Alanus ndiyo uyasikie hayo mungu wa ajabu kila kitu kitasemwa rip magufuli alikuwa mtu wa watu mungu amlaze mahali pema peponi amina
@mcnova365
2 жыл бұрын
clouds ni media kubwa sana. hii interview ni kubwa sana. nashangaa mnapa mic ashike badala ya kutumia lapel wireless na aina zote za ufundi wenu wa light and sound. hapo mmezingua kiutalaamu
@@wemakingdaily1462 tulia wewe hujui masuala ya kiufundi hayo. Kwenye fani ya mawasiliano mtu huongea kwa mwili wake wote, sio kwa mdomo tu. Ukimpa ashike kipaza sauti maana yake umemzuia kutumia mikono yake kuongea.
@ThobiasMarandu
Жыл бұрын
Short list ya nini uhuni tu kama wa 1995. Mlitakiwa mpige kura kwa wote ndio mjiridhishe kuwa short list yenu ilikuwa mawazo ya wengi
@ggggregonia6035
2 жыл бұрын
Happy Birthday Mr President. May you live healthy and long
@rashidkwengwegu6876
Жыл бұрын
Nakukubali asilimia 100% waukae
@nikodemmwahangila3334
2 жыл бұрын
Kikwete uko vizuri sana wewe una moyo wa uongozi uishi hekima zako kama mzee bado 🇹🇿 inakuhitaji usife leo wala kesho
@AdrianRichard-mu9jh
Жыл бұрын
Live longer Mr president
@isaaabdala7016
Жыл бұрын
Mungu akupe.maisha.marefu.ukiwa.mkweli mungu Hua karibu nawe
@beatricefilbert1171
2 жыл бұрын
Ila muogope Mungu
@juniorbachelor8296
Жыл бұрын
Kwa Kigezo gani??
@fredypastoryutd4864
Жыл бұрын
Kipengele cha afya nadhani kisiwepo tu, uwezi jua ya kesho
@petercostakisoka
2 жыл бұрын
Vizuri sana rais jk
@everever2807
2 жыл бұрын
Huyu angejua Tanzaniania inateseka kwa ajiri yko usingefrahi hataa
@BedroomTvKe
Жыл бұрын
Wanateseka kwanini?
@jumakapilima7295
9 ай бұрын
Kumbuka kuwa wakati wake hakukuwa na kikokotoo ambacho Leo wafanyakazi wanateseka
@Afya-Break
2 жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana mzee wetu
@RamadhaiSalehe
9 ай бұрын
Miss you
@iamnormal8648
3 ай бұрын
2:15 Kikao cha umbeya. Umbeya ni dili aisee.
@PhilibetLadislaus
7 ай бұрын
Ukielezwa changanya na akili yako
@HoseaMarco
7 ай бұрын
The grand pa was no real 🎉🎉
@fredypastoryutd4864
Жыл бұрын
Mbona mmekata haraka saana hapo kwenye miaka 7😂😂😂
@deusdedithjoseph7588
2 жыл бұрын
Safi sana mzee kikwete
@abbasmkambara5815
Жыл бұрын
Bado Siamini kama magufuli aligariki😢😢😢
@juniorbachelor8296
Жыл бұрын
Ndio ivyo tena. Alaf anatokea Mpumbavu mmoja anasema Kikwete ndio kamuua Magufuli. Shame
@shafiismbarouk650
2 жыл бұрын
#talent
@kiliankamota7922
2 жыл бұрын
Mzee Kikwete is larger than life celebrity leader. Son africa Tunaomba aandike vitabu tuje kujifunza kutoka kwake. Nkosi Sikeleli Kikwete!
@daudpaulo2867
2 жыл бұрын
Natamani katiba ilusu marais wastafu wakika miaka 2 wawe wanaweza kugombea tena Jk atapata Kura milioni 67
@gebborecords
2 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhh
@emmanuelmogela5871
2 жыл бұрын
Sahau
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Daudi mmmmmmmmm
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Mkwele msukuma sema ukweli mchanganyiko maalum baba jk wanawake tuna siri kubwa nyuma ya pazia
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Msukuma tena?, ni mkwele mbona Jk
@nowelaraymond5986
2 жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@AlbatSimon-yq5ro
Жыл бұрын
Nimekuelewa sasa Kama mlikagua na afya hamkujua jpm alikua anaumwa
@msuyatztv5201
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/o36cv4Swr3mja6Q Ujumbe wa masanja Kwa wimbo
Пікірлер: 54