Na proud kazi ya Jeshi eee Mungu tujalie kila lilio Jema katika kazi hii ya kuiongoza nchi yetu tz
@salomonnsabimana3025
11 күн бұрын
Ki ukweli jeshi la Tanzania muko ngufu na wakubali. Personally na penda Tz .Toka Congo Dr🇨🇩
@leonardkirui1284
12 күн бұрын
Following from Kenya, I personally never knew Tanzania had powerful and sophisticated weapons.
@MJbendera
11 күн бұрын
These weapons are nothing compared to North Korea .. lol
@alphakiuyo9447
8 күн бұрын
Pole
@johnjohn2080
4 күн бұрын
Those A100 multiple rocket its only tz in East Africa
@mohammedabdulhakim7953
Күн бұрын
Those missiles looks like an air defence iam not sure if kenya we have these. I have never seen any.
@wilfreddimoso9370
14 күн бұрын
Safi sana jeshi letu liko vizuri sana mungu ibaliki nchi yangu
@Kanyukatv
3 күн бұрын
Hata Mimi nimeona nisipite #kanyukatv hata niwape like Tz
@AugustinNDAYISHIMIYE-dd8qw
7 күн бұрын
Safi Mama kazi nendesha ukosujaa n'a umejiamini kabisi
@rodgersmwagu239
3 күн бұрын
Ushindi sana
@abedysteven4930
14 күн бұрын
Aaaaa kumbe nitembee kifua mbele jesh lang la ulinz kiko vzur🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏
@Nassibmpupa
13 күн бұрын
Jidanganye uone
@franktemba5293
14 күн бұрын
Safi sana Jeshi la Tanzania Ningependa kuona fighter jet like F-7, F-5, F-6 or mile Mig21
@jasonwatz7457
14 күн бұрын
Hizo ni za zamani, sikuizi wana za ufaransa
@franktemba5293
13 күн бұрын
@@jasonwatz7457 Sawa kiongozi sijabahatika kuziona
@eng.makolal1367
11 күн бұрын
wanatumia F-7.
@franktemba5293
11 күн бұрын
@@eng.makolal1367 nazikumbuka hv still zipo on service zile?
@christianlawrent2424
8 күн бұрын
Sikuz hawatumia hayo ndugu
@ahmedsaidbachuba2398
14 күн бұрын
Shukrani lakini tukilinganisha Vita ya Israel na Ukraine na rushia tuwekeze kwenye anga na teknoroji ya juu.
@mamilooutukufu3516
14 күн бұрын
Una akili sana una wazo ya juu mno kweli hapa ukilinganisha na vita vya Israel na urusi sisi bado sana pia nilikua nashaur pia wanajeshi waajiriwe zaid tena wale watu wabunifu siyo kujuana
@vt-kn6qf
14 күн бұрын
Ndio mana Rais Samia alikuwepo uturuki kwa swala Hilo usiwi nachaka izo ni hasilimia 2 ya sila ziliyopo
@MsafiriValens
12 күн бұрын
Ila usiwe unalinganisha na uwezi wa jeshi la bala nyingine tu linganisha na jeshi la M23 jeshi lenu kwenye maonesho linawaonesha ya kwamba ni imara ila uliza kule DRC utajibiwa kuwa likifika kwenye Frontline mbele ya M23 uwezo wake haupo kwani ni karibu ya sufuri wanaadivansi hawarudi M23 inawatoa uhai wanaleta vifaa vimeunguzwa ila silo jeshi lenu tu na la Afrika ya kusini sufuri mbele ya M23 SADEC nzima mbele ya M23 inakuwa sufuri naweza nikasema eti wafanye mazoezi ya kuwa imara kwenye Frontline kwanj hayo yanamalizia kufurahisha shabiki wao tu
@johnjohn2080
4 күн бұрын
Unaona hiyo A100 na BM30, hata Urusi bado anazitumia ni hatari
@PasserbyMan-ju8ky
5 күн бұрын
Siku hizi ulizi wa anga ni jambo kubwa sana na muhimu sana,maana adui siku hizi huanza angani kabla ya kutua chini,ningeshauri jeshi letu kujikita pia katika ulinzi wa anga.pia makombora ya masafa marefu,maana adui hukupiga kutokea kwake kabla ya kuingia nchini mwako. Mungu ibariki nchi yetu Mungu ailinde TANZANIA.
Zipo lkn huwez kuonyesha nguvu yko yote,hzo n mfano tu
@ramajr3762
14 күн бұрын
Taka yako ni taka taka.
@eng.makolal1367
13 күн бұрын
Hakuna uzuri wowote ardhini. Mnatumia kifaru cha mwaka 1959 kama kifaru chenu kikuu.
@JuliusSenyael-ej6hg
11 күн бұрын
We vp mnataka kuonyesha Kila kitu uwez toa zote bos
@CaliforniaU.S.A
13 күн бұрын
Daaa kumbe vyombo vimefichwa daaaaa hongeren sana jw
@alphakiuyo9447
8 күн бұрын
Tupo vizuri
@BrianEmily-be7dy
13 күн бұрын
Hilo shirika la nyumbu liwezeshwe Zaidi tuweze kutengeneza silaha zetu wenyewe nyingi Zaidi na fighter jets kama F16 ingependeza sana jeshii letu likawa nazo
@djpatruick
12 күн бұрын
Beyi ya F16 moja nisawa nakutengeneza, Mkapa nyingine.
@lukungutandahinga7176
3 күн бұрын
Silaha za zamani
@user-zk9ox3di4b
12 күн бұрын
Ongera watoto wetu tunawategemea sana Tena sana na bado tutazalisha wanakeshi wakulinda Tanganyika yetu
@Emmanuel-b4g1n
11 күн бұрын
Hongera na mpo vizr
@radhiasalum7156
14 күн бұрын
Hii mizigo yote ya nini ingieni kwa uraaa awape ndege bila rubani😂😂
@LuckymusyokiMueni
12 күн бұрын
Hapo hawajaonyesha zote bana ,haziwezi toshea huo uwanja ,hizo ni za dar tu na si zote jameni,mikoa zingine wako na zao
@kibwetere1418
14 күн бұрын
Siku hizi bila drone hauna uimara wowote hivyo vifaru vinaweza kuchakazwa na drone
@MalikiHuseni-f8d
14 күн бұрын
Uposahihisana
@VICTORNGOWI-s1g
13 күн бұрын
Drone lazima zitakwepo
@JosiaMaingu
7 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@abubacarjallow
14 күн бұрын
Strong security and development
@YudaSanga-vk2xd
13 күн бұрын
Powerful
@OMARYMussa-pg8ue
11 күн бұрын
Strong army 🎉🎉🎉
@kanyamagaraabdallah8300
11 күн бұрын
Nakubali ndugu yettu ( TZ) Tanzania
@sayeedmsct4255
14 күн бұрын
Masha-allah hili jeshi raha nitajiunga kwa lazima 😅maana vita ikitokea mnasema vijana wabaki mzigoni wanawake waende nchi jiran 😢😂😂
@FabianoJames-x2z
12 күн бұрын
Tanzania iko vzr
@user-kx1hc2mc3t
9 сағат бұрын
murakomeye
@IzackMakungu-ey9jx
14 күн бұрын
Ni silaha nzuri but ingependeza tuw na ndege jama su37 na drones pia submarines
@kambamazig02024
14 күн бұрын
Si lazima uonyeshe kila ulichonacho! Kumbuka siri kubwa ya nchi yetu kumshinda idd Amin ilikuwa hawakujua Tanzania tuna uwezo upi wa kijeshi!
@therockn1666
14 күн бұрын
M23 inawacucuma kama ugali hahah kuwa mnene sio kua mwanaume wako na tekemea uko eastern Congo juu ya ujinga m23 inawapa mama yawo
@kambamazig02024
14 күн бұрын
Mbona hueleweki, bangi nyingi nini 🤣
@tonybrighter3878
14 күн бұрын
Naomba Kuuliza Hio Idadi inayo tajwa ni zote kwa Ujumla Tanzania Nzima au ni hapo uwanjani zinazo Pita.
@norobo205
14 күн бұрын
Ivyo vya maonyesho tu mizigo kamili ipo camp
@mussamuna900
14 күн бұрын
Tonybrighter hizo akili zako sio hahahaaa umenifanya nimecheka sana hizo vifaa inawezekana ndio hivyo tuu mzee
@georgeurembo4553
14 күн бұрын
Siri
@Grataaaaa
14 күн бұрын
ikitajwa idadi ndo vyote tanzania apo vinaonekana@@norobo205
@kambamazig02024
14 күн бұрын
Ni zilizopo uwanjani ndugu yangu!
@user-it5vl8rh8n
4 күн бұрын
si Tz ikuje friendly na wana skauti wa kenya...
@zawadimbwambo1091
14 күн бұрын
Wanalinda nini? Maana mali niza wageni. .. Madini niya wageni. Bahari niya wageni.. Hifadhi niza wageni. Misitu niya wageni gesi niya wageni. Kiwanja cha ndege kia nicha wageni. Bado mlima kilimanjaro tu. Sasa hivyo vifaa sinisawa na kufunga boma ng'ombe wakiwa wameshatoka?
@abdulyshafii
7 күн бұрын
❤
@norobo205
14 күн бұрын
Kumbe kifaru kinaeza pita kwenye lami
@godfreypaul251
13 күн бұрын
Vidogo dogo vizito ndo vimebebwa
@kasozimatovu5810
21 сағат бұрын
But those are outdated machines these days a country must invest her strength in techenology, all of those tanks can be destroyed by one man in a jungle by just using small drones
@MugaruraJclaude
Күн бұрын
Atanamiminawafurayiyasana kwakuwonyesha biphaa.
@SaiduKanu-se7um
4 күн бұрын
ABDUL KAMARA
@jayblue3123
Күн бұрын
They still have world war 2 tanks wow 😮😮😢
@luganomunuwavanu9369
Күн бұрын
What's wrong with that. Even the very developed nations have those weapons along with the new ones
@clauschaula2050
12 күн бұрын
It is not good to show our weapons publically because our enemies can learn our strength.
@ziontemplendanyu4827
14 күн бұрын
Tunataka match friendly fight ya Rwanda na Tanzania
@MeshaMgumya
13 күн бұрын
😅kwann uchaguwe Rwanda❤ au Rwanda imekuwa super power in Africa
@josephnshimiyimana2025
12 күн бұрын
Ndugu yangu don't dream at day if you want to know the power RDF ask what it has done in gobodergado in mozambique country.@@MeshaMgumya
@iconschannelug
12 күн бұрын
Why not with the uganda😢
@Ntwari563
10 күн бұрын
Rwanda in fighting is super power
@georgenyasudi4060
6 күн бұрын
@@Ntwari563There's no superpower in real war. Russia thought they were, they invaded Ukraine & more than two years now they're still fighting.
@spabiton7989
4 күн бұрын
una onye shaje sirahi ambazo ume nunia na zaki zamani sana hizo
@CynthiaOcampo-k2p
12 сағат бұрын
Harris Frank Young Edward Robinson Gary
@MsafiriValens
12 күн бұрын
Waambie wapeleke vifaa hivyo kisha M23 iviunguze kama vyingine walivyopeleka kule eti 77 ila karibu ya vyote vimeunguzwa hivyo ni maonesho tu ila kwenye Frontline kuli DRC uwezi ni karibu ya Sufuri
@williamsville3493
11 күн бұрын
Wewe ulishapigana na M23
@MsafiriValens
11 күн бұрын
Napigana na wanaopambania uhuru nikiwa na upungufu wa akili kwa kiwanga gani?
Acheni ujinga vifaa vya jeshi vinakaa jeshini. Sisi raiya wa kawaida vinatusaidia nini? Vkatuletee waliyotekwa!!
@deniccgabriel6153
14 күн бұрын
We akili kubwaa
@giftmeela6250
9 күн бұрын
Hizi ni sherehe za kijeshi na sio zakiraia
@devissyprian1526
12 күн бұрын
Kwan nchi yetu haina drone?
@shaimamabrouk9937
5 күн бұрын
Nchi inawatu wasio julikana kilakukicha kwanini wasiwatafute kuwe na Amani hivyo vifaa kazi yake nn kwani Tanzania kunavita!? Muhimu wafanye kazi kuwatafuta wanao ichafua nchi sizani Kama watashindwa kuwakamata jeshi kubwa lakini waarifu kilakukicha mauwaji kilasiku watekaji kilakukicha alafu jeshi linaonyesha vifaa ....vifaa vyanyokoo
@MwitaSenso
13 күн бұрын
Aah kumbe tupo vizur san
@mamilooutukufu3516
14 күн бұрын
Drone ziko wapi
@NassoroKulondwa
10 күн бұрын
Najivunia nchi yangu kuwa na jeshi imara lakini nashauri liongexewe bajeti ili kudumisha amani
@HamisiNguche
12 күн бұрын
Hivyo ni vya kutupigia Raia wanyonge waTZ ila Kimataifa hatuwezi. Twende tukawasaidie Waparestina Kama Tunaweza
@IrakozeFleury-gg8mg
14 күн бұрын
😮❤
@YohanaHaonga-y7q
14 күн бұрын
Haya yote ni kwa ajili ya mwanadamu
@VICTORNGOWI-s1g
13 күн бұрын
Ninavyojua jeshi letu hivyo vifaa vipo lkn vimefichwa maana haya ni maonesho tu hivyo hutakiwi kuweka zana zako zote hadharani kwa ajili ya usalama wa nchi.
@andrewagwenge6597
3 күн бұрын
These tanks are extremely outdated
@LeniJulius-l6x
12 күн бұрын
Kuna popobawa za urusi, marekani na kwa kimu hayo yanalipuka Kila wakati kule ukrain
@AliceMbararo
8 күн бұрын
Mbona atuoni silaha za nyuklia nazo
@GamDuel-vr4hp
14 күн бұрын
Top military
@mugisha1
12 күн бұрын
T59 Na T70 Imesha Tolea kazini
@jinomoko5510
14 күн бұрын
Tupo vizuri lakini si vizuri kuonyesha uwezo wetu ikitokea vita imeanza tayari adui ameshatusoma atajipaga zaidi ni wazo tu
@Benjamin-r8g
14 күн бұрын
Unadhani waoo hawana akili unaambiwa hzo nibaadhi tu ila vifaa kamili vipo
@jinomoko5510
14 күн бұрын
@@Benjamin-r8g sawa Mkuu
@CajerMomade
14 күн бұрын
Jwtz imara
@gesusgegangphray7689
13 күн бұрын
na camouflage cyo n Kali Sanaa kuonekana na adui mbali... rangi na mazingira lazma viwane.
@kibwetere1418
14 күн бұрын
Tununua shahed drone za muajemi
@kibwetere1418
14 күн бұрын
Tununue drone kutoka kwa muajemi
@Goshi-ov2wy
14 күн бұрын
Uzeni vyote , Kwa bei rahis Kwa Malawi, Zambia, na nchi nyingine ndogo ZA Afrika, Tanzania Ni nchi inayojulijana Sana barani Africa, Bora muwe na siraha chache ila hatari, Kama, SU 57, at least tuwenazo kumi, Shahid drone at least tuwenazo 500, siraha ZA Korea kaskazini ZA kawaida atleast 30,000/ na ZA kirusi 20000/, na rada 50, ZA kisasa ZA mrusi. Nadhani Africa nzima watatuogopa
@kambamazig02024
14 күн бұрын
Hizo drone unazozisema za Shahed hazina chochote kipya, sasa hivi silaha ni zile zenye uwezo wa ki-electronic na kuweza kufanya silaha zako zote kutokuwa na athari zozote zile, hiyo ndiyo next gen combat!
@lebonlbk2577
12 күн бұрын
Kwa silaha izi hata putin hatobowe, Tanzania ndiyo nchi number 1 duniani kwa silaha😂😂😂
@ChristopherChacha-l5r
14 күн бұрын
Yaani hayo ni maonyesho alafu maonyesho siyo kitu kamili nenda barracks ndo utaona vitu
@tinotravella7495
7 сағат бұрын
Atuna bomu la nyukria why😂😂😂
@KingCza-kb2bv
14 күн бұрын
Hatuna haja ya kuonyeshwa mazoezi ya jeshi mara makomandoo mara silaha za jwtz:'kwani tuna vita?!?!watu Wana haki ngumu nnatuonyesha madudu tutakulu silaha?rrrubbbishh
@jaffaralimakame1533
14 күн бұрын
HUJAAMBIWA UANGALIE KAA NA NJAA YAKO MBWA WE
@user-eb5lg7oj5x
12 күн бұрын
Israel analia huko Gaza
@mejjarsagent227
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 even world war II had better weapons and artilleries than these of Tanzania
@hategekimanapatrick8645
14 күн бұрын
Eeee ko mbona Tanzania idasanzwee
@DesertTears
10 күн бұрын
Ujinga ni kuonesha silaha zenu😂😂😂😂 M23 wa DRC washawasoma ndio maana wanawaua kama kuku huko Congo
Tuombe pambano hata la kirafiki na Ukraine aisee tutesiti mitambo yetu
@mwenebatuetabo5515
14 күн бұрын
Wenzenu wanahunda nyinyi ni wahuzaji. Mujitahidi kuwekeza kuhunda
@dennisezakiel3380
14 күн бұрын
Hizo silaha zetu uwezo wake wa kawaida sana , sababu siku hizi kuna siraha hatari zaidi, mfano kifaru cha abraham lakini kilipigwa kule urusi .kwahiyo tunahitaji zaidi siraha za angani
@user-po8hz7xw9j
14 күн бұрын
Sawa niza kawaida njoo utuchokoze uone we unafikiri diraha zote watazileta mzione
@gesusgegangphray7689
13 күн бұрын
sasa hivi drone .. watu kupigana na machine wapi na wapi.. tuwekeze kwenye science military
@emmanuelboss5501
10 күн бұрын
Vifaru bila fighter jets is nothing,,
@georgeurembo4553
14 күн бұрын
Cjaona vile vifaru vya urusi, German na Usa mfano Abraham
@user-rb4sg1ue6j
13 күн бұрын
Wekeni kwenye anga na cyo mavifaru technologia ni siraha kwa ss navyo ayo magarii
@Nedjadist
14 күн бұрын
Sijui niiweke nchi yangu kwenye kundi gani kimaarifa. Hata kima cha milimita anaambiwa rais na dunia! Sijui twamtisha nani!
@rabomunde3550
14 күн бұрын
Tunatishwa mm na wewe uchaguz Fanya fujo uone
@kibukilasongolo2358
10 күн бұрын
Hiyo ni sufuri kabısa
@mugisha1
12 күн бұрын
Bado Izi Tank Zinafanya Kazi ?
@jumahassan5683
14 күн бұрын
haya maonyesho yasingifanyika kwenye uwanja wa mpira jeshi liwe na eneo maalumu la maonyesho na. military paredi Kama kwenye nchi za wenzetu
@kijomkudevic8194
14 күн бұрын
Uo uwanja ni wa jeshi
@user-mm9qr7em8k
14 күн бұрын
Tumeona lkn tunataka jeshi letu lichukue zaidi wasomi ili tupate jeshi pora
@jonaskatto6437
12 күн бұрын
Tanzania tumepiga hatua,
@JuliusSenyael-ej6hg
11 күн бұрын
Mbona amtaki kutoa zile nyuklia?
@Faraji-j7j
9 күн бұрын
Mali
@RutabingwaKamiIvan
12 күн бұрын
😂😂😂Mbona wanatandikwa huko mashariki mwa DRC kama mntu anayetumia upinde na mishale kugombana? Ukali wa shoka sio kukata miti mingi.
@deniccgabriel6153
14 күн бұрын
Mbona aya ni takataka itazame siraha ya irani amtegemei mtu lkn anaogopeka na siraha zake
@giftmeela6250
9 күн бұрын
Unafananishaja Tanzania na Iran kweli!! your not serious 😅
@maniamba.tz_
14 күн бұрын
Tumepiga atua
@BeniMasolwa
12 күн бұрын
Tuombe vita ya kirafiki na Kenya sasa😀😀
@MattarOnlineTV
10 күн бұрын
😅😅😅
@eng.makolal1367
13 күн бұрын
Yaani kifaru kikuu cha Tanzania ni mwaka 1959!
@innocentdeo3084
12 күн бұрын
Hujui chochote nyamaza nonsense
@eng.makolal1367
11 күн бұрын
@@innocentdeo3084 kenge wewe!
@eng.makolal1367
11 күн бұрын
@@innocentdeo3084 wewe unaijua T59 au unataka kuhara?
@johnjohn2080
4 күн бұрын
Kweli hujui amgalia hiyo A100, multiple rockert na Bm30 hadi leo mrusi anatumia ni hatari
@bonifacemollel87
14 күн бұрын
Tujipange sasa kulipuliwa na ALSHA BAB
@lambilinkrwandaltd2508
14 күн бұрын
No sukoi in tanzania ? Nashangaaa
@hassanabdala7383
14 күн бұрын
Vita vya kisasa drone ndio mpango mzina vifaru havina mchango mkubwa
@krispinkomba4606
14 күн бұрын
Hv ulitaka hata vifaa vya majini vije vionyeshwe hapo??
@johnjohn2080
4 күн бұрын
Angalia urusi anavyompiga ukrain na hiyo BM30 na sisi tunazo hadi A100 multple rocket
@rubensilasopereopere9910
11 күн бұрын
Sawa hili tuhamini kama kweli tuna silaa za kivita tuombe vita ya kirafiki na kenya
Пікірлер: 188