shekhe nakushukuru sana Allah akupe kila lenye kheri na wewe, akupe maisha marefu akulinde kila mabalaa ya ulimwengu akupe pepo y juu say amiiiin kila anaemckiliza shekhe wngu huyu
@amneothman2301
3 жыл бұрын
Amiin
@viviankamunde8367
3 жыл бұрын
Allah na akuzidishie Rehema na Neema kupitia mafundisho yako ambayo nimekuwa nayasikiliza nimejifunza Uislamu ndio Dini ya Haki na Kweli nashukuru Allah kwa kukutumia wewe nikayajua hayo Asante
@LatifaLatifa67-ho1zr
4 ай бұрын
MashaAllah ❤
@samirahassani8606
Жыл бұрын
Shekh ahsante mashallah nimecheka Sana iyo Kuna ikhlaf ya Wana zuoni😀😀😀😀😀
@kisimatikisimati9946
6 жыл бұрын
Mwanamke hutowa mani.. lakini haitungi mimba , hushushwa na mwanamke kuonyesha kafika kileleni tendo limefika mwisho , Mwanaume hutoa mani zenye mbegu , mtoto kufanana na upande wa mama au baba ni uumbaji wa mwnyezi mungu Allah s.wt , ukisoma kati QURAN surat at kawir .. aladhi qalaqaka fasawaka fa adalak fii surat mashaallah raka bak , mwenyezi mungu anasema amekuumba wewe mwanadamu kisha akakuweka sawa ktk sura anayoipenda.. " Sasa hapa inaonesha wazi kuwa sura ya mtub au maumbile ni ALLAH S.W.T ATAPO TAKA UFANANE NANANI.. MWANAMKE HANA JEURI YA KUMPA SURA MTOTO AU LOLOTE..LILE... SHEIKH DHULKALNAIN
@ummukulthumdaffi7185
6 жыл бұрын
Masha Allah sheikh lugha yako yaeleweka uzuri tuu ...Allah akuzidishie uzidi kutuelimisha
Kuna swali nyingi nataka niulize sasa sijui niulize nani
@doctorfaki277
5 жыл бұрын
Amashallahu l akuzaidishie shekhe
@makamemufadhil627
6 жыл бұрын
Watu kimbele mbele kwali lazima ukosoe Shehe
@abdirahmanbonaya3805
3 жыл бұрын
Allah akubariki
@abuuzuberi9887
3 жыл бұрын
Shehe Allah akulipe Kwa elimu hizi ktk mtandao
@biashaali379
4 жыл бұрын
nime shkuru sn Alhamdulilah ustadh
@swalhathabdulrahman7129
5 жыл бұрын
Mashaaalah VP Huyo ambaye bikra Hatoki damu inakuwaje
@husseinyhassany5696
5 жыл бұрын
Wlh mungu yuwajua vipi dada
@sayyidathmanabdulrahmanhh1467
3 жыл бұрын
Na kama ni bikra hatoki damu jee aoleka?
@abullahkabaka8774
4 жыл бұрын
MASHALLAH ALEIK.SHEIKH
@leilahassan6731
5 жыл бұрын
MashaAllah darsa zako zaeleweka na si boring unatuchekesha sana
@slowclimbertothetop4572
4 жыл бұрын
Maashallah anajitahid sana
@user-yn8yj5xf2p
5 ай бұрын
Kwa kweli wallah
@muriphehamza547
5 жыл бұрын
جزاك اللهُ خیرا
@fahadfahmy
6 жыл бұрын
Abdulrasul Issa ndugu yangu dini haifichi kitu shekhe Izudin yupo sahihi kabisa.
@gavinskylar751
3 жыл бұрын
not sure if you guys gives a damn but if you are bored like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my gf these days =)
@maximobriggs8499
3 жыл бұрын
@Gavin Skylar yea, been using InstaFlixxer for since november myself :)
@RehemaMohammed-kr1cu
2 ай бұрын
Je,yawezekana,kufunga,wakati,wahedi,ya,
@user-ni4ji5kp4e
Жыл бұрын
Shukurani san shekhe ❤❤
@samiahabubakar1863
6 жыл бұрын
mashaallah mwanamke akitokwa na manii raha bwana adi wewe mwsnaume mwenyewe unainjoy
@user-lw3qd3bn9z
6 жыл бұрын
Samiah Abubakar 😀😀😀😀😀😀😀😀😀raha thele
@lacroquetalacroqueta6813
6 жыл бұрын
نجمه العلي tena kwa kina kileleni😁
@user-lw3qd3bn9z
6 жыл бұрын
distinctively Pukka hpo chachaaaa
@sallysally8228
6 жыл бұрын
😅😅😅😅
@rukiaswadaktaamanenokuntus3125
6 жыл бұрын
Samiah Abubakar mashalla
@haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
6 жыл бұрын
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
@abdallahmuhammad4729
6 жыл бұрын
shukran Akhy Izzu Dyn ufaswaha wako ndio unaotufanya tufahamu vyema.Na hivyo ndivyo inavyotakiwa mas'ala ya Dyn yaongelewa waziwazi ili msikizaji km mafuhumi yake ni ndogo apate pia kuelewa vzr.Shukran
@akidalema2790
4 жыл бұрын
Jazkaallah kher
@adamanthony8025
6 жыл бұрын
nakukubali sheikh Izudin Alwy Din
@abrarabgao
6 жыл бұрын
JAZAKALLAHU KHAIR
@najmaomar6262
6 жыл бұрын
Abrar Abgao Aamiin
@amuunyussuof5240
6 жыл бұрын
Nice
@nusurakajubu8785
6 жыл бұрын
haaaahaaa ndo maana napenda watu wa Kenya jmn
@AminaJuma-o2o
13 күн бұрын
Je ukatizama video kisha ukatokwa na manii je utatatiwa kuonga
@rukiarukia9749
6 жыл бұрын
mashaanllah tabaraka nllah
@shabanabdillahi4575
6 жыл бұрын
Shukran ya sheikh
@omarawadh1389
6 жыл бұрын
Kila anaeangalia bc ni wajibu wake kuyajua na hakerwi na kinachozungumza. dini haifich kitu
Bintiali Mwahezi pole nduguyangu kama nimekuudhi bt ni meulizwa jee mm nimakosa kujibu aw wataka nijibu vibu vipi ? Nisaidie maoni pls ?
@bintialimwahezi5123
6 жыл бұрын
Hamna nimeridhia hilo jawabu naona umejibukiufasaa ndio mana nimefurahi bigup....
@IzudinAlwyDin
6 жыл бұрын
Bintiali Mwahezi Sawa na nikikosea pia nirakibishe pls mm mwanadamu .
@khamismusa7626
6 жыл бұрын
Shukran sheikh
@jA-ox7vz
6 жыл бұрын
Mi nlikua cjui km mwanamke hutokwa na manii pia
@chepason7212
6 жыл бұрын
j A mwanamke hatoi manii shekhe amekariri uyo atoke manii anamzalisha nani nawewe umekubali kuburuzwa nahuyu ustadhi hana elim akasome vizuti tafsiri ya vizuri
@omartehseen2128
6 жыл бұрын
MashaAllah
@lacroquetalacroqueta6813
6 жыл бұрын
Mada hii inasisimua akili,Sheikh tupe ilmu SUNDUKI.waambie watie hand bireki😁
@likeothers2498
4 жыл бұрын
Kabisaa
@imanikilihindi3184
6 жыл бұрын
Shukran
@alidingongo443
6 жыл бұрын
Hahahaha kutokwa na manii kama kamasi
@maryammaram2612
6 жыл бұрын
Ali Dingongo 😂😂😂
@maryamomarswaleh4255
4 жыл бұрын
Umeskiaa eeee hhhhhh 😁😁😂😂
@pinkymahsen7944
7 жыл бұрын
Shukrn
@fauziamwakunena549
6 жыл бұрын
😂😂😂😂je ukifikiria utokwe na manii pia uwoge
@IzudinAlwyDin
5 жыл бұрын
Ndio lazma uogee
@switbebyshaheen630
5 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin sheikh naomba number yako pls
@IzudinAlwyDin
5 жыл бұрын
@@switbebyshaheen630 +254772611120
@cookinglist1004
3 жыл бұрын
uoge kama umefikir tu ,kama unanyo oga janaba ?au kuoga kawaida tu yatosha.
@mozasuleiman2753
6 жыл бұрын
Dini haifichi kitu mbona kafahamisha vizuri tuu
@sahlomar6397
4 жыл бұрын
Apigwe mbati
@ilhamprecious8816
6 жыл бұрын
Km mwanamke haja tokwa na maniii je au asioge????
@iddysudy5910
5 жыл бұрын
ilham precious Mkishaingiliana tu lazima kuoga janaba
@mishisaidi8696
6 жыл бұрын
shkurani sheik ata mimi hii ilikuwa yanisumbua
@yasobush
6 жыл бұрын
Mashallah best shekh
@swabirsalim122
5 жыл бұрын
abdulrasul Issa umetumwa ww kumkashif shekhe waacha ya muhimu wapiga vita shekhe
@asiakheir6406
6 жыл бұрын
Shekh hakika wanaumewengi hawajui kama mwanamke hutokwana manii
@chepason7212
6 жыл бұрын
Asia kheir hamtoki na manii bana embu kasome vuzuri bana kama huna elim tuukize utoke na manii unamzakisha nani
@asiakheir6406
6 жыл бұрын
Abtwalibu Chepa , aa kwani hujui basi wanawake tunajua
@saumuseif9189
4 жыл бұрын
Shukran saan
@lailat8686
6 жыл бұрын
a'ghlyk naomba namba yk shekh
@sabrimohd753
3 жыл бұрын
Salama aleykum..mimi naomba kufahamu kwamba kutia nywele rangi nyeusi haramu je ndevu hukumu yake vp??
@hashimjuma1217
4 жыл бұрын
Shekh mm swali lngu ikiwa mtu katoka kwenye uzazi na tyri ameshaoga arubaini bdo anatoka uchafu ambao unatka kufanana kma manii huyu yye ataoga vipi
@imranshomarysalehe9492
6 жыл бұрын
asante
@salummsangule7513
6 жыл бұрын
ASANTE SHEKH
@salummohamed3860
4 жыл бұрын
shukran
@zeddynatty9338
5 жыл бұрын
Sheikh nani vile yni unavo toa mawaidha nikama wapiga story nawenzio bado ujajua kutoa darsa..tna uku una laptop. Au ndo new generation..astaghafirullah..
@lutuismail7763
5 жыл бұрын
Zainabu Musa hayo sio mawaidha hilo nidarsah .ndio maana watu wanauliza maswali.kwenye mawaidha hapaulizwi maswali
@switbebyshaheen630
5 жыл бұрын
Zainabu musa kama kitu hujui nyamaza
@imranshomarysalehe9492
6 жыл бұрын
sheikh nataka kujua wewe ni mwenyeji wa wapi
@zamilmohammed6037
6 жыл бұрын
Izudin Alwy Din ww amu ustadh😁😁😁😁😁😁
@zamilmohammed6037
6 жыл бұрын
Izudin Alwy Din ww ni wa amu😁😁😁😁
@estherchamhene212
6 жыл бұрын
Imran Shomary Salehe mombasa
@somoeabdallah6484
7 жыл бұрын
shukran jazzakillah khairab
@somoeabdallah6484
7 жыл бұрын
jazzakallah khairan
@hamdukhamis5153
6 жыл бұрын
saf
@likeothers2498
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ruwaidatabdallah2769
6 жыл бұрын
Hahaa
@zaituninassor415
5 жыл бұрын
Alhamdulilha, mwenyez mungu akupe afya njema uzidi kutu helimisha,0718213803 namba yang hyo naomba niunganishe na group la wasp sheikh wang
@rashidsuleiman2663
6 жыл бұрын
Huyu shehe anapatikana Wapi kenya tanzania ?
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
rashid suleiman Anapatikana Mombasa
@salwasalwa9617
6 жыл бұрын
rashid suleiman kenya sehemu ya lamu
@ruwaidatabdallah2769
6 жыл бұрын
rashid suleiman keny
@salwasalwa9617
6 жыл бұрын
.kenya mombasa msikiti shibu lakini kwao ni lamu
@rosemarybenjamin4333
6 жыл бұрын
Manii ni nini
@NB-ed5qv
6 жыл бұрын
Rosemary Benjamin Squirting.i think.
@nusurakajubu8785
6 жыл бұрын
mashaaAllah
@ibrahimmnyeto5885
4 жыл бұрын
Naomba uniunganishe na group la kiislam shekh 0754967816
@mwashumunassor318
4 жыл бұрын
Shekh naomba niunge ktk group yako namba zangu 0620 198301
@bebisheni4380
4 жыл бұрын
afu ee Shekhe unanikera maneno yako machafu
@abullahkabaka8774
4 жыл бұрын
Nimengi machafu na ya wanawake tu
@greysonflams2237
4 жыл бұрын
Niunganishe na group la kiislam Shehe. 0783198298
@chepason7212
6 жыл бұрын
nyie ndo mnapotosha dini nyie hamna helim kasome kwanza cha kwanza janaba ni janaba hatakama umeota pili mwanamke hatoki manii kasome quraani vizuri atoke janaba kwani anazalisha we mwehu kweli mwanamke anatoa kitu kinacho itwa miyukasi sio manii
@mwasitiomtima1896
6 жыл бұрын
Abtwalibu Chepa 😂😂😂na nn maana ya miyukasi?? Kwan manii hayako mfumo wa mucous?? We unaebisha ndio unapaswa ulete ushahid wa kwann unapinga sio unapinga bila kuleta ushahid kama hatoki manii
@ramadhansuleyman7618
5 жыл бұрын
abutwalibu chepa unachuki binafsi hivi kweli hata adabu huna unamwita mwehu mtu alojitahidi kufikisha kwa uwezo wake wote.
@chepason7212
5 жыл бұрын
mwasit omtima @ namda sijaingia umu ngoja nikujibu miuykasi ni uteute au majimaji yanayo sababisha kulainisha uke unapo unapo tanuka asiweze kuumia pia huwa unatoka anapo zaa na manii ni mbegu namaanisha ikuta yai likiwa tayari kupokea izo mbegu basi utakuwa mjamzito tofauti kati ya manii ndio iyo uteute wakulainisha uke na mbengu nivitu viwili tofauti
@chepason7212
5 жыл бұрын
ramdhani suleymani mi huwa sipendi kuona mtu anapotosha watu kwa kupitia dini pia hata mimi niko poa kwenye dini
@muriphehamza547
5 жыл бұрын
@@chepason7212 ungekua poa kwenye dini , ungekua na ilmu kwenye dini ,usingemjibu sheikh namna hii na kumwita mwehu, hii ni dhahiri kuwa hauna lolote bali kiburi na kujitia wajua ilhali haujui
@diyaosman8992
6 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله عليكwajua sana dini lkn jifunze kuongea vizuri kilamtu asikiliza
@asiakheir6406
6 жыл бұрын
Diya Osman ajifumzenini? Dini haifichikitu yupo sahihi
@salamashabani4100
6 жыл бұрын
Diya Osman jaman kila MTU na lugha yake, mueleweni shekh
@ramadhansuleyman7618
5 жыл бұрын
dia osmani,hii mada yenye asingezungumza hivi isingeeleweka.amezungumza hivi kwakuwa mada yenyewe iko hivyo.
@likeothers2498
4 жыл бұрын
Uyo ni mlamu mueleweni
@abdulrasulissa930
6 жыл бұрын
unaijua dini lakini hujuikuongea kwa hiyo kajifunze kuzungumza vizuri na Watu wanaangalia Watu wengi jaribu kujisikiliza ulioyasema
@salmasalim6055
6 жыл бұрын
Abdulrasul Issa
@IzudinAlwyDin
6 жыл бұрын
Abdulrasul Issa in shallah nitajitahidi shukran kwa maoni yako mola akubarikie
@khalfanfaraji3802
6 жыл бұрын
Abdulrasul Issa kama mungu amekujalia kipaji cha kuzungumza nivizuri ukitumie vema kwani hio ni neema ktk nema, bora, ltumie vizur kila mwenyekunufaika na tamko lako mungu,hukufutia dhambi ulioitenda kwa kudhamiria na ulio itenda bila kukusudia kwani mungu,ndie anaetujua zaid kuliko kitukingine tkk dunia hii kwani kauli njema pia ni sadaka,mungu, aniongoze mm naww Tue wenyekutoa sadaka?
@maryammeme2615
6 жыл бұрын
Abdulrasul Issa ww ndo humwelewi sheikh lakini Yuko sahihi mbona
@rahmaomarali4123
6 жыл бұрын
Sibora aseme waziwazi watu waelewe kwani kuna mtoto anyonyae hapa kwahio hawajui romance nn..sikila mtu naakili yke anaeangalia..maovu yafanywa tele hamuyaoni mwajuwa kukosoa tu
@haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
6 жыл бұрын
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
Пікірлер: 160