Waoooh, the wonderful performance 👏, hongeren JMC Mungu azid kuwabariki katika utume wenu
@innocentmakoi462
Жыл бұрын
Well done family 👏👏👏
@adeodatiusjonas5817
Жыл бұрын
Utukufu apewe mungu juu, , , always my family @jmc🔥🥂
@justinmbai1414
11 ай бұрын
Jmc huwa mnanibariki sana ... Come on piga kazi Safi sana Kelvin
@GeorgeSimbeye
Жыл бұрын
Moja ya tungo zitaishi hongeraa JMC kwa kuihuisha tungo hii. Na mzee wetu MB Syote kwa utunzi huu makini💥💥💥
@humphreymukuka7362
Жыл бұрын
Wimbo nzuri sana! Hongereni sana. Mungu azidi kuwabariki.
@theresiajoseph1943
Жыл бұрын
Good performance. I love you
@alfredibayo
Жыл бұрын
Mmeimba vizuri sanaaa. MUNGU awatangulie katika utume wenu.
@mkohoexperience7322
Жыл бұрын
Dah aiseeee
@petroedwin90
Жыл бұрын
Mkoho kama najiona hiviiii,, hii lazima ni copy na Ku paste
@johnnestory6
Жыл бұрын
Nice performance 🙌
@franciscagwitaba7988
Жыл бұрын
Bravoooo. Mungu awabariki ili mzidi kupaza sauti zenu kwa ajili ya sifa na utukufu wake.
@manhundimbo8671
11 ай бұрын
Good good good
@emmanuelsayi1242
Жыл бұрын
hongeleni na mungu awazindishie sauti zenu kuwa imala milele na milele Amen
@erizabeticharles8857
Жыл бұрын
Wow hongereni Sana Wana JMC nawakubali mnoo Mungu awabariki katika Utume wenu👏👏
@dianamakware4225
Жыл бұрын
Kazi nzuriii . Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa afya njema ili muweze kuitangaza injili kupitia uimbaji.
@ernestmagunus3788
Жыл бұрын
Hongereni sana Nasi Tulijifunza Mengi Kutoka Kwenu 💪
@justinejulius5284
Жыл бұрын
Mwl hongeraaa sanaa
@JohnPaulIIMbeyachoir
Жыл бұрын
Sifa na shukran ziwe Kwa Mungu
@rainavedasto442
Жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@joelngingo9335
Жыл бұрын
I enjoyed a lot
@JohnPaulIIMbeyachoir
Жыл бұрын
Amen
@evodiaoisso4678
Жыл бұрын
Hakika Mungu awasikie na awatunze daima . 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Inshort you made it. Huu wimbo hauchoshi kuusikiza, hongereni sana JMC
@trynessmhagama5971
Жыл бұрын
Nice 🔥🔥🔥🔥
@JohnPaulIIMbeyachoir
Жыл бұрын
Amen
@OddiliaMchomvu
2 ай бұрын
Mimi nimefurahia yote Ila naomba mpiga ngoma aniambie naweza kupata wapi hizo ngoma.
@rockyndiribango1627
Жыл бұрын
I love JMC, Natamani kama na mwakani mje na albamu nyingine tuendlee kuishi nayo kama ya mwaka huu...Aleluya Msifuni Mungu 🔥🔥 af mwendo ule ule wa unencrypted Frash Disc 🤣😂
Пікірлер: 29