mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.
@ImaniMasuwi
11 күн бұрын
Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa
@AdotTanzania
11 күн бұрын
Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭
@johnmlangi6890
12 күн бұрын
Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa
@obedimolel7938
11 күн бұрын
Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu
@danysikira4302
10 күн бұрын
vibrant speech which wrapped by truth
@SylivesterKasikila
12 күн бұрын
Thanks Lema. You have brain.
@davidrweyemamu938
10 күн бұрын
Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏
@upendoeliya9329
9 күн бұрын
Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉
@davidrweyemamu938
9 күн бұрын
@@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏
@upendoeliya9329
9 күн бұрын
@@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏
@felixngwasi9469
11 күн бұрын
Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....
@mohammedsaqry3036
12 күн бұрын
A clear message and delivery
@RobertJonathan-jm5um
12 күн бұрын
Hongeraa ukweli mtupu
@amaniringo5533
11 күн бұрын
Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤
@samsonhamery3809
12 күн бұрын
Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.
@tomchiwalala8507
11 күн бұрын
Maneno kuntu 🤙🏾
@user-mp6zd2ui7r
12 күн бұрын
Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.
@AugustineLukumay
10 күн бұрын
Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali
@user-wk4br3rc6u
11 күн бұрын
Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana
@HadsonFanuel
11 күн бұрын
Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa
@errydeo8865
12 күн бұрын
Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!
@niyonzimakatama6516
9 күн бұрын
Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi
@user-vz3bb3ch3z
12 күн бұрын
Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu
@BeniJohn-xd3cn
12 күн бұрын
Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die
@MfunjoWabaBoydays
11 күн бұрын
God bless you as your name ❤
@ceciliamagalabajimmy4391
11 күн бұрын
Lema, Lema mwanangu, umeongea hadi machozi yamenilengalenga. Maneno kuntu. God bless you!!
@adelinelyaruu3036
11 күн бұрын
Tunasikitishwa na kinachoendelea 😢😢
@merygodfrey3709
11 күн бұрын
LEMA NIMEKUKUBALI
@MariamCleinance
9 күн бұрын
Umetimiza agizo ulilotumwa na mungu
@reginaldsmtui148
12 күн бұрын
Bravo my brother Lema.
@charlesmahuna
12 күн бұрын
Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo
@user-cw3vu8mu3k
8 күн бұрын
Kuna vitu huwa unaongea nikiacha upinzan wa kichama nikakaa kama mtanzania mwenye fkiraa endelevu nakuelewa ila sasa ebu mtafute njia sahihi ya kuwadhilisha aya mawazo kwa mkuu wa nchi kwa heshima.
@neemamollel6057
11 күн бұрын
Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm
@NR-ll4sr
10 күн бұрын
Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢
@user-pj8cj7ps5b
12 күн бұрын
Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema
@roggoyacny
4 күн бұрын
Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍
@johnmboya7313
6 күн бұрын
Lema nakupongeza Sana mungu akulinde
@christinakomba689
12 күн бұрын
Upo vizuri lema
@victorkisenha5933
12 күн бұрын
Mzee mungu akujalie zaidi,
@AdotTanzania
11 күн бұрын
Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani
@emmanuelburchard3153
7 күн бұрын
Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.
@JoshuaStanley-qu3im
11 күн бұрын
Safi sana Kwa elimu yako
@danielkanso
10 күн бұрын
Umeeleweka kiongozi nice speach
@NdeshaPaul-uz9bw
11 күн бұрын
kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi
@Elesciahmdugo
Сағат бұрын
Uko sahihi sana msigwa
@justusngonyani165
12 күн бұрын
Huo ni ukweli Lema.
@saidiotham7508
11 күн бұрын
safi sana kk
@joshuaswai8203
11 күн бұрын
Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br
@godfreykisaka8562
12 күн бұрын
JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina
@richardnganya2311
10 күн бұрын
Mungu au mungu?
@S.SWarfa
10 күн бұрын
Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.
@richardnganya2311
10 күн бұрын
Irrelevant !!
@user-ti8fn1wn1w
8 күн бұрын
Bora vita tuhexhimiane
@user-jl5un4wf3u
12 күн бұрын
Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.
@hugholinemmasi1671
10 күн бұрын
Hoyeee God bless Lema,
@martinakyoo148
7 күн бұрын
Lema una madini lakini hakuna wakuyatendea kazi,kusema umesema utalipwa na Mungu
@NelsonagustinoSwai
9 күн бұрын
Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo
@IssaNyangasa-em9bt
11 күн бұрын
Good messege
@user-my7fj6wn7y
12 күн бұрын
Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha
@husseinwaziri2796
6 күн бұрын
Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi
@user-lg6je8xh4p
11 күн бұрын
Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.
@mwendamitheu8954
12 күн бұрын
Eti wamenunua viwanja vya mpira vingapi na nje vinawaufasha wasaudi wangapi?
@natafutamatatizo4382
11 күн бұрын
WATAKANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA. KAZI NI POMBE NA WANAWAKE TU, WAKATI WANAUZA NCHI YAO🤣🤣🤣👁️👁️
@user-cq6nr8fq6m
11 күн бұрын
Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.
@user-id7ws5hl5p
12 күн бұрын
Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu
@TM-zs3rm
11 күн бұрын
Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.
@Mupaji-vz8ke
8 күн бұрын
Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana
@nabimanyafesto5014
12 күн бұрын
Umenena brother
@allenmacha4131
12 күн бұрын
Lema tunakutaka urudi bungeni
@joshuandabazaniye7642
12 күн бұрын
congratulations
@josephchege-bp3cd
12 күн бұрын
Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima
@FredymaswiMwita-oj6gv
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Nchi yangu maamaaaaaa..
@peterjohnson167
12 күн бұрын
Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..
@abdallahmagomba4022
12 күн бұрын
Hina jipyaaa
@yunusimchala6569
11 күн бұрын
Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja
@user-ou1ls6oj2f
12 күн бұрын
Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika
Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.
@CristinLyanga
11 күн бұрын
Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.
@samsonogunde4508
12 күн бұрын
Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.
@patricksoko1279
12 күн бұрын
❤❤❤
@user-kl8xf1yk2b
8 күн бұрын
Huhu jamaa anamarifa sana sanaaaaaa
@user-cw4jr1jz4x
8 күн бұрын
Sema ww maana
@user-kp2jf5jc2i
10 күн бұрын
Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!
@saidjuma7878
12 күн бұрын
Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu
@husseinwaziri2796
6 күн бұрын
Tubadilike 2025
@wanguwangu34
10 күн бұрын
Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.
@samwelrobertmwakatobe6467
12 күн бұрын
Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu
@gaspercharles2244
12 күн бұрын
Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?
@mbukumagiubukumagu406
11 күн бұрын
Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy
@mwaamwetahussain9947
11 күн бұрын
Chura kuna ujumbe wako kutoka Kwa Mh Lema😂
@PantaleoBundala-tl2kd
10 күн бұрын
ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana
@SM-fu1yv
11 күн бұрын
Tutamkumbuka baba magufuri
@georgemtewele7656
11 күн бұрын
Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅
@ndimimaskati3641
5 күн бұрын
Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.
@leothardngonya4842
10 күн бұрын
Mwizi wa magari hadi SIASA.
@Tone255
11 күн бұрын
Utasubiri sana
@NR-ll4sr
10 күн бұрын
Dunia ya wapi? Mbona huku ndio kwanza naona😢 na Wazungu sio wajanja😢
@ezekieldeus6022
Күн бұрын
Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.
@isackyohana2707
11 күн бұрын
Lema unaongea vizuri kabisa,,Mimi NI ccm Tena ya magufuri,,,magufuri alitufungua vichwa watanzania wote jinsi tunavyopigwa kiuchumi,,,we sema point zako tunakusikiliza na tunakuelewa Sana,,Ila aise utaonekana hufai unapojaribu kumzalau mpiganaji magufuri,,,,
@user-bn4br7qm7r
3 күн бұрын
Magufuli alifanya Nini Broo wakati nae ni zao Lile Lile asingeweza kupambana na watu waliomweka,mfano kwenye kupambana na mafisadi aliishia kuwakamata wafabiashara, tu lakini wanaccm wenzake akawaacha WAkati wanaccm ndio walioshirikiana na wafanyabiashara, double standard hamna kitu,magufuli ndio wale wale broo
@RamadhanMrimbo
10 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@RESTITUTAMOLLED-mp3pp
9 күн бұрын
sema ukweli,mimi ni ccm ila kwa hapo ukweli umesema haupo giki
@Wiittole
12 күн бұрын
Lema sasa tayari jamaa wametuwin kwenye meza ya mazungumzo what's the way forward ?
@hawaally2308
11 күн бұрын
Hilo ndilo swali, Nini kifanyike
@user-bn4br7qm7r
3 күн бұрын
Achana na ccm
@alexkamba5264
10 күн бұрын
Majembe kama haya kwann yasikwe juu?Akili kubwa sana hii.
@andersonshimbi1378
11 күн бұрын
Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu
@mosesmzakwe7774
5 күн бұрын
Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli
@JesusFollowers-rm5rq
11 күн бұрын
Good man 😂
@eleonorashirima1604
6 күн бұрын
Yote njaa hakuna kitu ilishatokea Sasa hata ukiongea Leo ni kuvuruga amani tuuuu jamanii
Пікірлер: 278