Watanzania mko na baraka. Hamna uchoyo wa information Kama Kenya. Kenya watu Wana roho mbaya na hawawezi kukuambia ukweli huu
@rabanphotostudionyakanazi_4115
Жыл бұрын
Amina
@jafaryiqram6052
3 жыл бұрын
Nimefarijika Sana madeni imekua Kama sehem ya maisha yangu na nshidwakutoka imekua Kama utumw
@kithajungu1389
3 жыл бұрын
Wewe kijana niwa ajabu sana na maneno yako yana muujiza sana ndani yake.jana nimesikiliza hii maneno yako na video zako kazaa baada ya kuwa nimesongwa na mambo mengi kichwani nikawa natafuta kitu gani cha kunipa faraja nikakutana nawe nikasikiriza jinsi ya kuachana na msongo wa mawazo nikakufatiria mpaka hapa kwa madeni nikaamua kufata unacho shauri yaani jana tu uwezi amini nina rafiki yngu alikuwa akinidai ml3 nikamwandikia msg ya msamaha na kumwambia nilivyo kwama na nitarekebisha zuri.uwezi amini kilicho nipata amenitumia msg na kusema usirudishe ilo deni nimekusamehe ndo mchango wangu nami katika msiba mkubwa ulio kupata.machozi yamenitoka km vile nimefiwa tena.ohoo mungu ambariki sana akubariki nawe pia uliye nipa ujasiri uwo nilikuwa nikisikia miujiza kumbe ipo kweli.Nilifiwa na mdogo wangu akiwa anajifungua na kuniachia mtoto nimepitia changamoto nyingi mpaka niliye mwachia duka langu kunifirisi na kuingia ktk madeni lakini kwa maneno yako mwanangu nimesimama na kupata muujiza na ninanguvu mpya kwa masaa tu hakika mungu anakutumia,jana tu ndo nimekuona na kukusikiriza video zako hizi km saba hivi.hakika nimebarikiwa.asante sana.
@helmanlesha8926
3 жыл бұрын
Hongera Sana Kaka ,umenifanya kujiona mpya ,umenifanya nione bado ninathaman Sana hapa Dunia ,umefanya nijione bado safar ya mafanikio iko mbele yangu
@MwanzalimaLeonard
Ай бұрын
Tukizingatia haya yatatusaidia! be blessed guy!
@francisnjue1360
Жыл бұрын
Haki umezaindia mimi sana nakutazama nikiwa Somalia 🇸🇴 but I will be back to kenya 🇰🇪 kwa wadeni wangu na hope nitajitoa kwa mandeni niko ndani ya ndeni la million mbili kutoka kwa watu wengi sir,hope nitatumia io principle nitoke thanks for letting me know God bless you.
@lusekelomnange
3 жыл бұрын
Nimependa sana hiki ulichozungumza, god bless u..
@liberatussylvanus5477
3 жыл бұрын
Nimetoka kabisa kwenye made baada yakukufuatilia mungu akujaalie
@loycep7785
3 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa masomo haya mimi kipekee nabarikiwa sanapamoja na familia nami nitawasaidia hata jamii inayonizunguka Mungu azidi kukuongezea hekima ya kiMungu na busara zaidi Amina
@petromwamengo4980
3 жыл бұрын
Dah hakika ni faida kuangalia video zako zinatusaidia sana brooo
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Nashukuru sana
@tamalihussein5793
Жыл бұрын
Kaka naomba no,Yako please
@mwanakhamiskhamis3115
3 жыл бұрын
Ni kweli stress zinashusha homornes za uzazi. Mana mumewangu ni mwenye stress saa zote na ndio maana hatuzaii
Asante sana mpendwa wa Mungu, Ubarikiwe na Mungu azidi kukuongezea hekuma na moyo wa kuwasaidia watu kutoka kwenye matatizo
@hopechengula
Жыл бұрын
Asante brother nilitaka kukopa Milion akati na shida na laki 3 nishagairi staki tena Asante sana ubarikiwe
@marknew2655
3 жыл бұрын
Kaka asante kwa somo zuri kama MTU unamdai nakama umempunguzia deni na kama hatak kulipa umfanyaje
@loycep7785
3 жыл бұрын
Jamii nyingi zimeangamia sana ktk haya mambo hasa madeni yamesababisha ha familia kusambaratika Na jamii imewatenga na kuwachukia Sababu ya kutokuelewa au tamaatu Haya masomo yatawasaidia sana wakizingatia
@mwanakhamiskhamis3115
3 жыл бұрын
Ni kweli Mahusiano mabovu na mume wangu na fedha hasa madeni vinanipa stress kubwa sanaa Sina furaha hata kidogo hata kusema siwezi kukaa na watu kuongea siwezi kabisaa. Naomba msaada wako mtaalam nakaribia kuchanganyikiwa
@agnesssilvan3954
3 жыл бұрын
Somo zuri sana bro, Big up Mungu akupe moyo wa upendo milele
@efremmgaya7244
3 жыл бұрын
Nimefurahia sana somo lako lajinsi yakutoka kwenye madeni. Naomba unisaidiye zaidi mawazo zaidi ili niepukane namadeni. Asante.
@samveya9456
2 жыл бұрын
Nice
@edwardmkaro2021
2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri🙏
@magnusndunuka1038
3 жыл бұрын
ni nzuri sana mm mwenyewe nina madeni mpaka kichwa kinauma ila naamini ntayashinda
@angelambondelo2836
Жыл бұрын
Sio peke ako yan shida
@albertkaitaba2513
Жыл бұрын
Thank you Joel naanza kuku elewa mungu akubariki sana kwa kazi mzuri
@abrahammwambije2769
Жыл бұрын
Mpaka nje nikuguse mkono wako ili muujiza wangu uje utimie pokea shukrani zangu kwa masomo yako.
@abdullahiabdikarim6670
3 жыл бұрын
hiyo ni kweli kabisa Mzee Nina hiyo ugonjwa ya madeni na shukuru Kwa kunipa nasaha nzuri.
@ruwaidamabrouk1797
Жыл бұрын
Thank kaka Joel nimejifunza mno ubarikiwe See you at the Top 💯
@enoshmukama4783
Жыл бұрын
Nashukuru sana limekuwa somo zuri sana kwangu umenifungua ktk hilo Sasa nitaanza kuwa Moja ya kijana Bora sana thanks you
@abelbusumba6633
3 жыл бұрын
God bless you Mr... Kwa chakula ya ubongo.
@amostinga770
Жыл бұрын
Hongera sana kutokana na somo zuri kama hili limenifanya nibuni namna ya kukutana na watu wote wanaonidai na kupangilia namna ya kuwalipa niwe guru ISalute
@JulieAmos-to5po
2 ай бұрын
Nimekuelewa sana, asante
@johnmtope9568
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa nimeelimika swala kwani kwa sasa dini linakuwa siku niamua kusitisha kukopa ili nilipe yaliopo
@hamisichenji9892
Жыл бұрын
Ni mwaka mmoja umepita tangia huu ushahuri uwe umetoa, sina la kusema zaidi ya Asante sana na nachukua huu kwangu na ikawe kheri zaidi. Sio siri nipo kwenye madeni na inafikia atua mpaka nawapotea wanaonidai ila nahitaji nijitasmini sasa niweze kujitoa katika huu utumwa maishani mwangu. UBARIKIWE KAKA
@maniamba.tz_
Жыл бұрын
Somo zuri sana Kiongozi maana watu tuna madeni kiasi kwamba hadi tumekuwa watumwa wa madeni
@mussakhamis2377
2 жыл бұрын
Thanks brother kwa elimu yk hakika wewe ni super life coach
@lazarolucas5149
2 жыл бұрын
Mr joel kuna aina ngapi za akiba kwan wakat unasisitiza tuweke akiba kuna mtu anatuambia foolish can put money to the bank but mwenye akili ana invest.sasa unainvest halaf inapotelea huko unabakia na zero
@bsrabbitfarm
Жыл бұрын
Nimejifunza vitu vingi kupitia wewe kaka Joel mungu aendelee kukuweka hai uzidi kumtumikia.
@user-mb3jh5xs3o
Жыл бұрын
Safi sanaa mwalimu wangu mtu hatakuelewa wewe kuhusu elimu hiyo hata watoto wake hawata kuja kumuelewa
@user-jg3rc7pz9p
9 ай бұрын
Ubarikiwe kijana kwa mafundisho yako imeniinua sana
@mussalibufu8582
3 жыл бұрын
Kaka umefanikiwa kuniondoa kwenye madeni
@subiraomari5908
3 жыл бұрын
Mungu nisaidie nilipe deni kwa wakati muafaka
@agnesslucas4744
2 жыл бұрын
Asante sana Kaka Joel kwama funzo mazuri unanifungua sana
@lucasharison2441
2 жыл бұрын
Angess wewe ni mwanangu karibu
@juliethmuro7654
3 жыл бұрын
Asante Joel kwa shule hii nzuri.
@petrojosephat9268
3 жыл бұрын
C say a
@wilbertmlyuka5723
Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@edowilly7216
3 жыл бұрын
Asant sana ninaulizia kitabu cha khs madeni kipo
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Kipo tuwasiliane 0756-094875
@hilarygodfrey5862
3 жыл бұрын
Duuuuuh wewe niufunguo wa mahisha ya vijana wengi sana mwalimu
@user-mb3jh5xs3o
Жыл бұрын
Safii sana nanauka we ndo jembe letu kwa elimu
@elizamwacha7458
Жыл бұрын
Ahsanten sana kaka Joel umegusa mioyo ya wengi.
@thomasjaphet4223
3 жыл бұрын
Mh your a medicine of heart mungu awe nawe
@dullahowland9943
3 жыл бұрын
Nimefrai sna kwan napata kujifunza mambo mengi mnoo Mashallah kaka joel Allah azid kukubariki
@sweetbertmligo9637
3 жыл бұрын
I really appreciate!
@aderiderkihupi7240
3 жыл бұрын
Nashukuru kwa darasa lako zuri, Mwenyez Mungu akujalie
@jacobkaingu3871
3 жыл бұрын
Bwana asife mtumishi wa Mungu.ujumbe wako umenigusa sana.kuanzia mwanzo wa mafundisho yako mpaka mwisho yote yamenihusu mm.nadaiwa sana karibia ksh 300000.sina amani sina furaha.ninastress kibao.yani yote yote uliyozungumza yakwangu.nimejifunza nisaidie zaidi nimalizane na deni
@joharisadi873
2 жыл бұрын
Hakika nimejifunza kitu muhimu Sana .ubarikiwe Sana.
@victoriasamaga8429
Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa somo nzuri
@stevenkiula8164
3 жыл бұрын
Nakuelewa joel asante elimu nzur
@nelsonmpolochacha5035
3 жыл бұрын
Powerful message. Asante sana ....!
@agnesgeofrey6146
3 жыл бұрын
This is the best Joel......ni dawa inayopona mioyo na akili
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Ahsante Sana Agness
@neemalino5945
3 жыл бұрын
Kweli Kaka Joel unatusaidia tutoke kwenye hayo majanga ya madeni
@salmahmohamed7281
2 жыл бұрын
Yaan madeni kukwepa nimtihani Sana Joel unanisaidia Sana sana
@mwasitiathumani4626
3 жыл бұрын
@mr joel mungu akubariki sana
@pangaboy1568
3 жыл бұрын
Asante sana kaka........... nimepona kimwili na kiroho pia
@orishluka4241
2 жыл бұрын
WAOOO THNKX FOR WATCH ME COZ IHAVE ALOT OF DEBT
@msangodiesel3132
2 жыл бұрын
Bonge la somo Asante mwalimu
@michaelshayo187
3 жыл бұрын
ahsante kwa somo zuri
@denismushi8834
3 жыл бұрын
Ulielimisha sana kaka.👏
@mariammlau87
3 жыл бұрын
asante sana kaka nimeponaaaaaaaa🙏🙏🙏
@noelabwana269
3 жыл бұрын
Nilichopata ni zaidi ya PHD asanteeee
@utukufujgwalupama1554
11 ай бұрын
🎉🎉🎉 Asante sanaaaa mkuu
@patricktarimo2699
3 жыл бұрын
Nahisi nimejibiwa maombi yangu maana ninamadeni na nilikuwa nimeishakata tamaa mpaka tumaini la maisha likapotea,
@chuiinternationalinvestmen719
3 жыл бұрын
Barikiw Sana Kaka
@winfridagbcl271
Жыл бұрын
Ahsante Sana Joel
@adijarichard8571
Жыл бұрын
Nikuerewa Asante kwa ushauri Kama huo madeni nimabaya sana
@EdsonKashaija
8 ай бұрын
Nakukubali broo upo vzr mno
@avitusrweyemamu5045
2 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@fundievergreenengineering3923
3 жыл бұрын
Nimekuelewa Teacher
@emmanuelnkulungu3469
3 жыл бұрын
Aisee barikiwa sana ndugu Joel
@devothasimbi1055
3 жыл бұрын
Hawapigagi simu ni matapeli tuu nawachukia sana wengi sio wakweli anakuja Mikono Nyuma ukimkubalia kwaheri
@ZayanaNyange-jp1il
Жыл бұрын
Daaah? Nmechelewa kukujua ila so mbaya umenifunza vitu vikubwa mno Mungu akuweke
@doreenfrancis6977
3 жыл бұрын
Kaka umeniponya Asante Sana
@gracemahenge4339
3 жыл бұрын
Iko vizuri
@Abdullatif-zv2qq
2 жыл бұрын
Mungu Azidi kukuzidishia
@TradersEasyWay
3 жыл бұрын
somo zuri sana
@gmaemba22
3 жыл бұрын
Asante sana
@shaidanishaidani
3 жыл бұрын
@JOEL Nanauka ASANTE KWA MAARIFA HII IMENIGUSA SAAANA MAANA HATA MIMI NIPO KWENYE HILI JANGA NA SIJUI HATA NATOKAJE KWENYE HII HALI MAANA VYOTE HIVYO MENTALY,NAFSI, N.K NMEATHILIWA SAANA NIKO HAPANA STRESS HADI IMEBIDI NIIANGALIE HII VIDEO MPAKA MWISHO. HATA SIELEWI NAFANYAJE
@frankgabriely9294
3 жыл бұрын
Nimekuelewa
@crecensiaedward2364
3 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka Joel
@kenyeraeustachetolens6983
3 жыл бұрын
Good advice
@nelsonmwaipaja3727
Жыл бұрын
Professor Joel Nanauka#####
@felsonsanga8502
9 ай бұрын
Mchungaji,naomba no Yako
@coletashirima2193
3 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
@evelinembesele6089
3 жыл бұрын
Asante Kuna kitu nimepata
@asta.tanotdoor7
8 ай бұрын
Thanks a lot be blessed
@Kimanulucy151
3 жыл бұрын
Thank you Mr Joel.Good advice.
@edwardvelidiana1864
3 жыл бұрын
Nikweli
@jenipherrio7941
3 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@zenamarugujo9003
Жыл бұрын
Mungu niepushe na roho za madeni
@mudimaarifa9394
3 жыл бұрын
kweli kaka angu
@priscardanier8264
Жыл бұрын
Ila kwel kinacho nitesa Mimi matumizi yangu ni makubwa kuliko kipato changu
@eriantawumenya3257
3 жыл бұрын
Bada ya mwezi 1 ila hawaja nilipa hata kuniongelesha hawanio ngeleshi tena nilikata tama kutoa hela tena kwawatu
@amosmahona433
3 жыл бұрын
Kiukweli kaka joel Nanauka nishakuweka kwny maombi YANGU. Kila siku maana Kuna mambo mengi Sana umenisaidia NILIKUWA nishakata tamaa lakini Sasa hivi Mambo yanazidi kujipa.
Пікірлер: 174