Izzo My brother I love your speech, many people show off after traveling to USA, there profile picture 🖼️ is 🇺🇸 flag 😅
@user-me4ik3db4y
Жыл бұрын
Nakumbuka lile goma lake la naongea na ridhiwani bonge la ngoma mpk leo nalikubali sana
@franciscomichael7907
Жыл бұрын
The best Tanzania KZitem CHANNEL CURRENT ❤️✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾🙌🏾
@hollanddutch-day
Жыл бұрын
Pamoja na Rap Izzo Business Respect G and Sky 🤝🏾
@AlexAlexma
Жыл бұрын
Gonga like Kama unamkubali izzo
@ibrahimhumanamicroscopic6515
Жыл бұрын
Kweli kabisa iowa kazi kweda mbele😊😊😊
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Wana hip hop wakienda nje wanakujaga na harakati nzuri za kuelimisha jamii. Ila viongozi wetu wakienda mbele ni hawajifunzi kitu zaid ya starehe/wizi/ukibaraka/kueneza ushoga na kuhujumu uchumi wa nchi
@yojoruta3379
Жыл бұрын
Big up izzo
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Kweli ndiyo viongozi wetu wa kwanza walitaka hayo ya kujifunza mzuri ukitembea
@saddymwamba7072
Жыл бұрын
God bless you homie ww ni miongoni mwa maraper wakali sana tz keep it up 🙏💪🇹🇿
@twentyacresfarms3464
Жыл бұрын
Mambo ya greencard hayo Safi Sana
@Michoarbah
Жыл бұрын
Sio kwel
@araphasalehe2489
Жыл бұрын
Daah izzo mnyamwez sna, anaongea kinyamwezi sna 🔥🔥
@SaimonKazimoto-xt1zo
Жыл бұрын
We kweli jamaa anachonga kinyamwez katisha
@maryamconstantine2232
Жыл бұрын
Toka yupo TZ alikuwa munyamwezi sa uko ndo umeongezeka
@BwanaTajiri-pv9st
Жыл бұрын
Mnyamwezi toka kitambo
@bashirumteka649
Жыл бұрын
Miongon mwa wana Hip hop wakari sana Tz🇹🇿🔥🔥🔥
@volo-music2263
21 күн бұрын
Msela wangu Izzo !!
@abuumbinga3574
Жыл бұрын
Hongera sana izo b
@bcozhenry2698
Жыл бұрын
Wanahiphop wakienda huko wanajifunza vitu vya msingi, lakini viongozi wakienda wanakwenda kuiga starehe tu
@mdachiog5211
Жыл бұрын
😆😆😆
@zitongwang6278
Жыл бұрын
Ndio kina mama kwenda kusainisha MIKATABA 15 huko Dubai 😂😂😂😂
@herbertygeofrey2724
Жыл бұрын
Izo business mnyamwezi sana Aishi mbele tu uko ndio Kuna mfaa
@jamesmwamakula6684
Жыл бұрын
Uuuugweee.from mbeya tu US. what i noted from him is believe in hustling...Izzo in thuglife since 🚶
@servantofalmightygoddranth2511
Жыл бұрын
John pombe Magufuli raisi bora wa wakati wote ataendelea kusifiwa na kukumbukwa kwa wema
@LaurentMtachi
Жыл бұрын
Kitu nachopenda sky unatusogezea vitu tunataka kusikia.... very important
@ezrayjesus
Жыл бұрын
Izzo my broh
@genxonlinetv2219
Жыл бұрын
Bwana Izzo hiya ni Bonge ya perspective kuhusu Mustakabal ya JPM katika kazi. Karibu US.
@ibbyikh1788
Жыл бұрын
Bira stress yoyote I’m not sure, people got money in States but people have more stress za maisha in States than Bongo
@ChoroTesla
Жыл бұрын
kikubwa ujue unajipambania vipi hata bongo hapa unaweza kuisha kwa stress kweli kweli
@2116-n
Жыл бұрын
Magufuli atazidi kujidhihirisha kwamba ndio alikuwa mkombozi wetu,
@aceofspades3728
Жыл бұрын
Mbona hakujikomboa😂
@mastaplan
Жыл бұрын
@@aceofspades3728 utakimbia vyote hapa duniani lakini sio KIFO
@bcozhenry2698
Жыл бұрын
@@aceofspades3728kwani ulipofundishwa kuwa mganga hajigangi we bichwa lako hakuelewa kabisa hiyo mpaka leo?
@2116-n
Жыл бұрын
@@aceofspades3728 yaan umejibu km mtoto wa chekechea
@augustinenjesi3215
Жыл бұрын
🔥🔥🔥izo b
@nicksoncharles-kx3gr
Жыл бұрын
Trust God ndyo track yang Bora ft Unju na mjeda
@UswegeHamza-d8z
9 ай бұрын
izzo kaka mr Xmas 5 naiskiliza muda wote aisee bonge la ngoma
@pacdaud6848
Жыл бұрын
🎉🎉
@maigajohn5828
Жыл бұрын
Hongera sana mwamba kinyamwezi zaidi
@mussakimaro5588
3 ай бұрын
classmate mwanangu sana usirudi huku miyayusho piga mishe huko huku achana nako kabisa
@edwardfaraji1133
Жыл бұрын
Izzo mkali...
@makantaafrika
Жыл бұрын
Nice interview 💪🏿
@northerntanzaniatv4033
Жыл бұрын
Umeongea kitu Kikubwa kaka watu wasione marekan ni kitu chamaana sana ni kawaida tu kwahyo wana msipagawe hata bongo fresh tu tubadilishe mindset
@gwajimagwajima
Жыл бұрын
😮
@feisalricardofais3597
Жыл бұрын
Umeamia ulaya mziki vipi SASA ?
@user-me4ik3db4y
Жыл бұрын
Nakubal sana izzo bizness
@beenismailofficialali2024
Жыл бұрын
that's true bro
@Hoseafrank-r7s
Жыл бұрын
Nakubal bizness sema umepoa sana mzee leta madude Kama lile na sum a Lee ilikuwa hatari
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
Daaah !!! Umeongea ukweli
@Kabi_47
Жыл бұрын
Kiwanjani ndo sehem pekee ukipata sehem inayouza chakula ambacho tumbo limekubali hutoweza kukubadili chimbooo😀😀😀 karibu kiwanjani brazza🙌🏿🙌🏿🙌🏿🥷🥷🥷
@ProphetDrAivan
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@SaimonKazimoto-xt1zo
Жыл бұрын
Safi broo sky izoo katisha sana
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Broo sky hawa ndiyo wazalendo
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Bora wewe umesema ukweli kuhusu ajira, kuna Wengine wanasema ulaya kazi ni tabu kupata.
@BenMamadou-w9e
Жыл бұрын
Europe uko sio usa 🇺🇸
@mpendwalove4390
Жыл бұрын
yaan ameongea truth kabisa, yaan marekani ni mind your own business and asietumika hali😅😅
@kingkendrickk
Жыл бұрын
Izo b amekimbia maisha bongo
@Michoarbah
Жыл бұрын
Mpe hi abellaida 😊😊😊😊
@salmambuta2359
Жыл бұрын
Baba KIDAWA ndo ngoma yangu pendwa from IZZO BIASHARA 🤣🤣🤣
@mwakyusa7609
Жыл бұрын
ma Home boy
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
👊✌️🙏.
@albs1448
Жыл бұрын
Huo ni uongo kuhusu kodi ya nyumba, huku nje wapangaji wana haki kuliko mwenye nyumba, kumtoa mtu ndani ya nyumba yako kama halipi kodi ni inachukua miezi 9 mpaka mwaka saa nyingine. Huyu hajui chochote huku marekani. Ni newbie so atajua baadae kua squatters have more rights than landlords.
@jameslyatuu95
Жыл бұрын
Upo marekani ipi wwe mwenyewe newbie kujichimbia vijijini alaf ujuaji mwingi
@salmabamba2751
Жыл бұрын
@@jameslyatuu95😅😅😅
@nomineetz255
Жыл бұрын
@albs1448 cjui nikujibu au niache daaah
@mwanache
Жыл бұрын
Sijui unaongelea State ipi… soma between lines… amesema wiki mbili as figure speech ila huku landlord anakupa mwezi mmoja baada ya hapo ni eviction note mlangoni🤷🏿♂️
@juliuskalawa7860
Жыл бұрын
Watoto wake ni mapacha au mmoja?
@gayanimwansasu
Жыл бұрын
Nyumbani mbeya 💥
@Josh_1194
Жыл бұрын
Karibu tupige box mkuu😂😂😂
@mwakyusa7609
Жыл бұрын
Ukitaka kuona jamaa huyo afai tafuta nyimbo za mr chris max zote
@shabiruponera4323
Жыл бұрын
Hilo swala la Lazima utengeneze Attention instead of good music ili u maintain to the pick sio kwl...mbona Darasa Yuko juu Hana attention Yeyote na Roma vile vile
@azorindege2556
Жыл бұрын
Sasa kaka unaongelea watu wawili iyo ni % ngap ya wasanii wa bongo? Watu wanazungumzia majority mpwa
@lujobilz7482
Жыл бұрын
💪
@nzegeatv6355
Жыл бұрын
Wazee wa huku us
@wishjrtz
Жыл бұрын
drake wa usa
@mjanthony4864
Жыл бұрын
Kibira ndo wamekupeleka nini uko?
@collinsghambi7315
Жыл бұрын
Kafata wanae kule 😅😅 mnyamwanga mjanja
@mapishiyetumazuri2312
Жыл бұрын
Hayo mambo yote nikweli
@kamandab7976
Жыл бұрын
Nilikua sijuwi kua wewe ni mwongeaji mzuri pia. Nime kukubali Zaidi
@kallewa
Жыл бұрын
Collable na Abela ijeee
@mdachiog5211
Жыл бұрын
Ezo mwalimukzitem.info/news/bejne/rY-iqqSqo3ipgZw
@mdachiog5211
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/rY-iqqSqo3ipgZw
@salumjumah5648
Жыл бұрын
Izzo biashara
@elisanteshayo3882
Жыл бұрын
Kazamia huyo anavizia makaratasi kwa demu wake maisha yameshamshinda muziki hatopata muda hilo box atapiga saa ngapi
@ChoroTesla
Жыл бұрын
roho yakinafiki na upumbavu acha hii rohooooo.
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Hivi hata akisubiri MAGAZETI ww hutaki bahati hiyo## JEALOUS PEOPLE NEVER WIN
@surusuru1994
Жыл бұрын
😂😂😂kusema watu
@servantofalmightygoddranth2511
Жыл бұрын
Jamaa ni mnyamwanga huyu kabila linalopatikana chunya mbeya
@VictorKotein
8 ай бұрын
Acha uongo wewe mbeya yenyewe huijui
@welcometoeat165
Жыл бұрын
Sasa kwann homeless n wengi Sana?! Kumbe kuna kaz mingi Sana
@mdachiog5211
Жыл бұрын
Wavivu
@dictarchelsea
Жыл бұрын
@@mdachiog5211 na mihadarati
@farhanhassan6858
Жыл бұрын
Mwambie tena ridh aongee na mshua tena kk
@eliudeliakayela9598
Жыл бұрын
Ghwankanjha utubhopile malafyaleeee
@user-me4ik3db4y
Жыл бұрын
Nakumbuka lile goma lake la naongea na ridhiwani bonge la ngoma mpk leo nalikubali sana
Пікірлер: 99