Mimi ni Japhet 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Akina Japhet wote leteni like tumsapoti wajina letu
@neemamussa5630
2 жыл бұрын
Unajua Kuna wakat Mungu anasema na sisi directly kupitia nyimbo za watumish wake,I was feeling like Giving up lkn nmehis kupata nguvu upya😭
@mumyhendry2919
2 жыл бұрын
Mungu akuinue na akuguse moyo wako na magumu yako,Never give Up mpnz,Mungu anakuona na anakupigania sana
@aishakiwembo9141
Жыл бұрын
Nakukubali sana unaimba nyimbo nzuri
@AmosObanda23Thursday16Nov8am
Ай бұрын
Mie Mungu hunena Nami sana kupitia NYIMBO, then napata verse huo wimbo watoka🔥
@jamiladotto9622
2 жыл бұрын
Wimbo unaujumbe Makini sana🙌🙌.. unagusa. 😢😢 Mungu pamoja nawe. Mwalim Japhet zabron. Uende mbali....🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mwlrobinson
2 жыл бұрын
Katika waimbaji wanaoimba content za kufaliji na kuokoa faith ya watu , ww unanikosha na unanitach as you can think nmekusimulia maishayangu Basi unanifalijiiiiii du , Mungu akubaliki 😭😭😭
@maracezighe1758
10 ай бұрын
Kwa hakika wimbo huu ninapo usikiliza unanipa moyo wakuzidi kusonga mbele barikiwa sana Japhet 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@edensingers.8781
2 жыл бұрын
Umegusa mahitaji ya wengi, barikiwa Sana kijana. I'm Happiness kutoka Nkololo Bariadi.
Kweli kabisa yy ndie mgawa riziki,bure ohooo cjui kungeendaje bt god only.
@georgembile7025
2 жыл бұрын
Machozi ya furaha yanabubujika toka kwenye macho yangu, BARIKIWA sana Japhet
@ludwigpeace1135
2 жыл бұрын
You never disappoint,all the way from Kericho kenya
@moshiwamboi1266
Жыл бұрын
Covenant family ❤️ Patricia boatwright let's come together
@abelbaraka263
2 жыл бұрын
Mungu Ndiye hupanga maisha
@jakoboemanuelrobat9777
Жыл бұрын
Mungu akubalik San Brother Wimbo mzl San 🤝
@Rockcitytz
2 жыл бұрын
Bariki xana umewakimbuka watu mhim ktk jamanii ..na ni kama wanasahaurika fulan hv.. good Job kijana
@aderinacharles9415
2 жыл бұрын
Jamani bora huu wimbo naupendag sana
@crevermsigala8722
2 жыл бұрын
Ahsante kwa wimbo mzuri mtumishi wa mungu unanipa faraja kitka mapito yangu
@dicksonmwanzi5060
2 жыл бұрын
Kazi safi na kuntu kabisaa
@Lakhishi-oc3kt
Жыл бұрын
Hii wimbo naisikiliza asubuh mpaka usiku na sioni nikichoka aki naipenda sana iko nzur sana
@dottodaniel7535
2 жыл бұрын
Ujumbe makini
@ijaarose8789
2 жыл бұрын
Najifunza kutokata tamaa kila kitu ni kumtegemea mungu 👏👏
@johnnanangumufarijimulumbo9532
Жыл бұрын
Winbo nzuri Pia ya ni fariji saaaana tena saana vraiment mungu awalinde saaaana kundi zabron singer
@BusyBeeOnyiego
2 жыл бұрын
Waiting
@chiko_55
2 жыл бұрын
Kaka kazi nzur sana
@patucharles6
Жыл бұрын
Mungu akubariki saana huu wimbo umenibariki saana na umeungusa moyo wangu kabisa
@magrethbisaku165
2 жыл бұрын
Wow!wow!nakupenda mwaaaa Zabu unajua endelea kumtumikia muumba wako kabla sku mbaya za uzee hazijaja utakapo sema sina nguvu tena BWANA
@prettywizard5374
2 жыл бұрын
Hakika kilio changu Mungu anakijua na hivi karibuni nitafurahi,,,,,,kazi nzuri ndugu,, keep it up!!!
@nyachirangimlengwa
2 жыл бұрын
Huu wimbo jamani, hatimaye tumeupata mashabiki, Barikiwa sana
@estherkaaya750
2 жыл бұрын
Mimi pia Leo ndo najua unaenda Kwa jina la nawakumbuka
@mangalajr1476
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mkuu kwa kazi nzuri Mungu akubariki.
@jamesmayaka9070
2 жыл бұрын
so sweet bro songa mbele na mungu
@gracebwambale5032
2 жыл бұрын
Mbarikiwe saaana
@jumaemanuel
2 жыл бұрын
Nimeupenda sana huu wimbo ila viitikio havijakaa poa umesound vizuri sana
@noelajames767
2 жыл бұрын
Aiseeee kaka ata kama napitia magumu kweli ila wimbo huu umenifungua sana tena sana na mungu aweee naweee daima
@kwizeraelly9261
2 жыл бұрын
Japo Maisha ni shida yasitutenge na Mungua
@paulmwati7539
2 жыл бұрын
Amina mpendwa katika Bwana yesu Christo tumebarikiwa sana
@centrineninah9486
2 жыл бұрын
Such a powerful message ....I have cried coz of this song ..such a blessing to me .much love from Kenya .nairobi
@neustermussa4262
2 жыл бұрын
Huu wimbo umenikumbusha mbali Sana mungu awe nawe ck zote
@elisherhando
2 жыл бұрын
Kuimba raha hasa ujue kuimba, u made it Mungu azid kukulinda
@zabronalex5052
2 жыл бұрын
Hengera sana mtumishi kwakazi nzuri na mungu akubariki
@doreensakwa4875
2 жыл бұрын
Imeweza🔥🔥
@CatherineKilaka-zf9li
9 ай бұрын
Wimbo wako unanifuza Mambo mengi sana barikiwa sana japeth
@jeannettekeza6434
2 жыл бұрын
Mmhhh kwakweli nyimbo zako Jaohet huwa zina ufaridji moyo wangu kila mara siwezi kumaliza siku mbili sija kusikiliza baba mungu akuzidishie milele 🙏🏽🙏🏽
@kwizeraelly9261
2 жыл бұрын
Kilio chetu kweli Mungu anajua hatupaswi kuchoka.
@jescamasanja7655
2 жыл бұрын
Ohoo hatimaye..wimbo umerudi.Wimbo wa Albamu ya kwanza. NAWAKUMBUKA.Hongera....
@rezegerezege691
2 жыл бұрын
Naupenda wimbo huu ipo siku Mungu ataniinua nami😭😭😭
@kelsykerubo
2 жыл бұрын
Amen Amen
@margaretasiko6950
Жыл бұрын
Amen huu wimbo umenifanya nimelia sana mungu akubariki sana ndungu yangu
@lukiasaidi4422
Жыл бұрын
Wimbo huu una ujumbe mzur Sana , na unafundisha pia, ufike mbal
@kleinmnibi132
2 жыл бұрын
The feeling for this Rylics uuh health my soul.
@Godwisdom2
2 жыл бұрын
Good song, when i was listening this song, Holy Ghost spoke to me to make schedule of prayers for disabled people, poor, orphans and sick. I'll do in the name of Jesus
@leontineflorance5198
2 жыл бұрын
God bless you
@katapilashow
2 жыл бұрын
Hongera saana kaka, KAZI nzuri. By katapila
@Ann-vr7ti
2 жыл бұрын
Yaani kuna wezakano hunijui Ila huu wimbo umenimbia mm, asante Kaka zabron
@BarakahLago-qs7nf
5 ай бұрын
Yaani hata siuchoki kuusikiliza huu wimbo natafuta lyrics sijapata barikiwa sana mtumishi wa Mungu.unaniispire sana kuimba so touching song be blessed
@AnnoyedArcticFox-dh5dv
Ай бұрын
Nakukubali Sana kaka yangu mungu ni mwema
@TumainiPatson
2 ай бұрын
Ujumbe mzuri unanitia moyo MUNGU akubariki
@atumwinuka2840
2 жыл бұрын
Wow...nmeusubiri Sana huu wimbo, great job Japh
@alicekamanzi7815
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua my brother uzid kutuinjilisha.
@wanjoki1
2 жыл бұрын
Wewe kaka unajua sana nak kubali sana 🙏mungu wetu sote usichoke kwa kua yeye dio mtoa riziki...maneno kuntu👌
@carolynnkoech1793
2 жыл бұрын
Wimbo unaofariji Na kutia Moyo,Mungu azidi kukutumia Kwa utukufu Wa Jina Lake.
@barakanyambele6642
2 жыл бұрын
Nipo kahama majengo japhet, nahitaji japo siku moja niwatembelee nyumbani
@josephishasi5489
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Hakika furaha yetu ipo karibu sana. Naupenda sana huu wimbo.
@marysamson1209
11 ай бұрын
Mungu uponye kila roho yenye uhitaji wakono wako Usimsahau huyu mtumishi wako ulomuwek kupitia ulichoweka ndan yake kutukumbusha tunapojisahau katika utumishi 🙏🙏 Ishi tu rfk yangu nakupenda mnoo
@felisterpaschal4623
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisaaa tunajisahau sanaa
@japhetowoya9505
2 жыл бұрын
Asante sana mtumish wa Mungu nabarikiwa sana Japhet
@edwinmhema3191
Жыл бұрын
Hongereni kwa nyimbo nzuri mungu awabariki hakika
@neyhanga7866
2 жыл бұрын
Waoo niliusikia kwenye bas nikaupenda
@user-cg5ly5rg8z
10 ай бұрын
Naupenda sana wimbo unaujumbe mzito sana
@mosesmwakajwanga7277
2 жыл бұрын
Mwamba Yuko vizur mungu ambark sana
@yusterexpedito
Жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako minggu akubark kwa hudumaa yako
@marysaimon2213
2 жыл бұрын
Bonge la wimbo, barikiwa sana
@shilindejoseph3982
2 жыл бұрын
AMINA.Mungu ni mtetezi wetu.
@CharlesMwitamasengwe-wn8zu
Жыл бұрын
Mungu anatupenda sana na ipo siku tutaishi kwa amani
@hapdomyiroga6985
2 жыл бұрын
Nabalikiwa kwa huu wimbo mpk machoz yanatoka
@ahmedkaden
2 жыл бұрын
Music for the soul. East Africa is proud to have you.
@consolataachieng4883
2 жыл бұрын
God bless you
@stellasimiyu1343
Жыл бұрын
My favorite 🥰🥰🥰🥰
@mrmhando9819
2 жыл бұрын
Imekaa vizuri sana hii
@esrommakono9213
2 жыл бұрын
Great job kijana. Mungu azidi kukuweka viunga vya juu sana
@user-id9vz6yn2v
9 ай бұрын
Wimbo wa kimbingu sana utukufu apewe .. Bwana
@emmanuelkiiza7945
2 жыл бұрын
Asante YESU , Mungu awabariki , nawapenda
@vanessamoraa2464
2 жыл бұрын
Hakika,,Mungu wetu wakumbuke wanao 🙏🙏
@LardKE
2 жыл бұрын
Great message, great work. Loving this from Kenya. Kenya is listening 🎧. We are happy for you 💕
@neemamkunte3127
2 жыл бұрын
Wow nice song ❤❤❤❤. Mungu azidi kukuinua kwa viwango vingine
@michaeljoseph5107
2 жыл бұрын
Hongera sana,wimbo mzuri sana.
@dicksonakyoo4019
Жыл бұрын
Kilio changu hakika BWANA anajua🙏🙏🙏naamini hvyo tu na wala hakuna chakufanya nisiamini
@piresombati3651
2 жыл бұрын
Ni story yangu umeimba ila nashukuru mungu kwa yote
@FaridaDuma-yx2zn
26 күн бұрын
Hongera,nyimbo,imeniliza
@emmanuelakilya2086
2 жыл бұрын
Kaka umeimba wimbo unaogusa maisha ya wengi binafsi nimebarikiwa saaana.
@mutuasteve2179
2 жыл бұрын
Tunaitaji nyimbo kama hizi, God chosen people,, bado nasikiza huu wimbo, nafikiria sana wanaomahitaji balibali kama wato wa mitaani, wajane, mayatima,jamani tuwakumbuke, hii ndo ibada Mungu anaikubali.
@obbelinmoshi5891
2 жыл бұрын
Hongera sana Karibu sana Runzewe sec siku moja
@christinehstemy734
2 жыл бұрын
Nimeguzwa Sana mungu azidi kukupa kibali bro kazi mungu iendelee 🙏
@matridamamba3028
2 жыл бұрын
Wimbo huu umenigusa Sana barikiwa
@agnetamwaighuri736
2 жыл бұрын
Wow ndugu japhet zabron haki huu wimbo ni mzuri sana nimeuhisi umenigusa umenibariki Mungu akuinue zaidi na zaidi
@akaniwa04tv35
2 жыл бұрын
Safi sana
@maryhadson4157
2 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana
@isackbuya5794
2 жыл бұрын
Amen mtumishi
@sharonmwikya2947
Жыл бұрын
Wow,just wow,nabarikiwa zaidi
@olivamdamu4535
2 жыл бұрын
Umeweza. Mungu aendelee kukubariki
@catherineaugustine7124
Жыл бұрын
Mungu ATUSAIDIE kuyatenda mema🙏🙏
@tukulambamichael709
2 жыл бұрын
Uko vizuri my brother mungu akubariki
@sijaliusnyalanga7409
2 жыл бұрын
Kazi nzl mungu akubaliki umenibalik cna mngu akuinue zaidi
Пікірлер: 464