Joel nanauka umenibadilisha mno ww ni mwalimu wng najifunza mengi sana nikiwa hapa Oman haipiti cku bila kusikiliza🙏🇹🇿🇴🇲
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Ahsante sana Khadija, nashukuru kuendelea kunifuatilia.
@nassibugodfrey1405
2 жыл бұрын
Mwalimu Joel Nanauka Siwezi kukusahu kwenye maisha yangu
@victaeliud948
2 жыл бұрын
hii nimeipenda kuliko "Bahati katika mafanikio ni pale ambapo maandalizi yanakutana na fursa" you are so smart Nanauka.
@lightnesskashi3226
2 жыл бұрын
Huwa naishi mafundisho yako na yamenibadilisha sana. Blessed Joel
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Nafurahi kusikia hivyo Lightness
@devotastambuli864
2 жыл бұрын
@@joelnanauka qqq
@devotastambuli864
2 жыл бұрын
@@joelnanauka aaa
@isayaanthon7265
2 жыл бұрын
You are so good brother. Mafundisho yako ni halisi kabisa. Mungu azidi kukuinua.
@felistersylvester9770
2 жыл бұрын
Mungu akuongeze zaidi na zaidi Pastor joel nanauka hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako tangu nimeanza kusoma vitabu vya maisha yangu yamebadilika 🙏
@glorydenis5111
2 жыл бұрын
Hivi watu Kama Joel nnauka dunia inawachukuliaje .... Kwanza niwapongeze radio mawingu kuandaa huki kipindi. Bravoo kwako Mwalimu wangu Na Mwalimu wa wawatanzania Nakuona unakwenda kuwa Raisi wa Nchi.
@felsonsanga8502
11 ай бұрын
Nikweli KABISA
@victaeliud948
2 жыл бұрын
sikufahamu kwa kila kitu kaka Nanauka! ila nakukubali sana...kama ingekuwa inawezekana kuku cut and paste basi mi ningekuwa wa kwanza...ila ndo hivo tena kila mmoja kaumbwa kivyake...but you are so blessing to us. nakupenda sana
@a.p.monlinetv3561
2 жыл бұрын
Ahsante Sana Mwalim Joel Arthur Nanauka nayapenda Sana mafundisho yako maana yananisaidia Sana kwa kias kikubwa Mwenyez Mungu azid kukulinda
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Nashukuru sana Alex, tuendelee kujifunza
@dennischelula9799
2 жыл бұрын
Asnte sana Joel kwa ushauli wako huu mungu akujalih afya njema uzidi tufundisha kila siku
@kelvinsanga3614
2 жыл бұрын
Asanteh Sana kaka Joel sifa za malengo nimependa mno Sijuti kukufahamu kaka Daima nitaendelea kukufwatilia
@charlesjustine5812
2 жыл бұрын
Shukrani sana kaka, mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu sana, ili tupate hii neema ya kujijua zaidi, wengi tunachelewa kufanikiwa katika maisha yetu kwasababu tumechelewa kujua maarifa hayo
@felsonsanga8502
10 ай бұрын
Nanauka ubarikiwe unaakili sana,licha ya kwamba Mungu anakutumia
@robertmafie7908
2 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi xanaa kutoka kwako kaka Joel big up xanaa kwako
@shawejimnipera2937
2 жыл бұрын
Umefanya ndoto yangu saizi kila mtu aione the big vision nilianza na kuku 10-50-100 up to 500/600 sasa. Asante sana never disappointed
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@zamopazi-dr1tk
Жыл бұрын
Kuku hao ni wa kienyeji au kizungu?tuelimishane ndugu. Mi mwenyewe nipo kwenye straggle ya ufugaji kuku.
@babaloisethan7010
2 жыл бұрын
#JoelNanauka Wewe Ni Zaidi ya Zaidi,You mean so much in my life..Kuna kipindi nilisikiliza video zako mpaka ideas zako zikawa zinazunguka Kwenye Damu,Na kwa Mara ya Kwanza Nikaanza Kufanya Biashara... #Nguvu ya Malengo iko kwenye tabia.
@kennethmahanyi1653
2 жыл бұрын
Ahsante kaka kwa somo lako hakika nmekuelewa sana shukran sana MUNGU azid kukupa maarifa kwa ajil ya kutupa na uwe na afya njema
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Ameen Keneth, nashukuru kusikia hivyo🙏🏼
@catherinemzurikwao3265
2 жыл бұрын
Kaka Joel uko very smart. I like you, God bless you.
@evastesheni8024
2 жыл бұрын
Hongera kwa mada nzuri, nami nakuja na wazo ambalo nimeliwaza kuhusu maendeleo, likae katika maandishi then nishare na watu. Nitakutafuta.
@worldofpeace3898
2 жыл бұрын
Life coach.... umekuwa kiongozi wangu... nimekuwa na hekima mpk watu wananishangaa sababu ya mafundsho ako... Mungu akutunze
@pascalkasandakasela4541
2 жыл бұрын
Leo Sam na James tupatupa wamekutendea haki ni mara chache sana vyombo vikubwa vya habari kukupa nafasi kubwa kiasi hicho hasaa kwenye mambo ya msingi kama hayo. Ni mahojiano bora sana kwangu. Yanayofatia dar24
@frankbenandi8764
2 жыл бұрын
ansante sana joeli hakika kwangu umekua baraka mnooo mungu namuona kupitia wewe nanajitaidi kuishi mafudisho yako vitabu yvako vyote ninavyo namshikuru mungu kunipa ufahamu wakukuerewa 🙏 joeli enderea kutafta maarifa mengi zaidi maan wengine tunakuangaria wew
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Nashukuru sana l
@neemankya5551
2 жыл бұрын
Always i appreciate your work you're more than a teacher to me..... I've done a lot of things because of what I've been learning from you
@mohamedkudura8114
2 жыл бұрын
Allah AKUPE AFYA NJEMA Na umri mrefu wenye mafanikio katika uislaam
@daniellepari4525
2 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa elimu yako nzuri ushauri wa mwisho umenielimisha sana nitaifanyia kazi kama ulivyo nishauri mungu Akubariki
@rudovickmodest3253
2 жыл бұрын
sijawai kukupinga bro be blessed amina
@danielsimwanza1046
2 жыл бұрын
Ja usipokuwa na marafiki kabisa unaweza kuendelea
@comrademlewaisavile336
2 жыл бұрын
Elimu unayotupa ni zaidi ya Elimu bure 🙏🙏🇹🇿💪🔥
@G-JMK69
2 жыл бұрын
Thank you so much mr. Miaka miwili na nusu ijayo nitakua star mkubwa sana known as "mangi more" and i will thank you again 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@MRLIO-gy7zy
3 ай бұрын
bro ur so minded enoughly kuna vitu kwa akili ya kawaaida huwez elewa mpaka upate akili za ziada ndo utuboe kiukweli unatupa motivation za kutafuta life
@christopherlivamba9111
2 жыл бұрын
You're very influential People on the world,, Jah bless you!
@edithakalemwa6298
2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu Kwa Makuu anayotutendea,binafsi nimesikiliza sana nyaraka mbalimbali kuhusu fedha lakini Nina changamoto kubwa sana ya kifedha naomba msaada wako nifanye nin?
@FelixMyuki
6 ай бұрын
Nashkuru nanauka kwakunipeleka katika ulimwengu mpya
@mikikimikikitv6376
2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Umenijenga sana
@eliamakere3089
2 жыл бұрын
sam ww ni mtangazaji lakn hujui kuuliza maswali,lakn pia unapoteza muda mwingi kwenye kuuliza maswali...pia acha tabia ya kiswanglish na kingereza hujui....alienifurahisha kati yenu ni joel nanauka..brother joel barikiwa sana brother..
@epifaniamilinga2848
2 жыл бұрын
Unamwonea,anauliza maswali ya kumsaidia mwingine
@azmamasala6276
2 жыл бұрын
Nakufuatia sana nashukuru Mungu unisaidia Mwenye ezi Mungu akulipe mazuri .
@JamalPaulo-jt1ju
6 ай бұрын
Joely NI WEWE LAFIKI PEKEE NILIKUA NIMESUBILIA KWENYE NDOTO ZANGU .p6&❤️
@sulleyally5040
2 жыл бұрын
Hivi ndio vipindi vya kusikiliza hingereni sanaaa
@violethmapunda3500
2 жыл бұрын
Umenijenga sana bro Joel mungu azidi kukutunza na sisi tuzidi kufaidi mafundisho yako.
@maryamgalu5523
2 жыл бұрын
Brother Joel is very smart good bless you
@bukuruphilibert2968
10 ай бұрын
Mungu akuinue kama Yusuph
@mshigilakarume4425
2 жыл бұрын
God bless you bro
@hassanihassani7154
Жыл бұрын
Asante kaka joerl tuko tabora tunakufatiria
@jumakasim8784
2 жыл бұрын
mwaka jana nilikua na mtaji mdogo sana kwenye biashara yangu kama lak5 ivi lakn nilipo anza tabia ya kuandika malenge yang na nikawa na yapitia kila week na kila mwezi nime jikuta nyumba yangu nimeongeza vyumba viwili na hivi sasa mtaji wangu si chini ya million4 nakushukuru sana mwalim umeni motivation sana mungu akubariki sana
@ashasaid5061
2 жыл бұрын
Hongera sana
@SALOMENkya-p4y
6 ай бұрын
Safi
@SALOMENkya-p4y
6 ай бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho ya msingi
@African511
2 жыл бұрын
Mungu asante kwa kumleta huyu Joel nanauka,kwa wakati.
@nehemiahmissanga
Жыл бұрын
You are my good role model
@hezronmangulamangula9718
2 жыл бұрын
Nafanikiwa kwa mawazo yako joer mungu akuweke
@dannymoshi4144
2 жыл бұрын
God bless you more Bro
@chriss_Cm
2 жыл бұрын
Sawa brother
@kijeshiabdalla6316
2 жыл бұрын
Mungu akubarki kwenye kazi zako Joel nanauka🙏
@nestorykeja3997
2 жыл бұрын
Ahsante sana kiongozi nimejifunza nawezaje kupata vitabu mkuu
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71
@muswahilianouvaDingi
2 жыл бұрын
Najuwa utasoma. pls nipo south Africa nakufataka sana
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Karibu sana 0756-094875
@kijamalimi7507
2 жыл бұрын
My role model
@gtubgxuxj6906
2 жыл бұрын
Asant san kak umenibadilisha mno kwenye maisha yangu🙏🙏🙏🙏🇸🇦
@husseinally6056
2 жыл бұрын
nakusoma sn kaka. #Mungu akuzidishie elim
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Thanksfull brother 🥰
@alexbushishi8342
2 жыл бұрын
Ubongo umeumbwa kufanya kiholela
@markkenneth3937
2 жыл бұрын
Asante sana ndugu Joel najifunza Mambo mengi kwako nikiwa US
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Ahsante kwa mrejesho, tuendelee kujifunza.
@gracesimon9801
2 жыл бұрын
My Mentor! What i love the most about u is learning & laughing at the same time! I enjoy the teachings!Stay Blessed
@dismasshirima682
2 жыл бұрын
Ap
@robertjisandu56
Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mada hii
@ameirzapy1318
2 жыл бұрын
Thanks Joel , tunajifunza vizur sana.
@halimaramadhani979
2 жыл бұрын
It's stupendous motivation stayed blessed and Allah grant your journey of inspired us
@paulfrnck5083
2 жыл бұрын
Joel ntashukulu sana nime ununuwe vitabu vyako vinanisaidia sana kwakutimiza Marengo yangu
@anithamichael4694
2 жыл бұрын
Thanks, bro Joel
@clarafanuel7062
2 жыл бұрын
God bless you my brother
@gmaemba22
2 жыл бұрын
Kaka wewe mkali sana.. Nakukubali kwa asilimia 102 naomba tuwasiliane nahitaji msaada wako
@selemanramadhan3279
Жыл бұрын
Ni kweli bro Kama ulivyosema penye changamoto ndipo penye fedha!!
@kensamwelperopuk
2 жыл бұрын
very good educative and mind opening discussion, pongezi kwenu wote
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Shukrani Ken
@shukranjulius9526
2 жыл бұрын
Amina barikiwa zaidi kaka
@papyprosper8922
2 жыл бұрын
Asante Brother Naomba Ile Video ulikuwa unaongerea Refreshing Power na Kadharika nimekosa Title Please nilisikiliza u was Busy But for almost 6months sijayiona tena Asante
Happy New year 2022 Sir Joel my mentor of all the time, may God keep you safe kiukweli we are progressing because of what you are offering to us all the time.
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Thank You So Much Joseph,lets keep on learning🙏🏼
@judithsalvatory2892
2 жыл бұрын
Kaka Joel shida yangu kusoma vitabu nimenunua vitabu vyako navipenda sana nimeisha vinunua tatizo kuvisoma.Hii mada imenigusa
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
My brother from another mother video zako huwa zinanisaidia sana yahni nime download video zako zaidi ya mia tatu na sijawahi kukinai kuziangalia kwasababu mawazo ya tofauti tofauti ni sauti ya mungu
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Aisee hongera sana, nafurahia kusikia hivyo
@andreasamos5903
2 жыл бұрын
God bless you!
@yumbujackson869
2 жыл бұрын
Great future message, God bless you.🙏🙏🙏
@manofgod4471
Жыл бұрын
Points mumgunakuweke sana nataman siku mona nije nishuhudie mafanikio yangu kiukwel najifunza
@gideonkipruto3987
2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo
@bigdreamer8857
2 жыл бұрын
How wonderful is when every question answered accordingly!! Big up JN
@pilichuli4449
2 жыл бұрын
Barikiwa sana sana
@asiaa6573
2 жыл бұрын
Asnte kaka joel kwa kuzidi kutufungua akili Mungu azidi kukutunza kwa ajili yetu
@jacksonwillison4072
2 жыл бұрын
Exactly
@rashidkhamisjuma3714
Жыл бұрын
huyu jamaa yko vzr sana
@farijanibakari9018
2 жыл бұрын
Kaka mungu akujalie nakuelewa sana
@khadijashabaninimba7890
2 жыл бұрын
Ahsate sana kaka najifunz vingi kupitia video zako na zinafanya natimiz malengo yangu 💪🙏
@mussalulenga9939
2 жыл бұрын
Ndugu yangu nimejikuta ni kama vile sina marafiki Isipokua nakua kalibu na wafanya kazi wangu ndo wanaonizunguka
@manenolugendo6396
2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@sudaisathman3831
2 жыл бұрын
Upo sahihi dadangu khadija mm nisipomsikiliza Kwa siku nahisi kama nimepoteza siku yangu
@ramabizo4tizo416
2 жыл бұрын
Joel nataman kila kauli yako niiweke status, kila neno ni fundisho aisee
@teacherbosco5706
2 жыл бұрын
God bless you
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Aisee!! Huyu mwalimu hatari...
@kennytwinzi9032
2 жыл бұрын
Kaka Joel...Mwambie anaekushonea hizo suti anatafutwa/anahitajika sana.!
@kedmonmaquiz
2 жыл бұрын
Fantastic
@essaukinunda3198
2 жыл бұрын
Kaka fanyia kazi na reference za kiafrika kama zipo...
@saumually3562
2 жыл бұрын
Loh!! Ghafla nimepata uoga wa kufungua Diary yangu🙍🙍🙍 Maanake Nothing nlicho kiandaa😪😪😪😪inabidi nianze upya na si kazi ndogo🤦Ubarikiwe kaka joel
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Haujachelewa kabisaa
@mooy7745
2 жыл бұрын
Very educative and insightful interview Mr. Joel Nanauka. Don't stop educating people. However, the person who is in the middle of you two people shows lack of seriousness and unprofessionalism! He should stop using his phone while on air!
Пікірлер: 184