham
Ай бұрын
Brother unajua xana
@silvestermanase6101
Ай бұрын
Mbona wanacheka jamani
@BrayoDimpoz
Ай бұрын
Sema anarudia sana content
@user-hi5pg4vp2u
Ай бұрын
Kweli jamaa anarudia sana
@iankomba4253
Ай бұрын
Content anazozirudia si ni za kwake? All master comedians (mc) wanarudia contents zao.
@erickhaule8680
Ай бұрын
@@iankomba4253KUchEkesha sio mchezo wao wanakalili tu
@petersagala7756
Ай бұрын
Anarudia manake siyo kila mtu anakua amesikia hiyo content anakutana na audience tofauti
@Jitu_Lisilofikirika.
Ай бұрын
Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.
@arackiusevarist9399
23 күн бұрын
Smart
@allykamila3445
Ай бұрын
Safi kaka, kurudia ni tatizo dogo la kiufundi😂
@JustinEmmanuel-lt3vh
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 muwe makini na uncle huyo
@SundayNgalomba
Ай бұрын
Yupo vizur anajua kwa kweli
@VisitTZ
Ай бұрын
Nakubali Sunday,umesubscribe?
@sebastiankimendo8333
Ай бұрын
Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu
@LaisonDaudi
Ай бұрын
Big up brooo unajua mnooo anaesema unarudia Kwan lazima acheke yeye
@VisitTZ
Ай бұрын
Nakubali Daudi
@BenardChegere-nl4mj
Ай бұрын
Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz
@VisitTZ
Ай бұрын
Bernad umetisha sana kuwa na moyo wa kuappreciate wengine
@emmanuelnkwabi8610
Ай бұрын
Issue unarudia sana
@bukurufreddy28
Ай бұрын
Hahhaha kama hauna DD apo mwamba hautamuelewa
@VisitTZ
Ай бұрын
Vichwa panzi
@nestorylwaly3364
Ай бұрын
Well done, lkn ukerewe imeingiaje hapo mwisho?????
@mrmartinipaul2464
Ай бұрын
Kwenye NMB ndo kauwa saaana
@georgehimself0297
11 күн бұрын
Kaka acha kuchekesha staff hawana vibe😂
@hassanlubola414
25 күн бұрын
Namuona Kelvin Kimbinje
@ShedrackSilayo-ny5ub
11 күн бұрын
Ooh
@DJJO255
Ай бұрын
Hii ndiyo tofauti yako na Eliud... unarudia sana content.....
@isacksamuel5503
Ай бұрын
kila cku kuna member mpya ambae hajawah kusikia hzo content
@josiahjoas8526
Ай бұрын
Panda wewe tuone kama utaweza
@clarkcian2857
Ай бұрын
Haka Kachalii kanafikiri watu wote wanafatilia KZitem kam yeye
@ibrahimweston9504
Ай бұрын
Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.
@Jitu_Lisilofikirika.
Ай бұрын
Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.? Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia KZitem kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?
@AbdallahHajji-sb6ed
13 күн бұрын
Yupo vizuri anajua kuchekesha😅😅😅😅
@Juli-ep9dn
Ай бұрын
Anajua sana huyu jamaa 😂
@VisitTZ
Ай бұрын
Ni mnyama eeh?
@MohamediKalanje
Ай бұрын
Mike zko vzur sana aisee😂znqsikika vzur
@user-lp7rg6uz6o
Ай бұрын
Leonard
@EdsonDaud-rg5jk
Ай бұрын
Hajachekesha vzr
@felixkamguna7101
Ай бұрын
Gud job bro achen jamaaa apambane kutafta tonge
@VisitTZ
Ай бұрын
Nakubali kaka
@senetornkwarz5714
24 күн бұрын
KASIMAMA DAKIKA 17 ni nyingi sana na HE DESERVES TO BE A MASTER HABOI YANI YUPO POA
@eliasmgendi
Ай бұрын
kwaswara la kuludia sio kesi coz alikaa mwenyewe akatunga, mbona nyimbo hupigwa hata show zaidi ya 23
Kuchekesha unahitaji kutekenya sana, kwa maneno so fikili kwa kina na upana na uwezo usio rudia ndo unakuwa na talent sio kihivyo lakini unajitahidi
@sebomanyotakali761
Ай бұрын
Kaza mwamba
@rebbywealth9869
16 күн бұрын
Mnaosema hawajacheka... are we watching the same video?????
@hassanaliamin1104
Ай бұрын
Upo vizuri dogo ila acha kurudia content Bz jokes sio wimbo
@eddienahum
Ай бұрын
writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.
@elibarikisengasenga1376
Ай бұрын
Kuchekesha kazi watu hata hawacheki 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 sema namkubali Leonardo
@VisitTZ
Ай бұрын
Endelea kumsport mwana
@lucas_Tz
27 күн бұрын
sema kwa NMB ulitisha balaa kuliko CRDB
@user-xg7tv5je6b
28 күн бұрын
Sio kila siku utakua ktk form
@liannsambu7264
Ай бұрын
Nimependa , aliposema tutafute vya kwetu 💯
@VisitTZ
Ай бұрын
Major point
@erickadolph8974
Ай бұрын
Hao watu kuwachekesha na mostly parent siyo vijanq ni kaz
@YusuphKagoma
Ай бұрын
Si0 rahisi kama mnavy0jua
@JohnMgonjo
20 күн бұрын
Usipige story chekesha
@kassororoboassenga1885
Ай бұрын
We unaesema anarudia,haikuhusu izo content nizake,acha arudie
@SMLS995
Ай бұрын
jokes za huyu jamaa, zina kuwaga na fundisho sana
@AndrewMalembela
Ай бұрын
Jamaa anajua ila anarudiabsana contect mpk anakera
@enockluse1346
Ай бұрын
Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!
@sleimankhamiss4586
29 күн бұрын
Game kama ilimkataa ivii sku iiii
@saloumtz6596
Ай бұрын
Unarudiaaaaaaaaa😢
@charleschogamturi
Ай бұрын
hii kali
@FectureTV
Ай бұрын
Sound engineer kazingua sout n video camera n roll za watazamaji ila jamaa katem madini
@BenardChegere-nl4mj
Ай бұрын
Leonardo first
@peternyambui7492
Ай бұрын
🤛🤛👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@user-vi4ge8hm6o
24 күн бұрын
15:29
@yusuphmwanza4405
Ай бұрын
Leo kazini kulikuwa kuna kazi
@VisitTZ
26 күн бұрын
Namna iyo
@enocknguku
Ай бұрын
Good but unarudia content
@miriamdavis3893
Ай бұрын
Kubadili sio mchezo
@africacoast6841
Ай бұрын
Eludi ndo fundi wao
@LucasHaule-kc6bb
Ай бұрын
Bila d mbili huwezi elewa
@user-vt2oj3sr4k
Ай бұрын
Leo apo amekutana na watu benk alitakiwa achekeshe kwenye mazingira yao
@rockyvlogs2214
Ай бұрын
Bonge ya Stage na Ukumbi
@EvansGodfrey-tj5op
Ай бұрын
Haya majaa hayacheki
@kingdeniscrocodile
Ай бұрын
Kw mara ya Kwanza kuona watu kavu
@user-ni2kv3yf6e
Ай бұрын
Watu wanacheka bna achane uongo wabongo
@LincolnMoshi
Ай бұрын
Kuchekesha wasome kazi kwel
@eliahedward101
Ай бұрын
Sana
@SkillfulNgenje
Ай бұрын
Bado mda upo utafika unapopataka
@VisitTZ
26 күн бұрын
Umetisha
@enockluse1346
Ай бұрын
Jamaaa umetisha co jambo lahic hapo mbele kucmama kwa madk zote hizo!
@VisitTZ
26 күн бұрын
Ni nima
@fadhilimashaka2728
Ай бұрын
Mnaboa bana mnarudia vichekesho
@allenjefwa835
Ай бұрын
Hapa alichemka
@optatmallya1283
Ай бұрын
Karudia content
@user-io2jx6ct5p
Ай бұрын
Iv umaskin min?
@user-pn3cl7iw7y
Ай бұрын
Unarudi kaka unatuangusha wadau
@issamakamba5569
Ай бұрын
Wale mnao waona wanacheka sana wengi wanastress ..hapo watu WAPO kazini
@VisitTZ
26 күн бұрын
Stress au kazi?
@JoyceAbdallah-bm4fi
Ай бұрын
😅😅😅🥰
@user-bc9pe6io1b
Ай бұрын
Acha kurudia rudia vichekesho unatuchosha bro
@henrymushi8340
Ай бұрын
Bro upo vizur ila jipe muda kubuni,utaaza kupoteza mashabiki
@erickkagisa833
Ай бұрын
Mbona hawacheki?
@dastanfyondi2159
Ай бұрын
Anarudia sana mpaka anaboa
@moidasimo9955
Ай бұрын
Asilimia 90 % karudia content
@VisitTZ
26 күн бұрын
Izo 10% zinatosha
@JoyceAbdallah-bm4fi
Ай бұрын
😅😅😅😅🥰
@miso-bg2xl
Ай бұрын
Apo amegonga mwamba wa2 hawachek wamekaza
@kharidmadanganya
Ай бұрын
Wanafanya poa mno maana kuchekesha staff so raisi.
Пікірлер: 256