Kumwelewa kabudi unapaswa uwe na shule la sivyo hutaaelewa, majibu anayotoa sio rahisi kata kidogo, kadomimate senssion
@andrewmajita6437
5 жыл бұрын
dah zuhura big up nakukumbuka tulivyokutana na wewe hapo BBC
@jafarkipengele6492
2 жыл бұрын
Huyo ndiyo aidan mwaruko kabudi
@shabanidaruweshi-jw5jy
Жыл бұрын
Huyu mzee hana majibu sahihi ana dandadanda
@KassimBishBish
3 жыл бұрын
Big up Z.Y
@oparetionmaalum9030
2 жыл бұрын
Kabudi nimependa smat yako upo spmat sana katika kujibu unajiamini
@thomastarimo
Жыл бұрын
Wewe mzee ni mnafiki sana wewe gazeti lolote likiikosoa hicho chama cha li ccm kesho yake linafungiwa
@abuuramadhan8093
2 жыл бұрын
Prof kabudi umezidiwa
@sululungasa3849
2 жыл бұрын
Mr kabudi xaluti huanakuelewaxana mh
@allyshabani738
3 жыл бұрын
Mama toa ushahidi sio kubishana
@mohammednassor3081
2 жыл бұрын
Babu sema kweli kila kitu unakanusha
@happinessmwenda2773
2 жыл бұрын
HIVI HUYU MZEE ALIYOKUWA ANAYAONGEA YALITOKA MOYONI AU MDOMONI.HONGERA MAMA KWA KUTULETEA HUYU DADA TUNATAMANI AFANYE KAZI KAMA ALIVYOKUWA ANAFANYA BBC
@hidayahidaya-vd3ze
Ай бұрын
😅tizama mijicho hilyo kayatowa linapwesa kama dondo Kwa uwongoo
@ramadhanmasiku4105
2 жыл бұрын
Unashindwa kumpa mwandishi nafasi ya kukuuliza "aibu hii"braza!
@paulbayser5182
3 жыл бұрын
Huu umandaz por dia profesa
@kazuamkangara7619
3 жыл бұрын
Waziri uko vzr sio Kila mambo myalopoke tu hali ya kua wao wanayaweka siri inamaana ss ndo sio nchi
@paulbayser5182
3 жыл бұрын
Aibu tupu profesa
@oii6zlaboshelby17
2 жыл бұрын
Mtu muongo hakupi nafasi ya kuzungumza na huyu waziri muongo mbaya kuanzia sura mpka roho
@thobiasbukali9008
2 жыл бұрын
Kwa mujibu wako mkuu lkn ni very smart
@abelzablon5977
4 жыл бұрын
Yesu aliposema majibu yenu yawe ndio ndio ama hapana alikua maana nzuri sana.ona leo pro anacho fanya hadi aibu
@hadijamatimbwa5195
5 жыл бұрын
Naona listening skills inakosekana kabisa......Kushindwa kumpa nafasi mtangazaji amalize kuuliza swali ni weakness kubwaaaa... that's poor listening skills
@mgwenojr391
4 жыл бұрын
Ww unavoona huyo mwandish anauliza nn ?au naww mburulabkama huyo mwandishii? Sasa naku2ma kawaambie wenzio kua TZ cnchi ya kucbezea nyapa nyieeee,, hao cbb Ni wahuni 2 wachonganishi , sasabona hana ushahidi ? Peleken ushubwada wenu mbelee
@kurtstraemann470
5 жыл бұрын
2:54 kwani gazeti sio chombo cha habari??
@rockyvlogs2214
2 жыл бұрын
Hapa lilipanic
@henryanatoly2522
2 жыл бұрын
Sisi wtz ni wamoja na nitaifa la Ming Mungu
@raymondprosper7790
7 ай бұрын
Huu mvutano hatari Sana
@henryanatoly2522
2 жыл бұрын
Kabudi yupo sahihi mana anarinda masilahi ya taifa nasio huyo mrimbwende alotumwa na wazungu kutuchafua watanzania. Tena huyo mwanamama ndo wale mojawapo ya masinichi wakubwa
@geitanjonas3099
4 жыл бұрын
Asant mama zuura yunusi uyo mzee chizi uwa anapenda kulopoka km kadata anaonekana
Пікірлер: 73