Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
@user-nw6nh7yb4q
3 ай бұрын
Bas kama VP tumpe nch mabeho
@philipo6318
3 ай бұрын
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
@YusuphPaul-g2h
7 сағат бұрын
Uhakika anafaa sana Rais we2
@mwabimulungamulungamwabi7201
2 ай бұрын
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
@user-ex4hi7fj5c
3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
@IssaMwaluko
3 ай бұрын
mungu aisaidie famlly yake amina
@elishaworkout6116
22 күн бұрын
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
@MaikoMamboleo-qt9df
4 ай бұрын
Safi sana
@EmmanuelJohn-eg9rg
3 ай бұрын
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
@ConradMbokosi
4 ай бұрын
Asante
@user-pw8xm8gm2u
4 ай бұрын
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
@bensonwissa5777
4 ай бұрын
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
@abdalahgunda1319
3 ай бұрын
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
@elishaworkout6116
22 күн бұрын
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
@PendoMwitewe-on3hj
4 ай бұрын
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
@ObediKinkusha-gq8fw
3 ай бұрын
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?
@lwanjiedna5233
4 ай бұрын
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
@DaniKadaga
2 ай бұрын
Goody xong
@user-ne7cl4cx9o
3 ай бұрын
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
@marianmartin7483
4 ай бұрын
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
@OmaryHamisi-fz7hq
Ай бұрын
😢😢😢
@StanMakambi
14 сағат бұрын
Uyu mwamba kanyooka
@user-yg9fh9sj1w
2 ай бұрын
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
@user-pw8xm8gm2u
4 ай бұрын
Tunaumia sana
@rashidkihunga2938
4 ай бұрын
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
@SiriOmari
3 ай бұрын
😭😭😭
@shadymsigwa
3 ай бұрын
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
@abeidsanga7361
10 күн бұрын
Apewe
@ErnestMeshack
Ай бұрын
. . No❤
@OmaryHamisi-fz7hq
Ай бұрын
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
@HussenMashaka-os9ok
3 ай бұрын
Nikweli Tanzania inashirikiana.
@omuze1290
4 ай бұрын
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
@fanueledmund6408
3 ай бұрын
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
@user-hd7zx9ns7q
2 ай бұрын
Ukitaka kujiunga unafanyaje
@livematchcentre21
4 ай бұрын
Moyo wa kizarendo
@user-po5mm5vk6d
3 ай бұрын
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
@esterlogose
2 ай бұрын
Hana lolote ni msakiti
@isalamKhasan
9 күн бұрын
😂tuna kukunbuka sana
@mapesaevarist9094
4 ай бұрын
Huyu mwamba alinyoosha 😂
@user-pw8xm8gm2u
4 ай бұрын
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
@miltonjohn9779
3 ай бұрын
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
@EmmanuelLupoja
3 ай бұрын
😂hela
@edmundphilemon3054
4 ай бұрын
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
@sandalakabalo5442
4 ай бұрын
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
@user-pw8xm8gm2u
4 ай бұрын
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
@JosephKowelo
3 ай бұрын
Natak kuchat na pendo
@AnnaKipetha
2 ай бұрын
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.
Пікірлер: 50