huyu mzee aongeleagi siasa hata kidogo jamani heshma zake gonga like and coment
@richardmosses6776
3 жыл бұрын
Sup hero man
@mpakanikalinga9034
5 жыл бұрын
Hongera kwa kazi Unayofanyo fanya mkuu wa mkoa unaokoa watoto wengi sana.
@noeltheson2750
5 жыл бұрын
Nimezunguka vijiji mbali mbali na nafurahi sana kuona RC anaelewa ukubwa wa hili jambo lilivyo hasa vijijini! Kama hujashuhudia unaeza ona kama anafanya mzaha but I beleive he is too serious on this 👍🏿
@furahinmtunguja9439
5 жыл бұрын
Huyu baba ananifurahisha sana
@barackcharles1710
4 жыл бұрын
Furahin Mtunguja namkubar Sana Huyu mzee
@albinobino2249
5 жыл бұрын
Unapo ondoaa tatizo ni vizuri wanajamii kukusupport kwa vile sheriaa zipo ni muhimu na jirani akasukumwa ndani kwa kukomesha ndoa za utotoni
@matesoisaack4024
5 жыл бұрын
Hata wale wanaoshangalia chikichi-chikichi-chikichi...Eeeeh! Sukuma ndani..😂😂
Yani tanzania ingekuwa na wakuu wa mikoa 20 kama uyu kweli tungefika mbali sana kimaendeleo ayupo kichama uyu yupo kimaendeleo
@andreamanaku8676
5 жыл бұрын
kweli kabisa wala ujakosea
@husseinnkami7360
4 жыл бұрын
Sana baba
@ismailhabimana8483
4 жыл бұрын
sukuma ndani ico ceo kinakusitahili kbs
@mussamsafiri8870
5 жыл бұрын
Baba fanya kazi mungu akupenguvu
@zakayomepuyinywe1400
5 жыл бұрын
Mh mwanri,Mh mtaka,mh makonda, mh Benelith mahenge,,Zamani na mh makala, hakika hawa wakuu wa mikoa nilowataja wanamsaidia mh Rais Vilivyo na wameitendea haki Nafasi waliopewa! Big up sana wakuu wengine wa mikoa ni kama hawapo vile
@kastorkidumu6579
5 жыл бұрын
Mussa Msafiri sukuma ndani
@hassandaudi167
5 жыл бұрын
Kwa kweli sukuma ndani.
@josephnyanda767
5 жыл бұрын
Mkuu uko sawa kabisa. sukuma ndani mpaka kieleweke
Пікірлер: 53