Faileur of my progress,,, marrige,, and busines,,, today am getting out of this trap in jesus name
@doryomary732
2 жыл бұрын
Amina nimeguswa nimeliA MUNGU ANIVUSHE
@neemamgendi1389
2 жыл бұрын
Mtumishi nimekuelewa,Hawa akina shimei ni wengi Sana ktk maisha yetu.
@RedemptaShio-yi9dx
21 күн бұрын
RM 8:36 Rehema za Mungu zahitajika sana Giza likawe nasi
@GodsgloryhasRisenonme
2 жыл бұрын
Bwana Yesu tufungue kutoka kwa hii kifungo.Maisha yeti yamekwama kwa sababu ya minyororo....Bwana Yesu tumechoka tufungue kwa sababu wewe tu ndio unaweza! Asante Roho mtakatifu kwa masomo haya.....Asante sana Yesu Asante Yesu kwa sababu ya mwanzo mpya!Asante kwa sababu tumefunguliwa
@frankmushi8892
2 жыл бұрын
Amina nami nimefunguliwa piyaaa
@puritypsinen9267
2 жыл бұрын
I'm so blessed with this message, niombie Mtumishi wa Mungu nichomoke niende ng'ambo.Nimekataliwa mara mbili kwa embassy lakini ninaamini baada ya kusikia hili neno nitarudi na ushuhuda!!
@eunicemuigai5384
2 жыл бұрын
Am from Kenya be blessed dad keep on preaching so that we delivered
@SemeKyavake
7 ай бұрын
Amina Mungu namimi nifunguwe kwenye vifungo vyafamilia
@RedemptaShio-yi9dx
21 күн бұрын
A m e e e n. Mtumishi. Mungu atusaidie true!!!!!!!!!!
@neldamakere8865
Жыл бұрын
Natamani sana kujua kanisa lipo wapi maana navutiwa sana na mafundisho yako mtumishi wa Mungu
@linetflorah6871
3 жыл бұрын
Amen daddy much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
@petermghanga7634
2 жыл бұрын
Amina .... Neema ya Mungu izidi kuwa juu yako, mafundisho yako yanafunua.
@marrykavete-6916
Жыл бұрын
Muhubiri sunbella, Mungu akubariki sana nimekua nikifuatilia jumbe zako na zimenifunza mengi i thank God for you am from kenya, thnks
@josephinejumba9923
2 жыл бұрын
Amen Amen ibelieve to b delivered from poverty,, and relationship,,
@DavidAloyce-tk9ee
Ай бұрын
ubalikiwe sana pastor hakika neno hili nimefunguliwa kabisa
@tausihasheem5169
2 жыл бұрын
Niombee mchungaj yaan uliyoongea yananihusu..yote nilifunguliwa mpka kwenda mpk nchi za nje nimerud maisha yngu ypo vile vile hpo kwenye Jerusalem nimeelewa sanaa..Eeh YESU mwana wa Mungu naomba uniokoe ktk jina la YESU halie hai🙏🙏Am Blessed 👏👏
@janelaflin2215
2 жыл бұрын
Asante baba leo nimejua maana halisi ya kufunguliwa..umetisha baba Kuna kitu nimefunguliwa ghafla..nikupate wapi nije nikushuhudie baba.
@petermunuo1657
Жыл бұрын
Amen mtumushi barikiwa sana
@rufuskea5643
9 ай бұрын
am blessed this is my message
@LydiaNasimiyu-h1n
7 ай бұрын
Ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana ❤❤
@moseskimaro7430
2 жыл бұрын
Dah ! Resistance ! This is so deep , its so deep to be comprehended. The limits . So insightful . This is my message . I have such stories and patterns.
@veronicamlowe9663
10 ай бұрын
Mungu wangu umeruhusu nisikilize ujumbe huu tena usiku. Nakuomba uingilie kati.Uondoe kila mpaka na ntakuja hapa kushuhudia.
@luceambo
2 жыл бұрын
Loving your preaching from Kenya🙏. Am blessed
@ruthachayo8038
3 жыл бұрын
Babangu weee kanifungua macho kweli , barikiwa mtumishi wa Mungu....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aaronmuasya3025
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji for this message! Napenda sana mafundisho yako
@hellendominick20
3 жыл бұрын
Barikiwa 🙏 sana mtumishi mungu akupe viwango vya juu zaidi.god bless you
@pstrafandelaizer2017
2 жыл бұрын
Mungu, MUNGU, mungu
@VioletFlora-ul8gq
Жыл бұрын
Amen pastor, through this word let God bless me and change my life
@mariamwamakula2726
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwaujumbe mzuri naamin kupitia neno hili ,nitavuka tena kwakishindo.
@bisimwamushama9552
2 жыл бұрын
Neno hili ni funguo kweli Mungu atu vushe kabisa Mungu akuzidishiye baba
@lynciemoraa
Жыл бұрын
Much Love from kenya
@4gtradingimpex201
Жыл бұрын
Ili somo ni la mwaka 2019 April kwangu nimelipata leo naomba mungu akanivushe, kwenye mipaka ya kazi mipaka kwenye biashara mipaka kwenye familia Mungu naomba univushe. Amina.
Great service with a lot of message of deliverance and courage to pray in FAITH. Be blessed Mcungaji.
@mthiaspaul
10 ай бұрын
Mungu anakutumia sana mtumishi na haya mafundisho yana pumzi ya uzima🙏
@nancynandago3235
9 ай бұрын
Amen asante sana mchungaji kweli neno
@margrethemanuel7501
2 жыл бұрын
Ur the best in teaching Man of Living God 🙏🙏 blessed.. though iam Shimel in Marriage n economic
@mashamachupa612
2 жыл бұрын
Shalom Baba MUNGU wako atukuzwa, Leo ktk Somo hili umenifungua kiroho.
@deodathamhagama1
2 жыл бұрын
God bless you .neno limenigusa sana hakika mungu anaenda kunifungua
@Diana-vg1mv
2 жыл бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mafundisho haya kupitia mtumishi wake
@194summer
2 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana niko Arusha nakukubaligi sana,,Nakuelewa sana
@hwenys
Жыл бұрын
UBARIKIWE SANA MTUMISHI
@groveyagroya1280
Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana nawapata nikiwa Omani
@salmamwangi3497
2 жыл бұрын
am blessed daddy.. mtumishi naomba uniombee nina miaka miwili sisave pesa mshara wote natuma kenya kwa wtt niombee
@grasherchavala2732
Жыл бұрын
Amen pastor God bless u
@peninahkerita7260
2 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu umenifunza kitu Cha muhimu Sana, Nehema ya Bwana yesu ikutoshe.
@kakadkarima2448
4 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana. Yaan ninashindwa nikubariki kwa baraka ya aina gani ili moyo wangu uridhike. Wewe ni mwalimu mzuri sana.
@annesyombua658
2 жыл бұрын
Asante sana mchungaji Naoba uniobee jia zangu zifunguke hayo yote umehubiri diyo hunitedekea niko Kenya
@rebvocerobert
Жыл бұрын
Baba ubarikiwe mahubiri yako yananigusa sana ,,,,na huwa naingia kwenye mahusiano ,yanavunjika,,na sasa nimeongea kwenye ndoa,,napo nika unasuasua
@hannahmanu8642
2 жыл бұрын
B blessed man of God more and more Grace 🙏🙏
@bukuruphilibert8658
2 жыл бұрын
Be blessed man of God
@annestamwinuka
2 жыл бұрын
MUNGU akubariki Mtumish
@loycegodson7754
Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mtumishi...
@maggiemkawuda5870
2 жыл бұрын
Be blessed servant of God.
@ErneusNdunguru-gu5hf
7 ай бұрын
Blessed
@happinesspatrick3902
Жыл бұрын
So powerful,thank you Lord
@kasuziprosper3570
2 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji ujumbe huu ni yenye ukweli akina Shimei ni wengi katika kazi na kwa jamii.
@kasuziprosper3570
2 жыл бұрын
Nafwata somo hili toka DRC
@qh4299
2 жыл бұрын
Mimi naona huyu mtumishi ametumwa kwa ajili yangu. It's like he was talking about me! I thank God for him
@floraritha1454
4 жыл бұрын
Yesu nisaidie niweze kutoka mahari hapa sipakwangu, Ee Mungu wangu nisaidi peke yangu siwezi.
@estellamgaya1793
3 жыл бұрын
Shalom naomba mnitag mwendelezo wa hii
@faudhiasalum7279
2 жыл бұрын
Amen pastor 🙏
@jsangelinakitengeso6196
3 жыл бұрын
Amen....a powerful message
@winnerjudith2007
3 жыл бұрын
Amen mtumishi, tunaomba upate kibali uje mbeya pia
@nursechunga4470
3 жыл бұрын
Mtumishi, Mungu aendelee kukubariki naomba namimi Mungu anikumbuke katika eneo la uchumi na afya yangu
@ellymaz2187
3 жыл бұрын
Hakika Mungu atafanya
@marypraise6693
2 жыл бұрын
Good message 👏at good time. Thankyou God am blessed
@veronicasadi3853
5 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen, nabarikiwa toka Songea, mtumishi ubarikiwe na Bwana, navuka kiimani.
@stellashao7885
2 жыл бұрын
Amen Mtumishi, God bless you
@julietnyanje5220
2 жыл бұрын
Bwana asifiwe mtumishi wa mungu, nisaidie.
@raysjames1776
3 ай бұрын
Ili somo nilangu kabisa pastor, Mungu naomba kuanzia leo nifungue
@cleophacemoshi8450
2 жыл бұрын
Nina barikiwa sana na mafundisho yako mpakwa mafuta wa bwana somo hili linanigusa sana
@cleophacemoshi8450
2 жыл бұрын
Nipo kwenye mpaka wa kiuchumi
@laurensiamasalu3545
2 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana kwa mafunuo hayo.
@winfridankwama5166
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua viwango na viwango
@mgayaneema3076
2 жыл бұрын
Amina
@shaphats2437
3 жыл бұрын
God bless you
@Miriam84Akizimana
3 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah nitafika tu kwa uwezo wa mwenyezi mungu
@oliversebastian3808
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi kuna mahali unanivusha
@zachariahtomemba9070
4 жыл бұрын
Be blessed so much MOG for the great revelation you have revealed the hidden secret, May God continue to use you mightly
@clementinenyoks8854
3 жыл бұрын
praise God man of God, I am based in kenya, if someone want to talk to you how can I get your contact?
@morinejean4591
2 жыл бұрын
@@clementinenyoks8854 kunakuaga namba hapo ya watsap yke
@isharakapapi
2 жыл бұрын
Mungu wako awe Mungu wangu mzee!! Najisikiaga kwamba ninajaa kila ninaapo kuona nakukusikia!!
@nancynandago3235
9 ай бұрын
neno la Mungu liliko ndani yako linaponya moyo wangu
@beatricelucas1454
4 жыл бұрын
MTUMISHI wa Mungu Uko vizuri sana Mungu Akubariki Sana
@frankmushi8892
2 жыл бұрын
Mungu nisaidie pls nakuomba kupitia maombii ayaaaa
@mercyavedi9812
2 жыл бұрын
Amen am blessed
@neemanaston8408
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Neno la ukweli
@GodsgloryhasRisenonme
2 жыл бұрын
Amen and Amen!
@naanely2247
3 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu
@consolathamatimbwa6415
3 жыл бұрын
Tunashukur kwa somo paster. Ila nahitaji msaada wako peke yangu siwezi. Nina matatizo pastor
@floraritha1454
4 жыл бұрын
Kweli poster. Nimejikuta nalia, Mungu aniwezeshe kutoka katika hiyo mipaka
@joachimlazaro3698
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@salmamwangi3497
2 жыл бұрын
Amen in jesus name
@monicamagesa8571
2 жыл бұрын
Ameen
@mesiamatheo2230
3 жыл бұрын
Mungu nisaidie mtumishi wako nateseka...
@kalidjokitokololoofficielt3500
3 жыл бұрын
Amen 🙏
@mashamachupa612
2 жыл бұрын
Baba MUNGU wako atukuzwa kila Leo, Hakika NENO hili limekuwa funguo kwangu , NGUVU za MUNGU zimenishikia hapa chumbani kwangu. Jina la Bwana YESU liimidiwe milele, aimen aimen.
@anagracepaul2837
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtu wa MUNGU
@francismpakasi7683
2 жыл бұрын
Mungu akikupa mkate na pia anakupa mbegu upande ili ubalikiwe
@williammushi4674
2 жыл бұрын
Napataje mawasiliano ya pastor sunbella
@bathshebamchuza2648
2 жыл бұрын
Am blessed 🙏🙏🙏
@nurukitaponda1515
2 жыл бұрын
Ameni
@beatusmichael1727
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe naitwa aderina naomba maombi yako pasita nisaidie mafanikio yanguu sivuki na fanya biashara mitaji ina haribika madeni mengi baba nisaidie nipokagera mafungu ra kumi natoa kwa uaminifu
@heavenlight5084
5 жыл бұрын
Somo zuri sana,ubarikiwe sana mtu wa MUNGU, hayo yote unayosema ni kweli, nimelima shamba,tumemtafuta mteja,kesho tukavune ,Leo jioni wakaingia watu wakavuna,ni mzigo mkubwa sana,ni more than 9 million, tukalima tena,tukaibiwa na anaelinda shamba,nimejitaidi kumpeleka mchumba nyumbani, amerudi tu,mahusiano yakapungua,mara hanitambui,akaoa, sasa hivi nakaa kwenye relations, more than 3yrs mwisho nikauliza lini tunaishi, nikaambiwa bado my be after 2yrs .mtu wa MUNGU inaumiza.
@luhekelondelwa9714
3 жыл бұрын
Amin
@renatusdeogratias2108
3 жыл бұрын
Pole sana
@heavenlight5084
3 жыл бұрын
@@renatusdeogratias2108 asante sana,
@nesielias9493
Жыл бұрын
Siku moja nimesafiri kutoka mkoani kwenda dar na sikuwah kusafiri kwenda mkoa wote Lakini nilipokuwa navuka kutoka mkoa wangu kwenda mwingine moyo ukianza kuniuma sana sana na sikuwa na tatizo lolote 😭
Пікірлер: 191