Simba SC inashinda mchezo wake wa pili mfululizo kwa ushindi wa mabao 4 kwa sifuri huku ikitawala mchezo kwa kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa sana
Simba Pro tunakuja na majibu ya jinsi ambavyo kocha Fadlu amekua akiipika Simba SC kwa kutumia viungo wake
Ahoua, Awesu Awesu na Debora Fernandez katika kupata mabao na ushindi mnono
Негізгі бет JINSI AHOUA,DEBORA FERNANDEZ NA WESU AWESU WANAVOIFANYA SIMBA KUA TIMU TISHIO/MBINU ZA FADLU
Пікірлер: 23