TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.
@wazomyakinifu2301
20 күн бұрын
Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo
@user-le7ek2zs4t
23 күн бұрын
Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm
@galamwendagalikunga8587
14 күн бұрын
Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu
@user-pn5gv7ix3g
16 сағат бұрын
Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda
@user-yh3dv2bl7u
23 күн бұрын
Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha
@ephraimkabeya9648
23 күн бұрын
Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali
@user-le7ek2zs4t
23 күн бұрын
You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu
@AlfredAlfred-yd2mg
17 күн бұрын
Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma
@josephsamwel8145
19 күн бұрын
Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri
@AbdallaMwagora-sm1rj
23 күн бұрын
Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.
@xaverymakwi
20 күн бұрын
Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?
Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...
@user-yh3dv2bl7u
22 күн бұрын
Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana
@samasob8233
19 күн бұрын
Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!
@christinenyagiro6662
23 күн бұрын
Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe. Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.
@shizoshop2469
16 күн бұрын
Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂
@leahmgunda4154
22 күн бұрын
Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.
@onetwo12981
9 күн бұрын
🤣🤣🤣
@WmareteMarete
13 күн бұрын
Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?
@PaulKabungo
23 күн бұрын
Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point
@NardhisMhagama-sy3eq
22 күн бұрын
Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi
@IddyMustapha-tj4du
23 күн бұрын
Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa
@emanuelsinyinza
23 күн бұрын
Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.
@AbdallaMwagora-sm1rj
23 күн бұрын
Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.
@beinafuu6219
23 күн бұрын
Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu
@experiusmrefu1003
23 күн бұрын
Nyanda ni pure CCM😮
@nanguniMtaita-hz4zt
23 күн бұрын
Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.
@joshuaswai8203
23 күн бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
@EmanueliThomas
23 күн бұрын
Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata
@PaulMhufu
23 күн бұрын
😮 bbh
@SaidMrisho-du1fm
23 күн бұрын
✌✌✌
@MegaVhp
10 күн бұрын
Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo
@natafutamatatizo4382
22 күн бұрын
MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️
@emanuelsinyinza
23 күн бұрын
Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.
@emanuelsinyinza
23 күн бұрын
Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.
@emanuelsinyinza
23 күн бұрын
Poa
@user-qb1jv2dy2d
17 күн бұрын
Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.
@elibarikimollel7149
23 күн бұрын
Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho
@gowekogoweko5803
23 күн бұрын
NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU
@user-qb1jv2dy2d
17 күн бұрын
Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.
@mbukumagiubukumagu406
23 күн бұрын
Wazungu wamepiga hela kiurahisi
@alextarimo4972
13 күн бұрын
Mwandishi kasome huna iq kabisa
@hafidhnzota2142
19 күн бұрын
Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?
@ramadhaniomarishauri9905
16 күн бұрын
Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv
@MichaelJoashi
23 күн бұрын
Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange
@BonaBonala-bp5qm
18 күн бұрын
Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika
@hafidhnzota2142
19 күн бұрын
HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu
@petsmore9955
16 күн бұрын
Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?
@George-jz3jg
23 күн бұрын
Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@eliasmedutieki7578
18 күн бұрын
Hongera Nyanda
@MoinaminaAmina-qh1jb
23 күн бұрын
acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa
@MoinaminaAmina-qh1jb
23 күн бұрын
Kama wewe unavotaka kuharibu taifa
@yokoi3970
19 күн бұрын
Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana
@allonjoseph5467
17 күн бұрын
hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww
@yokoi3970
17 күн бұрын
@@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.
@user-yh3dv2bl7u
22 күн бұрын
Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana
@MoinaminaAmina-qh1jb
23 күн бұрын
Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???
@godamc
14 күн бұрын
Lissu mnyaturu
@George-jz3jg
23 күн бұрын
Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema
@elibarikimollel7149
23 күн бұрын
Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!
@joshuaswai8203
23 күн бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
Пікірлер: 70