Hoo lutha Man, mimi hapa wa kwanza🇧🇮man nipeni man likes zangu Man .❤
@boncenagottalent
6 ай бұрын
KARIBU KUTAZAMA #JENEZALANGU HII NI NZURI KULIKO ZOTE SHABIKI YETU TUME JIRWKEBISHA KUWA NA WATU AMBAO HATUTA IKATISHA TENA TUNA OBAMA LADHI KWA WALE TULIO WA KWAZA
@HappyDaudi-ub4hw
6 ай бұрын
Heeeee🙄🙄🙄 unyago ndo imeisha au???
@tetri-numz96
6 ай бұрын
Hautukwazi Tajirii 🎉
@sofiaabdallah8741
6 ай бұрын
Mgeni wa kijiji unyago zote zimeisha kati
@japhetmweke52
6 ай бұрын
Nzuri sana lakini kuwa na mtiririko wa filamu zako, mgeni wa Kijiji haijaisha, unyago haijaisha Sasa una jeneza langu
@user-cr8cs2qc8f
6 ай бұрын
Kz nzuri San boncena.ila mbn unyago hutoi ama ND imeisha😮😮😮.
@unclejayjay6379
6 ай бұрын
wa kwanza from🇰🇪 naomba likes zenu
@user-od6ed8ni1r
6 ай бұрын
Napenda sana kazi zako man niko Mozambique Man naomba like zangu man 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@japhetmweke52
6 ай бұрын
Napenda sana kufuatilia filamu zako ila unaboa kitu kimoja humalizi moja ndo uanze nyingine unachosha wafuatiliaji #boncena
@mwanashabilo3757
5 ай бұрын
Amalizie mgeni wa kijiji kwanza😂
@januariotitos2004
6 ай бұрын
Nyimbo nimipenda sana 🎉🎉 jina la msany
@user-eb2me3xn1l
6 ай бұрын
Huyu luta vip mbona anashindwa kumaliza move zake anapenda kurukia rukia baba filam zako ni nzuri ils unatuboa kwa kutuacha njiani
@rehema-lg5cl
6 ай бұрын
Na nikama hapitii hoja za mashabiki zake mana habadiliki kabisa wala hatoi sababu😢
@amissemkanapate8249
6 ай бұрын
Mwisho wa siku atapoteza mashabik
@morrisg.j4052
6 ай бұрын
Umeharibu kazi Yako kabisa sijapenda kabisa . Unyago haijaisha ,mgeni haikuisha,Sasa umetuweka kwenye jeneza lako , kweli? Yaani tamaa mbaya sijapenda hapa Kenya .😮
@amissemkanapate8249
6 ай бұрын
Kweli kabisa huyu jamaa hayuko series na kazi zake
@NiyongabiremelchiorDesir-wi6kc
6 ай бұрын
Tatizo yk haumalizie movie
@boncenagottalent
6 ай бұрын
Kaka hii itaisha vizuri timu ya sasa uhakika man trust me
@IsaacKupe
6 ай бұрын
apo sawa
@user-eb2me3xn1l
6 ай бұрын
Anafanya filamu anakata njian hadi anatia kichefuchefu maliza kazine kazi nyny
@AndrewAnord-eh4lb
6 ай бұрын
Anazingua
@zuluRaphaelItangishaka
6 ай бұрын
mimi wasaba!gumbwa umejifikia kwenye jeneza langu,Ruthaman weye muandishi mukari,love from burundi❤❤❤❤
@jacobbuhaha1098
6 ай бұрын
Oy mr.luta a.k.a boncena kazi zako nazifatilia sana lkn punguza ilo neno "man" Kila series saiv lzma uweke ilo neno "man" inaondoa ladha kias flan.
@merickshadrack4509
6 ай бұрын
Huweee una malizaaa movie bwana mbona ya kijijiniii umeiachaaaa
@faithndanukombe254
6 ай бұрын
Gumbo this round umeweza kuongea vzr 😊😊ata mkitoa movie zingn usibadlshe saut one lov from kenya ❤🎉🎉🎉lutat man tunakungoj ufik kenya man mie apa natamani nikuone onedaya man 🎉😊
@jumahamisi4660
6 ай бұрын
Afu nifa mani ulitoka kwenye Red eyes mani macho mani
@Credokiwaga01
6 ай бұрын
Kumbe gumbwa ni mzuri sikujua 😂
@HaniferMwiru-wn9wq
6 ай бұрын
😂😂😂
@puritydavid9003
6 ай бұрын
Mnaigine na atukuona mwisho wa ileya unyago
@user-bi3nw2pv5q
6 ай бұрын
Unafeli sana mwana ungetakiwa umalize moaja alafu uingie nyingine ila uko vizuri mungu akubariki kazi njema
@user-qb9fk1mj8b
6 ай бұрын
Mimi wa mwisho man naomba like zangu man,
@asmajuma4960
6 ай бұрын
Mbona hammalizi movie vizuri unyago aijaisha mnaleta jeneza langu na unyago je inakuaje kuaje😌
@user-mv2ow4ec7t
6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ mashaalaaa part two waiting
@super_boy_tz
6 ай бұрын
Nimekili kwa kunywa changu Gumbwa 💯🙏🙏🙏
@user-rl4cf6tc5n
6 ай бұрын
luta man tubadilishie kdg mapez tu ndio kila picha ni mapez
@user-yd7yc3mi8o
6 ай бұрын
Luta man💪💪
@user-ck9pt2ct9c
6 ай бұрын
Nimoto kbs 🎉🎉🎉🎉kazi njema kbs 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 niatar
@aishapogwa2916
Ай бұрын
Hayo ndio mapenzi bwana ruta Mani
@frankjackson4435
6 ай бұрын
Sjawahi ku comment lakini hapa imenirazimu ❤❤
@Fatmajereko-mz2rs
6 ай бұрын
Kumbe uyu mtoto wachifu nimzur jmn lkn kwenye unyago anakera kwel😂😂😂
Usikose kumalizia hii Man usipomalizia hii utakosea sana
@marynamachanja1836
6 ай бұрын
Malizia mgeni wa kijiji bana
@LovelyDandelion-dv5ht
6 ай бұрын
I love you from Kenya man❤❤❤
@YoungsHilary-xd2ml
6 ай бұрын
Ruta man umetisha sana,,nakupenda sana
@idrisadjuma9322
6 ай бұрын
Njooo kwangu wandy , mimi ndio mwanaume ambayo ninafanya kazi km mwanaume achana na huyo mkaka ambayo awezi kazi
@lilianfantasticonyuma5199
6 ай бұрын
Kazi nzuri but muwe mnafika mwisho wa kipindi 👏
@user-jr5nq4gw5b
5 ай бұрын
Najua me wa mwisho nipeni like ata 2
@ZabibuFundi
6 ай бұрын
Congratulations my brother unaweza scene zote napenda unapojuwa kuvaa kila uwusika Mwenyezimungu azidi kukuinuliya kazi zako man😍👌
@Jaydannychawaboy1.
6 ай бұрын
Nishatokea jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂❤❤
@agahmsweden5812
6 ай бұрын
Hii ni best nimeielewa
@Josamjosam8
6 ай бұрын
Kila mtu from kenya,,kenya,, haya much love from tamil,🤐🤐🤐🤐🤐
@halimamohammed7863
6 ай бұрын
Waah nmewahi man nipeni like zngu 🎉🎉🎉💃💃
@shahrayn93
6 ай бұрын
Kwani nifa na tifa ni mapacha😮mnafanana sna afu Belinda iyo part ya roho mbaya ndo inakufaa sasa..na kumbe wazuri nyie mcpojichorachora...yni tifa na nifa mnafanana pka sauti na kuongea kwenu wooow🎉
@arnauliahakizimana-hn8jz
6 ай бұрын
Lutha unanifurahisha sana kwakucheza movie namunaweza nyinyi wote nawapenda sana naangalianga movie zenu me niwakutoka 🇧🇮 lakini sai niko 🇰🇪
@successr1617
6 ай бұрын
Shemeji umeuwa tana na hiyo lafudhi ndio kabisa yaani unafanya mtu afurahie kuisikia tuu
@user-nw4px1fw9b
6 ай бұрын
Ila we jamaa unapenda kujipakulia minyama misotojo duuuh sio poa
@user-ck9mc8sr5r
6 ай бұрын
Unaanza sasa kuvuruga vitu
@zebiclassicTz2051
6 ай бұрын
Uachekutoa series ndefu Ambazo zitakufanya ushindwe kumaliza
@user-bj9dr1zi6r
5 ай бұрын
Lutaa mani nakupenda sana mana unavoongea mani
@alfredtebeka2497
6 ай бұрын
Latifa na anifa kama mapacha❤ ila belina umechezaaje humo😢 ila sio mbaya weee ni star
@halimahassan1930
6 ай бұрын
Rutaman mbna umalizi kazi kama ile onyango
@user-jr9dc5ff4r
6 ай бұрын
Bro very nice move from zambia 🇿🇲
@Brianmari17
6 ай бұрын
Uyango vipi
@HubySay-of2cb
6 ай бұрын
Natamani niifatilie Ila kila nikiwaza kuishia njiani naona Bora tu niache mgeni wakijiji niliipenda Ila ndo Ivo
@husseinshamte7129
6 ай бұрын
Tatizo huwa haziishi alafu zinanza mpya Unakata stimu mkuu
@ukweri2ebiyati661
6 ай бұрын
Hakika hakika hakika hakika unaweza mwanawitu
@amosathuman7366
6 ай бұрын
Mbona man unyago umetuachia njia panda
@user-cr8cs2qc8f
6 ай бұрын
Aky belina umecheza na roh mbay humu.i sey naumia sana.😢😢😢daaaaah!! Haufanani ila kz nzr
@user-wi6to3kb8v
6 ай бұрын
Pa1 familia ya ruta man
@rosekayombo
6 ай бұрын
Kinacho boa unaanzisha movei hf unaishia njian mgeni wa kijiji hujamaliza unyago hujamaliza upo huku tena nako utaishia njian
@willykijanaa004
6 ай бұрын
Kila mmoja wenu nmempa like ambae hjaona yake anambie nmpe mm nko hpa kpeana like kwa wale wanaotaka like yaaan naitwa M LIKE
@laurencejuma1377
6 ай бұрын
Oya man atakama umefanikiwa ndo utufanyie hivi kuna mda views utakuta 10 tu
@RosemaryWilbard
5 ай бұрын
Kumbe gumbwa mucuteee hivii😂😂😂
@Steven_daudi
6 ай бұрын
Daa nimecherewa ila nilikua nimechelewa kukopa bando,, ila nipo nacheki utam,,
@lulupeter-xf9gs
6 ай бұрын
Tunaomba unyago umalizie mbna umejaa siku nyingi sana bila kuitoa shida nini
@fredyjames4327
6 ай бұрын
Ruta man malizia unyago manunatuvuruga man
@nurusaid4698
6 ай бұрын
Kumbe Gubwa Ni HB Kiasi Iki Kma Nimemkufua Nami😂😂😂😂❤❤❤❤Kushinda Kwenye Uyango Iliishia Wapi
@everlinekenga437
6 ай бұрын
Alafu tiffa umenepe mashallah ❤❤❤
@Steven_daudi
6 ай бұрын
Sio mm ninge kua mm ninge piga busu apo apo napendwa ehee,,
@Bonniemurithi-tu8bd
6 ай бұрын
Lutah man uku Kenya lamu visiwani tunakubali kazi yako fresh man.Ila man tunataka ii kazi ifike mwisho usituachie katikati kama ulivyofanya kwa unyago
@user-ck9mc8sr5r
6 ай бұрын
Jamani mumefikia uko umyago imeishia wapi
@RemigiofelixFelix-uh2vg
6 ай бұрын
Rhuta man nampenda sana man filamu sako man mimi niko mzumbiji uku ❤🎉
@user-jg5tb7el6j
6 ай бұрын
Luta man mbn ujamalizia unyago
@user-hj1go1cx9l
6 ай бұрын
Nampenda❤❤❤
@chadiaofficial
6 ай бұрын
Love From Chadia Official to🇧🇮
@user-zi1ue8cr8b
6 ай бұрын
Fireeeeeeeeeeeeeeee 🔥 🔥 🔥 🔥
@saumosoro9799
6 ай бұрын
Nimeipenda hiyo man 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤kaz smart sanaaaa
@user-jc7xx6ww8m
6 ай бұрын
Nakubali man ❤❤
@user-dx4qi3mm1e
6 ай бұрын
Ngumbo kumbe ni hb
@user-yt3vw2hn6t
5 ай бұрын
Best film🎉🎉🎉
@Steven_daudi
6 ай бұрын
Gumbwa ume pendwa kaka,,,
@BornifaceMwaLubanda
6 ай бұрын
Kazi nzur
@amissemkanapate8249
6 ай бұрын
Tatizo LA Luta man kazi zake haziishi
@impixelmusictz3044
6 ай бұрын
Shida haumalizi story
@user-vs5pz1gc9x
6 ай бұрын
Mbonaa unyago hamtoiii jmn
@user-nf9iq5vp8d
6 ай бұрын
Acha lombaya wewe muache apate kitu loo inapenda❤❤❤❤❤
You are the best bro I appreciate your work man 💪💪💪
@shainasshakty
6 ай бұрын
Kumbe gumbwa mzuri tu 😂😂😂
@BornifaceMwaLubanda
6 ай бұрын
Umetisha home boy
@JejemingaMinga
6 ай бұрын
Jeneza man 🙌 🙌🙌🔥🔥🇲🇿
@user-zq8cm9gm3c
6 ай бұрын
Omani 🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮
@JovinJosephat
6 ай бұрын
Lutaman unatoa movie nzuri sana. Changamoto ni kwamba movie zako hazifiki mwisho. Mfano MGENI WA KIJIJI haijafika mwisho, UNYAGO nayo naona kama umeiacha. Ingependeza unamaliza movie ili kukidhi kiu ya mashabiki wako
Пікірлер: 211