Waandashi wahabari waandamizi kutoka idhaa ya Kiswahili ya BBC Mariam Omar, Sunuma Qassim na Salim Kikeke wametangaza rasmi kuacha kazi ndani ya shirika hilo kubwa la Habari Uingereza.
Salamu za kuondoka kwa waandishi hao hodari zimetangazwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Dira ya Dunia kinachoruka hewani kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa.
LIVE#JaiOnlineTv #Zanzibar#Daressalam
Негізгі бет HUZUNI ZATAWALA BBC SWAHILI BAADA YA SALIM KIKEKE KUTANGAZA RASMI KUACHA KAZI.
Пікірлер: 21