Inshaallah tutaowana Nakupenda sana mume wangu mtarajiwa Abdul Haliym...!!!! Namuomba mungu atujaalie ndoto zetu zitimie...!!!! Love u so much my love
@abdulmalikmassoud2229
5 жыл бұрын
Hamjaowan bdo au
@abdulazizjuma6202
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 abdulmalik
@sherrysalim50
4 жыл бұрын
Abdulmalik Massoud 🤣😂😂🤣🤣
@mitikaharoubtz2528
5 жыл бұрын
Akipenda Rahmani In sha Allah tutaoana ❤️👌🏻 old is gold who’s listening to this still 2019👍
@nasrahmwendapole3893
3 жыл бұрын
till 2021
@jeyllanghulam7990
3 жыл бұрын
21 👌
@Emmytee990
3 жыл бұрын
21
@duerahakhamis714
Жыл бұрын
It's 2022 am listening to this song from Uganda, it reminds me my ex from Tanzania 🇹🇿 I wish him happiness with the one he married 😊😊
@AhmedHassan-gd1gk
Жыл бұрын
Maa Shaa Allah huu ni uungwana sana toka kwako
@sumaboy8105
11 ай бұрын
Mashallah allah akuzidishie moyo wako kuwa msafi maisha na akupe afya njema na umr wenye furaha
@rukokwalugiga949
4 жыл бұрын
Anasikiliza Hii 2020 tujuane
@muqreempanga3816
3 жыл бұрын
Ishallah tutaowan akpenda rahman
@nassibnassib4845
Жыл бұрын
@@muqreempanga3816 PP
@Amina-rr8ve
7 ай бұрын
2024 feb 11 listening this beutiful song 9 days remain b4 my marriage Allah atufikishie litimie in sha allah
@gingercashcat
Ай бұрын
Hongera sana❤❤
@MaNsaMMs
13 жыл бұрын
this is a really beautiful song....it shows that love comes from no where else but from god himself
@yahyaothman2970
7 жыл бұрын
The best song
@ismailmjeshi1984
7 жыл бұрын
wapenzi wa abdallah issah hamjambooooo........
@zainabsuleiman9417
5 жыл бұрын
Yaan had mawazo nakumbuka meng kabsa
@RamadhanAli
5 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 2012 2:47 hadi 3:37 ndiyo ilikuwa sehemu yangu ikifika hapo nasikia kama kulia, jameni mapenzi nyie wacheni na kupenda ni kwengine sahivi unaona yote kawaida tu.
@sherrysalim50
4 жыл бұрын
Ramadhan Ali kisa ukalia poleeeeeee
@muswaabaley3717
5 жыл бұрын
Tamuuuu tamuuuu tamuuuuuuuuuuuuu hay mashair w mzee uliyatongoa wapi wallah maan hiiii ht km hun usingiz uw na Kz ya kushush konten utaliach chini apo usikiliz alojaaliw maashhaallah saut si nene c nyembamb lkn w wach Lkn inshaallah namie yul nimpendae kwa dhati ndan y moyo siku moja Miad itakamilik tuliaidian na inshaallah tutaoan Love u
@mohamedpandu9441
3 жыл бұрын
In shaa Allah tutaoana my sweet Fahima Mohammed
@latifamohamed3273
Жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi🥰🥰🤝
@gshdhshhshs3362
6 жыл бұрын
Dahh acha tu maneno kuntu haya 2018 ilove abdallah issa ❤❤❤❤❤😭
@kharuckharuc7434
7 жыл бұрын
nakumbuks posa yngu yamke wangu wamwanzo ilivokua namvutano bc nikiiskia hii machozi yananitoka lkn mwisho wacku tukaowana
@zmzmhatammsitakikulazimish7981
7 жыл бұрын
Kharuc Kharuc 😅😅😅
@leilaayimba327
6 жыл бұрын
Kharuc Kharuc kisha mukaachana ama?
@kassimmohammed2175
6 жыл бұрын
Mmmmhhhh kama mimi pia mtihani huo umenipata....
@chinangomwiro6191
6 жыл бұрын
Mimi pia. nakumbuka washenga wote walikatazwa kunisimamia. Nakumbuka ndugu wa bibi harusi walivyokuwa waenda kwa baba yangu kusitisha nisimuoe. Nakumbuka ndugu zangu walivyoshiriki kuizuia. lakini mwisho nikaoa nikiwa alone bila mwmber hata mmoja wa familia yangu. Siku ya harusi nikaletewa barua kwamba nisiende kuoa kwani bi harusi kachumbiwa na mtu mwingine..... lakini Allah akafanikisha na sasa tuna watoto wanne, miaka kumi na sita tukiwa happy.... hakika likiandikwa linakuwa.
@mukrimpanga3432
5 жыл бұрын
Naweka subra ishallah tutaowana
@kilondojr5690
4 жыл бұрын
Ni dhahabu isiochuja,naipenda mno ,kiasi kusema Allah ndio kila kitu
@TeresaWafula-y6q
8 күн бұрын
❤ huzuni ipomoni Kila nikiusikia wimbo huu ,1998
@mariamissa2224
7 жыл бұрын
akipenda RAHMAN Inshaallah 2taowana HAJI Wangu
@awadhhamza9296
5 жыл бұрын
Nadhan mshaoana Dada ??na MNA watot bila shaka.
@soilammary4211
Жыл бұрын
Here again 2022 as precious as gold♡♡♡♡
@drkhans6185
6 жыл бұрын
Mashlh. Love this song. It penetrating in my blood stream
@rabiaabdallah6650
4 жыл бұрын
Ishalla tutaoana mm nawangu mwanandani nampenda sana
@khadijaissa1734
6 жыл бұрын
Masha Allah... Nice song... Ni Mara yangu ya Kwanza kuisikiliza
@suleimanbakar2537
5 жыл бұрын
Upo wp ww
@mohammedalnaaman7311
8 жыл бұрын
these were the best songscand the best Taarab. I remember those hay good days.
@ashachitemo7816
4 жыл бұрын
Who is here 2020
@fadhluushareef7079
4 жыл бұрын
Inshallah tutaoana mume wang mtarajiwa Acram nakupenda sana❤
@nadrasleiman2956
5 жыл бұрын
ah kwa hii nyimbo sina maneno in shaa allah mola atafanikisha malengo yetu
@bas2823
8 күн бұрын
OBSOLULTY WRIGHT❤ VERY TRUE👌
@fadhilaamiri8498
7 жыл бұрын
inshaAllah Allah ndo muweza wa yote. Anae jua siri ya hakika ni mora pekee subuhana
@hazelbrown4712
5 жыл бұрын
Mora ndio nini Ndugu? Mola
@azizamohd1025
5 жыл бұрын
Nnajua wateseka kweli kwa shauku na wingi wa haja na mm nakutaka kweli uwe wangu ding dong
@minahmussa9294
5 жыл бұрын
Inshalah tutaona nakupenda kweli wallah
@bahathirashid1856
3 жыл бұрын
inshaAllah 🙏 tutaoana my ❤️ Allah akipenda
@keyzadkhamis5034
6 жыл бұрын
Kwa uwezo wallah tutaowana inshaallah after few days
@luiseschneider6644
3 жыл бұрын
Wow, sounds great ☀️❤️
@habibamaulana8917
8 жыл бұрын
i love dis songs sanaaaaaaaaaaaaaaa
@zuwenarubeya5698
8 жыл бұрын
nice inshaallah tutaoana
@suleimanbakar2537
5 жыл бұрын
Na ww pia
@mohamedghasia95
4 жыл бұрын
Zuwena usikose kutupa kadi tuje kula mapochopocho!! kila la kheir
@saheelameir4313
3 жыл бұрын
ushaolewa au bado?
@bahathirashid1856
3 жыл бұрын
@@saheelameir4313 😅😅 inadi
@shamimkitiku4813
3 жыл бұрын
2021❤️
@sakinaabd5898
9 жыл бұрын
be seif hakika yailahi pekeye rabuka mukitaka yatafanyika hamtaki yatafanyika sihoja kusalitika moyoni tunapendana zimeandikwa mbinguni ndoa zote na rabana ni ukweli munayoyasema
@allysalum4487
6 жыл бұрын
Sakina ABD
@zakiamadenge3020
6 ай бұрын
Inshaallah tutaoana 😢😢 08.03.2024
@asilaakrim3940
5 жыл бұрын
INSHALLAH NDOA YA KHERI AMIN 2019
@suleimanbakar2537
5 жыл бұрын
Na ww pia
@dadamaisha4470
6 жыл бұрын
Beautiful meaningful lyrics... MashaAllah
@nayfinsheikhan1088
8 жыл бұрын
goood abdallah issaa nice song
@smrashidinvestmentlimited3241
4 жыл бұрын
NICE ONE ISHALLAH TUTAOWANA
@chinangomwiro6191
6 жыл бұрын
In sha Allah mtoto wa kinyamwezi binti shabani tutaoana hivi karibuni.
Пікірлер: 171