Wazungu ndio walipanga kuendelea na ukoloni wao. Nakumbuka 1964 usiku wa kuamkia siku ya Alhamisi tukiwa shambani Ismani, kilimo cha mahindi kilishamili sana Iringa, ndipo Radio Tanganyika Brodcasting Co-oparation TBC, asubuhi na mapema Ilitangaza kuwa kuna baadhi ya wanajeshi wameasi.Hata hivyo walishindwa Nchi ikawa salama na amani. Mungu anipenda nchi yetu tokea iumbwe. Mungu bariki Tanzania.
@amosimariba9820
2 жыл бұрын
Daah, naona kichwa chako bado kinafanya kazi nzuri Kwa kumbukumbu hongera sana
@ellianoah1416
2 жыл бұрын
Kwetu Isimani
@kelvinmtavangu7701
2 жыл бұрын
ASANTE SANA ndugu yangu. Karibu kwetu Mufindi Igowole.
@ellynutambelwa1948
Жыл бұрын
Hi
@eneryh1253
4 жыл бұрын
Mzee alikua noma sanaaa
@bakarbakarali-cw3gc
Жыл бұрын
Nyerere waislam alituuwa Sana hatumsamehe
@jaromejonas5910
4 жыл бұрын
Uko makin sana mtangazaji mungu akubaliki na kupaji chako asante kwa story
@edsonnelson4464
2 жыл бұрын
S tori yako ni nzuri lakini hujaingia kwa undani zaidi tafuta wahusika wakupe undani wake au tafuta magazeti yaliyoandika hill jaribio
@edsonnelson4464
2 жыл бұрын
Stories yako nzuri lakini hujaingia kwa u
@Malangalusaede
3 ай бұрын
Good ❤❤
@PetroMabande-ip8pw
Жыл бұрын
Tunakukumbuka baba
@linuspapiasmanywele3414
2 жыл бұрын
Loooooo Mungu Nimkubwa
@mangofish9079
2 жыл бұрын
Sio ilikua karibu kumuondoa sema alikuwa tayari keshapinduliwa Muingereza ndio aliekuja kumrejesha madarakani na kule zanzibar Muingereza huyo hyo ndie aliefanikisha mapinduzi kutokea
@thestorybookwasafi4225
4 жыл бұрын
Cheers to The Great mind JK Nyerere
@abelyjrxtrail6801
4 жыл бұрын
Naomba nijue hiyo Background beat inaitwa....😮
@nikkimbishiunju2402
Жыл бұрын
Sio Jurius Nyelele ni Julius Nyerere aisee
@mereybajrey1317
4 жыл бұрын
story mwisho sio kweli mwinyi hakukamata madaraka 1995. Plus jina la baba wa taifa ni Mw Julius K Nyerere sio Nyelele
@adamismailly1784
2 жыл бұрын
Matukio hayako sawa Hatibu gandi magii history yake utaipata muheza kikiji cha mafere ndio kaburi lake liko
@ibrahimomari2458
2 жыл бұрын
Umejitahidi lakin bado... kama ni alama nakupa 20%
@bahatimohamedi2255
4 жыл бұрын
Mapinduzi safi
@wangapichitanda5469
4 жыл бұрын
Mungu amlaze mahar pema pepon
@innocentjoseph805
4 жыл бұрын
Ata Mimi nashang'aa xana, eti Leo hii baadhi ya wasukuma wanaona Kama wao ndo wenye nchi hii, kumbe ngomba ikivuma xana upasuka! But magufuri we chapa Kaz baba ( tatizo ni ukabira)
@samjoseph3954
4 жыл бұрын
Wanajukuta wao ndyo walipigania Uhuru
@jisamjoseph4558
4 жыл бұрын
Hatuko hvyo hata kidogo
@innocentjoseph805
4 жыл бұрын
@@jisamjoseph4558 we unajuwa na zungumza Mimi Kama Nani?
@innocentjoseph805
4 жыл бұрын
@@jisamjoseph4558 sema siko hivyo , siyo hatuko hivyo !
@jisamjoseph4558
4 жыл бұрын
Sasa ukabila unatoka wapi...ukibeba sana jambo moyoni litakusumbua
@ngunitv
2 жыл бұрын
Ilikua kidongo jeji WA muondoe mwalimu nyerere kazini jaribio LA mapinduzi yalipanywa na makomadoo//ngunitv
@omaryrashid1873
4 жыл бұрын
Mapinduz noma
@KUTOKA-ep2fk
4 жыл бұрын
Yaani hapo umechemka mwinyi 1995?
@lirastanley390
2 жыл бұрын
Amekosea bahat mbaya walipewa msamaha kipindi ambacho mwinyi anaiaga nchi kimadaraka
@samsonmwijage1869
4 жыл бұрын
Kuna mambo hukuyasema, historian hii huijui vizuri wewe msimulizi.
@happybrayan5793
3 жыл бұрын
Wew unaejuw vizur umeeleza wp asee
@upendotarimo9324
2 жыл бұрын
@@happybrayan5793 😂😂😂😂😂
@kakamkubwa9393
2 жыл бұрын
Duuuhhh....kaka muongo sana
@bonangatuni8077
2 жыл бұрын
Hufai kuwa mtangazaji Nyelele au Nyerere?
@BONGOSTARMEDIA
2 жыл бұрын
😁 😁 Tafuta pesa kaka mwaka ndo unaisha huu usikasirikie watu
@apolomagelanga4863
4 жыл бұрын
Mtoa post unataka kutwambia nn?
@mwamedchilung7737
4 жыл бұрын
selikahii ni ya kikabila tena ya mama sana yani
@alexlukumay8863
4 жыл бұрын
Uwongo mtupu hiyo
@r14kgroup68
3 жыл бұрын
Apumzike salama
@jamalimatitu8376
2 жыл бұрын
Jml
@tofautistudio
4 жыл бұрын
Mie nakupongeza msimuliaji
@BONGOSTARMEDIA
4 жыл бұрын
Asante sana j 🙏🙏
@tofautistudio
4 жыл бұрын
@@BONGOSTARMEDIA OK
@raymondhipolite5218
3 жыл бұрын
Mwamba wa tz
@mlawajunior1603
2 жыл бұрын
Mlevi nani
@nikkimbishiunju2402
Жыл бұрын
Butiama sio BUTIHAMA
@BONGOSTARMEDIA
Жыл бұрын
Noted sir
@deodatuschrizant3736
4 жыл бұрын
Unazengua blood ani sauti inaanzia juu na kushuka
@juniormichael354
2 жыл бұрын
Matukio hayapo sawasawa katika simulizi hii
@jumashabani8420
2 жыл бұрын
Maganga na wenzake hawana picha zao mkuu
@alvinwanzagi7797
4 жыл бұрын
Uhondo wa julius
@t.h.u.g934
4 жыл бұрын
Sauti yako ipo down sana
@donardfulo4243
2 жыл бұрын
Francic hingo ilogi mungomo mwingine
@emanuelsafari5580
2 жыл бұрын
Acha kuwafumbaza watanzania huo ni uwongo ""wanajeshi wa tanzani hawakuitwa JWTZ mwanzoni
@BONGOSTARMEDIA
2 жыл бұрын
Waliiitwaje mkuu na nini kirefu cha jwtz? Tusaidie
@jablanco3205
2 жыл бұрын
Jeshi la wananchi tanzania?
@jisamjoseph4558
4 жыл бұрын
Kwamba walitoka kwa msamaha wa rais baada ya mwinyi kuingia madarakani 1995 🤣🤣🤣
@makeresiapawa7947
4 жыл бұрын
1995? Umechemsha hapo
@herifridgmsigwa180
3 жыл бұрын
Mwanikanga pawa
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
UKABIRA HUO MTUME KUUPIGA VITA HUO NI UHIZIBIYA
@dmwt5878
2 жыл бұрын
Mh
@BONGOSTARMEDIA
2 жыл бұрын
Asante kwa kutizama 👍karibu Saana bongo star media
Пікірлер: 83