Allah akulinde shkh wetu,,,Ni mtihan qaswidah za sasa utofauti wake na miziki ni mdg sana na zingnge ni hatare zaidi
@user-wb2xo2lv7n
8 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema shekh said akulinde na husda za watu wabaya
@SheikhIssaAbnau
8 ай бұрын
Hakika leo nimekusikia mwalim upende wangu nilikua muimbaji mkubwa lakini kwa haya ulio tamka leo nimekatazika
@mrsdeborahurio
8 ай бұрын
Uwe na moyo Mkuu! Unapokemea uovu hutapendwa, simamia haki Allah yuko upande wako!
@mfakimwakulonda3481
8 ай бұрын
Jamani hii ni dini tuipeleke vizuri. Sasa hayo manyimbo ni ya kazi gani tuweni na adabu na heshima
@MaulidiPossi
8 ай бұрын
Asante sana kwa Mawaidha mazur Shekh wangu
@Filamumaridhawa
8 ай бұрын
Pole ustadhi hao vijana wa kijehil
@MaulidiPossi
8 ай бұрын
Amin amin amin fitina ziwarejee wenyewe wahun hao waharibifu wa din
@hajiabdalla5772
8 ай бұрын
Bora vyuo vyote vinavyopiga Fufu mnanda vifungiwe na huko hufanya zinaa Tu na kukaa uchi.vyuo vyote Zanzibar visiwe na ngoma dufu kama zamani tulikuwa tunasoma kasida Tu
@ZubeirTahir-ep1tp
8 ай бұрын
Sheikh Saidi Nyange hao watu wasikutishe hata kwa ncha ya Kidole.
@ZubeirTahir-ep1tp
8 ай бұрын
Endelea na makatazo nasi tupo pamoja na wewe Sheikh wetu.
@hafidhnzota2142
8 ай бұрын
NYINYI WAZANZIBARI MASHEKH NI WANAFIKI SANA HAMPENDI KUUNGA MKONO MAKENEO YA DINI NYINYI MMEBAKI BIDAA BIDAA TU.HAMPINGI WANAWAKE KUSALI MSIKITINI,DUFU HALALI SASA LEO WEWE UNALALAMIKA NINI? MASHEKH PIGENI VITA DUFU MTAONA MAADILI
@wakwetu2444
8 ай бұрын
Uhuni uko aina nyingi.
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Hii kitu nimeishuhudia mwenyewe maeneo ya panic njia ya bagamoyo. Nilishangaa sana. Jamani dini yetu imeingiliwa. Yaani barabarani tukasimamishwa magari yote ili wapite wao wanasasambua ni aibu na msiba mkubwa.
@abdallasuwed9802
3 ай бұрын
Tatizo la hii kitu ni kujua wapi inapewa ruhusa ngoma hii, lakini bila kujua wapi imepewa ruhusa basi tutachoka kusema
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
hao ni wahuni na watovu wa adabu
@hassanbilali1697
8 ай бұрын
Jamii imefeli kutafuta kipato kwa njia halali badala yake ngoma na sherehe zimegeuka njia ya kipato
@MohdSuleiman-fw2un
8 ай бұрын
Hii dunia inazidikuelekea silo ila kusema sheikh niwajibu atakaeona sahihi hewallah ALLAH ndie mwenye kuhukumu kwa viumbe wote achana nao awoo kwan hawajui watendalo haiwezi kukusikia kamwe
@Muswlih
8 ай бұрын
Hizi ni nyimbo kbs
@user-zr5lb9zk1g
8 ай бұрын
Huuniushenzi 😢
@kassimjakaya6991
8 ай бұрын
Iyo ngoma kama ngoma zingine
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Sio ngoma hii hawa ni waisilamu wenzetu kabisa sijui nani yupo nyuma ya haya mambo
@salminabuhudhaifa4273
8 ай бұрын
allah awaongoze 😭
@fundimagari5825
8 ай бұрын
Sheikh ni kweli vijana wa sasa wamechupa mipaka,,,ukitaka kuwapa mahaidha ya kuwataka wabadilike ni kwenda nao kwa hatua kwa hatua... Unawaandikia barua ,,unamuita kiongozi wao ,kisha unafanya nae maongezi katika njia ya kuwaheshimu na wao watakuheshimu... Ila sheikh unaonekana una jazba ,,unahukumu kwa maneno makali...unatamka kabisa hawa wana laaana,.,...kisha unataka kufanya nao maongezi .....unafikiri watakubali...watu wote walinganiaji uwa wapole kisha wanajishuaha ....ili apate kutimiza malengo kwa walengwa....
@ramadhanjuma610
8 ай бұрын
Dora yakiisilamu ndo kiboko ya ujinga
@AZAKCOMPLEX
8 ай бұрын
Hakika Akhi
@saba-gv3mj
8 ай бұрын
Dora ama dola ww mtz usiharibu lugha alafu dola ya kisilamu hakuna dola mzuri kama ya kisilamu
@ramadhanjuma610
8 ай бұрын
@@saba-gv3mj kwan ume nelewa vp mkuu ?
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Pambana sheikh hii nchi haina dini ni kafiri tupambane wenyewe tutanyooka tu Inshaallah
@abdulhamidhaji5056
8 ай бұрын
Tena hizo madra za miziki zifungiwe haswqaaa
@abdul-rahmanfakijuma1879
8 ай бұрын
Hii sio dini
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Ni dini ila wahuni wamo wengi tu
@binaamour318
8 ай бұрын
Hivi kweli Kuna mtu anasema hii dini m m najua nyimbo za haruc t za mitaani
@MaulidiPossi
8 ай бұрын
Shekh hao ni wahuni wapeleke mahakaman
@HussainMaula-mw8vz
8 ай бұрын
Hio sio dini ni miongoni mwa matendo ya masheitwani.
@saba-gv3mj
8 ай бұрын
Dini ni gani
@mzeerajab9154
8 ай бұрын
Wewe muulizaji kwani unaona je?Mimi naona hilo si suala la kuuliza.
@user-fq9hl7vu3w
8 ай бұрын
Watakujakujuta hawa
@user-fq9hl7vu3w
8 ай бұрын
Wanaonaufahari sana hawa
@Filamumaridhawa
8 ай бұрын
Kemeya tu ila huwawezi
@abdallahmmary8591
8 ай бұрын
Allah nimuweza wayote na hii dini niyake Rahman kwayule ambae hatoyaskia haya basi atakuta an hakuna dini ya kucheza Ngoma nmna hy
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Watawezwa na Allah
@Msomali-o7f
8 ай бұрын
Tatizo nini wazee wao sio watoto ndio wanafiki zanzimbar inaharibika sijui Tatizo mchanganyiko wa wageni
@hassanbilali1697
8 ай бұрын
Wameiga kutoka wapi Huo ni ushetani coz hiyo ni ngoma
@Msomali-o7f
8 ай бұрын
@@hassanbilali1697 goma sio tatizo tatizo tatizo kuzidisha chumvi au pia hujui kuzidisha chuvi pengine na ww unatoka marekani kuinga kukata viuno mbele za watu mchanganyiko wanaume na wanawake jee ndìo ndini ya kiisilamu inavosema jee hawajainga hapo kwani hiyo zamani goma zilikuwepo lkn wanawake kwa wanawake wacheze kisitaha lkn saivi wanaiga kuchanganyika wanaume na wanawake kisha wakakata viuno vichwa wazi sasa km unataka kujua wanaiga nani itakuwa ww ni kipofu
@Msomali-o7f
8 ай бұрын
@@hassanbilali1697 usimsingizie shetani engekuwa kila kosa anasingiziwa shetani m /muungu asingeumba moto na kusingekuwa na gereza kwani huyo shetani yupo leo tu hao wanainga tu na wao waonekane km nao kumbe wanaweza kidoti hawako nyuma tena usije ukaenda kuzini ukamsingizia shetani au kuiba ukamsingizia shetani huyo unaemtegemea kesho ahra anaruka mbali na anakwambia hasa km ilikuwa ni shetana umfate
@Msomali-o7f
8 ай бұрын
@@hassanbilali1697 sheikh ameongelea maadili ya kijijini kwao yanapotea hiyo zikri ilikuwepo zamani tokea hata huyo sheikh hajazaliwa anachoongea yy vijana wa saivi wanaibadilisha wanaifanya wanavotaka wao sio maadili yao na wanzanzibari wote kwa ujumla
@Aziz-p6s
8 ай бұрын
Sio zanzibar tu nimeona kwa macho yangu panic bagamoyo mwezi juzi 2023
Пікірлер: 49