Jamal is Genius, smart, inteligence. 😊 wapi like for sns and Comment for Jamal😌
@subrynerysegerow1323
4 жыл бұрын
Yupo vizur sana
@mukaplatnumz2313
4 жыл бұрын
Jamal huyu jamaa mwamba saba
@LadyveenOfficial
4 жыл бұрын
@@subrynerysegerow1323 anatumia akili nyingi sana ndo mana ana comeup with great thing
@LadyveenOfficial
4 жыл бұрын
@@mukaplatnumz2313 sure😁
@thodzobway4365
4 жыл бұрын
🤙🏼🤙🏼 OG Jamal 🕷
@Tino_Official_tz
4 жыл бұрын
I remember for the first time nasikia the story book nikajribu kufuatilia producer nikamfollow chap. Yani hata alivyo ondoka Mtiga nilisema yule ni msimuliaji tuu muaandaaji ndio Genius 🔥🔥🔥 na ndio kilichotokea
@mukaplatnumz2313
4 жыл бұрын
Nakukubali sana professor Jamal big up bro wewe mkali sana. Nipeni hata#Like moja tu 👍👍.
@ckuugudeh6821
4 жыл бұрын
Nilikua namshabikia mtiga bila kumjua jamal baada ya story mbili nilimkubali zaidi jamal yani jamal ni full package anaandika na kusimulia mwenywe namuamini sanaa jamal👏👏👏👏👏likes za professor jamal👌
@doublebsruch9338
4 жыл бұрын
For real hii sio interview ilikua darasa kubwa Sana for the people ambao pia tunafanya utangazaji big fan of Jamal + my big brother sky
@nouriathismail3
4 жыл бұрын
@Change Mindset 9o
@noelmarapachi1808
4 жыл бұрын
Afh unatoka hapa unaenda kukutana na interview ya gigi money ana mlaumu Nandy
@fadhilisanga3384
4 жыл бұрын
kwa kweli hata mm sikupenda awali jamal anaanza kuingiza Sauti nikasema kwa kweli the story book ndio kwa heli lakini kadili siku zinavyo zidi nilizidi kumuzoea na saizi namuana jamal kama mjumbe na ni zaidi ya wajuba Jamal wewe ni jembe tena jogoooo kwenye story book wewe ni motoooo tena wa kuotea mbali alafu siku moja mpe SKY asimulie siku moja
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Hahajah
@chiefkaitaba.m.9466
4 жыл бұрын
😁😁😁😁 mjumbe tena!!!
@jumarwambo7420
4 жыл бұрын
Acha uongo
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Bwana wew ndo professor mwenyewe kabisaaa piga kazi tupo na wew hivi tuna enjoy sasa hivi! Hivi je? Kwanini wana science wengi huwa wanamajina magumu sana?
@allyjuma5163
4 жыл бұрын
Ukiwa na deep thinking kama Jamal ndio lazma utakua unaongea vitu sensitive km hivo... jamal ni kijana mweny uelewa na ham kubwa ya kujua vinavogpwa kufatiliwa
@danielmkama24
4 жыл бұрын
Nimekubali SNS..👏👏👏 Kama mmepata wazo la ku2letea Jamal...big up sky unaju😃😃
@sumathedony8245
4 жыл бұрын
Nilicho gundua Jamal anakipaji kikubwa sn na huwenda tuna mtu muhmu xn nchini na baada ya miaka mitano huwenda akawa mtu mwingne kbs
@salumualoyce5620
Ай бұрын
Mtu muhimu kivip hapa nchini?
@hopesonwilson2729
4 жыл бұрын
The professor Jamal kiukwel uko vzr katika utunzi bro. ☺
@mamajecha7856
4 жыл бұрын
Hatar na nusu
@samtelah7578
4 жыл бұрын
Me mwenyewe nlkuwa simwelewagi ila cku hiz nikiikosa huwa najuta jamaa anajua mpaka kero aiseee
@stephanieeunice8572
4 жыл бұрын
Ooh my the guy is intelligent,I love your brains
@jimmybkrbukuru6479
4 жыл бұрын
Yani kweli unayo akili kweli yakuwaza usafiri wa muda yani you’re the best kwangu imenifanya nikawa nawaza bingi san 🇹🇿 mwene mawazo mengi kweli, thx 🙏 to the history
@Tino_Official_tz
4 жыл бұрын
Naomba huo mwaliko brother Sky nipo interested sana na astronomy... hao akina Neil Tyson nimewasoma sana yaani ukiwafuatilia utagundua siri nyingi sana.
@magangajames4644
4 жыл бұрын
Mwandikie kwenye DM yake uwenda akakuelewa
@chazkoillah2652
3 жыл бұрын
Fika ofisi za wasafi pale kwa zena mbez beach share nae ideas huku sidhan kama hata kaona comment yako
@pembemussa2804
4 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri mno anaongea mambo magumu kweli kweli ila atambue tu Dunia hii haipendi watu wenye mitazamo kaa ya huyu kijana yenye lengo la kuwa fungua akili watu, maana tulio wengi tupo kwenye giza la ToToroooo
@allahisone6386
Жыл бұрын
@Pembe mussa Upewe Ulinzi wakutoshaaaa ❤️🙏❤️
@Trixiewixie
Жыл бұрын
Very true
@dollarsbaby4148
4 жыл бұрын
Jamal anafanana na alikiba kabisa😊
@agnesvintan1538
4 жыл бұрын
Kumbe Mtiga anafundishwa had jins ya kuhadisia afu anaturingia😁😁😁JAMAL uko juu Kama MORISON😀😀😀😀
The boy is cool and smart. Nikibahatika kupata baby boy I will try kumlea in a positive way na aje kuwa na mawazo positive.
@lucyjohn7904
Жыл бұрын
una mambo ya ajabu, kwahyo mtoto wa kike hawezi?
@donomar6876
4 жыл бұрын
Genius Jamal 💥
@momoyusufu3424
4 жыл бұрын
what Human see in Him whether it is negative or positive will only happen if He change that thing to come out because God does not change a person's situation until he first changes. And God changes what is good that you see is beneficial in you.
@taplamedia9935
4 жыл бұрын
This man he is very intelligent and wise🤔 Anajbu kwa fact sana...
@magrethjohn4929
4 жыл бұрын
Mmmh Jaman jamal n handsome na akil zake hongera mwaya kwa hilo
@@chiefkaitaba.m.9466 No mzee nmesifia tu kilicho kizur na cyo kutaka kumdangia niamin
@hassan0256
4 жыл бұрын
Nilijua tu jinsi zile story zilipokua zinatrend hadi namba 3 kua watamrubuni Mtiga, ila kibaya nikua walimchukua muhudumu wa Chakula kitamu wakamuacha mpishi mwenyewe
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Hahaha kweli bro na Bongo kuna wanafiki saaana sijuwi kwa nini yani
@hassan0256
4 жыл бұрын
@Change Mindsetyupo Efm
@hassan0256
4 жыл бұрын
@@officialmrtop1018 Bongo nyosso Sana , wahuni wakamjaza kua - Toka huko wewe umeshakua mkubwa kama Millard Ayo Anzisha channel yako acha kutajirisha watu 😃😃😃 Ila nimejifunza kumbe msimuliaji hata awe mzuri vipi hawezi shindana na mwandishi mzuri . Mtiga kwasasa views 10k anawatafuta kwa tochi pamoja na uwezo wake wote wa usimuliaji .
@dullyyesu9036
4 жыл бұрын
@@hassan0256 hahahahahahahaha
@safariadrien5348
4 жыл бұрын
🤣 🤣
@arnoldnzogela1228
4 жыл бұрын
Kaka huyu mtu ni GENIOUS I'm so proudly to listen episode ya pili tutaisubir kaka sns
@susanruo8087
4 жыл бұрын
This guy issa genius, am glad I believed in him from day one
@wasaficlassicshoes
Жыл бұрын
Jamal fundi sana
@salehekibusa7759
4 жыл бұрын
Nakubali we nimkweli saan jamali mungu atakufanikishia katika kile unalo lifanya
@esbonekarim14
2 жыл бұрын
From Kenya 🇰🇪 nampenda na kumwamini sana professor Jamal Aprili
@placidiuscastusrwechungura7310
4 жыл бұрын
Siyo Hulka yangu ku comment....ila kwa hii interview naomba kuwapongeza wote...! Jamal anafanya Vizuri....Hongera sana..Skywalker pia..hongera sana. Hii Channel naipenda kwa sababu inatoa vitu ambavyo ni extra ordinary!! Tunajifunza mengi na kufungua akili...! Hongereni sana kwa kazi nzuri...soon hii channel itakuwa popular and you will make a lot of money. Keep the same pase..!
@ngalowoka
4 жыл бұрын
Much love and respect to Jamal,you the BEST nad my favourite
@ibrahimbaila7764
4 жыл бұрын
Mm nakuelewa pia . Ningeomba unitafute nikupe njia nyingine
@fatnahsaleh860
4 жыл бұрын
Damn Jamal unajuwa khadi unakhera🔥🔥🔥🔥
@lightnessshayo1783
3 жыл бұрын
Anachimbua vitu kwa utashi wa Khali ya juu
@hamboverse
4 жыл бұрын
Uyu mchizi anamadini mengi yanayotakiwa yawafikie watu wengi..
@yusrasalmin9563
4 жыл бұрын
Dah jamal nakukubali sana Yaan nmesikiliza interview kwa utulivu kbs na hakika nmeondoka na kitu
@RioIpo
4 жыл бұрын
Jamaa yupo vizuri sana
@kaburaakbar4838
4 жыл бұрын
Jamal ni jini sio mtuu juu anafany mambo makubwa zaid nakukubal sana jamal wey ni mwamba kabisaaaaa
@amaningobayi7114
4 жыл бұрын
Brother MUNGU akufanikishe katika ndoto zako zaidi endelea kuiishi
@shabanimwinchea2696
4 жыл бұрын
A giant professor Jamal April
@danielmkama24
4 жыл бұрын
alf nimegundua wengi tunasomaga na kuandka Comment kabla ha2jamalza hata dk 2 kwenye video!😝😝😝
@samiamsuya9159
4 жыл бұрын
Haha ha
@issajuma5032
4 жыл бұрын
Umejuaje?
@officialhariri6673
4 жыл бұрын
Mashallah mashallah natamani msimalize
@johnco8756
4 жыл бұрын
He is so smart . He knows what he is talking about .
@EliyacostantinoPius
4 жыл бұрын
Mbosso ni psychologist ..trust me kila mtu aliyeko wasafi lazima amtaje mbosso
@dayocha1855
4 жыл бұрын
Hakika kabisa
@kaburaakbar4838
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@vivianoforo4760
4 жыл бұрын
I watch this interview and it was wow!! I love it This man is very intelligent because that is how it is when you stick to what is inside you, big up JAMAL 👍👍 tujitafute tujipate then tufanye kile kilicho ndani yetu . Huo ndo utofauti kati yako na mtu mwingine. Once again big up JAMAL 💪🏻💪🏻keep it up.
@lucialeonard2675
4 жыл бұрын
Natamn kusikiliza interview zako nyingi bira kuchoka, huchoshi yaan uko vizur sana
@Gmama264
4 жыл бұрын
Jmn uyu kaka nampend mm anasaut nzur ya upole nayy yuko😘😘😘
@andrewmmbaga1665
4 жыл бұрын
Mhh😂😂😂
@wazirbashir7626
4 жыл бұрын
Geophysics is very interesting part of physics hongera kaka Jamal kwa mkakati huo Mungu akusimamie utimize ndoto hiyo
@ameenajumah7335
4 жыл бұрын
MashaAllah Allah awafanyie wepesi 🙏
@owlbig
4 жыл бұрын
We love you 🇧🇮🇧🇮we so proud of you
@aminanamoyo83
4 жыл бұрын
Very genius jamal congra ,watu kama hawa ndio mtuletee sns ndio watu wanafit ktk sns sio akina nyakabungo 😉😁thanks sns 🤝❤👌🏿
@rajabdibwa6415
3 жыл бұрын
Ati nyakabungo!🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo83
3 жыл бұрын
@@rajabdibwa6415 Rajab wacheka si kweli au?😁
@user_stanley3rd
Жыл бұрын
big up my favorite narrator in the story book. even the language flow is captivating
@bujsaudaselemani5562
4 жыл бұрын
Mashaallah 😍
@bishweko
9 ай бұрын
❤naomba kuuliza Jamal kweli ww ni prophesor
@user_stanley3rd
Жыл бұрын
may God bless you abundantly
@rahulstark2394
4 жыл бұрын
I like this guy..proud of Him , all the way from 🇧🇮
@ashuraselemani5979
3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu na afya telee 😍😍
@jacksonmunuo5232
4 жыл бұрын
Jamali🙏
@chidiomari.65
4 жыл бұрын
Uyo jamaa ana vitu vizito Kama lile jiwe lililoua godzilla.Kaka utafika mbali simamia ndoto zako zitatimia, Allah protect you🤝🙏💪 Keep keep keep going .
@Theraldylaniscool
4 жыл бұрын
This guy is so good at what he does. Much love from Kigali
@ingabireshakira9631
4 жыл бұрын
Uwi iwacu I Rwanda ndagusuhuje
@Theraldylaniscool
4 жыл бұрын
@@ingabireshakira9631 ndagushuhuje nanjye...
@mckubo2021
Жыл бұрын
congratulations for your talent
@shekinahrwabyo8150
4 жыл бұрын
kijana ana ndoto kubwa sana na anapenda anachokifanya...big up jamal april
@ezapesambili2130
4 жыл бұрын
Ila wasafi ni wabunifu hadi kupitiliza hongeren sana !! Jamal unatisha sana broo
@rosedaud8376
4 жыл бұрын
This man is powered and blessed by God.......he have huge talent......Jah blesss you 🤗 professor Jamal
@ellywillisgotora1473
Жыл бұрын
Jamal got wisdom&Wise.
@hassanmugire1497
4 жыл бұрын
The man is humble and polite
@tariqdasulley
4 жыл бұрын
GENIUS JAMAL
@siasjoringtoneofficial4406
Жыл бұрын
Ivi ni kweli wew ni Professor au ulijipachika tu kama jina la sanaa
@irenematari6218
11 ай бұрын
May the Lord grant ur hearts desires
@bas2823
4 жыл бұрын
Im so happy when i listen yr Stories i really like them. Keep it up genus.👍🤝👌👏🙏😆
@mankwemba3841
Жыл бұрын
Jamal big up Sana you gonna be there don't give up
@halimataibu3140
5 ай бұрын
I just love jamal
@mwamoyomoyo747
3 ай бұрын
i think one day will meet jamal and have a chit chat,he really inspires me
@kelvinkinabo8001
4 жыл бұрын
Ananias edigar is the best on this field
@innocentshaibu2431
4 жыл бұрын
Good job professor
@habibhamza9766
4 жыл бұрын
Intelligent meet intelligent 🤗
@nelsonmpolochacha5035
4 жыл бұрын
Asante sana jamal. Keep going. Nimejifunza sana kwenye hii interview yako
@joxiahmendez1325
4 жыл бұрын
Always GENIUS!
@Mzeepirato
Жыл бұрын
Nakubali Sana Jamal💯👍👊
@engcyprianfuime2049
4 жыл бұрын
Bro Jamal my schoolmate kibiti boyz wodap , cheers for you brother keep it up
We upo vizuri sema usijingize upande wa dini sio uwanja wako.uwislam unakataa kwenda coz ni uwongo tu na wanawaibia watu
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
Kwaivo Wakristo hawaibii watu?
@HASASON
4 жыл бұрын
@@BigZhumbe huyo ni alshabab mwenzio, msome between lines
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
@@HASASON Nani kakuambia mimi ni Alshabab?
@mudybestmusic3889
4 жыл бұрын
jamaly anajuwa sana huyu mwamba
@khadeejaabdullah7083
4 жыл бұрын
Shukran Jamal karbu tena sns
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
Жыл бұрын
Huyu jamaa ananifanya niamini kwamba naweza kufanya kitu cha tofauti sana kwenye huu ulimwengu. The bad thing is we underestimate our abilities inside of us. Jamal your one of a million in the world
@fredymwakikono1575
3 жыл бұрын
Jamal hongera for that ambitions, lakini about space science you have a long way to go, yaani ni study ya miaka mingi sana, and I can see uko interested na Astronomy, na kuhusu idadi ya nyota ni nyingi kuliko hizo ulizozitaja, ulimwengu(universe) ni collection of galaxies, na galaxy ndogo zaidi bado ina nyota zaidi bilioni, na kuna bilions of galaxies, idadi ya nyota ni zaidi ya punje za mchanga zote zilizopo duniani so it a deep study, and forget abt that physics ya kufikirika kama parallel universe, multiverse and etc
@florianscarion5085
4 жыл бұрын
Sky hapa umecheza zaidi ya Messi au Ronaldo. I'm very happy that i didn't choose SnS for no reason.
@daphrozakikoti2939
4 жыл бұрын
Huyu Jamal ni nomaaa
@chiefkaitaba.m.9466
4 жыл бұрын
Naam #Professor We ni next level
@ronnyprisc2175
2 жыл бұрын
Jamal uko juu sana God bless you mtiga awache wivu
@mjuba
4 жыл бұрын
PROFESSOR💪💪💪🔥🔥🔥🔥
@theprofiletz6088
4 жыл бұрын
Inabaid jamal ukutane na jamaaa wa Channel ya HMG mnaendana sana kwa knowledge
@djgeorgekiller3617
4 жыл бұрын
Jamaa Yuko good sana
@ronnyprisc2175
2 жыл бұрын
Jamal mungu atatimiza ndoto yako ya kufika kwa sayari
@ibrahmpinga380
6 ай бұрын
mi nakuelewa sana simulizi zako bro nahisi mtiga asingeweza
@leonardjackson269
4 жыл бұрын
Nice i luv story book ya professor
@majidfundi8624
4 жыл бұрын
Namkubali sana professor
@selebushee7816
3 жыл бұрын
Napenda mambo muliyo hongelea kusu hanga nimejua nisiyo yajua
@abdulrahmanhassan9254
3 жыл бұрын
Nakukubaki sana jamal lakini hapo Sio kweli, hakuna binadamu mwenye akili nyingi kuliko mwengine bali kuna mtu ana maarifa mengi kuliko mwingine na maarifa hutokana na kujifunza lakini akili ni nguvu ya asili binadamu anazaliwa nayo ipo ndani yake. Kwenye Biblia kuna mstari unasema, watu wangu wanaangamia kwa kukosa... maarifa.
Пікірлер: 431