Afisa mkuu wa serikali wa kuchunguza maiti daktari Johansen Oduol amezuru hospitali ya Embu level 5 kudadisi shughuli ya kuchunguza maiti za watu 37 waliofariki baada ya kubugia pombe yenye sumu.amesema uchunguzi zaidi utafanywa jijini nairobi kabla ya matokeo rasmi kuhusu kiini cha maafa hayo kutolewa. Wakati hayo yakijiri watu wengine sita wamefariki katika kaunti ya machakos na eneo la kikuyu.katika taarifa ifuatayo lofty matambo anaarifu jinsi viongozi walivyogutuka na kuifanya misako dhidi ya pombe haramu maeneo mbalimbali
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv...
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Негізгі бет Johansen Oduol afika Embu kuchunguza maiti za watu waliofariki baada ya kubugia pombe
Пікірлер