ubarikiwe sana unanifariji kwa huu wimbo hasa ninapokuwa na magum naupenda sana mungu akuinue zaid ya hapo
@gladysmusau5430
3 ай бұрын
Amen yote yataisha mungu atanivusha
@miriamemmanuel9165
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu hii nyimbo ni nyimbo ambayo kila nikiisikia inaugusa moyo wangu na kunipa matumaini mapya
@mariamfritsi4943
2 жыл бұрын
Amen, Mungu nakuomba uniinue mini pia. 17.03.22.
@ruthbuchelelwa9408
3 жыл бұрын
Yes na vumilia yote ninayopitia kwa kuwa najua haya yote ni majaribu tu.. only God knows tomorrow 🙏🙏much love from Kenya 🇰🇪
@harrietmakori
Жыл бұрын
Ntazidi kuvumilia yote kwenye maisha IPO siku nitafaulu my favorite song when am down
@christinamahuvi2648
2 жыл бұрын
Amina! Hakika nyimbo ni nzuri, MUNGU atuvushe sote tunaosikiliza na muimbaji pia. MUNGU atuvushe tunamtegemea kwa yote. Amina!
@jaynerigha9097
2 жыл бұрын
Vumulia yote maishani........yataisha tukimtegemea Mungu mweza.
@jullyjulline4359
3 жыл бұрын
Najua yatapita nimapito tu haya,najua wayaona mateso na magumu maishani mwangu.shuka Baba uniondolee mizigo inayonilemea.naamini kwako yote yanawezekana Mungu. Imenigusa na ubarikiwe kaka kwa ujumbe huu.Mungu akupake mafuta yake.hakika akuna gumu linalomshinda Mungu ukimtegemea🙏
@johnanthony7948
3 жыл бұрын
Navumilia yote kwani yanapita haya.be blessed brother
@johnmalembo6464
3 жыл бұрын
Utukufu apewe Mwenyezi Mungu. Upo kwa wakati wake. Utazidi kubariki na kuhubiri watu kwa nyimbo zako wakati umelala. Tuonane paradiso nitaimba nawe
@halimanarcis6745
3 жыл бұрын
Mungu wangu atanivusha kwa yote Amen
@presenterjudytv9069
2 жыл бұрын
My best musician from kenya
@datifachafumbwe8232
3 жыл бұрын
Asante yesu kwa kumtumia mtumishi wako kunivusha asubuhi ya leo
@nchimikajoseph4862
3 жыл бұрын
Kila asubuhi kabla sijatoka kitandani naanza na huu wimbo then nyimbo za kristo mwisho kesha la asubuhi,Mungu abariki kazi ya mikono yako bro
@user-uv3zp2wj5b
10 күн бұрын
If everything bel0ngs to you what else can conguer you .?..indeed ur miraculous Dear lord
@jenifferkavivi675
3 жыл бұрын
Navumilia na yatapita kwa sababu yote Ni mapito,huu wimbo umenitia nguvu kweli,barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
@khaldn7409
2 жыл бұрын
Nice song be blessed so inspiring
@deborahmulokozi2717
3 жыл бұрын
Wooow mungu nikumbuke 🙏🙏🙏 Vumiliya kabisa 🙏🙏🙏🙏
@japhetzabron1881
3 жыл бұрын
Amen
@mercykaingu1165
3 жыл бұрын
Najua yote yatakwisha ....mungu wangu atanivusha kwa yote
@mercyachilla660
3 жыл бұрын
Mungu hutoa watu mbali ni mwema
@joyniyukuri9310
3 жыл бұрын
Bwana naomba unipandish ili nifike kwa malengo🙏navumilia yote kwny maisha...ushindi wangu uko kwako sasa nakutazama🙏Ahsante Japhet kwa ujumbe,,
@hellenthomas4742
Жыл бұрын
Àsante sana kaka yangu nyimbo zako zimenipatia nguvu nilikuwa nimelemewa na mawazo but najiona nipo sehemu nyingine kabisa
@dorcasabel312
3 жыл бұрын
Ameeen Navumia Yote Kwenye Maisha, Yote Nayopitia Najua Yote Yatakwisha. MUNGU Akubariki Kaka
@cobralsno3276
3 жыл бұрын
Ameeen
@jacklinemuksi7170
3 жыл бұрын
Amen,najua yote ni majaribu tu nitashinda.. Much love from Kenya 🇰🇪
@susanbett4325
3 жыл бұрын
This song really touches my soul. I usually watch the one you sang with akina Victoria and Grace. God bless you brother Japhet.
@aggykims4623
3 жыл бұрын
I love it song ,bigups from kenya Zabron
@amenipapro4149
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana'a kaka Mungu azidi kukuinua
@chepkiruikilel9098
3 жыл бұрын
I really love your songs they always uplift me. God bless you Brother lots of love from Kenya ❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@judymuindi2029
3 жыл бұрын
Lovely song, am blessed. God I will persevere all the trials in Jesus name.
@mcagnessmayagila3690
3 жыл бұрын
Waaao waaaao Japhet MUNGU akutunze sana kwa kazi yake huu ni ujumbe mzuri wa kutia moyo.Mafuta ya Ki-Mungu yasipungue kwako
@phoebebalaam4456
3 жыл бұрын
Kaka Mungu azidi kukubali na kukupa moyo wenye hekima katika kila hatua ya maisha yako Mungu bado yupo nawe hawezi kukuacha hata kidogo be blessed
@user-xs6nr7xm9e
2 ай бұрын
God bless you, bro Mungu akuinue viwango vingine Zabron singers to the world 🌎
@annastaziahayubu4127
3 жыл бұрын
Waoooh my t keep it up God bless u🙏🙏🙏🙏🙏
@faudhialaurian2923
3 жыл бұрын
Kaz nzr sana bro munguAzid kukuinua kila iitwapo leo
@richelly6093
3 жыл бұрын
Kazi mzuri Sana mwenyezi amtagulie
@japhethl.japhethofficial5260
3 жыл бұрын
Nakukubali sana wajina wangu
@cylivamtravis7021
3 жыл бұрын
Woow wonderful my God bless you to bless others
@wishnamhoja9059
3 жыл бұрын
Ubarikwe Sana japhet .. navumilia yote kwenye maisha .. ubarikiwe Sana 🙏
@Vusi2020
3 жыл бұрын
Wow I dont speak Swahili but I am singing along aloud this morning thousands of miles away. Thank you for the beautiful soulful music
@japhetzabron1881
3 жыл бұрын
Stay blessed
@rosemallyubalikiwanyimbonz7224
3 жыл бұрын
Nimebalikiwa sana nanyimbo hii
@sarahwilliam2256
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Zaid mtumish unanibariki sana
@elizabethojwang6189
2 жыл бұрын
napenda sand zabron singers nyimbo zenu hungera sana
@iweningogoofficial3733
3 жыл бұрын
Nitaomba kukushirikisha kwenye wimbo wangu mtumish
@millicententsiwah8405
3 жыл бұрын
Kk so I just saw this song and I really like it ,and I understand by reading the English subtitle . much love from 🇬🇭
@masaludaudi1443
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri katika wimbo huu. NAVUMILIA
@ronaldinhoskillsever103
2 жыл бұрын
Nawakubali sana nafatilia sana kazi zenu ni nzuri sana
@millieempress7902
3 жыл бұрын
Bwana naomba unikumbuke🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@happykatikiro2938
3 жыл бұрын
Navumilia yote 🙏🙏najua yote yatapita ohooo asante Mungu wangu🙏🙏wimbo mzuri sana umezidi nipa nguvu
@japhetzabron1881
3 жыл бұрын
Amen
@agapemagowa7401
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi songa mbele na kazi yabwana nakuombea ufanikiwe zaidi napenda sana nyimbo zako agape kutoka iringa
@godfreymasondaabel1904
3 жыл бұрын
Barikiwa mkuu, Mungu azidi kuwanyenyekeza
@chiriijoy9368
3 жыл бұрын
Oooh yes yote tunayo pitia baba utatubariki u got love and likes from Kenya, an inspiring song
@alisburundi9657
3 жыл бұрын
Nyimboiyo inanibaliki sana mungu apewe sifaa
@Ijusthavequestions
3 жыл бұрын
Very talented. You have a way with words.
@ericknyamamba6985
3 жыл бұрын
Tumaini langu ni kwa Mungu blessed bro japhet n family
@petermwanganyi6130
3 жыл бұрын
Yote yatakwisha... Asante sana kwa wimbo huu wa imani
@jenipherpeter3419
3 жыл бұрын
Navumilia yoteee ,MUNGU wangu atanivusha na yoteee na barikiwa mnoo na huu wimbo
@yuniscochengula1741
3 жыл бұрын
Saf mtumishi wamungu
@sophiakolimba9217
3 жыл бұрын
Japhet wewe ni Ambwene Mwasongwe ujaye unanibariki ,ubarikiwe Amina
@josphatchomba4688
8 ай бұрын
Hi mungu awabariki yimbo senu nasipeda❤
@mariannamanganga5195
3 жыл бұрын
Hongera xn kaka,kaz nzur xn.Mungu akubariki
@johnsanago2974
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sna mtumshi
@user-bi8ou2yi4j
7 ай бұрын
May God bless you mtumishi wa Mungu
@lydiambwele7382
3 жыл бұрын
Bwana naomba unipandishe!!!!
@audacenibaruta.
2 жыл бұрын
Ugumu wa maisha kipimo cha hakili.Nimekubali,kabisa unaimba.Japhet ongela sana!
@jasminealvine3962
Жыл бұрын
Mungu akupiganie kaka yangu nimefarijika sana
@happykimwaga9250
3 жыл бұрын
Nilimiss Sana nyimbo zako aisee
@japhetzabron1881
3 жыл бұрын
Karibu
@agathachikanenda974
2 жыл бұрын
Nikiusikiliza huu wimbo unanifanya nijisike kwenye amani nahis Kama nimetungiwa Mimi unanigusa sanaaaaa,ubarikiwe kaka yangu
@winifridasamweli336
2 жыл бұрын
Video
@user-wg8rp4tf2i
5 ай бұрын
MUNGU azid kukuinua kaka kwa nymbo nzur
@aliceongubo9037
3 жыл бұрын
It's a NYC song really comforted me and gave encourage
@JumaSatarajr
4 ай бұрын
🙏💅⌚🎆 Nakupenda japhet Sijutii🙏💅⌚ kusikiriza nyimbozako kwanza zinanifariji zinanibariki zinanitiyaguvu🙏💅⌚🎆🎆
@nessasment.1727
3 жыл бұрын
Nmepata wimbo wa kufunga nao mwaka❤️❤️❤️ Mzuri sana, Ubarikiwe saaaaana🙏🙏
@lydianyabena9880
3 жыл бұрын
Yote yatapita ... Amen and be blessed japhet
@gracejoshua4361
2 жыл бұрын
God is great
@amonkiprotich7661
2 жыл бұрын
Very inspiring song indeed
@luciamaagimaagi1106
3 жыл бұрын
Kazi yako ni njema..n ur very unique. Japhet zabron
@magiebabirye4468
2 жыл бұрын
Hata mm navumilia
@wiltodnaftari9954
3 жыл бұрын
Song navumilia yote; Barikiwa sana kaka jephet much love blessed
@suzzychana
3 жыл бұрын
I love your songs so much, I feel blessed whenever I listen to them
@KinyashiTV
3 жыл бұрын
kila siku kuna vikwaz sana hakuna budi kuyapitia yote ilikufikia tumaini alilo lianda Mungu kwetu.
@japhetzabron1881
3 жыл бұрын
Amen
@KinyashiTV
3 жыл бұрын
Na iwe hivyo
@deusmakoye9999
3 жыл бұрын
Mbona Kama ndo yule wa kwenye zabron Singer
@yonamaji9771
3 жыл бұрын
Kazi nzuri MUNGU anatukuzwa juu yko
@joskyshams4758
2 жыл бұрын
Yote ninayopitia ni majaribu tu Baba usiniache. Huu wimbo unafariji.
Пікірлер: 305