Susan mungu akubariki sana na umesema ukweli na uwazi.
@KumbushoMbanga-hf3wx
8 сағат бұрын
Mama uko vizuri sana
@ALESIACHIJOKA
8 сағат бұрын
Nimekupenda bure my dear ASANTE KWA kujitoa kwako umeongea kama mzazi thabiti kwenye jamii inayokuzunguka . Ubarikiwe sana mungu aendelee kukupa hekima na busara zaidi . Kwa kweli ni pigo kwa nchi yetu haijawahi kutokea . Hongera sana utetezi ni muhimu kwa nchi hii . ❤❤🎉🎉 Nimechukia chama .
@aloycemisigalo3983
8 сағат бұрын
Laaa!!!!! aisee huyu mama ni noma sana.
@humphreyroberty8982
8 сағат бұрын
Huyu mama ni kiboko , jasiri sana watu kama Hawa ndio tuna wahitaji katika nchi yetu , BIG UP TO HER
@AnnaFelix-p1z
8 сағат бұрын
Safi sana mama umezaa kweli uchungu unaujuwa mama mwenzangu
@brysonmandari5694
6 сағат бұрын
Ee Mwenyezi Mungu tunakuomba uinue upanga wako upambane wanaopanga miapango ya utekaji na kuua, usiache hata mmoja wanotumwa, wanaotuma ,wanaopanga na wanaojua na kukaa kimya.Amen
@abdalahgunda1319
8 сағат бұрын
Susan kiwanga has spoken reality underground vary lmotion as her chadema political figure woman into chadema strong hold on democracy day tcd
@GiftBatista-p2e
3 сағат бұрын
Well
@user-pm8rf9py6m
8 сағат бұрын
Umenigusa moyo wangu unavuja damu ya watanzania Mungu ingilia kati haraka sana
@verdianabanabi2205
8 сағат бұрын
Mwombeeni mungu siyo kiziwi.
@JosephineKabuka
7 сағат бұрын
Kamanda umetisha sanaaaa❤❤
@michaelmshighati8432
6 сағат бұрын
Hongera Susan Kiwanga umesema Ukweli Mungu akubariki
@StevelabaranSeverwa
2 сағат бұрын
Mama teteaa nchi yetu, samia anacheza na watanzania
@HassanKibwana-h3w
4 сағат бұрын
Mama upo vizuri sana hongera sana
@StevenTambi
5 сағат бұрын
Samia must go
@JohnNtutu-u2f
3 сағат бұрын
Very nice mama keep it up
@MibakuMoson-n5j
3 сағат бұрын
Hongera Sana mama mimi ni moja wapo ya wale wanaoteswa ngorongoro
@RayOmar-vk2nn
4 сағат бұрын
Malaika wangu wa ulinzi nendeni kwa mama susan mkaongeze ulinzi plz❤❤❤❤
@godfreydavid6996
4 сағат бұрын
We are proud of you Susan ❤
@HajiMwangama
4 сағат бұрын
Pole sana mama umeongea kwachunga tuendelee kupambanamwisho wake utafika
@user-sg9cx7ol6i
4 сағат бұрын
Kiti cha uraisi ni dhamana umepewa na Mungu na kiongozi yeyote akimwanga damu isiyo na hatia Mungu anasema nitaitaka mikononi mwa kiongozi Mungu anamwambia habili damu ya ndugu yako uliyoimwaga kila mahali utakakokwenda una itakulilia
@washingtonngullo1988
4 сағат бұрын
Matusi hayo aombe radhi huyo na anajua mwanzo mwisho kupotea Kwa wananchi yeye ndo anawatuma
@MasudSalum-o4o
7 сағат бұрын
Nakupenda bure mama kiwanga
@mlyamalitv1789
5 сағат бұрын
Ila kwa upande mwingine ukifiria ,INAUMA SANA.
@RubenyMfumbilwa
7 сағат бұрын
Mama kaongea kwa uchungu sana na ukweli ccm wanatengeneza moto wasio weza Kuja uzima,vijana wengi hawana ajira nchini, na watakuja kuwa wazee masikini wengi nchini
@saidchaula1947
4 сағат бұрын
Jamani nimejikuta nalia mwenyewe ukweli samia alicho kusema mbele ya policcm wake ni dhahili haya mambo wanafanya makusudi kwamba tutawafanya ninj ukiwa mkweli kwenye hili taifa uwezi kudumu wana ccm spika alisikika akisema ccm hawako tayali nawala hawatothubutu kumwachia mtu kiti kwagarama yeyote
@AmmarSadik-x5u
8 сағат бұрын
Wamama wako kama hawa wanatakiwa walindwe na Mungu awape miaka mingi na heri dunian
@MusaOgwoko
7 сағат бұрын
Mama huyu Safi sana
@SakagodoInnocent
5 сағат бұрын
good speech
@MkingaJulius
6 сағат бұрын
Sijawahi ona mama kama huo kina mama kama hawa ndo tunao wataka na sisi tutawaunga mkono mia kwa mia
@MagakaManyanya
6 сағат бұрын
Mama nakutakia maisha marefu uje kuwa raisi wa nchi yetu
@emmyandrew8670
7 сағат бұрын
Safiiiiiii sana dada yangu Sekiwanga. Ww unacofedence sana penda wwwwwww
@maryfranknamkumba9182
5 сағат бұрын
Ahsante dada Susan. Mwanamke pekee aliyeongea ukweli ndani ya huo mkutano. A spade is a spade. You can’t call it a spades a big spoon
@luciasteven3314
6 сағат бұрын
Kenya nawapenda sana dunia nzima asaivi inaamshwa usingizin kupitia Kenya
@Globalpeace123
7 сағат бұрын
Safi sana Susan Kiwanga Mungu akubariki sana Jamani akina mama jitokezeni kwenye maandamano kwa faida ya taifa letu na vizazi vyetu.
@thadeusmateru1356
8 сағат бұрын
Binadamu huhukumiwa kwa kauli zake. Chura kiziwi
@lailafakhihaji
2 сағат бұрын
Hongera mama upo sawa
@ClarenceHilaly
7 сағат бұрын
Nchi hii ni samia na watoto wake wala sio ya watanganyika
@christianmwabukusi8132
5 сағат бұрын
Itabidi Bendera ya Tanzania iwekewe rangi nyekundu kudhihirisha Damu ya Raia wanaouwawa
@ZainabLol-wx7xf
6 сағат бұрын
SAMIA MUST GO &SAMIA LAZIMA AENDE
@thamani5842
4 сағат бұрын
Utakwenda ww kwanza
@ameirzapy1318
3 сағат бұрын
Labda aende ikulu😂
@nahlaaasidee1848
51 минут бұрын
Hujitambui, utajibu nn kwa Allah unasaidia makafiri na vitimbi vyao dhidi ya uislaam na waislaam.
@PaskaliCharles-pz8ds
7 сағат бұрын
Mama barikiwa sana kwa kweli mungu akulinde inauma sana Hakika wewe ni ujasiri na ujumbe umefika
@AlfredAlfred-yd2mg
5 сағат бұрын
Ccm wanachojali maslahi yao tu wanadhulumu mpaka wafanyakz mafao hawana dini Mungu atawaadhibu Kwa dhulma
@agnessangawe3844
7 сағат бұрын
Enzi za Dr Ulimboka kutekwa kuteswa kungolewa kucha na meno Zimerudi😢😢😢😢
@benedictmrisho1800
7 сағат бұрын
Kumbukeni tulipata uhuru.bila kumwaga damu leo tuna miaka 63 ya uhuru tunajadili umwagaju damu miingoni mwetu wenyewe ni aibu iliyoje? Hapo kuna kujadili demokrasia ama umwagaji damu?
@MesiakiKayan-qm7tv
7 сағат бұрын
Kuna uhuru bila amani kweli
@EREVUKATV
6 сағат бұрын
Ningekutukana we kuma ila ngoja nkuache
@AnnaFelix-p1z
7 сағат бұрын
Uyo Samia nilaana kubwa sijawayi wona mwanamke kama Samia sisi tuliopitia leba tukavuja damu tunauchungu kwamtu yeyote Alie zaliwa ndomana msibani tunaliaga atakama aliyekufa humjui sababu uchungu
@ameirzapy1318
3 сағат бұрын
Kwani yeye hajaingia leba 😢 punguza hasira
@AyubuChacha-u6u
7 сағат бұрын
Mungu akubariki sana mama yangu kweli una uchungu mkubwa sana ila Mungu amsamehe mama yetu samia kwa kusema huvyo.
@christinenyagiro6662
7 сағат бұрын
Huyo Mafere hakuzaliwa na mama. Lakini huyo Mafere anawatoto hivi watoto wake wakichukuliwa atafurahi? Huyu Mafere na hili limama Samia ni wauwJi wakubwa. CCM watakula laani laana yao. Mimi nashangaa sana watanganyika sijui ni watu wa aina gani
@EmanueliWildausoni
6 сағат бұрын
Ni bora kuongea kuliko kukaa kmya lakn mm binafs moyo unechoka lakn swali maandamano yanazuiliwa juz jeshi lilikuwa linaonyesha jinsi yakuthibit wananchi kuliko kuwalinda wananchi vitu vya ajabu kabisa
@SaidHassan-ot3un
8 сағат бұрын
Kweli mm alichemka unatakiwa kabla yakuliongea neno ulifikirie
@kinkybanjukome217
Сағат бұрын
Mama wambie usiwaogope washenzi sana na huyu mama samia atajibu kwa mungu wake
@RamadhaniMasumira
6 сағат бұрын
Nilimuona mtaani kwangu juzi kati iv...sura ya upole lakini maamuzi magumu 💪💪💪💪💪
@ExodusMarcStanley
6 сағат бұрын
Dah kila mtu anahisi ameshatekwa muda wowote linakufika au familia yako. democracy iko wapi? Tunaishi kwa huzuni
@AnaniaMmari
8 сағат бұрын
Mama mungu akulinde sn mungu atawalipa 🙏
@jeitangogo-rf8uf
6 сағат бұрын
Kweli kabisa dada mweeuchungu unauma kamanda😂😂😂
@EliasOwilly
5 сағат бұрын
Uko sawa dada mara mia ufe kwenye maadamano kuliko kupotea
@BahatiRamadhani-i8f
8 сағат бұрын
Saf sana mama
@AnnoyedBooks-kn5pm
5 сағат бұрын
Kweli mama upo sawa
@gililwise
7 сағат бұрын
Safiiiii unafaa kuwa viongozi
@user-xz3iv1xr1c
5 сағат бұрын
Mungu hajawai lala,malipo lazma
@duniakidogo8516
8 сағат бұрын
Mama mawazo yangu yananipa kufikiria kuwa hii nchi ni ya kijeshi kwa mwavuli wa demokrasia.
@ezrarafael1249
7 сағат бұрын
Mungu nimwema tutavuka
@GiftBatista-p2e
3 сағат бұрын
Your voice heard
@elizabethsaibo3658
3 сағат бұрын
Ongera mama
@brightergermanus2163
7 сағат бұрын
AMINAA
@sizorstartv6168
Сағат бұрын
Huyu ni RAIS 2025. EE MUNGU MPE URAIS HUYU ATAKUWA MAMA WA WATOTO MWENYE HAKI UPENDO NA UZALENDO
@RayOmar-vk2nn
5 сағат бұрын
Mama kama mama
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
7 сағат бұрын
WEWE SHOBOKA MAANA HUNA SIFA ZA KUONGOZA TOKA CHADEMA UNAPOTEZA MUDA WAKO SEMA WEWE MWENYEWE USIWAKATALIE WENZIO
@EREVUKATV
6 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@frankmaeda4284
4 сағат бұрын
Kweli inauuuma.
@MaurusMpinga
7 сағат бұрын
Kazi kwako 😅
@brianbrayoo1590
2 сағат бұрын
😢😢This is too much
@johnlightmkose4723
3 сағат бұрын
HERE THERE'S NO DEMOCRACY AM TELLING YOU THE TRUTH.
@KuzenzaSangija
6 сағат бұрын
Fact
@neemanziku5403
Сағат бұрын
Unafaa kuwa rais
@neemanziku5403
Сағат бұрын
Mimi ninge kuwa mchawi ningemloga bibi na kijiji chake
@NasraAlMarjabi
7 сағат бұрын
Chadema Acheni Uwongo mtupuu sio kweli kabisa Chadema Ndio Nateka Watu Acheni Uwongo😢
@MesiakiKayan-qm7tv
7 сағат бұрын
kwani chadema wako ju ya sheria ndugu zangu mbona munapotosha watu sisi tunataka wahalifu watekaji wakamatwe
@williamfrancis8724
7 сағат бұрын
Kwanini ufikiri kwa kutumia matako?
@yusuphally-kg4wc
5 сағат бұрын
Mama kashaahidi uchunguzi ufanyike lakini bado watu wanaendelea na kelele jamani. Ila Rais wetu ni mpole jamani naona kuna pepo yake tayari mimi nisingeweza kuvumilia hayo kwa kweli
@sebastianmwantuge5597
3 сағат бұрын
Ungefanya nini? Mungu akiamua patifuke Rais ndo atasababisha
@ameirzapy1318
3 сағат бұрын
Waje wachunguze wakoloni wakati nao wana😂 visanga vyao, nenda mama kaandamane uko huru kuandamana
@sulaymanqasim6186
Сағат бұрын
Mikia mnayo kafie kwenye maandamano uje na familia yako kama ni msema kweli
@sulaymanqasim6186
Сағат бұрын
Wakati wa magufuli ulikua wapi????
@sulaymanqasim6186
Сағат бұрын
Acha uongo eti haija wahi toke ulikua wapi wakati wa magufuli mshamba weye!!!!
@karakairasa2161
6 сағат бұрын
Massage sent and received.
@yusuphally-kg4wc
5 сағат бұрын
Huyu mama akajifunze kwanza namna ya kujenga hoja. Serikali haipo kusikiliza kelele ila kutatua changamoto.
@EdsonKilaga
3 сағат бұрын
Duh! Uko peke yako humu usie na uchungu Kwa haya yanayoendelea acha iyo roho yakikatili
@DaudiMakaza
8 сағат бұрын
Huyu mam kw kuw c mtanzania
@israelkisaila8401
7 сағат бұрын
Amatoka Nchi gani?
@leokamil6284
8 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@benedictmrisho1800
8 сағат бұрын
Wanasiasa jifunzeni kwa wachezaji wa michezo mbali mbali wanasimamiaje michezo. Mnawashangaza wasio wanasiasa. Demokrasia huku mnachezea damu za watu? Simba na Yanga aliwahi mwagwa damu ya nani? Zinakuja hadi teams za nje na zinatufunga na wanaondoka salama. Demokrasi yenu sio makini wacheni Watanzania tuwaambie ukweli. Sasa mnajadili damu za watu zilizomwagika demokrasia gani mnajadili wanasiasa?
@IsackRyangera
3 сағат бұрын
Nakuaminia kamanda umepasha hakika
@MkudeSimba-p3f
Сағат бұрын
Serialised inafanyia kazi hayo matatizo serikali haijakaa kimya ! Miniature yaani ni semi na nahau zakiswahili fasaha ! Vyama 13 vimeunga mkono kufuatilia watu waliopotea! Punguza jazba kuwa na subra!
@NaftaryMgoye
3 сағат бұрын
Msichokijua lazima kisumbue, mwondoeni mbowe kwenye uenyekiti ili uhalifu anaoratibu ukome
@ErnestiSulle-w9k
36 минут бұрын
Pumbavu.
@KhamisBoss
3 сағат бұрын
Asant san mama
@ameirzapy1318
2 сағат бұрын
Vijana Muwe makini kusikiliza wana siasa
@fmbilinyi5137
Сағат бұрын
Ustupangie
@AlfaSaa-j4h
3 сағат бұрын
Chura kiziwi huyooo
@devamaiza8214
5 сағат бұрын
Ongea mlimba one
@GEDIONSOPIA
4 сағат бұрын
Tupo pamoja
@AnthonyChaula-d8l
6 сағат бұрын
Mama wa mlimba oyeeeee
@Queen-be1uf
2 сағат бұрын
Bora wewe umeongea vya maana. Piganieni haki za wananchi. Mandela alifungwa miaka 27 kwa kupigania haki. Zanzibar wanagombania haki zao kila siku wanapigwa, wanauliwa lakini hawatonyamaza mpaka haki ipatikane. Firauni aliporomoka na CCM mwaka huu wao, wamekwisha. Wauaji wakubwa
@user-zr2pn5uv8b
7 сағат бұрын
kuongea sio shida ila mbona wakati wa marehemu hamkua hivi!? na matukio yalikuwepo!?
@AlfredMatemu
7 сағат бұрын
Akili ndogo sana
@MesiakiKayan-qm7tv
6 сағат бұрын
@@user-zr2pn5uv8b wewe kwako au kwenu hakunaga kitu inaitwa subira nasi tulisubiri sasa tunaona inazidi muda tusipoteze tena
@mkondomkondo4721
3 сағат бұрын
Wataku.... .ka
@AthumanKinyange
2 сағат бұрын
Ww mama mjinga huna uzuni na chama chako cha ujinga ww mjinga hueleweki na hapo ulipo una mkia tunauona mkia wako nyie hamna uwezo wa kuwa viongozi mjinga utamuongoza nani huna hata ha ya kuwa mtendaji wa Kijiji na muache kuwa mnaripokaropoka nyie chadema au machadema hamfai hata che M Wewe mwanamke acha kuongea upumbavu huna elimu ujinga tu chama Gani hicho chadema hujui kitu unaropokaropoka
@neemanziku5403
Сағат бұрын
Kama huyu muheshimiwa anamkia basi hata mama yako anamkia
Пікірлер: 125