Mwenyezimungu akikuandikia kwaimani lazima iwe,kiukweli Mwanzoni wengi hatukumuelewa Magu but baadae tuliamini nijembe naangetufikisha mahali kama nchi.Apumzike kwaamani Magu.
@eliajimmy95
4 ай бұрын
Jembe la kuuwa watu
@patriciamuganda4498
3 ай бұрын
@@eliajimmy9511:11
@zakariamalembela3974
3 ай бұрын
@@eliajimmy95wew hujui chochote, kuna sniper la ccm ndiyo linaongoza kwwa kuua watu.
@eliajimmy95
3 ай бұрын
@@zakariamalembela3974 hilo sniper linalouwa watu ulilijua wewe tu?
@hajimnubi4581
4 ай бұрын
Yeye ndio alimbeba kamati kuu jpm alikataliwa jk akatumia kofia yake kulazimisha mnyonge mnyongeni Ila penye haki yake apewe tu
@zariadunia6328
4 ай бұрын
Ulikuwepo kamati kuu?kaawni kimya tugange yajayo mpumzisheni baba wa watu angekuwa baba yako ungekubali asemwe wakati hawezi kujibu chochote yake ya duniani yameisha tukutane akhera mjini
@hassanmfaume4522
3 күн бұрын
@@zariadunia6328 ni kweli watu wengi ktk ccm hwakumtaka mpaka uchaguzi wa mwanzo ndani ya CCM
@real_unforgettablereallife4821
2 күн бұрын
Hujui kitu wewe ...kaa kwa katulia
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi kama hakumpenda alimpenda lakini alifanya kazi nzuri na Watanzania walimkubali na wanaendelea kumuenzi tumshukuru Mungu kwa kila jambo
@eliajimmy95
4 ай бұрын
Alifanya kazi nzuri ya kutoa uhai wa watu
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
@@eliajimmy95 Alitoa uhai wa Baba yako na Mama yako thibitisha
@eliajimmy95
4 ай бұрын
@@margarethpolepole7438 je wewe unauhakika kama alitoa uhai wazazi wangu
@eliajimmy95
4 ай бұрын
@@margarethpolepole7438 Inaonyesha ni kiasi gani unaroho ya kinyama yaani huna ubinadamu, unajali uhai wa wazazi wako tu.
@margarethpolepole7438
3 ай бұрын
@@eliajimmy95una uthibitisho
@user-ze6lx9ng6s
4 ай бұрын
Ni kweli hakuta awe rais,,hata yeye atakufa tu
@samateryusuf4345
4 ай бұрын
Jpm kapigika hadi raha asante Mungu
@hemedrashid2921
3 ай бұрын
hataa utakufaaa ng'ombee wewe unadhani yatarudii ya enzii ya mwalim jinyongee mapemaa
@patricknamangoa6468
4 ай бұрын
Hongereni kwa kazi yenu nzuri! It's right to say you enlighten the dark side.
@paulnachenga6302
3 ай бұрын
Kwa nini hayo Mungu ndio anajua ukweli kama alimpenda au alimchukia nafsiyake inajua Magu pumzika kwa amani
@malochotv5805
4 күн бұрын
Ongera sana kwa kuchagua njia hii kuzihirisha ulicho nacho na Ina dhihilika
@stefanomasolwa8979
4 ай бұрын
Kama hukupenda J.P Magufuli ila Sisi tulimpenda tu ila Ifahamu Dunia tutapita wote Mzee kikwete acha Roho mbaya
@marthamungure1777
4 ай бұрын
Kikwete alimkosea sana Lowassa, hadi akafariki kwa mateso ya moyoomba tu Mungu akusamehe😢
@salumumakombo
3 ай бұрын
😅😅😅
@salomewandya7257
Ай бұрын
Kazi nzuri Zungu❤❤🔥🔥
@ndukulusudikucho_
3 ай бұрын
Watanzania hatuna muda na mijadala kama hii, Hakuwa Maguli ila ni kiumbe kama kiumbe wengine, sote tutakufa lini na saaa hilo ni fumbo la imani,kama kuna mtu anamuabudu Magufuli aendelee tu na kaburi lake haliko mbali liko chato, ila Tanzania ina thamani kuliko Magufuli na kinachoendelea ni kumuudhi Muumba ambae alimpenda zaid na ambae anajua kwanini alimchukua mapema Mpendwa wetu, ila kwasasa Kazi iendeleee, na alieshika kijiti ni mtu sahihi mnooo tena saaaaana. Mungu ibark Tanzania, Mungu bark viongozi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Ifike wakati Afrika tubadili kabisa mfumo wa vyama vingi wagombea lukuki tafuta mtu mmoja mwenye kuchapa kazi vizuri weka kwenye utawala na fullstop. China, Qatar, Vietnam, Sauda Arabia hakuna hizo mambo lakini mambo yao bam bam.
@AndreaHango
4 ай бұрын
Mungu yeye ndiye anayejua yote yaliyomo ndani ya mioyo ya watu.Nani kwani anabisha hilo?
@jumahamis5758
4 ай бұрын
safi sana
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Magufuli mwenyewe hakuupenda uraisi basi ni mungu tu ndo alimuweka pale
Alimhofu msimamo wake tangia wakati wa utawala wake alimliganisha akili yake nikama computer.
@stedymwakalile5849
4 ай бұрын
Good
@user-xc4gb1np7k
4 ай бұрын
Huyo magufuli alikuwa mwamba sana tena alipewa jina la tingatinga
@margarethpolepole7438
3 ай бұрын
Mmmmmm ama kweli kikulacho kinguoni mwako hakuna kitu kibaya kama unafiki duniani zmung mlaze mahali pema peponi amina
@user-ui1cj5re9k
4 ай бұрын
Zungu ukovizurii hongera
@user-dz2lv6en3z
3 ай бұрын
FACT👏🏿👏🏿
@nikkimbishiunju2402
4 ай бұрын
Mzee hilo Jina la Bernard unavyolitamka hapana aisee!
@clevalupakisyo7460
4 ай бұрын
Very interesting 👏👏👏👏
@BIGBOSS-hl3bu
4 ай бұрын
ALISHINDWA Nini kumtoa kwenye uwaziri?Hizo zilikuwa ni Hila za kisiasa lakini Kwa akili tu ya kawaida mtu aliyekuwa KIONGOZI wa NCHI,ALISHINDWA Nini kukata jina la magufuli ,kwahiyo Jk ndio alitaka magufuli awe rais japo kila jambo mungu ndio anapanga lkn kila kitu kina sababu zake
@samateryusuf4345
4 ай бұрын
Jpm kapigika hadi raha asante Mungu
@zeralucyntazimila6600
3 ай бұрын
@@samateryusuf4345wewe hutapigika asante Mungu😊
@samateryusuf4345
3 ай бұрын
@@zeralucyntazimila6600 mm nimeuwa nani ?? Bado nadunda tu lkn baba ako kapigika hadi raha asante Mungu
@zeralucyntazimila6600
3 ай бұрын
@samateryusuf4345 ndo maana nimekwambia hutapigika mpaka raha jamani!!! Au hukuelewa😁
@samateryusuf4345
3 ай бұрын
@@zeralucyntazimila6600 samahani sana ndugu
@user-ts4zn1sx7h
5 күн бұрын
Mweny kwa1 alikuwag apendag kuwag Raïs aliempendekezag alikuwa nan kma si yey Kikwete achen ujinga nyie kila yoyot atakae kuwa akutakuwag mzr hta cku mo1
@user-ig5yn4zp2u
3 ай бұрын
Baada ya magufuli mungu kumsimamia wanafiki ilibidi wampende maana hawkuwa na jinsi
@zariadunia6328
4 ай бұрын
Kinachokuponza ndugu yetu JK ni uswahiba wako na yusuph Makamba hilo tu
@edithkovary3654
4 ай бұрын
Siku zote,Marehemu hupewa sifa akiwa mfu. Lakini kwa Magufuli kuwa jembe,ukweli haufichiki. Kazi ameifanya kwa kweli. Na kwa kweli naamini ameenda peponi. Ikiwa kuna kasoro lakini wajibu ameutekeleza.
@IsayaNyangasa
3 күн бұрын
Haya nambo tuuasche kama yalivyo
@khalfanmlala5093
4 ай бұрын
Jk Asante rip Magu
@samsonhamery3809
3 ай бұрын
Tabia ya mchawi ni ya ajabu Sana anakuua kisha analia Sana kuliko hata wafiwa wenyewe. Ogopa mchawi na mnafiki.Ni sawa na kunguni wa kitandani.anakutafuna huku anakuchekea.
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
4 ай бұрын
Ndiyo hakutaja jpm awe rais
@martinisadru9899
4 ай бұрын
Sio kweli, yeye alikua mwenyekiti enzi hizo, kwahiyo alikuwa ana uwezo wa kumminya tu, kwa sababu magufuli hakuwa maarifu.
@elibarikimollel7149
4 ай бұрын
Alikua mchapa kazi akiwa waziri kiasi cha kupinga baadhi ya maamuzi ya kupindapinda,lakini alipofika kuchaguliwa badala ya Membe na au Makamba nongwa ikaanzia hapo, Lowasa alijua,na yeye alijua!. Tenda ya barabara zote za lami chini ya tanroad ilikua ya nani vile!
@meryevance6744
3 ай бұрын
Walimkomesha na January atakuja kuwa Rais kamwe
@user-ig5yn4zp2u
3 ай бұрын
Huo ndoo ukweli
@ValencyKyando
3 ай бұрын
Ukisikia Vita vya panzi , furaha kwa Kunguru ndo hii sasa😅
@user-wh7gj9ug9s
3 ай бұрын
Wampende,wasimpende sisi tulimpenda
@wizwaynetz
3 ай бұрын
Kikwete nimzee mpole sana anachuki na mtu Acheni uchochezi
@EshaHamd-ed9yv
4 ай бұрын
Hana Lolote labda Unafiki atamfikia Wapi Nabii Suleiman Mtume wa Allah Wakati ni Madhambi matupu Kwa Dhuluma Wizi na uuwaji huwezi kumfananisha Nabii waliyesafika na Madhambi ukamfafananisha Na Mtu mwenye dhambi kibao
@msafiriomary893
3 ай бұрын
Hata yeye hawezi ishi mirere
@laiserkuyan6075
4 ай бұрын
Watanzania tumekuzoma kama kuna watu walio uzika na kifo sha mpendwa watu mkoponzi wa Taifa letu jpm ni wewe kikwete na samia Ata kwa mziba mwrnye kulia sana Nakutangaza history ya marehemu ni muaji
@majaliwacosmas3322
4 ай бұрын
Aliemuua ni nani?
@kichenjekichenje2072
4 ай бұрын
Huyo ndie aliratibu mpango wa kifo chake
@eliajimmy95
4 ай бұрын
Kama na yeye alivyoratibu vifo vya wenzie
@kichenjekichenje2072
4 ай бұрын
@@eliajimmy95 bila shaka ww ni mgogo,sura yko tu inaonyesha jinc ulivyokuwa zuzu.Cwezi kukulaumu
@eliajimmy95
4 ай бұрын
@@kichenjekichenje2072 weka profile picture yako tuone kama sio wale wenye sura kama tako
@JELSONMAUKI
3 күн бұрын
Mhmhmhm boss umejuaje??????
@abdalahgunda1319
15 күн бұрын
I can see so many tanzania people angry about jakaya kikwete we don't have to fear jakaya kikwete better tell jakaya kikwete reality underground why fear him tanzania belong to Tanzania 60 million jakaya kikwete can't be much lptantAnt than safering if tanzania 50 mikononi much poor tanzania people
@abdalahgunda1319
15 күн бұрын
Tusiogope hii nchi ni yetu sote
@khalfanjembe2668
4 ай бұрын
K laanatullah
@adamjumaah2679
3 ай бұрын
❤
@mawazoaliselemani
4 ай бұрын
Kikwete japo na swaga zake zoote hakuwahi mchukia magufuli. Na magufuli pamoja na ukali wake woote hakuwahi mwingilia jk. Mambo ya jk yalienda smooth hata wakati wa magufuli isipokuwa wapambe wa jk ndio walikuwa wanamchongea magifili kwa jk.
@breymbasa3451
3 ай бұрын
Hujui kitu au ilikupita ile ya makontena ya mkewe Kikwete kuzuiliwa bandarini nakutakiwa walipe kodi ile hali walikuwa wamezoea kupitisha Tu mizigo kinyemela,iliperekea kupishana pakubwa mno biashara zake zilitakiwa zilipiwe kodi kama unavyotakiwa kulipia wewe
@mawazoaliselemani
3 ай бұрын
@@breymbasa3451 .ushasema mkewe tumia Akili Kila kitu anachofanya mkeo inamaanisha umemtuma?
@MrA24G
3 ай бұрын
Mawazo umeona hawakuwa na ugomvi kbsaa nashangaa watu ndio wanasema mambo ambayo hawana ushahidi nayo.Jpm alisafiri na jk kwenda south Mara kwa Mara wakitembeleana watanzania tuache upuuzi.Jk angeweza kumzuia jpm asiwe raisi tangu huko kumbuka huyooo ni raisi Ana nguvu zote.Watanzania tuwache ujinga
@AllyMwazoa
3 ай бұрын
Mtu yoyote yule angetatizika katika maamuzi yakumuacha Lowasa kwakua urafiki ni mkubwa lakini na wapinzani nao walimchafua kwa kiwango cha juu sana haswa kwa jambo la ufisadi.Lkn unafiki wawana siasa.Hao hao wapinzani wakaja wakamsafisha Lowasa kiasi cha kuonekana kama vile kumuacha ni kumdhulumu.Kwa magufuli ni mzee kikwete ndio alimuomba achukue fomu.na familia yake ilipoelemea kwa Membe aliwaambia tusije tukanuniana mambo yasipoenda vile mnavyotarajia.kuonyesha kwamba aliangalia zaidi maslahi ya Taifa.Na huyu mzee ukitoa kingunge na mzee sefu sharifu anajua sana siasa.kiasi wazee wajuzi wasiasa za nchi hii pia wanamuogopa sana
@qwertqwerty1239
Күн бұрын
Nimekuona umeongea jambo bora sana ila watu atulioni hilo sema shida kikwete alifanya hvyo kutoa lowasa alf na watu walivyo hona kuna membe wakaona anandaliwa kuwa ndipo wapiga kura wakaona isiwe shida ngoja wakose wote wakajikuta kura wote wana mpa mtu wa katolo😂😂😂😂
@jenyyusuph4973
4 ай бұрын
Tuhuma za kutomtaka jpm zitamuandama tu Sawa Sawa na kiwango cha dhambi hiyo inauzito gani
@kilimanjaro695
4 ай бұрын
Acheni majungu. JK asingemtaka JPM jina lisingekuwepo, kama aliweza kumpiga chini Lowassa, angeshindwa nini kwa JPM? Tumieni akili tusitumie chuki kwenye kutafakali jambo
@martinisadru9899
4 ай бұрын
Nyie ndio wenye chuki na mze jk
@jenyyusuph4973
4 ай бұрын
@@martinisadru9899 kwa yy anatupenda
@jenyyusuph4973
4 ай бұрын
@@kilimanjaro695 kwanza atuambie domo la jz Nila Nani liliibuka kwa kasi 2014 karibu kabisa na utawala wa jpm? Watajua wenyewe upendo wa mtu kwa mwingine unaonekana kwa macho na mwendo na ROHO viambatane mtu kashakufa sasa useme nampenda kwani atakusikia? Mungu ni wa milele shetani atatusitiri kwa Muda membe jpm luwassa wameshapita ww na mm je unaendeleaje kujistiri kwenye ujanja wa Dunia?
@kilimanjaro695
4 ай бұрын
Common sense is not common sense anymore
@martinisadru9899
4 ай бұрын
Huyu mzee kikwete alifanya kazi kubwa sana kumwinua magufuli, mungu ampe hekima zaidi. Kikwete ana hekima kama za sulemani.
@vanessajames2192
4 ай бұрын
Wewe Mkapa ndo alishikilia jina la JPM na kumbuka Mkapa alikua mtu aliekua mtu mwenye misimamo sio kama Hayati Mwinyi yeye alikua mpore
@gracemtonga3263
4 ай бұрын
@@vanessajames2192uko sahihi, mkapa ndo alikuwa final say, magufuli akawa mgombea aliyepitishwa, lkn waovu walikuwa wapi na mikakati yao! Yaliyotokea ndo kama ilivyokuwa tumebaki tunawakumbuka tuuu! 😢😢😢😢😢
@alphanlukombe3774
4 ай бұрын
Lowassa alikuwa na kila sababu ya kuchukua uraisi sema fitina ndy zilimuangusha rest in paradise Lowassa
@beatricesamwel8161
4 ай бұрын
Kabisa
@bakarimahmoud8120
4 ай бұрын
Fuatilieni hotuba ya JK Diamond jubilee.
@user-xd2tg8eq1h
4 ай бұрын
Lowosa
@marthadominick2212
4 ай бұрын
Mungu ndio anajua sio binadamu
@user-ze6lx9ng6s
3 ай бұрын
Ndiyo maana kifo chake JPM ni utata, RIP JPM
@qwertqwerty1239
Күн бұрын
Utata upi kwani aujui alikuwa anaumwa nini
@evaristernest4969
3 ай бұрын
Ni sahihi sana maelezo ya Mh Kikwete,mengine ni mitazamo tu ya watu.
@eliajimmy95
4 ай бұрын
Ikawa kichaa kakabidhiwa rungu, kwa miaka 5 chamoto tulikiona
@user-hd5bg8qw1b
3 ай бұрын
YULE NDIE ALIKUWA RAIC NA KAZI NZURI TULIIONA NDANI YA MIAKA 5 MARAIC 4 HAKUNA ALIEFANYA KAMA YEYE C BINADAMU HATUNA SHUKRANI.MUNGU AMLIPE KWA KUTUTOA TONGO...TONGO KUMBE TULIKUWA TUNAWEZA
@Athuman-is2vu
3 ай бұрын
kama ulikuwa fisadi mtu wa zurma lazima chamoto ukione
JK ndio Raisi mwenye kifua zege zaid mno kuwah kutokea Tz sijawah kuwa na hofu na maamuz yke
@DrFatmaKhanPanAfrikan
3 ай бұрын
😢RIP JPM❤❤❤❤❤
@user-pj7ng8il4t
4 ай бұрын
Lowasa alikuwa bepari Kila ukipita unaambiwa hii Mali ni ya lowasa, tulisikia Vodacom lowasa yupo, kambi ya zamani ya jeshi sakina Arusha tulisikia Sana lile eneo ni la lowasa. Kila mahali ni lowasa kule Richmond yeye, Sasa kwa hayo hafai kuwa raisi. JPM alikuwa chaguo la Mungu. Aliwasema hadharani hata CCM yake, alikuwa mwamba kweli kweli
@samateryusuf4345
4 ай бұрын
Chaguo la Mungu limepigika hadi raha asante Mungu
@user-pj7ng8il4t
4 ай бұрын
Sit down and think twice before you suggest anything. Don't be like others whose narrow minded
Пікірлер: 124