Nauskia wimbo huu mwaka 2024 😢nitaubeba wimbo huu moyoni huu mwaka
@EverlynKenneth
6 ай бұрын
Je MUNGU ashindwe nanini😢😢😢
@elizabethmabula6044
Жыл бұрын
Boaz boaz boaz nimekuita mara tatu baba yangu na mtumishi wa MUNGU😭😭😭🙌🙌,, MUNGU awabariki mnoo,, MUNGU awafikishe mbinguni kwakweli msiishie hapa🙌🙌😭😭
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@alfredkuria7673
Жыл бұрын
@@boazdanken Amen
@nicotawi
Жыл бұрын
Aminaaa
@eneresdavid8995
Жыл бұрын
@@boazdanken Uliposema viungo anavyo vingi, nikupe tu ushuhuda AMEMPA MTOTO WANGU UBONGO MPYA Anashindwa na nin et??!! … HAKUNA LA KUMSHINDA MUNGU WETU WA MBINGU MWENYE MATENDO MAKUU.🙏🏾
@petermande8012
Жыл бұрын
Hallelujah sifa na utukufu kwa Yesu
@nyawaminzamabusi8757
9 ай бұрын
Huu wimbo nilipomsikilizisha Mama aliniuliza ameimba nani nikatajia jina akasema huyo mwimbaji ana nguvu sana na Mama alikuwa anaumwa mguu ukapona kwa kumsikiliza akawa anaimba amepona, na Mama hajaamini bado, nilimtukuza MUNGU. Utukufu una yeye tu. Roho Mtakatifu yupo kazini bado kupitia wimbo huu. Utukufu kwa Bwana
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
@YANGAHIGHLTS3073
Жыл бұрын
Je! we Mungu ushindwe na Nini? Kam unamiin Mungu anaweza yote tupia like
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@horsewaydela
Жыл бұрын
True indeed Jesus christs Gospel has conquered Tanzania
@alexmungai2270
Жыл бұрын
Mtumishi Boaz wewe ni wa baraka kwa mwili wa kristo,mungu wa rehema nyingi akuzidiye kabsa hata kwa utunzi wa nyimbo zako.
@judymbuthia6628
Жыл бұрын
Jeremiah 32:27 "Behold, I am the Lord, the God of all flesh. Is there anything too hard for Me?"
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@mwashijoyce4357
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Yangu mafuta uliyonayo ni 🔥🔥🔥
@corbymedia01
Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 is a land of Revival
@jonathanalais.m1303
Жыл бұрын
Jameni kaka akubariki zaidi sana Sana Milele aendelee kua nawe Milele .huku kenya upako wako umetosha kweli .ainuliwe Mungu
@elijahwabomba5759
5 ай бұрын
This song just makes you praise,,,it's beautiful!
@NaomiOlange
9 ай бұрын
GOD bless you in advance the servant of master JESUS
@rehemasimfukwe
Жыл бұрын
Wimbo wangu pendwa 🙌🏾🙌🏾 Ubarikiwe sana kaka yangu
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu asante Mtumishi wa Mungu
@EverlynKenneth
6 ай бұрын
Nakupenda sana MTUMISHI Rehemasimfukwe ,napenda nyimbo zako 😢😢😢YESU azidi kukutunza
@AhimidiweGidion-bd6pb
Жыл бұрын
Mtumishi MUNGU akuzidishe kwenye huduma hii maana umekuwa baraka kwa watu wengi
@fadhilijalasi-bc4bv
Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa moyo w a unyenyekevu
@CollinsEdward-ye9dc
11 ай бұрын
Hakika, Mungu wangu ushindwi na jambo, unawezaaaa🙌🙌🙌🙏🙏
@elizabethkemunto1932
Жыл бұрын
Je wewe mungu ushindue na nini, ohh! God what is too hard for you
@akundaushindi6947
Жыл бұрын
🙆♂🙆♂🙆♂🙆♂ undani na uzito wa ufunuo ......😭😭😭😭😱😱😱
@sophiaabukutsa5739
Жыл бұрын
Je wewe Mungu ushindwe na nini? Halleluyah!!!
@PaulinaSemindu-ob3de
4 ай бұрын
Hskika naamin haya ninayopitia sitashindwa kwa jina la yesu😭😭🙏
@chrispinwilliam3784
Жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha Mara ya kwanza nilipousikia kipindi Cha Corona, na siku hyo ilikuwa ibada ya j5 jioni nikauweka kabla ya mchungaji kupanda kwa ajili ya neno tukiwa tunaomba naye alipopanda tukajikuta ibada yote tukiurudia na wingu la Roho mtakatifu lilishuka kwa namna ya ajabu na ibada iliishia kwa wimbo huu je wewe Mungu ushindwe na Nini. Mungu akubariki Sana mtumishi wa MUNGU kwa mafunuo ambayo Bwana ameachilia ndani yako ya kutuzamisha ktk roho kupitia kumwabudu Mungu 🙏
@holinessmbonde598
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌mungu hushidwi na lolote.fanya na kwangu mungu😭😭🙏🙏🙏
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@lazaromichael8779
6 күн бұрын
Je wewe mungu ushindwe na nin? 🎤
@kimzmasters
Жыл бұрын
Ye huyo Mungu ashindwe na nini?? Haijalishi nayoyapitia sasa...😭😭 Mungu wangu hashindwi....
@AnselemKelvin
7 ай бұрын
Kaka boaz danker Amina sana nimebarikiwa😢😢❤
@brianmutemi1
Жыл бұрын
Now to him who is able to do far more abundantly than all that we ask or think, according to the power at work within us⭐💫
@boazdanken
Жыл бұрын
Amen Amen Glory and Honor to Jesus
@anapatrick8782
Жыл бұрын
Hakuna chakumshinda yy 😭😭😭💯
@peresisigongo4998
2 ай бұрын
Nabarikiwa na kuponywa kupitia nyimbo zako kaka Boaz.
@lydiamuthoki8217
Жыл бұрын
Mungu hajawai shindwa Na hatawai shindwa Na chochote God bless you Boarz
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@lydiamuthoki8217
Жыл бұрын
I'll share man of God 🙏
@estererasto8637
11 ай бұрын
Kweli Mungu hashindwi na kitu kabisa🙏
@tvezm3917
Жыл бұрын
Kaka Boaz Mungu akuinue juu hii injili ipenye mataifa yote na watambue Yuko Mungu
@eliwanzitabonifasi4476
7 ай бұрын
Walioshindwa wanakuja kwako😭😭😭
@ayoubpaul
Жыл бұрын
Dunia nzima iko viganjani pako, kila usemalo linatendeka. Hallelujah
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@ayoubpaul
Жыл бұрын
Amen 🙏
@NdageDacosta-uy4ir
Жыл бұрын
Safi sana mtumishi wa bwana .. Mungu akubariki sana na uishi maisha marefu boaz
@benedictasanga7224
Жыл бұрын
.....Hakuna wakumshinda Mungu hakika🙏
@PaulReuben-gi2nh
Жыл бұрын
Hakika Boaz danken unamtumikia MUNGU katika roho na kweli endelea kushusha kazi za MUNGU unanibariki sana MUNGU akuongezeee, atukuzweee MUNGU aliye hai
@joywanjala9878
Ай бұрын
From fb to here am blessed ❤
@lagatperis4319
Жыл бұрын
Hakuna kama wewe mungu, haujawaishindwa kamwe,halleluya
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@joycewakesho2575
Жыл бұрын
Yesu hajawahi kushindwa,,,,barikiwa sana mtumishi
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@ruthmulwa5465
Жыл бұрын
Mungu wetu hawezi shindwa ,na hakuna historia yakuwa ameshawahi shindwa.
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@marymatenga4038
Жыл бұрын
Uwiiii hii tunaifanyia zoezi na jumapili inaimbwa watu wabarikiwe..we love you man of God,we are very interior but we normally use your songs during our worshipping services,God bless you sana
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@artmasterkenya
8 ай бұрын
Karibu Kenya 🇰🇪❤
@AddiBEKA
Жыл бұрын
I can do all things, through Christ Jesus who strengthens me 🙏🏽❤️
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@AddiBEKA
Жыл бұрын
Forever and Ever 🙏🏽
@johnlihawa4145
Жыл бұрын
This son is 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
@juliangunya5255
Жыл бұрын
Utashindwa na nini Yesu. Hakuna iliyo ngumu kwako. Viziwi waskia,tasa wanapata watoto, waliofiwa unawafariji,vilivyo potea unarejesha maradufu. Je, wewe Mungu ushindwe na nini?
@sheilamusau8510
Жыл бұрын
This minister Boaz ,Nairobi twakupenda bure,you are a blessing. God bless you and keep you Sir.
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@Yohanakandonga-ji7db
Жыл бұрын
Bravoooooo💪💪💪💪💪👍👍👍👍
@rehemasamwel1596
Жыл бұрын
Mungu hujawahi kushindwa,na huna historia ya kushindwa..naomba umuinue mama yangu kitandani maana hujawahi kushindwa🤲🏽
@yvonnewangui6383
Жыл бұрын
How are you?
@gloriousfamilytanzania2981
Жыл бұрын
Kaka Boaz ubarikiwe sana zaidi ya Jana🌲
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi
@estawilson9998
Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi mbingu isikie sauti zako , Mungu wangu hachindwi Amen amen and amen.
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@NiderTV
Жыл бұрын
HaKUNA CHA KUMSHINDA HAKIKA MUNGU NI MUNGU
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@Tunu290
Жыл бұрын
Mungu si mwanadamu, Mungu is beyond our thinking self! Mungu anafanya mambo kwa namna ya kutisha sana, maisha yangu tu mwenyewe ni A LIVING TESTIMONEY. Kipande umeimba kuhusu miungu wa duniani, umenikumbusha niliambiwa mimi ni mungu wako wa dunia hapa ila JEHOVAH NISI alionyesha ukuu wake kama alivyofanya kwenye miujuzi ya fimbo ya musa na fimbo zao ....😂😂😂😂😂 hata hapa kuketi kwangu ni muujiza kuna watu hawaelewi ! naweza kuandika ... Kaka Boaz ubarikiwe kwani kwa huduma yako unanibariki sana na kunipa kusema na Mungu kila nikusikilizapo
@philipkinyanjuiofficial6929
Жыл бұрын
Hakuna la kumshinda mungu
@jacklinemmochi6433
Жыл бұрын
,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 God is a master. He specializes in the impossibilities. God preserve His servant.
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@rtkstudiotv
Жыл бұрын
Mungu ushindwe na Nini? Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@rtkstudiotv
Жыл бұрын
@@boazdanken Amen🙏🙏🙏🙏 sisi tupungue Yeye aongezeke
@MagrethEdward-du5mn
Жыл бұрын
Utukufu Kwa Yesu ambaye hashindwi na chochote Kuna namna nilikuwa napitia lakini Bwana asiyeshindwa na chochote kupitia mjumbe wake Leo nimepokea neema mpya Tena noted "UTAJIRI WA DUNIA NI KAMA TONE MOJA LA MAJI KATIKATI YA BAHARI" hili Neno ni dogo ila ni kubwa sans Saba barikiwa sana mtumishi
@simpledoreen
7 ай бұрын
Hakuna jambo gumu mbele za Mungu,naiombea ndoa yangu Kwa Imani nitayashinda majaribu
@Geo_88
Жыл бұрын
Omnipotent God He's😪🔥🙌.More Grace Minister Boaz and Mwantondo🔥.Kenya loves You🇰🇪🔥👌
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@witnesswilson8660
Жыл бұрын
Kweli Yesu Kristo unaweza je wewe Mungu ushindwe na nini , Nimebarikiwa Sana na wimbo mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu .
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@paulkimbulu6709
Жыл бұрын
Hakika Mungu hakuna la kukushinda utukuzwe milele
@boazdanken
Жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus please share to many
@gladnesskimati
Жыл бұрын
“ Je wewe MUNGU ushindwe na nini?”😭🙌🏿
@mercyflorida529
Жыл бұрын
Utukufu Kwa Mungu 🙌🏼
@antonjonas1114
Жыл бұрын
Mungu akubariki ndugu Boaz, Naamini kabsa huyu si wewe ni roho mtakatifu ndani yako
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@gisellekavira8966
Жыл бұрын
Yeye hashindwe na chochote.
@boazdanken
Жыл бұрын
Amen
@gisellekavira8966
Жыл бұрын
Asante 🙏
@nicholaschalle8288
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu aendelee kukuinua zaidi na kukutunza katika unyenyekevu na utakatifu, huduma uliyonayo si yako bali wewe ni kama bomba la kupitisha maji ya kunywa kwaaji ya wengi, ubarikiwe sana, Mungu anaendelea kutukuzwa kupitia wewe.
@ministerjeremyjeradi254
Жыл бұрын
More grace big brother ! Baraka tele ! Je wewe Mungu ushindwe na Nini
@boazdanken
Жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@reginanthiwa6288
Жыл бұрын
He is God of impossibilities whatever seems impossible to us human beings it's possible with our God none like him🙏
@boazdanken
Жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@mtindoelias8888
Жыл бұрын
Na Yesu ameinuliwa zaidi 👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@fridadenis
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu.,. Mungu azidi kukuinua sanaa
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@arnoldluvai8573
Жыл бұрын
My worshipers shall worship me in truth and faith , may God bless you servant of God, may He use you to greater heights for His glory ...No man can do this but only by the Spirit of the living God...
@raphaelmmurithi
Жыл бұрын
Indeed what is impossible to God? We need to hear more of the Glory of GOD and his MIGHT! instead of stories about the enemy
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@erickkimonge3771
Жыл бұрын
hakuna la kumshinda Mungu. Anaweza yote
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@shallethmwangemi6879
Жыл бұрын
Je wewe Mungu ushindwe na nini???? To God nothing is hard, impossible neither difficult. Thanks bro Boaz uve blessed me dearly with this powerful worship song.
@jamesshammah1454
Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu Bwana awabariki sana 🙏🙏,,, mumefanyika wa Bariki Katika Kizazi hiki Sana 🙏🙏. Nawapenda sana hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Wacha NEEMA ya YESU wetu izidii kuwatosha🙏🙏.
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@sarahwawuda5164
Жыл бұрын
Je wewe Mungu ushindwe na nini?hakuna lakukushinda.....Mungu akubariki mtumishi kazi yako ni njema
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@innocentatilio5619
Жыл бұрын
Boaz tunawaombeni basi muwe mnakuja na mikoani kama mbeya tunawaitaji sana pia tunaitaji huduma yenu maana kama vijana tunabalikiwa sana kupitiwa nyimbo na kuokoka kupitia nyimbo hizi maana mtu akisikia anaguswa kupitia nyimbo tunawaom a sana mkopata muda mje jamani
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@josephdickson4774
Жыл бұрын
Yesu kristo aliye hai hashindwi na lolote yeremia32:27,Mungu awatumie kama yy apendavyo
@Josh-mr8fp
Жыл бұрын
Nothing is difficult for our God .He is all able. Boaz danken ebu reply.plz
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@introvetangie5789
Жыл бұрын
You was ministering to me Man of God🙌🙌🙌nothing is impossible to God..Greetings from India 🇮🇳
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@kagekagemulo7348
Жыл бұрын
🙏🙏
@paschalkiniofficial123
Жыл бұрын
MUNGU wetu halipo jambo la kumshinda kama umekata tamaa unaona MUNGU hawezi sikiliza wimbo huu baada ya kumaliza hatua mpya Iko mbele Yako Kisha mtukuze YESU KRISTO
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@paschalkiniofficial123
Жыл бұрын
Amen
@veeking956
Жыл бұрын
Hakuna lolote linaloweza kumshinda bwana, Nko mwaka wangu wa pili katika chuo japo wengi walisema kwamba sitofaulu 🙏🤲🤲
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@DerickNdonge
Жыл бұрын
Mbarikiwe sana wana wa Ufalme
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@neemazoe1224
10 ай бұрын
This song this song❤ my heart always gets strengthened with joy whenever I listen to it 🇰🇪
@wainainakiarie8830
Жыл бұрын
MUNGU WETU MWAMINIFU KILA WAKATI
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@MRPAULTALENTS
Жыл бұрын
Be blessed bro🥳
@paulkiluma3603
Жыл бұрын
I miss to meet you physically
@fredluciano5892
Жыл бұрын
Kaka Mungu akuweke miaka 100 duniani Ili nimtukuze Kila siku kupitia ww... Nakupenda sana sana
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@fredluciano5892
Жыл бұрын
@@boazdanken Aminaaa🙌🙌🙌🙌
@MchumaCharles-mr4iz
Жыл бұрын
God blessed u
@HenryMagembe-zq8ej
Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu👏👏. Ni kweli huyu Mungu wa mbinguni ashindwe na nini sijaona Mimi🙌🙌🙌🙌
@PeterAnyimikisyeKalinga-ou5so
Жыл бұрын
Yeye ni Mungu wa wote wenye mwili hakuna la kumshinda,barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye juu
@chrisblessedson
Жыл бұрын
Mungu awazidishie Neema watu wa Mungu.
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@chrisblessedson
Жыл бұрын
Amen 🙏 Amen
@pascaliahnyanchama2034
Жыл бұрын
hakuna Cha kukushinda wewe mungu , very powerful message man of God , God bless
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@mahewalekwasa210
Жыл бұрын
Hakuna cha kumshinda Mungu
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@rosenaheka5137
Жыл бұрын
Nakuombea Mungu akubariki na akutunze ktk sifa. Barikiwa sana 🙏🙏
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@gyolikinswaga1396
Жыл бұрын
Kwa kweli Ubarikiwe sana sana mtu wa Mungu. Hakuna la kumshinda Mungu wetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
@frankfrancis6965
Жыл бұрын
Barikiwasana Mtumishi Niko hapa naitazama Kwa uzuri,,nauona utukufu wa Mungu
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
@ndanugladys
Жыл бұрын
Hakuna lolote, yeyote, chochote 🙌
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to JESUS
@elizabethmwakipunda4630
Жыл бұрын
That's powerful song! May GOD bless you Mtumishi
@godwinmongi5242
Жыл бұрын
Je wewe Mungu ushindwe na nini 😭😭😭😭😭😭😭😭🙌
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@laurakhloe8030
Жыл бұрын
Glory🙌
@sylviamuhonja1936
Жыл бұрын
My neighbours washazoea nikitoka job inakuwa ya kwanza kusikizwa
Пікірлер: 400