Huyu kichwa Jemedari yuko na roho mbaya sanaa kama ilivyo sura yake na ndio mana ana haelewani na yule mwenzake mweupeee mwenye pua kubwa
@majaliwabwitonde6900
16 күн бұрын
Huyu mjinga aiseee
@msemakweli...
16 күн бұрын
huyu mbaba huwa yuko kama mwanamke mmbea...leo mnafurahia taarifa za mo dewji kufanya mwenyewe usajiri ila akifanya Eng. Hersi mnaumia😅 Na tunajua why mnaumia ni kwasababu mwamba na wenzake ni vichwa. Yanga inawaka kila siku na itawasumbua hadi mtazeeka
@selemanisabihi5994
16 күн бұрын
Mnafki ana sababu😊
@lucaslufunga6461
13 күн бұрын
CEO mpya akatende haya kwenye timu yake mpya😂😂😂
@sittakapumbe5065
16 күн бұрын
HAYAKUHUSU, UNAHOJI UTARATIBU, SI MFANYE HUKO SIMBA HUO UTARATIBU.
@hamzanangameta6243
16 күн бұрын
Shida uwezo wenu mdogo sana! Mkishaweza kutofautisha leader na manager huu mjadala wenu mngeufuta 😂😂😂
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
16 күн бұрын
Jemedali utakufa vibaya achana na yanga presha itakutowa uhayi
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Kwani Jemedari uliambiwa na nani Eng. Hersi Said anafanya kazi pekeake. Uongozi wote wa Yanga SC kila mmoja anafanya kazi yake, mfano Sheikhan Ibrahim aliletwa na Arafat Hajj na CEO Andre Mtine is one of the best CEO's in the history of African football. Hakuna siku Eng. Hersi Said aliingilia kazi isiyo yake.
@mohamedmuhibu4789
16 күн бұрын
"Is One Of The Best CEO in African Football" Hii sentensi unajua maana yake? Au unaongea tu
@amaniomar1755
16 күн бұрын
@@mohamedmuhibu4789 ni mmoja ya watendaji wakuu bora ndani ya mpira wa Africa am not mad to write that and I know Mr. Andre Mtine very well. By the way greetings from #254
@Majhidymhessa
15 күн бұрын
Wewe Jemedari unawashwa sana... Kwani Hersi amekukosea nini‼️⁉️ Kila siku unamsema ENG:Hersi,achana na yanga wenyewe wanajua wanachofanya bwana. Real Madrid wanawatendaji wengi Wa Club lakini Frontline anaonekana Perez.....
@user-br3oc1dt1x
16 күн бұрын
Ww acha umbea angalia maisha yako mbea mkubwa
@user-wy7yv5kw4p
16 күн бұрын
Kuna wakati mnatakiwa muwe wa kweli. Sio kila jambo nyinyi ni kupinga tu.
@jumas.sendekwa2788
16 күн бұрын
Hauwezi kuthibitisha ila unajadili. Daaah
@Carolina-sm5zt
16 күн бұрын
Unawivu na team yetu na msimu huu mtajibeba Yanga tunazidi kusonga mbele,wana Yanga tusibabaishwe na maneno ya wenye chuki na team yetu
@JabariKapindya
16 күн бұрын
Kah,jemadari hivi ni ugonjwa gani unaumwa? akili yako inawaza kupiga hela tu,Injinia afanyeje jamanii.
@NkondokayaJoe
16 күн бұрын
Hersi ni nani asiwe na mapungufu?Na anayo mapungufu mengi tu kwenye uongozi wake lakini kwa sababu sasa hivi matokeo ni mazuri ndani ya team yenu mnachukia kuusikia ukweli ila ipo siku mtakubali ukweli mnaoukataa sasa
@ludovick16
16 күн бұрын
Huyu jamaa yanga anaiponda Sana ila Simba sikiliza komenti zake za simba.huyu ni Simba sio vizuri Kama mtangazaji
@mwanangusana
16 күн бұрын
@@NkondokayaJoe😂😂😂😂 katafute kichaka ukachimbe dawa .....
@dismaskullaya8520
15 күн бұрын
Ili shoga la lindi bint kazumari
@Kibudu
16 күн бұрын
Kddk engineer shikiliq hapohapo haya mapunga yaendelee kuisoma namba,,, haya hayaipend yanga Yaan kuziba mianya y wizi iwe vby,,, hili vp,,,, punga na nusu
@happinessmwisse1152
16 күн бұрын
Kajinyonge Kama una wivu
@nabeelsombidah3405
10 күн бұрын
Mangungu kamuachia ceo mnasema hawajibiki... Hersi anawajibika mnampiga majungu... Mnatakaje.?
@matiankomola2391
16 күн бұрын
Hili jinga limejaa Wivu!
@mohamedmuhibu4789
16 күн бұрын
Ukiona mtu ana tabia za kuhoji vitu vya msingi huyo anajielewa kwny kundi la watu wa kuabudu.
@user-bt6ep3yb2h
16 күн бұрын
Iache Yanga, hayo waambie akina mangungu. Ila wewe ndiye uliyesema timu inaongozwa na wahuni.
@yohanadavid8055
14 күн бұрын
Hili pumbavu lina asili ya ubaya kuanzia sura mpaka rohoni mwake
@twahakabajemi9716
16 күн бұрын
Shida yako ni chuki dhidi ya mafanikio yetu hayo maneno yako ni ujinga mtupu
@kolosii4351
16 күн бұрын
Mbona mmemlazimisha Mo afanye usajiri mwenyewe?? Nyie wajinga kweli.
@ahmedabdulla2549
14 күн бұрын
Fahamu kuhus leadership and Administration
@user-wy7yv5kw4p
16 күн бұрын
Hayo maneno yenu ni chuki tu kwa kijana mwenzenu na hili ndio tatizo sugu kwa vijana mafanikio mwenzio kwako unachukia, Vumilieni Hersi mwenyezi mungu kampa, nyinyi subirini wakati ukifika mtapewa.
@proisolution7166
16 күн бұрын
HIII CLIP ITAKUWA YAQ ZAMANI SIMBA USAJILI WA YANGA UNAWACHOMA HUYU J LEA NA JEMEDARI UFANISI WA YANGA UNAWAUMA KWANI NTINE AMEWALALAMIKIA MBONA ANA NENEPA?HERSI KAMATA WEZIIIIIIIII HAO.
@rashidgogo5558
10 күн бұрын
Watu wamenunuwa timu
@MotibaMashana-hv3tf
16 күн бұрын
ulitaka uje kupiga pesa zetu ww bwege kaa kimia mbwaa
@user-eu6gl4vs1o
11 күн бұрын
Acha kuingilia masuala ya club ya Ya ga
@GodfreySanga-oz3mi
16 күн бұрын
Kwa kuwasaidia tu eng ni club representative to the public timu ikifanya vizur ama vibaya yanga hawatamlaumu ceo bali ni raisi wa club...hivyo msikasirike ndio kwenye taasisi kuko hivyo ndio mana samia anasifiwa sana na analaumiwa sana kwa sababu yeye ndio top
@ThomasGai-kz5cu
16 күн бұрын
Kwani wewe unamwakilisha nani?
@Kibudu
16 күн бұрын
Asa huwez kuthibitisha unaongea nn,,,, **().
@gregory6165
15 күн бұрын
Yani kila sehem mambo yakiwa yamenyoka lazima liinuke limtu kutaka kutibuwa, msituletee ujinga jangwani, tumetulia huku peleka ushauri wako simba
@hamisikapute598
16 күн бұрын
Jemedari unajaribu kutengeneza miaya ya migogoro Yanga, mbona ya Mo kuita wachezaji Dubai unalipongeza kwani hakuna CEO Simba. Allah atailinda Yanga yetu na wafitini na wanafiki kama wewe. Nasikia unaenda kuwa CEO huko JKT, kafanye hayo huko umpite Injinia.
@Carolina-sm5zt
16 күн бұрын
Kutwa kazi yake ni kuichafua Yanga tena ashindwe Kwa jina la Yesu
@abdulkheri7322
16 күн бұрын
Yanga ina inachekea sana hii ngombe 😢
@HanifaBruno-lv1qf
16 күн бұрын
Kwani tim ikifanya vzr inawauma eer,
@hajimnubi4581
15 күн бұрын
Hapo pichani alikua wapi na hiyo miwani na likofia Hilo...jamaa mshamba sana huyu😂
@b.warron4631
16 күн бұрын
Wee toka hapa
@yunusimchala6569
16 күн бұрын
Hayakuhusu
@user-pr3hv1uk8y
16 күн бұрын
Utaratibu unavunjwa na utaratibu wa namna ya kushughulika na masuala ya dharura
@NangaliBenard
15 күн бұрын
Acha unafiki ya kwetu Yanga yaache Kama yalivyo hayawahusu ! .
@user-xg9ix9ex9h
15 күн бұрын
Mpumbavu kama wewe unamuelekeza nani wewe
@MhagamaJoseph
15 күн бұрын
Jemedali acha usenge.mambo ya watu ayo ayakuhusu nin kinachokuuma
@joshualukas9577
16 күн бұрын
😢
@clausemsemwa297
10 күн бұрын
JEMEDARI WEWE NI KATI YA WATU WAJINGA SIJAPATA ONA.NILIDHANI UNA AKILI KUMBE KUKU TU!
@NyangilaMwessanyangila
16 күн бұрын
Azumari muongo, tulisha waambia wanayanga kuwa wamekabidhi timu kwa wahuni acha uongo.
@fredymwakikono1575
15 күн бұрын
Jemedari ana kaugonjwa flani ka chuki
@robertzamani5612
15 күн бұрын
Huyu anataka kuugawanya uongozi wa Yanga
@NyangilaMwessanyangila
16 күн бұрын
Ni wapuuzi tu wanaweza kujadili mjadala huo, yanga itawakondesha na mmekutana hapo, mlisha sikia mtu yoyote pale yanga analalamika?
@user-bt6ep3yb2h
16 күн бұрын
Kwani unayemfahamu huwezi kumchukia?.
@DevidMarhias
16 күн бұрын
Anasema kweli shida ni kwakuwa yanga wanafanya vizuri ndio maana awahoji ila ikatokea yanga wakafanya vibaya injinia atalaumiwa hata simba palikuwepo matatizo siku nyingi ila kwakuwa simba walikuwa wanamatokeo mazuri hakuna alie hoji lakini ilipotokea wanafanya vibaya vita ilibuka hadi sasa
@musamagulu2023
16 күн бұрын
Eng.anawakilisha Yanga sio kwamba yeye ndo anafanya pekeake. Mnaumia mkiwa wapi makolobwanji
@sadathboutique6253
16 күн бұрын
Mchawi jemedar ktk ubora wake
@HassanCastory
16 күн бұрын
Salama ngale wewe huzungumzii mpira ila upo kishabiki zaid
@noelymwakasege2428
15 күн бұрын
Ila nae uyu akili han
@MyAlfa20
15 күн бұрын
Sasa wewe ukifanyiwa kazi hapo na kulipwa crown FM utachukia kweli?
@ramadhanishabani4600
16 күн бұрын
KWELI HUU UONGOZI WA YANGA KILAKITU RAIS TU MPK NASHANGAA KWANI HAO WENGINE WANAFANYA KAZI GAN KTK MFUMO WA UTENDAJI AU NDIO MZEE TU
@mwanangusana
16 күн бұрын
Acheni uongooo yanga ndo club pekee yake inavyoendeshwa kitaasisi Angalia kitengo Cha habari uone pale yanga Kuna watendaji kibao ile kule udundukani 🤣 🤣 🤣 shida ni kubwa Sana.... Pale udundukani wanao julikana ni mudi , mangungu,Ahmed na try again,..........
@musamagulu2023
16 күн бұрын
Mnataka watoke wawaambie CEO Kafanya hivi,Makamu kafanya hivi na Rais kafanya hivi? Mnajua Eng amefanya nn? Arafat amefanya nn Na CEO amefanya nn? Au kila mnapomuona anaenda sehemu yeye ndo anatenda ila ndani wanatenda wote anayeenda kupresent ni Rais
@musamagulu2023
16 күн бұрын
Hatuwez kuwafurahisha wote endeleen kubwabwaja huko mliko
@mwanangusana
16 күн бұрын
@@ramadhanishabani4600 wakubwa wazima wanatumwa izo ni dalili za umama .... Wivu tu
No kuvunja sheria ni kuvunja sheria tu ---- sheria zipo kwa ajili ya kuwalinda watu " kuwatetea watu kwa kuvunja sheria hakuhalalishi uvunjifu wa sheria --- wachambuzi wetu sometimes mnao ongeaga Nonsense --- yaani mnataka kusema kuwa,mwizi aliyekamatwa akiiba ili kuwalisha watoto wake wemye njaa,hakimu hapaswi kumtia hatiani " Nonsense "
@IbrahimAli-hh6dr
16 күн бұрын
Tatizo lipo wapi kwani jemedari mbona unapenda kuingilia mambo yasokuhusu ww simba tena maswala ya yanga unayatakia nn.maana yanga ikipata mafanikio inakumaaa.
@user-xr2hw3om9z
16 күн бұрын
Huyu jamaa anaumwa ugonjwa wa SIMBA FC yaani ni mtu wa hovyo kabisa!!! Hajawahi kupenda mafanikio ya YANGA.
Пікірлер: 73