Tuna jeshi zuri tena lenye nidhamu ya hali ya juu pamoja na kuwa na vifaa vingi vya kisasa kwa ajili ya kulinda mipaka yetu.Nashauri kitu kimoja, kwa sasa kumetokea hali ya wananchi kutekwa na watu wasiojulikana,kwa nini serikali isingechukuwa wanajeshi wa intelejensia ili wawasaidie polisi kukomesha hali hiyo,maana miaka ya nyuma hapa nchini kuliwahi kutokea mgomo wa madaktari wakati wa utawala wa awamu ya nne, mheshimiwa Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete(mstaafu),alichukuwa madaktari kutoka jeshini na wakaenda mahospitalini kuwatibu raia mpaka hali ilipokaa sawa
@saliviusbraiton
11 күн бұрын
Sasa wew ndo umeongea point 🎉🎉🎉😅❤
@elizabethismile6827
15 күн бұрын
Maonesho yoteeee hii ndo imeukonga moyo wangu hii ndo nimeipenda kuliko 😂🔥🔥🔥🔥🔥
@dj_poison255
15 күн бұрын
MVP SOLIDARITY IS THE SOMETING GOOD ✊✊
@user-bf9xj3nf1o
15 күн бұрын
Mbona hawajatumia hao mbwa kuwasaka watekaji come down guys
@saliviusbraiton
11 күн бұрын
Umeanza kuchafua Hali ya hewa 😮😮
@JanethFilimon
7 күн бұрын
Tuoneshe silaha za kuzuwia makombola mnasema sili ya jesh ipo kambin mnaonesha silaha na mbinu hazalani mmemis vita mnako elekea mtapigsna wenyewe
@EliasDitric
6 күн бұрын
Hongeren watanzania wot
@MagrethDeogratias-u8c
10 күн бұрын
Tanzania imara,,,,,hongera sana mama,,,,,
@nyumbanituthegendaheka7222
15 күн бұрын
Monyesho yamekuwa mengi..Hii pesa ingepewa matumizi mengine...Magufuli mkumbuke mazuri yake..nchi maskini matumizi mengi kwenye sherehe zisizo na tija...
@user-ft7zn9rp2i
12 күн бұрын
Nilitaka kusema ila umenitangulia nimelia sana baba mulaze mahali pema pepono
@alexkazimoto7059
6 күн бұрын
Acheni usenge skuhz bongo Kila mtu mwanasiasa sasa hapo Kuna kosa gan ?
@Nyandlunyilejacom
10 күн бұрын
Haa!
@nichoojr.6747
15 күн бұрын
Huyo mbwa mbona anageukageuka anaogopa ninii😂😂
@christiangeorge2982
15 күн бұрын
ana morali ya kaz pia😂
@elizabethismile6827
15 күн бұрын
😂😂😂😂 uyu mweusi ni muoga sjui afu si mkali ka uyo aliemkamata adui 😂😂😂 uyo aliyemkata adui hataree si unaona hata anamfokea adui anavokua mkaidii kuweka chin ya ulinzi😂😂😂
@gonjimasunga
5 сағат бұрын
napenda kuungana na mafunzo
@JanethFilimon
7 күн бұрын
Ngonjere tu hizo nchi imejaa ubatir mkamaten alie mchinja kiongoz wa chadema
@LUCYSIGE
11 күн бұрын
hi nimeipenda
@ShigelaGulomwa
7 күн бұрын
1:33 1:35 1:37 2:39
@TheophilChristian
6 күн бұрын
0:55 0:59 1:00
@Africadunia2623
15 күн бұрын
Hii noma nimekubali
@kapenejr
15 күн бұрын
❤
@user-cg8yx9kf7r
6 күн бұрын
Paulo sry
@NoelErnest-l6p
7 күн бұрын
Vp
@ElikanaGelad
12 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢hatari ogopaaaaaa,
@user-fl1xz3ln3c
15 күн бұрын
Sasa kwa huo muda wote kama adui ana siraha si mngekua mmeuliwa na mbwa wenu 😁 haya bana
@TheophilChristian
6 күн бұрын
2:12
@happyfrank7863
5 күн бұрын
Uongo mtupu warijuaje kama kuna jambazi mmmmh
@TatuRashid-d6t
11 күн бұрын
Mmmh,
@randomclips5474
12 күн бұрын
adui mmoja amefatwa na helicopter 😂
@MeshaMgumya
11 күн бұрын
Hakuna Cha ajabu maana adui hakuwa na siraha
@randomclips5474
12 күн бұрын
kwani jeshi kazi yao kukamata wahalifu kama ivo ??? au ni kaz ya polisi 🤷♂️
@ShibulamaOnesmo
3 күн бұрын
Ongere sana jeshiletu
@Ayubuchonya
15 күн бұрын
Kwer lakini mnacho tuambia jaman wa bongo
@GabrielSky64
15 күн бұрын
Kwahiyo huyo jambazi ni police au nae ni Mwanajeshi
@elizabethismile6827
15 күн бұрын
Mwanajeshii ndo maan piaa amewezaa kujilinda ili mbwa asimdhuru😂
@Yotekwayangagood5610
15 күн бұрын
😂
@saliviusbraiton
11 күн бұрын
Nimechoka sana
@saliviusbraiton
11 күн бұрын
Nimechoka sana
@ElijahNtoori
7 күн бұрын
Mckz
@AmidaMweusi
12 күн бұрын
ZUa
@seneu.2128
15 күн бұрын
Tunataka vifaa vya anga vya kisiasa tuache huu utani ambao hata makampuni ya ulinzi huwa wanafanya maonyesho haya
@Africadunia2623
15 күн бұрын
Tanzania oyeeee
@ibrahmeshack2595
15 күн бұрын
kwahiyo muda huo wanajiandaa jambazi wa kweli anasubiri wamalize sio???
@ErikiColonel
11 күн бұрын
Ubaya unamwisho
@hashimuMusa-t6k
15 күн бұрын
Hakik kikos kwl n hatar
@CHALERICHARD-q5c
9 күн бұрын
😅😂
@ThulaniPrince
15 күн бұрын
Mbona mda mwingi umetumika naadui hana Ak 47 angekua nayo wote hapo wangekufa
@aligedi2869
15 күн бұрын
Mbwaa hawajapata mafunzo bora kimtizamo wangu.
@user-dp6ye3xh9p
15 күн бұрын
Hata Mimi nimeliona kama wewe ndugu
@MedardLutelemba
15 күн бұрын
Ili tujue tuna jeshi ombeni dabi moja na sudani mkiwashe ndio tutajua haya mnayotuonyesha ni kama maigizo ya makomando wa marekani hata mimi ningeweza kuigiza tatizo vitendea kazi
@VeronicaAdam-lx8yd
15 күн бұрын
😂😂😂Wew Kuma tu kaagizie kwenu
@kwejimisobi4491
15 күн бұрын
😂😂
@saliviusbraiton
11 күн бұрын
@@VeronicaAdam-lx8ydhaikuwepo haja ya kutukana tusi la hivyo
@Nelly-s3h
10 күн бұрын
Omba na ukoo wenu dabi jeshi sio la babaako ukiweza tengeneza lako
Пікірлер: 62