Wajedaaaa nawapenda sana hakuna mwanadamu mtiifu na mwenye roho ya huruma kama mwanajeshi mzalendo ktk nchiyake tuwaombee sana ndungu zetu hawa wanakabiliana na adui ila kujali adui anauwezo gani ili tu kuwalinda watu wa taifa dhid ya adui ,kama utajiri kwamwadamu yeyote ni amani kwanza basi hao wanajeshi ndio utajiri wakwanza Tzania tuwaombee sana kilamtu kwaimani yake mungu ni mmoja,kaangalie palestina Ukraine na kwingine
@shammhagama2527
17 күн бұрын
Hongereni sana makamanda wetu, kazi yenu ni njema
@consolatap
16 күн бұрын
Kazi ninayoipenda kutoka moyoni....sadly sijabahatika.Good work!
@philemonmagesa5548
17 күн бұрын
Mm huyu mwanajeshi mtangazaji wa kwanza ongea yake nimeipenda sana jinsi anavyozungumza mazoezi mbalimbali ya utimamu wa mwili
@DennisKhamasi
2 күн бұрын
Tanzania hamtuwezii sisi kenya we are the best 😂
@comedianmbuti3050
Күн бұрын
Hawa wakifika Kenya wanasalimiwa na kikosi maalum Cha gen z kikiogozwa na komando kasamuel😂
@HaulSidney
17 күн бұрын
Hawa majeshi kwanini wasikate hawa mafisadi wa nchi hii
@MsafiriValens
15 күн бұрын
Hayo mazoezi hayana maana waambie waende kule DRC kwenye frontline ndipo tutawaona kama wamekamilika kwani wenzake m23 imewainyesha kilichomkataza mbuzi kuvaa chupi wanaenda ila kurudi wazima ni mwiko
@CajerMomade
17 күн бұрын
Jwtz imara
@musal.ngwingawisalamihambo9298
17 күн бұрын
Nalipenda jeshi letu....JWTZ MUNGU AWALINDE NA KUWAPA AFYA NJEMA
@comedianmbuti3050
Күн бұрын
Hawa wakifika Kenya wanasalimiwa na kikosi maalum Cha gen z kikiogozwa na komando kasamuel😂
@TelezaRaphael
11 күн бұрын
Zaburonisingazi
@godfreykajungu.257
17 күн бұрын
Jeshi letu linaendelea kuwa vizuri.Ila nafikiri ni wakati sasa na ss tumiliki siraha za nyuklia ili nasi tuwe taifa la kuogopwa.
@victaboy7273
17 күн бұрын
Dunia imekwisha toka huko. Siku hizi inapiganwa vita ya kidigital. Hawatumii binadam tena
@msafirimaulidi5054
17 күн бұрын
Uwez kupgn vita bila askal ndomn Kuna jesh la chini, jesh la anga na jesh la maji jesh la chini linaushisha askal Kwa asilimia kubwa
Пікірлер: 46