Glory be to God aki mungu atakusaidia hauwezi kufa kuna maisha yako ya kesho iyo jeneza sii yako
@CatherineMusau-s4e
2 ай бұрын
Glory be to God aki mungu atakusaidia hauwezi kufa kuna maisha yako ya kesho iyo jeneza sii yako naitaji number ya uyu Samuel
@MagyMarg
3 ай бұрын
Asanti baka mungu akubariki sana sio wote watakuelewa lakini atakaye shika haya mambo ataokoka TU na kumtumikiamungu Amen
@LifeWaytv4287
3 ай бұрын
🇰🇪 Hili jina "Samueli" ni jina langu na ni jina la ajabu ajabu maana yake "Mungu husikia". Lakini vita za kiroho jameni! Mara ni mashetani, mara wachawi, mafreemason, njoka njekundu vichwa saba nane kumi! Busara kumpokea Yahusha Ha Mashiak/Yesu Kristo ambaye anatuokoa na kutufanya zaidi ya washindi. Hongera kijana Samueli. Wewe ni champion. Kazana umshidi na utashida!
@SmilingApron-zw6ne
3 ай бұрын
WEWE YU MWONGO NA ALIAJILIWA NABII MWONGO ILI ATENGEZE CV FAKE
@MewaneAnzurunu
2 ай бұрын
😂
@AgathaWanjiru-b4v
Ай бұрын
Mtoto wangu a naitwa Samuel but Vita juu yake mara magonjwa
@SmilingApron-zw6ne
Ай бұрын
@@AgathaWanjiru-b4v tuombe mungu juu ya watoto
@bisekojoseph
Ай бұрын
Duu! Pole yako
@LuwizaErasto-rp2ty
2 ай бұрын
No brow,, usijitabilie kufa I know there is reason for you to cameback and your alive na utaishii kaka nakufurahia sana maan umefanya jambo la maana,,, Remember Mungu anasema Piga kelele usiache paza sauti yako kama Tarumbeta na uwahubiri watu piaa neema ya Mungu iko nawee,, AMEN
@desderymakoi6595
3 ай бұрын
Ubarikiwe Sana ndgu...SHETANI AMEPOTEZA NA YESU AMEPATA.USHINDI KWA BWANA YESU KRISTO
@AntinesDeus
Ай бұрын
Pole sana kaka mungu atakuponya ata usiogope mtumainie mungu2
@SimonMulwa-sy9yu
2 ай бұрын
Pesa sio kila kitu,maisha muhimu sana.
@judithlejalearnmore2236
3 ай бұрын
Kwanini ajitabiria kifo na Mungu ndiye anayepeana uhai, Mtumikie Mungu watu wamjue Mungu kupitia wewe
@elizabethawuor5402
3 ай бұрын
Amen
@DennisBosire-tx2rf
Күн бұрын
May God help him and save him genuinely.There's a time I was interested and he asked me for money for recruitment before I got saved.Its true anapeana advice but lets pray atoke kabisa.
@judithmasele9451
2 ай бұрын
KKimiliki ktk makanisa yaliyowatesa ulipokuwa kule ili ukombolewe na uzuie kifo chako. Shetani anakutishia tu. Amini Mungu ni kila kitu
@RehemaRehemaJosephbaraka
3 ай бұрын
Asante kaka ublikiwe kwa kutu kumbusha
@magerorobert4098
2 ай бұрын
Great ❤
@eleanorkinadiali4721
3 ай бұрын
Siuongee mara moja...mrudie mungu hautakufa.
@teresiahnjeri5457
3 ай бұрын
Kama unerundia mungu Samuel saindia maskini utabarikwa,,mm nisaindie hera kidogo niweke biashara nitakusukuru pia mungu akiwa juu ataona wema wako akuokoe n maovu
@Lzzlzz-k3m
3 ай бұрын
Pesa za freemason utawekaje nazo biashara sually😢uwanga zinakujiwa na maspirit zao za Mungu yu ndizo utumika mpaka na watukuu
@teresiahnjeri5457
3 ай бұрын
@@Lzzlzz-k3m I believe in God hata hizo zao zitafanya kwa imani, maadiko inasema tutapitiswa kwa moto n tutachomeka ,,kisha tutakula chakula kiko n sumu n hakitatuthuru,,sina deni n shetani atakunja kunidai nn,,n pia tumepewa mamlaka y kukanyanga pepo wa chafu ,,unaombea pesa before utumie nae roho mtakatifu anakuongoza ,with God all things are possible 🙏
@JerusaOmb
3 күн бұрын
Pole Mungu akusaidie
@Babylove36
3 ай бұрын
Mungu tuponye nasisi Ambao hatuna haraka na hela za haraka 🙏Any Tanzania people here nawapenda nyote ❤❤❤❤
@magerorobert4098
2 ай бұрын
From Kenya I love you too ❤
@laurenthaule5828
2 ай бұрын
Tz moja❤
@SabrinaBakhari
Күн бұрын
I love you too my love
@DennisBosire-tx2rf
Күн бұрын
Naombea ndugu yangu sana ila kwa nini anashikana na watu ambao aliachana nao mm bado may we be careful and sealed by the bloodnof Jeaus
@fridahkarimi3457
3 ай бұрын
MATHEW 16:26 JEREMIAH 29:11-14 JEREMIAH 33:3 EXODUS 23:25-30 JOHN 10:10 MATHEW 7:7-14 JOHN 3:16
@EsmilyMwasi
3 ай бұрын
Go to servant of Gods fr prayers ..utsishi maisha marefu
@Mayasa-o2w
3 ай бұрын
Duh yani hata sura yake inaonyesha anapitia mazito mana kafanya kupauka simama na mungu utashinda tu simama na mungu narudia tena natena simama na mungu yani imani mana ukisimama na mingu nilazima ur na imani ndio ushinde
@roseshijedi8744
3 ай бұрын
Akika samweli anaye kusikia nakukuelewa atafaidika mungu akubariki
@namsifubwana2152
3 ай бұрын
Wewe huna haja ya kujisalimisha kwa jeneza. Toa maisha yako kwa Yesu wala hutaishia kwenye jeneza. Ukitoa maisha yako kwa Yesu utasalimika
@AnamaryAlfred
2 ай бұрын
Nawewe hujachelewa njoo kwa Yesu sa hii hakuna haja ya majeneza kumbuka Kuna maisha baada ya kifo na hukumu pia
@MalindiSaid
2 ай бұрын
Pole sana wewe kaka mungu atakusaidia
@BrianaKiondo
2 ай бұрын
Mpe yesu maisha anasema joon wote mlemewao na mizigo nitawapumzisha
@RevinaFitina
2 ай бұрын
Yesu akusaidie sana
@EMILYKILWAKE-w2g
3 ай бұрын
Huyu kijana abarikiwe unajaribu kusema ukweli kwa yale ulishuhudia bt kunao wana kutusi naona mwili wako umepatilika sio vile ulianza kusema nakutakia mazuri yenye baraka
Samwel ahsante kwa kuelekeza binadamu lakini mbona usitoboe hao manabii na wachungaji ambao wako freemason ili watu wajiepushe nazo. Ombi langu hilo.
@agathaclara1838
2 ай бұрын
Huwa hawasemwi akisema hvo baasi yake kwisha
@MalindiSaid
2 ай бұрын
Pole sana wewe kaka mungu atakusaidia😂
@godzillarmbeyaboy7967
2 ай бұрын
Bas wew ni tajiri wa kwanza Tanzania
@SIAHSTATIONARY
2 ай бұрын
Andaa Roho yako ikaishi mahali oazur usiandae jeneza jeneza sii kitu ile rojo yako ndo yakuandaa Na njia n kumpokea Yesu upate wokovu utubu dhambi uende mbjnguni u
@samwelycypriano1504
3 ай бұрын
mjin nja imezid sana ase na kwa nn iwe samwel ase 😢
@BarakamafuruBunini
3 ай бұрын
Hapo sasa ndo patamu 😂😂😂
@GLADYSJEROTICH-l4s
2 ай бұрын
Kimbilia yesu anawesa na umpende katika maisha Yako
@kbabyshorts..4152
2 ай бұрын
Hauf bAli utaish uyasimulie matendo ya Mungu.
@marianzunda
2 ай бұрын
God to be with you but you have do good work
@happinessmosala2217
3 ай бұрын
I start to doubt about samuel.something is not right😏
@marianamrosso795
2 ай бұрын
Me I started doubt from part 3 ifnot 4
@AliMsellem
3 ай бұрын
pole sana kijana
@VeronicaCyprian-pv2vv
3 ай бұрын
😂😂 jaman naomben namba za samwel rfk yangu
@happicharles
2 ай бұрын
Jmnii😂
@TitoPella
3 ай бұрын
Kwa uongo ulionao ni vizuri zaidi ukifa ukajibie Kwa mwenyez
@AliMsellem
3 ай бұрын
mtegeme allah s w
@MariaMaembega
Ай бұрын
Namtegemea Mungu tu,
@JoshuaMolel-u8b
Ай бұрын
Amen ubarikie kabisa kweli kabisa 😅😂
@FestoMunishi
3 ай бұрын
Hasa km umeamua kumrudia mungu manake vitu ulivovipata huko kwa shetani km vile magari nyumbaa n vingine huwa vinakufa na ksambaratika hasa inakuwaje unavyooooo
@Sarlameck
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@MariaKazimily
22 күн бұрын
Huy nae sili ya majenez inataka kusemwa yeye anakatisha😢😢
@princemozes9923
3 ай бұрын
Saweli nenda kwa KUHANI MUSA shetani hana NGUVU kupita YESU nenda kuhani Musa utashinda
@neemasumary7783
3 ай бұрын
Amina
@GeorgeMwakisu-n7e
3 ай бұрын
Ila huyu kijana tatizo SI mkweli,ila amua wazazi kwa utajiri alionao,akawa anasema amempokea yesu alimtokea kuzimu wakati shetani anataka kumuua akajikuta yupo duniani,anafika kwake anamkuta mchungaji,baada ya mda akawa anaimiza watu wajiunge freemason,Leo jeneza,usimjaribu mwenyezi utashindwa
@molineadema4872
3 ай бұрын
Hata mimi kufikia hapo sikumuelewa tena nikaacha kumfuatilia
@RestutaFesto
2 ай бұрын
Are
@ViolyneBenson
Ай бұрын
Glory to you Lord 🙏🙏🙏
@BRIANKITININDI
3 ай бұрын
Good love anatupima
@suleymanosman1788
2 ай бұрын
Huyu ni Ngosha tuu
@MorisiMdowe
2 ай бұрын
Duh!
@EviathaEdistedius
3 ай бұрын
😢😢 Samwelii hajui kujielezeaaa....
@KylianAyesiga
2 ай бұрын
Duuh pole sana mungu atasaidia bro😢😢
@Happiness-p5n
3 ай бұрын
Ushindwe katika jina la yesu
@KylianAyesiga
2 ай бұрын
Mungu amsaidie😢
@AchotaSamuel
3 ай бұрын
Samuel l want meet you physically I'm in Uganda Jinja city
@nehemiamwailongano2960
2 ай бұрын
Okokaa kijana mwangalie katekera mwenzio anavosonga mbele mbingu ipo MUNGU wetu anaokoa kupitia jina la YESU KRISTO. Nikuombe kijanaa okoka MUNGU ana neema na atakusaidia😢
@bahatadof5543
9 күн бұрын
Asante sa
@FrolidaLuvanda
15 күн бұрын
Kiukweli samweli nimekupenda bure YESU ni mwema
@fridaerastor9722
2 ай бұрын
Tatizo la huyu kaka hawezi kujieleza kwann
@aeshraykidumars3668
2 ай бұрын
ww tena leo umeokoka siushawai kuwasema vibaya wachungaj kumbe naw unamjuw mungu bado ujasema mbaka useme eti mchungaj fulani imekalibia siku yakufa kwake mbaka leo awajafa ao wachungali
@MarionWangare-q3g
2 ай бұрын
Ooooh thanks alot kukusikiliza mm Maisha yamenikalia sana hadi nikadhani niingie huko bt nimeasha plz nisaidie niko mwisho almost kujinyonga
@carolinenerima9023
2 ай бұрын
Anza kwa kusoma bibilia kwa mda,alafu ingia kwenye maombi,shetani ataachana na wewe,shetani huwawinda watu wote wajinga tu ndio hushikwa nae!!
@FrolidaLuvanda
15 күн бұрын
Hizo pesa hazikaagi mpendwa Zina yeyuka ghafra Mali iliyopatikana kwa haraka huisha haraka
@FrolidaLuvanda
15 күн бұрын
Hata ungepewa milioni hazikai labda yeye aliyepewa hizo pesa
@JohannesLaurian
3 ай бұрын
Washauri vijana watambue kwamba nichama Cha mataperi wauaji wakubwa Bora wakina tuma kwanambahii jina litakuja ruzirankungana bigabiro byakahirila nawewe unatuma wakatihuo kwenye familia majina hayo hakuna kweli price wetu wanawashabgaa nakituoni huko ndowanaona vituko maweee mamaaa nehatari
Mtoto wewe Mungu anakiona,,,, wewe kwanini usimludie Mungu,,,,,hela ziko wapi wakati nyumbani tunabwela bwela,,,,E mwenyezi Mungu kuanzia leo nafunga kamba ya kizazi hiki ,,, ikashwindwe,,,
@carolinenerima9023
2 ай бұрын
Hamna mtu ana haki ya kifo juu ya mtu yeyote hata mtu huyo akiwa ni yeye mwenyewe!!
@Nancybosibori-sz5nb
3 ай бұрын
YUSHOA 7:19 yushoa akamwambia Akani,Mwanangu nakushihii,umtukuze BWaNA,mungu wa Israel,Ukaungama kwako, Uniambie sasa ulilolitenda,Usinifiche.20,21
@sammiebabu8550
2 ай бұрын
Jiasilimishe kwa mungu
@ShellaJuma-v3r
2 ай бұрын
Tobaaaaa ya Rabbi
@EmmanuelKatikilo
2 ай бұрын
Wewe husiogope chochote ety maana Mungu ni mkubwa sana ndugu yangu mhim wewe mludie muumba wako ty ishi katika imani ya Yesu kristo ty😂😂
@OFFICIALVIDEOS-z4p
3 ай бұрын
Free mason is different with what you thinking...hiyo ni uchawi
@SaltiHilal
3 ай бұрын
Kuwa na imani
@TimmyJ-i8f
2 ай бұрын
Why do most people dig there own crave let God be glory
@ShamsaMohammad-v1b
3 ай бұрын
Hakuna kitu kitakudhuru illa itakuwa imepangwa
@PetronilaIngosi-en1gh
3 ай бұрын
Naweza pata aje connection 😂😂😂😂
@nancymuriuki304
3 ай бұрын
Huyu kijana namuhurumia aki
@DalmasOundo
2 ай бұрын
Nataka ni jiunge na freemason
@MerryraphaelMhelela
2 ай бұрын
Hyo ni Roho ya mauti kemea,we Bado mdogo majeneza ya nn tupa kule mtangaze kristo
@danieljoseph1610
3 ай бұрын
Huyu kijana kaisha feli vibaya sana, tena huyu atakuwa yuko sehemu anatumika, huyu sio uhalisia wa binadamu, Afu anajikakamua kama ana kitu wakati hana chochote!
@SmilingApron-zw6ne
3 ай бұрын
@@danieljoseph1610 HAKUNA LOLOTE WALA HAKUNA CHOCHOTE ILA AMEAJILIWA NA NABII FLANI ILI BAADAE ASEME YEYE NDIE KAMKOMBOA KWENYE UFREE MAAON ILA NI FAKE NA DHIKI TU ZINASUMBUA WATU HASA VILOKOLE FAKE
@AllyKyamundu
3 ай бұрын
KIJANA HUU NIMUONGO.
@rassyb-ij9md
2 ай бұрын
Huyu ache kuzungumzia wa2 alienda kimipago yake haku2mwa afe kama anakufa wangapi wamekufa wa mhimu akafa nyerere magu sembuse yeye
@judithsidimohamed
2 ай бұрын
Mbona wanaotoka freemason hawakui waislam wanakimbilia kwa Kristo
@EverlyneWataka
Ай бұрын
Niombee ndugu yangu namm nitoke ki maisha
@husseinabdirazak6230
2 ай бұрын
Mna makiki sana nyie huu niuongo wakupitiliza mwatafuta viuwas tu waliokua kwa flimasony hua wanajitangaza 😅
@scolasticamayanda9048
3 ай бұрын
Wewe kaka usiongee mambo yasio ya kweli acha kupotosha watu mrudie mungu na utangaze habari za mungu wewe ni kijana mdogo familia inakutegemea utakufa na ulauliwa filimason sio kitu cha kukiongea na ukaachwa salama tangaza neno la mungu acha kutafuta Kiki
@user-samweli
3 ай бұрын
Mwambie kaka huyo mtoto mjinga sana tena muongo hakuna firimasoni ya hivyo
@robertmaingi4635
3 ай бұрын
Story za habunuazi hapa kaka😅
@joycegideon8224
3 ай бұрын
Yesu anaweza
@ElizabethMutie-qc2tu
2 ай бұрын
Huwezi kufa ukiwa ndsni ya yesu
@jeremiahnyamasyo-en5gf
2 ай бұрын
Huyo ni muuza majeneza,akuna anae weza kujitangaza aty ni ni freemason,wacheni uwongo
@PoulKilusu
2 ай бұрын
Tumsifu yes kristo
@JosephRobert-v3f
Ай бұрын
hakika mungu ni mkuu
@AthlarLutagandana
2 ай бұрын
Duh!😤
@DicksonJulius-m2b
Ай бұрын
Pole kaks
@iddiSule-e4x
2 ай бұрын
Muongo bado hujasema kweli sema kweli usizunguke wekawazi una tafuta kk tu
@Ty-sSamuel
2 ай бұрын
Ajaokoka uyo kijana aache upuuzi
@MartiniDionisi-o3l
2 ай бұрын
Hy Siri nikwa yeyote atakae ingia Freemason afu skuhizi naskia wame punguza masharti nikwel????????🙏🙏
@RahimuHassan-r9n
2 ай бұрын
Huyu jammaa shoga xna poin ya msingi hasemi
@annanamuyala
3 ай бұрын
Wewe ujatoka bado upouko twambie habali ya yesu alivyo fanya ludisha ulio wapoteza tubu adhalani ulio wauwa
@magicmind6458
3 ай бұрын
Hukufi. Omba na utamke jina la yesu. Shetani hana mamlaka juu ya roho yako.
Пікірлер: 250