Ayo tv sasa anataka kujiharibia kutudangnya watazamaji
@husseinhemedi9314
6 күн бұрын
Kilakitu cha kipekee Dunian kina tokea marekani Hawa wazungu wa usa wametudangany mno sasahivi hawaniambii kitu kuhusu Russia 🇷🇺🇹🇿🤝
@tekashisixtynin9threewithd727
6 күн бұрын
Asa RUSIA amekisaidia nn paka saivi ww kama ww ama kwa nchi yako kama sio wanapiga kelele kuona wanaonewa na marekani na washurika wake acha na marekani anamsaada mkubwa sana
@georgekimasaofficial1629
6 күн бұрын
Tumesha kujuwa jina linajieleza 😂😂😂😂utasubiri sana Marekani idondoke ila na mwisho wa Dunia utakuwa umefika😂😂
@adolphmwangoje2887
6 күн бұрын
Ndege ilitangazwa kwenye TOP GUN MARVELICK mkiwa mnangalia movie angalia silaha mpya ipi imewekwa ndo utajuwa yaliyomo Zaid duniani 😂😂😂😂
@mwanahamisimohamed1364
5 күн бұрын
Upo sahihi,hii ni SR 71 " blackbird " anayozungumzia millard, lakini haizidi speed SR 72 "Darkstar" ndo imeonyeshwa kwenye movie ya TOP GUN ya TOM CRUISE na hii SR 72 "Darkstar" ina speed ya MACH 10, zaid ya hii anayoonyesha millard ayo ni SR 71 "blackbird"
@ELLYTECH
5 күн бұрын
Yeah though ile ilikua inaitwa darkstar
@vladimirputn1809
6 күн бұрын
Miladi wamekutuma marekani utudanganye hatudanganyiki tunaipendaurusi kuliko wali🇷🇺💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼
@martinisadru9899
6 күн бұрын
Huo ndio ukweli, zamani urusi alikua bado kwa technology, ila kwa sasa amekua kidume kwenye technology.
@PUTINN365
6 күн бұрын
Nakukubali mwamba hatudanganyiki viva putin
@eng.makolal1367
6 күн бұрын
Jifunze kuandika kwanza.
@fredducaunt
6 күн бұрын
@@PUTINN365😂😂 kichwani upepo tu Sasa wamedanganya nn
@HassanLamata
6 күн бұрын
Rudia kusoma upya historia ya kweli kaka Soviet ndo ilikuwa tishio Dunian kwa tecnolojia shida WENGI hhatuna historia ya kweli tumedanganywa kwa muda mrefu sana @@martinisadru9899
@magorymara5515
6 күн бұрын
Kwanza tuulize alieanza kurusha chombo cha mawasiliano angani ni nani tukishapata jibu huyo ndo mshindi wetu
@fredducaunt
6 күн бұрын
Mitano tena kwako 😂😂
@shaamemchauru1365
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏💓
@user-lv4cx1sc5d
6 күн бұрын
Waongo wameanza kutufanganya tena umeshagunduliwa nyinyi waongo sanaa
@fredducaunt
6 күн бұрын
Mpaka uletewe mlangoni ndo uamini 😂😂
@user-lv4cx1sc5d
5 күн бұрын
Sijui wewe zuzu
@robertmosha6801
4 күн бұрын
Kasome wikipedia
@wangaeliwilfred2919
5 күн бұрын
Team USA tupo
@fahadsaid9616
6 күн бұрын
Acha ndege ya kupiga picha watu wana vipulizo(baloon)yani kiasi kwamba unaweza kuhisi labda watoto wanacheza au zawadi za sikukuu
@theoriginals3240
6 күн бұрын
viva America ✊✊✊✊✊
@PUTINN365
6 күн бұрын
Shoga huyu tayari serikali tukamatieni huyu
@MathewNathan-yb2bz
6 күн бұрын
@@PUTINN365shoga ni ww unaoutaja ushoga wenyewe.Kuutaja taja ushoga mara kwa mara ni sawa na kuueneza ushoga wenyewe.
@theoriginals3240
6 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz mpumbavu, alafu unakuta watu kama hawa ndoto zao ni kwenda america
@sakuranitillya6088
6 күн бұрын
Wana mda mdogo sana hao marekan8
@user-hb7mq8lg9e
6 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bzUlienda Kwenye Mkutano Wenu Washington?😂😂😂😂
@Shebbytvs
6 күн бұрын
Ukitaka kumuweza Mmarekani kwa vita anza kuwapiga wale watu wenye akili nyingi duniani ambao ni wa ISRAEL,pili wapige Wajerumani na tatu kampige babaake Mmarekani ambae ni UK tena ni kwa haraka sana alafu ndo mfate mwenyew kidogo unaweza kusumbuana nae ila bila hvyo utaishia kupga kelele kama yule KIDUKU wa Korea!!!
@simoncmatanda5135
2 күн бұрын
ko sawa kiongoz wala skupingi
@eliuskamwelwe1018
4 күн бұрын
When it comes to technology,wamarekani nishawainulia mikono😂😂
@noelnjementi8511
5 күн бұрын
Sf istoria ninzur co waafrica nanaiga kufuga ndefu nakuvaa kanzu fupi au kuiga kuvaa sut natai watu weupe warituchukulia kira kitu tumekuwa watumwa tunaitana makafiti wakat wote weusi tu
@venancerutta6875
5 күн бұрын
Naugana ww marekani ni wababe na ubabe wao ni wa maaarifa kupindukia polisi wa dunia
@shafiijuma840
6 күн бұрын
Fanya uchunguzi milad ayo unafeli wapi mkuu sifia basi hata air Tanzania acha ukibaraka wa kifala.
@PUTINN365
6 күн бұрын
Ameshalipwa anataka atudanganye kama walivyotudanganya zaman mbona husemi urusi alishinda vita ya2 ya dunia Acha ushabikiaji wa mashog
@MathewNathan-yb2bz
6 күн бұрын
@@PUTINN365kwani ilishinda peke yake?Kwenye vita hiyo Marekani,uingereza,ufaransa na urusi walikuwa upande mmoja.Unambiwa marekani ndio alitoa msaada mkubwa sana.
@venancerutta6875
5 күн бұрын
Kwa ufupi marekan miaka hy bomu la hytomic kapiga japan mpaka sasa ni visiwa marekani kama taifa inaweza kuiondoa nchi yeyote ktk ramani ya duniani
@magigesabai8674
6 күн бұрын
Kama makombora ya Ukraine yanafika urusi na kupiga bila kutunguliwa ujue urusi bado sana ambacho anaweza kujivunia kidogo ni Nuclear Marekani yuko mbali sana
@muhsinmwamkunja9702
6 күн бұрын
Hata marekani walipeleka hymars ukrai ndo wakajitamba mtambo unaoweza kuzuia makombora sasa ivi upo makumbusho ya urusi kule watu wanautazama
@fredducaunt
6 күн бұрын
@@muhsinmwamkunja9702 Ume-type nn 😂😂
@user-lf2wh4rx7n
6 күн бұрын
Waambie waipeleka ukrine ...kama haijatunguliwa ...kwanza hyo ndege ni special kwa kipiga picha sio vita zaidi
@magretherick1478
6 күн бұрын
Kabisa😂😂
@fredducaunt
6 күн бұрын
😂😂 Unaambiwa zimestaafu baada ya ku-militarize satellite kwo saiv hazifanyi zipo kwenye military gallery ya marekani miaka zaidi ya hamsini we kwako ndo habari ndo unashtuka saiv 😂😂
@saeedally268
6 күн бұрын
Kataa au usikatae marekani wako juu hata warus wachina wakorea wanalijuwa hilo
@Chettymlambalipsi-lb9km
6 күн бұрын
Millard tunataka mambo mazuri yanayofanywa na mataifa pinzani na marekani 😊😊
@fredducaunt
6 күн бұрын
😂😂 mambo mazuri ndo haya Acha muvi za kihindi
@mchinatz9335
6 күн бұрын
Lengo la kuleta hii habari ninini ? Sasa kwamba mtatutisha sisi team Russia
@martinisadru9899
6 күн бұрын
We, m, Russia wapi, we mjinga wa hapo pugu,, umesha ambiwa hiyo ilitumia miaka ya 60-94, haitumiki tena,
@josephatjordan2150
6 күн бұрын
Ww Uko Russia mama ako yuko US
@donaldmgunda4970
6 күн бұрын
Lengo letu ni kutaka kuwapiga ninyi warusiiii kule ukrainaaaaa
@magretherick1478
6 күн бұрын
Wew martini fuatiria vzr Russia ndio ilikua na ndege zenye kasi kwaajili ya eneo lake lilikua kubwa enzi za usoviet
@PUTINN365
6 күн бұрын
Sisi ni russia
@user-go3xe4mk4w
6 күн бұрын
Asante kwa ku2juza, wamarekan ni hatar kubwa
@muhsinmwamkunja9702
6 күн бұрын
Marekani katumiwa mapupo tuu yakawa yanachukua data karibu na ikulu na watu hawajajitamba
@magigesabai8674
6 күн бұрын
Marekani yuko mbali sana ni ngumu kumuangusha ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kumuangusha miaka mingi sana yuko mbali ktk technology
@sakuranitillya6088
6 күн бұрын
😂😂😂 we bado sana
@magorymara5515
6 күн бұрын
Ni kweli lakin mbona anamuogopa Urusi
@michaelmisana650
4 күн бұрын
Sasa ana muogopaje urus
@simoncmatanda5135
2 күн бұрын
Hawa wote wanaogopana ki teknolojia
@user-ti5ke4zf7p
6 күн бұрын
Asante kwa uwongo...
@ndukulusudikucho_
6 күн бұрын
Hahahahahaha hii ilikuwepo kwenye vita yao na Taliban???
@awamiabbas222
5 күн бұрын
Mtajua wenyewe na mashoga wenzenu wa kimarekani sisi tuko na Russia /Urusi
@venancerutta6875
5 күн бұрын
Kama umpendi marekani kutambua kuwa yeye ni G. 7 nayo utapinga kuwa wamejichagu tatifiti ambazo ni sahihi
@tomleetz3525
5 күн бұрын
Mashirika ya ndege ya wazungu saizi wana lalamika wakipita anga jirani na urusi network zinapotea
@venancerutta6875
5 күн бұрын
Marekani tabua kuwa ni taifa le nye nguvu duniani kwa hy soma historia usipende kujidanganya
Kwahiyo mnatutisha team Russia au ndo mnawashwa mnataka marekani akawapelekee moto??
@ayoublupande3007
5 күн бұрын
Hatuogopi sisi jaribuni muone hahaha 😂
@benkisinga4756
4 күн бұрын
Jeshi la Anga la Marekani sio NASA pls
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
6 күн бұрын
Hiyo ndio marekani yaani Uweza wake kijeshi ni kama Mbinguni na Ardhi ukilinganisha na nchini nyingine wote duniani, pamoja na hiyo kuna Ndege zingine hatari za marekani kama F 35,F16,BM 2 BOMBER Hatari sana
@jacksonngusi4122
6 күн бұрын
Anazo za siri ambazo apaswi mtu mwingine kujua Marekani ni habar nyingine
@shubebunyesi542
6 күн бұрын
mmmh hii sio dunia ya kuongopeana na kulishana matango pori hakuna kitu ambacho mrusi mchina iran korea na baadhi ya mataifa hawana watu wamepiga hatua mbbali sana ukikiwasha kinawaka kweli unyonge uo hakuna labda cc dunia ya tatu
@OnesmoEphrata
4 күн бұрын
Tatizo la wabongo wengi wao ni wajinga hawajui kuwa m'babe wa vita Kwa hii dinia ni MAREKANI hata ukimwi walio nao Hawa wabishi unatokana na MAREKANI napia dawa wanazo tumia ni msaada wa marekani
@danielnyangasi8808
5 күн бұрын
Hao wamarekani na washirika wao kwa kwa sasa wambie we Millad waendelee na USHOGA Putin atawachumbia wote
@deokessy6596
5 күн бұрын
Ayo acha kutoletea uchafu wa marekan.....sisi putin
@willydugilo3258
6 күн бұрын
Waiptishe anga la urusi leoleo!! Waone chamoto
@josephmkindi4633
5 күн бұрын
kumbe millad nikajua naangalia SNS duh bando langu limeniuma sana
@Officialjidaa-sn9cs
6 күн бұрын
Oooooo
@emmabrownmissana6996
6 күн бұрын
👍👊💪
@ErikiKenny-gm1nk
6 күн бұрын
Ebwana eeh
@fredmbossa-kc3qn
6 күн бұрын
S500 ya urusi inaidungua hiyo 😆😆😆😆😆😆
@bakarikayugwa3295
6 күн бұрын
Enderea kuramba matako ya wazungu waongo tu 😂
@josepheriah5977
6 күн бұрын
Saw
@hollymore4904
6 күн бұрын
Ndomana SNS Wana wapiga bao.. hamna details kabsa skuiz
@PUTINN365
6 күн бұрын
Kweli
@jacksonngusi4122
6 күн бұрын
Sns mziki mngine
@georgekimasaofficial1629
6 күн бұрын
Miradi umesha ridhika na views 😂😂😂 tupe habari Urus kateka ndege za marekani na marubani wake utupate wengi bhana hii hatutaki.
@user-ov7ge3ci6f
6 күн бұрын
Uyu miladi kumbe amafkili n ss tunaspot rangi z upinde ,urusi sio wajinga ivo et wchndwe tngneza ndge za vta rip mb zngu
@rashidbusanya5843
6 күн бұрын
hatutishiki hata siku 1 Putin yupo juu siku zote
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
6 күн бұрын
Duh
@michaelmisana650
4 күн бұрын
Marekan ni kwi kwi jalibu uone
@user-xp6xw8fy8o
2 күн бұрын
Sisi kama wana chama wa Russia hatu tishiwi na hako ka ndege kenu tunae ndege ana itwa popo bawa waki Russia the yenye uwezo waku beba tani 15 ina uwezo waku beba vichwa 13 za nuclear sarmart satan
@LovelyOmbreSky-pu4jt
5 күн бұрын
Sasa ndiyoo nini
@AmaniMathod
6 күн бұрын
Uraaa
@pauloptatmosha8115
6 күн бұрын
Viva USA
@MathewNathan-yb2bz
6 күн бұрын
Marekani kwa teknolojia wako juu sana
@shaurimtanda8285
6 күн бұрын
hamna kitu usiwe mvivu wa kusoma mambo ya sasa dunian
@MathewNathan-yb2bz
6 күн бұрын
@@shaurimtanda8285 nani zaidi ya mmarekani labda Israel
@AllyShaban-ms7ot
5 күн бұрын
Achen uongo nyiny
@omarykalulu-cw5kt
6 күн бұрын
Urusi na Korea kaskazin ndo habar ya duniani
@mwawekomiuda9779
6 күн бұрын
Mbona hata urusi ina ndege hata hawajazifwnyia uzinduzi?warusi walijiandaa kijeshi na bajeti kubwa sana miaka 50 iliyopita. Na ndio maana hawatetereki kinamna yoyote ile.
@deniccgabriel6153
6 күн бұрын
Ayo Ndio mataifa yenye historia sio za kwenu uko CCM mnaiba kula za wananchi kila kukichaa Chama kimekua kama Mungu ,kwamba bila CCM Nchi haiwezi toboa
@sbboymkaliofficial9108
6 күн бұрын
Ipeleke kule Ukraine uwone kama haitaonekana kwenye rada za urusi 😂😂😂😂
@user-sj1rf8ij7f
6 күн бұрын
Urusi ana mwaka wa pili anapigana na Ukraine.. yule ni mikwara tu.. ndio maana anahaha baadhi ya nchi kutafuta ushirikiano kupambana na marekani
@kilimanjarostarlounge
6 күн бұрын
@@user-sj1rf8ij7f sas huoni kua marekani na ulaya ndio wanafadhili vita kaka bila hivyo ukraen angeshasalimu hufuatili vizur
@michaelmisana650
4 күн бұрын
Huyo urus Hana kitu vitsho tu
@audaxbizimana8084
3 күн бұрын
Russia alisema wiki mbili atakuwa amemaliza kazi sasa anaenda kuomba msaada kwa North Korea na Iran ndo nini sasa vitu ya masaa anatumia miaka kibao
@user-sj1rf8ij7f
3 күн бұрын
@@audaxbizimana8084 😂😂😂
@silivestatesha9262
6 күн бұрын
Ungo unasafiri kilometa 100 kwasekunde huon
@jeremiasimon5913
6 күн бұрын
Wakishaichoka wataileta Africa
@iddikibwana9185
6 күн бұрын
Ikipelekwa Ukraine itageuzwa chuma chakavu
@fredducaunt
6 күн бұрын
Ikiletwa bongo 😂😂
@user-cw8zn2dn6m
6 күн бұрын
Kwa sasa marekani hana jipya. Russia ni mziki kwelikweli kwa sasa!! Au China.
@magigesabai8674
6 күн бұрын
umejuaje ? wampige sasa waone
@user-cw8zn2dn6m
6 күн бұрын
@@magigesabai8674 hawana jipya hawa marekani kwasababu pale ukrein marekani ameshindwa kumtoa Urusi katika ardhi ya ukrein. Russia kwa sasa iko juu kushinda marekani. Afu kitu kingine, Russia ameadhibiwa kwa kila aina ya vikwazo lkn ndo tunashangaa kuona uchumi wa Russia ndo inaongezeka maradufu. Vikwazo mpaka elfu 15 afu bado wako vizuri. Ingekuwa nchi nyingine ohhhh ingekuwa majivu tuuu. Kwahiyo usicheze na Russia.
@innocentrichard2945
6 күн бұрын
The Russian shoot down one of these by surface to Air missel flawln by garyy power it was a big scandel
@Adryfierce
6 күн бұрын
UONGO, Blackbird haijawahi kutunguliwa, iliyotunguliwa ni U-2 dragon lady.
@hamishatibu699
6 күн бұрын
Rusia ishaweka satarait yenye uwezo wa kushambulia starait zengine na ndege kwenye anga za juu, pia Rusia inamakombola yakushamulia satarait angani yakitokea ardhini, hizo ndege haziwezi tawala anga ya Duniani wakati anaaemiliki mawasiliano ya angaa za juu ni Rusia.
@magigesabai8674
6 күн бұрын
acha uongo
@rickloveofficial
6 күн бұрын
Chuma chakavu
@zully756
6 күн бұрын
Je unafahamu kilichotea baada ndege ya kijasusi ya kimarekani kupita katika anga la Sovieti na kupiga picha?
miaka 60 iliyopita do u think russia wako nyuma mpaka leo. kwasasa hawawez kujalibu kuingia kwenye anga ya urusi hata kdogo
@MathewNathan-yb2bz
6 күн бұрын
Sasa kama ni miaka ya 60 ,unajua Marekani atakuwa na silaha hatari za siri kiasi gani.Pia ujue tuliaminishwa kuwa mifumo ya ulinzi ya S 300 na S 400 ndio bora zaidi duniani lakini kumbe sio kweli.Drones za Ukraine zinalipua zinavyotaka visima vya mafuta vya urusi ndani ya urusi bila kupanguliwa na mifumo hiyo na pia makombora ya masafa marefu ya ATACMS yenyewe yanaipiga mifumo hiyo ndani ya urusi kwenyewe na kuiangamiza kabisa.yaani mifumo hiyo ya urusi inashindwa kupangua makombora ya ATACMS ya marekani.
@martinisadru9899
6 күн бұрын
Si mchezo,!!, miaka ya 1960,, dunia bado ilikua gizani, kwa 80% ndiyo maana walifanikiwa kuiba madini mbalimbali kutoka Russia, ila kwa sasa mrusi kesha kua kidume wa technology, hawawezi kumwibia tena,,, sasa wakatafute madini kutoka sayari nyengine,,, maana sa hivi kila inchi ktk sayari ya dunia hii! Wamejanjaluka kwa madini yao.
@PUTINN365
6 күн бұрын
Kweli mkuu nakukubali ila bado we n kibaraka hyo bendera ya israel wapi na wapi tena mkuu au hujui hyo bendera nguvu ya illuminati 😂😂😂
@user-sj1rf8ij7f
6 күн бұрын
Kidume hawezi kupigana na ukraine mwaka wa pili sasa
@martinisadru9899
6 күн бұрын
@@PUTINN365 shida ulilishwa maneno ya chuki dhidi ya Israel, kaa ukijua Israel ya sasa sio ile ya akina yusufu, musa, daudi, nk, hii bendera inamaanisha, nyota moja kati ya nyota 12,, ina mwakilisha yusufu mwana wa yakobo, alie uzwa na nduguze utumwani kwenda misri. Ni habali ndefu sana,,, inatakiwa itafute elimu yake.
@elicktilia4430
6 күн бұрын
Brother Russia anasoma mchezo tu pale angeshamaliza kitambo.
Sisi team urusi tunasema hii ndege ni ya kwetu, habari kama hizi team urusi hatuzipendi
@fredducaunt
6 күн бұрын
😂😂mnajikomba komba Tengenezeni vya kwenu Acheni uchawa wa kimataifa 😂😂
@idanysedrc1200
6 күн бұрын
Umetumwa na mashogoo ya western yanayoitia maskin africa kupitia nyie mappupet
@magretherick1478
6 күн бұрын
Ilikua inakasi ya kupiga picha co speed mmeelewa. mpaka sasa ndenge yanyekasi niya urusi tafuteni kuna su_57 ----- mig
@martinisadru9899
6 күн бұрын
Sasa mzee! Umesha ambiwa hiyo ilikua kizazi cha pili, miaka ya 1960, imesitishwa 1994, su-57 ni kizazi cha 5. Bado hao walikua mbali sana kwa enzi zile,, acha ushabiki.
@martinisadru9899
6 күн бұрын
Siku hizi mzee ndege sio dili sana, kwenye uwanja wa vita, maana uendeshaji vita kwa ndege ni ghalama sana, wakati kuna technology rahisi sana kwa mapambano ya vita.
@PUTINN365
6 күн бұрын
Kweli
@user-bl3vk3vt2o
6 күн бұрын
Su-57 speed yake ni mach 2.2 lkn Sr-71 total speed yake ni mach 3+ lkn hipo hii inaitwa the son of SR71 ambayo ni SR 72 yenye speed ya mach 6+,dogo acha ushabiki tunafuatilia kila hatua,hyo su-57 speed yke ni ndogo
@luganomwaigomole7441
6 күн бұрын
RUSSIA IS TOO FAR
@khamisshabani691
6 күн бұрын
huyo ndiyo mmarekani mrusi atasubiri sana
@josepheriah5977
6 күн бұрын
Nzur
@chabrumachabruma
6 күн бұрын
China wanayo ya kisasa zaidi ya hiyo.msitupange
@magigesabai8674
6 күн бұрын
unafikiri mpaka sasa Marekani atakua na ya aina gani ?
@ndukulusudikucho_
6 күн бұрын
Hizi propaganda zitatumika kutishia hizi Nchi zetu, wazipeleke north Korea waone
@magigesabai8674
6 күн бұрын
korea nayo ni Nchi ya kuogopa
@omarymwaluko9765
6 күн бұрын
Mirad ayo ndo mwakilishi wa mashoga hapa tz
@BimkubwaMohd-ef6hr
6 күн бұрын
Marekani alitisha kipindi hicho ila kwa sas hana jipya
Пікірлер: 202