Kwakweli, bora waambie ukweli watu wanazid kushauri!!!!! yao yanawashinda ila kutaka kutembea juu ya vichwa vya wengine ndo wanajua
@verachikulupi8063
2 ай бұрын
Dada Sheena umechamba vizuri sana kwa Utulivuuuu sana big up😊
@whitneyivan6449
Ай бұрын
Nmekutana nayo iyo pia asante kwakufikisha ujumbe
@user-zr5mk4ud8j
2 ай бұрын
plain truth
@vero57
2 ай бұрын
Kweli kabisa dada, alafu hao hao wanaomba pesa
@dorinebeadictory3729
2 ай бұрын
Yani Bora sana uliongelea hili jambo, maana ata Mimi ndo kwanza tuna mwezi ila hapa mtaani kutwa wananiekea singeli Kwa huyu mzungu huzalie kwakweli inaniumiza sana
@niymaedwin4297
2 ай бұрын
Aahi dada mnependa unachampa kisomi 😂🎉❤
@verachikulupi8063
2 ай бұрын
Well said❤🎉🎉🎉🎉
@user-ku5so9sb2t
Ай бұрын
Dada nakipenda bule
@ashurajuma2024
2 ай бұрын
Kweli kabisa,hiyo ni changamoto kubwa kwa familia zetu za kiswahili,
@mscantraah8210
2 ай бұрын
Yes true 👌🏻👌🏻👏🏻👏🏻
@tinanicholasligwile6972
2 ай бұрын
Aswaa ni mtihan kwakweli 😅😅
@OmanOman-dd5qk
2 ай бұрын
Wambie watajua hawajui
@marrysamwel596
2 ай бұрын
Kabisa jamani watu wanatoa mipango ya watu dah 😢
@verachikulupi8063
2 ай бұрын
Huwa wanaboa sana aisee
@mariambakari8065
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@christinatina9404
2 ай бұрын
Nakwambia dadangu unashindwaa na binadamu hoooooo 🤔
Пікірлер: 24