mtaji ulioanza nao ni mwingi saaaaaaaana kaka .hongera sana kaka.
@zainabswaleh4907
6 жыл бұрын
Mashallah
@mariamm2724
4 жыл бұрын
Hongera kaka , kwa kukuza mtaji wako, na ulianxia pazuri mno ,yaan biashara ukitaka uone kama inafaida we anza na kidogo,
@farajahrogath2506
6 жыл бұрын
pamoja Sana kwamafunzo yako Joel Nanauka
@rahmasalum1349
5 жыл бұрын
Hongera sana kijana nilikua na duka kama hilo.ushauri wangu usitafute MTU Wa kukuuzia uza mwenyeo.mimi nilikua na mtu wa kuuza ila faida niliyoipata ni madeni mengi sana
@irenemacha7457
3 жыл бұрын
Jamn kama mimi my nimeyumba mpaka sin hm na hawa wasaidiz
@stellanestory7022
6 жыл бұрын
U real inspire me Joel
@waisakachacha4205
6 жыл бұрын
nimependa kwani tunapata uhalisia wa wafanya Biashara. sio theory tu. See you at the top
@kolthoomkolthoom2516
6 жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu
@wilsonmoses2761
4 жыл бұрын
Jaman nikuwa waga wapi napoteza Mb zang kwingine jaman mmmh.
@ussikhamisussi4882
6 жыл бұрын
Very inspired.
@ruthdaffa1317
5 жыл бұрын
Ulijipanga hongera
@Ratogaghanya
Жыл бұрын
Natamani kupata kitabu chako kinachohusu biashara za hardware mm nko naanza hyo biashara lkn sina experience kbx fresh from university
@pmctv787
5 жыл бұрын
Wewewewee milion2 kubwa sana
@salumumtegosalumumtego1085
2 жыл бұрын
Asanteh kwa ushauri
@starnewstvtv1126
6 жыл бұрын
Somo zuri
@feithchilala6374
5 жыл бұрын
Million mbili ndogo
@evatilya8634
5 жыл бұрын
Kaka hata mm namalengo kama ya kwako naomba msaada plz sijui hata pakuanzia
@veronicanyokanyoka1187
11 ай бұрын
Hongera nimejifunz kitu
@barakajulius7147
5 жыл бұрын
Axnte broo,
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
16 күн бұрын
Hongera kaka ila je kuuziwa na mtu duka inafaa hilo ni swali???
@omanom44
5 жыл бұрын
Nice
@rajabmsinzia1715
6 жыл бұрын
Eti nilianza na mtaji mdogo sana millioni mbili! We huumwi?millioni ni mtaji mdogo! Wakati watu wanaanza biashara buku 1000 tu
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
Rajab 😂😂😂😂😂😂
@gracealex8712
5 жыл бұрын
Hahahahahahahaha, ni mdogo kulinganisha vitu alivyovifanya
@elizabethomary3810
4 жыл бұрын
Aisee ml2 so mtaji mdogo bhn
@abdulkadirali927
4 жыл бұрын
nikweli milion 2 sio mtaji mdogo
@devothanaceth5793
Жыл бұрын
Yan wee🤣🤣🤣
@justinemwenda6854
5 жыл бұрын
asante nimekuelew kunot vitu inasaidia
@beatriceherbert4673
5 жыл бұрын
Niko mkoa wa Simiyu wilaya maswa icho kitabu nikipataje bro
@fadhilikibanti3402
6 жыл бұрын
Kwenye maisha kuna watu tutabakia kusema uyu jamaa nilisoma nae. Uyu jamaa nilisoma nae darasa 1
@tatutatu9951
6 жыл бұрын
Fadhili Kibanti umenifurahisha sana
@papilumona1896
6 жыл бұрын
Fadhili Kibanti kabisa
@kfastak
6 жыл бұрын
Hahahaha
@sikitu8957
5 жыл бұрын
Fadhili Kibanti haaaaaa nacheka saana eti Kuna tuta bakia kusema Awa watu tulisoma nao tu haa
Пікірлер: 54